Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MR NICE AANZA KULEWA SIFA BAADA YA UZINDUZI WA TANDALE???

Mtu akiwa tapeli anahitaji hiki kipondo
maana anaanza lazima
akomeshwe kabla hajaenda
mbali
miwani ya kudanganyia
maana wanavaa mafundi magrill
kuogopa cheche za moto



Choriiii a.k.a Tapeli mwanafunzi

Tabia Za baadhi ya wasanii kuchukua advance mnakimbia show zimekithiri.

kwa mr Nice umeshangaza maana umefikia kiwango cha kufanya uzinduzi tandale, kingilio elfu moja wakakustiri, wakakurudisha panapoonekana na unawafanyia hivi,maana baadaye mnalaumu sponsors,media na djs hawapigii nyimbo zenu kumbe nyie ndio mnavuruga watu.

 Mzee wa kuku kapanda baiskeli bata kavaa raizoni,unataka urudi kiwizi,kiutapeli au? ulisitiriwa mekustiri umekodi gari na hujalipa hela, watu wakausugua, sasa naona unapanda kichwani,usiwe na tamaa ya kuja beach kama hutaki show sema ili  uendelee kuwapigia watoto wa tandale show na uzinduz huku wakicheza kidali pooh maana kwa mtu mzima hawezi kumdalika mwenzie.

tukio lilitokea Msasani beach club kwenye sherehe za Chelsea fans Tz kumpa Mr Nice advance ya show na kutokomea nayo bila kutokea jukwaani kitendo kilicholaniwa sana.

TAHADHARI MUANGALIENI MZEE WA KIKULACHO MAANA ANATAKA KUTULA SISI.

Nimeileta kama ilivyoletwa na washabiki wa Chelsea waliokasirishwa sana.

Christine
Sintah


follow me on twitter  @ chrisintah 





36 comments:

Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...

Ninaona vigumu kuamini kama alipata kipigo cha mwizi kama hizo picha zinavyoonyesha. Lakini ukweli ni kwamba tunavuna tulichopanda. I hope atajifunza kutokuwa tapeli tena ila hao waliompiga nao siyo wastaarabu na wangetakiwa wamkamate na wampeleke kiuto cha polisi wamfungulie mashitaka kwa wizi. Two wrongs don't make a right!

Anonymous said...

Huyo mr nice nae ni limbukeni hana lolote ivi hajajifunza tu kipindi ameendekeza starehe na malaya akachunwa mpk zikaisha sasa ameanza kupata tena ivo visenti vinaanza kumuwasha chezea dada wa mji ww utaangukia pua uyoooooo

Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...

Wewe ndio ulikuwa sponsor??imekuuma umelala unaiota mxiiuuuuuu

Anonymous said...

Uliahidiwa nini

Anonymous said...

we acha kutusi mwenzio hivyo kwa media sio ishu dunia tunapita ,dada mashauzi wewe.nyoooooooooooooooooooooooooooooo

Anonymous said...

be carefull bidada usije ukaanzisha mibeef usiyoweza kuimaliza!

Anonymous said...

Hhehehheheheh na utaremove saaaaana,za kukuunga mkono ni mbili hapo zote kunangwa,jipange!

Anonymous said...

MIE NAPITA TU MAANA MAMA D NIMEMWACHA HUKO NYUMA ANAKUJA KWA HASIRA KALI

Anonymous said...

WEWE KWELI MSHAWHILI NA HIYO MASTERS NI YA CHUO GANI NINA WASIWASI NAYO

Anonymous said...

JAMANI JAMANI HIVI VINAHUSUANA NINI NA WEMA NYUUUUUUUUUUUUU

Anonymous said...

MACHUNGU YA KUTOALIKWA KWENYE SHOW ILE YA KILI......... YAMWANGUKIA MR. NICE MASKINI lol

Anonymous said...

nina wasiwasi kama na wewe ni mzima. unalazimisha mabifu na masupastaa ili ujulikane kinguvu.

Anonymous said...

Mhh sinta hapo umevuka mipaka kidogo funguka mama kama kuna la zaidi ya kuingia mitini maana maneno yanakutoka mtoto wa kike kama vile kakuibia chupi yako ya dhahabu...acha uswazi bwana sio jinsi ya kuripoti hiyo. By the way sijakuona kunako glitter nite hahaha!

Anonymous said...

Nice hajafanya kitu poa kuingia mitini na advance ya show but kujichukulia hatua ya kumuadhibu namna hiyo its not right hii inchi ina utawala wa sheria.

Anonymous said...

Watu wa ajabu utawaona t. Story ni ya mashabiki wa Chelsea na alivyofanya mr Nice.

