Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

LEO IMEFIKA ,MIAKA MITANO TANGU UTUTOKE AMINA WETU

enzi hizo akiwa shule

shoga yangu kipenzi yaani
natokwa na machozi
ninakumiss sana
akitoa msaada
daah yaani siamini ni miaka 5
mungu azilaze roho za marehemu
 Amina na mumewe
Its hard to believe  lakini ndio hivyo miaka inakimbia kama upepo at times najihis kuwa sitopata kama wewe, ila namuomba Mungu anisaidie.kutakuwa na hitima pale kwao.


Nawashukuru sana Mai Matha,Nargis,Sauda Mwilima,Sakina Lioka na Sintah  kwa kipindi hichi ambacho tulikuwa kama wajumbe na kukaa karibu na familia ya mzee Chifupa na Rahman kulifanikisha hili.
Mungu ailaze roho ya marehemu rafiki yetu,kipenzi chetu,mbunge wetu,mwanaharakati,mtangazaji aliyenyakuwa vikombe vingi kwa uhodari wake.



26 comments:

udaku org said...

Ukikumbuka ulikua ukimkopa hakudai sasa hivi mbinde?

Teresa said...

Upumzike kwa amani Amina..you were too young to die..Kila nafsi itaonja mauti..tuijiandae maisha yetu baada ya kifo..mkumbuke kusali na kuacha roho kuntu,kusengenyana,uhuni ili mjiandalie makao siku parapanda ikilia

Anonymous said...

Shoga yako tangia enzi hizo alikuwa kaolewa na heshima juu we hadi leo huna hata wa kuku weka ndani tulizana na we ubahatishe nume la sivyo hata upate mtoto maana unaenda thelasini na uchafu ujishtukii unatakiwa uwe na familia sasa apumzike kwa amani amina

Anonymous said...

marehemu alianza ushankupe mapema mno,yan kama wewe!na wewe usipobadilika utamfata kiahisi rahisi hvyo hvyo tu.

Anonymous said...

R.I.P AMINA DAIMA TUTAKUKUMBUKA

dinah said...

RESTIN PEACE AMINA!

Hivi nyie mashankupe mtaacha lini kumsimanga sintah wangu si msifungue blog yake kwani ziko ngapi hapa TZ! nina wasiwasi either mmelogwa au mmetumwa malaya wa magomeni nyie

Anonymous said...

tangulia amina, mimi, sinta, kikovu, almasi, wezi wa waume za watu, na wanaokomenti humu ndani wote tupo nyuma yako twaja! rip amina!

Anonymous said...

r.i.p amina

Anonymous said...

hakuwahi kuiasi dini.............Mara nyingi alikuwa mpole mara chache alizoongea wote tulimgeuza shule
Nasaha za bure kama tupo class vile akatuasa kuhusu kuhusiana
Akatuonya kutoaminiana mtazamo wake na wa-mama Terry daima ulifanana
Hadithi ya maisha yake ilikuwa safi kama ya Nabii
Hakuna aliyeamini mwisho wa mshkaji utakuwa namna hii
‘Gawa sana condom na kufunza kama angaza
Vijarida vya Ukimwi ye’ndio alikuwa msambaza
Ina maana alikuwa anatoa bila vyake kubakiza
Ama amekuwa ufunuo mola anaonyesha miujiza
Tazama siku zinakata hatumuoni nini kasoro
Afya yake haieleweki eti imeanzisha mgogoro
Leo anadunda kesho mgonjwa na hataliacha godoro
Labda alifanya kwa siri hadharani hakuna shahidi
Labda alivumilia sana mwisho kuasi kukambidi
Hatujui! hatuwezi sema na bado tunashangaa
Vipi vipimo vinasoma mshkaji alikufa kwa ngoma
LAKINI ALIKUFA KWA NGOMA....RIP WANANDOA

Anonymous said...

yaaani huyu dada atakumbukwa daima, RIP.JEMBE.

Anonymous said...

yaaani huyu dada atakumbukwa daima, RIP.JEMBE.

Anonymous said...

Amina , atakumbukwa daima RIP jembe!!

kokusimah said...

R.I.P AC yaani nafasi yako haitazibika nilimpenda sana huyu mama ila Mungu alimpenda zaidi. Pumzika salama

Anonymous said...

