Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

J WAKE LO CHIEF JUDGE MISS UBUNGO

chief judge ndo anaingia
nimenoga na city star boutique
mti wenye matunda ndio unaopendwa
na kupigwa mawe 
j wake lo na Hamissa
Unstoppable,Missa na Uncle Makoye
chief judge huyo akifuatilia burudani
warembo waliowania taji la
Miss Ubungo
Nothing but confidence
Queen Suzy napenda sana anavyocheza
taratibu lakini .......
nikiwa hoi na uongeaji wa
raisi wa FM academia
jua vile tunapendaga
uongeaji wake tuu mie hoi
atii anaenda bara la ulaya tena
Nyoshi mbavu zangu
kamati ya miss Tz wakifuatilia
shindano
mie tena kila saa furaha ninune nini mie
nikiwa busy kukamilisha zoezi
chief judge na maswali ya top 5
classy 
heee wakisubiri nani awe miss Ubungo
2012
kamati ya miss Tz na washindi wa
top 3
huyu ndie mshindi
beauty+brain
Top 3
heee good job Sintalicious
nikiondoka zangu kulala mie
stoppppppppp


Dress: City star boutique
hair: Didie
Make up: Ch 0 vj jockey



senkyu

25 comments:

Anonymous said...

hamisaa!! she is such a pretty girl... endelea kujitunza baby girl.

Anonymous said...

samahani kuuliza sasa missa kila picha kubeba nguo juu juu ndo nn? kila saa nguo kiganjani si angevaa kimini basi??? ukivaa nguo ndefu jus let it loose plz na si kuibeba beba kama unavuka mto...kiatu au mguu vitaonekana tu kwa wakati wake..ila ulipendeza missa...was jus sayin...na sinta ulinogaaaaa......muke ya mrombooooo

Anonymous said...

Unatisha Sinta, Mti wenye matunda ndo huooooo mtajibeba wabongo mlivyo na chuki.

Anonymous said...

Sintah nimependa nywele umetengeneza wapi mamie umependeza sana

Anonymous said...

Hovyoooo kuiga tu eti nawe utoke na red ukiwa judge ungevaa nguo ndefu ungepungukiwa nini viguu vyenyewe hmm

Anonymous said...

pendeza sana dear wenye wivu wajinyonge kwa bigjii!!!!

Anonymous said...

Hahaha missa kama nani sasa hapo?ooh yetu macho

Anonymous said...

Kwani lazima uvae nguo ya kuonyesha hivyo vispoko wajua nguo ndefu zinakupendeza balaa basi tu sijui ni biashara matangazo mweh

Anonymous said...

Mmmmh hao warembo eishh

Anonymous said...

Nothing but confident oiii

Anonymous said...

kipenzi Christine John Manongi, umependeza mbayaaaaaa!

Mie love you sana darling.

Anonymous said...

mmmmhhhh! joka la mdimu hilooooooo, lazma lipigwe mawe mpaka lihame pango, maanina!

Anonymous said...

wenye wivu wajinyonge, dada sintah umependeza vibaya mnoooooooooooo!wasemao kazi kwenuuuuuuuuuu.chezea sintah.

Anonymous said...

Hamissa is so cute.. just want you to know how adorable you are. take good care of urself baby. God bless you!!!!!

Anonymous said...

umetokelzea,,hair style imekupendeza!

Anonymous said...

nawe nawe si utoke kivyako, sasa chief judge ndio nini?

Anonymous said...

Nothing but confidence! Lav that.eb npe bs diet yako ma,i ril wana luz sam poudz

Anonymous said...

i dnt mean to be rude but hyo missa hapo anafanya nini hata shule hajamaliza anapachikwa kwenye kamati ili iweje?mkiambiwa mnatoa rushwa za ngono mnakana...hivi kwa mtindo huu na kamati hizi holela tutafika kweli hata hio miss world tanzania kuipata itazidi kua ndoto isiofikiriwa kutimia.ila kwa kupendeza...mlitokelezea kwenye ukweli ntasema....

Anonymous said...

Sinta naomba niulizie kwa amissa hiyo gauni kadizainiwa na nani nimeipenda bure

Anonymous said...

cku moja uvae gauni ndefu hadi chini iwe inajiburuza chini utapendeza sana.

Anonymous said...

Sasa huyo hamisa anahusika nini na kamati au ndio tayari kashajiopolea bwana huko jamani ukimwi huu utatuua na tamaa.na wewe sinta unajua nini hadi uwe chief judge mimi kwakweli haya mambo siyaelewi kabisaaaaa

Anonymous said...

halafu huyo hamisa anasubiri kuliwa na makoye au kashaliwa...mana anaonekana mrahisss km pip ya sh.5...wapi joan wa makoye..lol..chezea uncle weye..anapita tu..umalaya tu wa hiyo kamati yenu na ngoma mnazitendea hak mana kila mtu anaugulia taratibu..nashangaa halafu huyu hamisa kulivamia jiji tu km anaingia kariakoo pasipo na apoinment MANA ANATAFTA UMAARUFU KWA NGUV ...lmao

Anonymous said...

Sinta me naomba unifahamishe wapi nampata huyo kka Didie wa Nywele. au number ya simu.
Pamoja from DSJ.

Anonymous said...

NGOKSIIIIIIIIIIIII

Anonymous said...

CHAFUA KUNDU........