Badala ya kulaani kitendo hicho mnaanza kutaja majina ya watu wengine ambao wala haihusiani.

Kwani Sintah kwenda zake Nairobi inahusiana vipi na show ya mwengine?

Halafu nyie mashankupe ni wambea mnataka kuwagombanisha bure Sintah hana bifu na huyo mnayemtaja wala hana time. Labda kama huyo mnayemtaja ndio ana yake.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake, acheni Sintah ale kivyake na mwingine ale kivyake.

SINTAH said...

mimi huwa sitafuti story loves naletewa tuu thats why nimeweka my no there n besides nilikuwa Nairobi immediately i landed nikapata hio story ofcourse im chelsea fan but, wasnt there kwenye sherehe maana sikuwa bongo na niliporud in the evening nilichoka,so watch ure dirty fingers before writting nonesense

Anonymous said...

kumamayo sintah! Bdo zamu yako tutakupiga kma paka mwizi,endelea kujishaua! Mpyuuu! Una mdomo mchafu! Malaya mchafu wewe,,,

Anonymous said...

Tupe picha za Nairobi, isije kawa umekimbia mji kwa kutoalikwa.

Anonymous said...

Mlikosa wa kutumbuiza na nyie,mfyuuuuuuuuu.. Uswazi.com

Anonymous said...

Nani kanunaaaaaaa????sitaharisha!!!!!

Anonymous said...

Hata kama unaletewa story,ungeandika bila kumtukana ungepungukiwa na nini?! huoni kama huo ni uswahili wa kupindukia?...ungeweza kuandika story as ilivyokuwa bila kumkejeli.

dinah said...

sintah you have a right to write whatever you feel mumy hawataki waende huko huko u-turn humu wanafata nini waangalie matako yao mabwesebwese mfyuuuuuuuuuuuuuuuuu

Anonymous said...

sinta kama story umeletewa basi andika kama mwandishi ambae anaelewa maadili ya kazi yake,sasa wewe umeshabikia kumbe hukuwepo,mtu amejeruhiwa hivyo ww si mwanaharakati?ww ni msomi unajua utaratibu wa sheria.

Anonymous said...

loool mwanamke usio hana haya kimekuuma eeh ukabania comment yangi ula nilitaka ujumbe ukufikie wewe mlengwa haloooo kajipange upya mxuxiiiii umejambia kambi ovyooo classless woman bania na hii

Anonymous said...

Sintah are u real a masters holder,siamini dada rudi shule kafanye sup na soma kwa makini coz kwa corse unazosema umesomea you would n't be behaving this way otherwise kusoma sometimes ni fani na wewe si fani yako rudi uswazi kapige umbeya.bana na hii.

Anonymous said...

huna hata haya...jianamke zima kutoa matus ktk public kama hiv..mfyuuuuuuuuuuuuuu...na bifu litakaloanza nitahakikisha haliishi hadi wakumalize na wewe...kwani nice kama amekosea umeona ulivoandika hiv ndio unamuonya ama unafanyaje hapo...sikuelew na huo usomi wako wa chini ya uvungu..mxuuuuu...go back to class n remember to attend the bible xul..

Anonymous said...

apa kuna watu mnahitaji ushauri nasaha>>> mpo kimabeef and mdada unapresent ujumbe kama sio mwandishi uliyesoma kama unavyodai... punguza ukali wa maneno... ujumbe unafika kama mipashoooo fulani dada, tulio na shule isiyohitaji majivuno tunaona shule yako huitumiii vizuri.....

Anonymous said...

we sintah are you crazy!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

Are u another mental.Insane girl look at your self.

Anonymous said...

sasa ww na nice mna tofauti gan wote mmefulia mnao force kurudi kwa nguvu

Anonymous said...

KUMA LA MAMA AKO DINAH OR WHATEEVER YOU CALL UA SELF.../.

Anonymous said...

sintah u r such a hater! halafu mbaya zaidi hupendi kuambiwa ukweli ndio maana unafuta some comments, huo ni udhaifu. Shame on you! una post tu, mbona hujamuuliza mr. nice kwanini hakutokea? u r bias. Na hata ukiifuta, umeisoma na ujumbe umekufikia. Grow up, miaka imeenda unatakiwa ubadilike, report something completed not just shits!

Anonymous said...

Sinta we ni matako alafu mshamba kama kojoleo lako. umesomea shule gani fungus wewe? unaandika habari kisenge utadhani mwehu. unamnadi Nice mwizi Mara show zake za buku, inakuhusu nini malaya wewe! amekula chako? nilikuwa na kuheshimu kumbe limbukeni. matako wewe" nenda shule. yani we kumamayo ungekuwa kalibu yangu ninge ku Fingerfuck.