Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

AMBER ROSE'S BIRTHDAY AT CHINESE RESTAURANT MIKOCHENI

this is it
Amber hilo bisu
yusuph M
Dr Cheni
mc Hidaya

manini manii na nani na yule ooh
eti shilole nae mwanamuziki
who run the world (gals)
hawa wote ni watoto bado
nini na nini na nani na yule lol
speechless


16 comments:

Anonymous said...

wow sinta ulipendeza sana nimependa kigauni chako nimoto,mimi nakupenda sinta huwa huvai makolombwezo mengii.kama birthday girl huyo wolper,anajiweka madude kibao kila mtu amemupa ushauri ila mbishi kama shipa mchaga kavamia mji naona mashanga kichwani miguuni mikononi duh kaazi kwelikweli.2much is humph.lol

Anonymous said...

wolper bwana kwenye kuvaa ni 00000000000000 +000000000000000 = 00000000000000000 mavituitu kibaooo km borthday girl hakupaswa hata kuwa na icho kipochi i wonder leo mahead4ne yake kayaacha wapi mana yale yanaenda mpk harusini WALAI SHULE NZURI

Anonymous said...

wanawake bwana wakati mwingine mnalalamika ooh sina bahati mi sitakwi hakuna mwanamke asietakwa ni wewe tu namna utakovojiweka. BINAFSI KM MWANAUME MWANAMKE YOYOTE YULE WA BONGO MOVE HATA AWE MALAIKA SIMTAKI

Anonymous said...

happy birthday wolper Mungu akujalie uhai na afya tele.....Tina umependeza sana umetokea elegant lakini (No offense)huyo shilole jamani mbona kujiaibisha....mdada sisi wote wanawake kwa nini tusiwe tunashauriana tunapoona mwanamke mwenzetu anakosea?

Anonymous said...

Yessssssssssss it is speechless hiyo picha ya mwisho mmependeza sana. Nimependa mlivyo vaa, make up, nywele nakila kitu. Jane wa L

Anonymous said...

MHHHH!!! HUYO MWENYE B'DAY MBONA ANAPENDA MAKOROKORO MENGI? GAUNI LAKE ZURI NA LIMEMPENDEZA ILA TOO MUCH ACCESSORIES. B'DAY IMEPENDEZA. JANE WA L

dinah said...

sintah you look cute mumy! but hebu washauri marafiki zako kwenye uvaaji mfano huyo shilole kuonyesha bikini ndo mauzo au jamani girls we can be classy without show off of our body hapo ni kujidharirisha; tusipoolewa tunaenda kwa waganga oooh nimelogwa wakati tunajiloga wenyewe. sasa hapo kuna wa kuoa kweli unaita mke!

by the way happy birthday jacky! naona birthday za bongo movies zinaongozana tu!
sintah yako lini? usiache kunialika mupenzi

Anonymous said...

tatizo nyusooo jamani mbona mnatisha nyuso zenu du kumbe hata zama naye bado kwny nyusoooooooo

Myuri said...

Hiyo keki tumeichoka ipumzishwe sasa...kila mtu style hiyohiyo!
Na hizo nyuso zenu kweli hazivutii...sijui ni makeup mnazotumia?au mikorogo?mi kata sielewi...mnajizeesha wakati bado ni wasichana wadogo!

sophy said...

zama amependeza

Anonymous said...

Jamani Wolper Sijui Amber Rose, hicho Kichwani ni nini Ha! mbona unapenda makorokoro mwanamke hata upenedezi kabisa yani tafuta mshauri wa uvaaji tene haraka.

Anonymous said...

Huyo shilole, nae jamani sasa hiyo ndiyo nguo gani ya kwenda kwenye shughuli za watu, utadhani mmang'ati kavamia disco, rungu, fimbo mkuki na bakora mkononi, ushamba mzigo, mwambieni ajifunze kutoka kwa wenzie, au arudi Tabora akajipange upya ujinga mtupu

Anonymous said...

happy bithday Wolper ulipende sana and Sauda amependeza sana na kigauni chake but kichwani bado cjamkubali.

Anonymous said...

happy birthday wolper and luv da party inaonekana ilinoga sana.sinta ulipendezaje na sauda wako amevaa kigauni kizuriiii hadi raha.Now she improved.

jane bomba

Anonymous said...

Jamani Jack punguza makorokoro heee, Sinta bhana hao shoga zako mbona wachafua nyuso zao? wanapaka nini mbona hawana mvuto? na hayo mambo ya mikorogo yashapitwa na wakati, dhuu sura zimekunjamana utadhani vi ajuzaaa, hebu wafundishe bhanaaaa.

Anonymous said...

yani huyo sauda ndo huwa ananichefuaga kama nini, bado mshambaaaaaaaaa, linafikiri kujichubua ndo uzuri sijuiii!!!wala hufanani na sinta, lioneee!!!