HIVI WE SINTAH,NIMEAMINI WEWE NI MNAFIKI NAMBARI WANI,KAMA AMINA ANGEKUWA KWELI RAFIKI YAKO SIDHANI KAMA UNGETOA HILO SHAHIRI ALILOANDIKA ANONYMOUS JUNE 26,2012 9:59 AM.WEWE NI NYOKAAAAAAAAAAAA TENA LA MDIMU,UNAUMA HUKU NA HUKO,NAMSIKITIKIA MISSA BABY ULIYEMCHUKUA UDONGO.NAHISI HANA WAZAZI,NI WALEZI TU,YALE YALE YA LULU WA KANUMBA.MESSEGE SENT KIMYAAA.

Anonymous said...

Angekuwa hai mpaka leo ushoga wenu ungekuwa umevunjika

yaani wewe hufai kuwa na rafiki
myyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
RIP amina

Anonymous said...

mh hilo nalo neno.

Anonymous said...

NYIE BINADAM ACHENI SIMANGA MAREHEMU NYIE WENYEWE HAMJIJUI HUJAFA HUJAUMBIKA BORA YEYE AMESTIRIKA SIE HATUJUI HATMA YETU TAFADHALI MSIWE NA USHABIKI USIO KUA NA MAFAO.NYIE MKIANIKWA YENU HUM MHH BLOG ITAJZIMA YENYEWE KWA MAOVU YETU .TUWE NA BUSARA HATA MUNGU HAPENDI LOH

Anonymous said...

UWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII HII BLOG KOMESHA! ETI LAKINI ALIKUFA KWA NGOMA, RIP WANANDOA! WE MDAU HAPO JUU, MBAVU ZANGU WALLAH KHA! ee MUNGU UTUEPUSHE, UTUWEZESHE KUDUMU KATIKA KWELI YAKO!

Anonymous said...

jaman we binti kiboko matusi yote ukomi mi tu?
unaamua kbsa kuweka msg ya huyo mshenzi mwenzio eti ac alikufa kwa ngoma mlimpima?
eti ukimkumbuka walia!! si unafiki huo hata dini haipendi hivyo nyie mnajua mtakufa kwa lipi?
mmenikera...ovyooooo

Anonymous said...

Kubalini kataeni kifo cha Amina kina mafunzo makubwa sana kwetu. Marehemu Mungu amuweke mahala pema huko aliko aliamua kutoka na mume wa mtu wakati akiwa mwanafunzi (mtu husemwa kwa amali yake), sasa masikini alikuwa bado msichana mdogo hakujua kuwa hayo magumegume yaliyowashinda mitume hata akimuacha mkewe akakuoa wewe bado atakuwa macho juu tuu.

Baada ya kuwa na marehemu Amina, Meddy akaendeleza libeneke akampata Aisha Bui (sijui yupo nae); na marehemu Amina akaingia kwenye uwanja mchafu wa siasa. Jamani huko Dodoma hapafai kuna watu kibao tumeshawaaga. Tena mimi nina mdogo wangu sasa hivi anatumia dose, kigogo wake alishazikwa siku nyingi.

Na kumbu kumbu hii ya marehemu Amina iwe somo kwa wasichana wadogo, msimuamini mtu, baneni mapaja hayo, vitu mtavipata kwa pesa zenu. Na sie tulio ndani ya ndoa tusiwaamini waume zetu 100% eti unampa kavu kavu kisa uko ndani ya ndoa, jengeni mazoea ya kupima afya zenu, kama hataki kupima basi mwambie condom, lau hataki akafie mbele!!

Anonymous said...

Ammminnn

Anonymous said...

SInta and company inabidi mjifunze kuwa livumalo halidumu. Hakuna short cut ya maisha. Amina alijiingiza kwa Mpakanjia akajua amepatia kumbe amafupisha maisha yake. Pesa inatafutwa msitumie uanamke wenu kama mteremko wa maisha; maisha ya hivyo uwa mafupi saaana.

Take care mummy. (warning from a sister with good intention)

Anonymous said...

mbona hyo picha ya kwanza ni bungen hapo...

Anonymous said...

Sinta we mzimaaaa??

Anonymous said...

Mmh!ila dada amina alikua mzuri jamani!!!shukuru sintah ulikua kabaya na ndo kilichokuokoa ama la tungekuwa tunawaandika wote kwenye ma blog!!daah...Mgeni huyu balaaaaaaa!!

Anonymous said...

mmmh wadau humu ndani swali tu mana si kwamba tunayajua yote ya mjini hapa, hivi clouds walifanya chochote kwa ajili ya kumbukumbu ya Amina? then mbona katika kisomo hakuna watu wa clouds zaidi ya Sakina Loka au ye ndo alitumwa kama mwakilishi???au amina alifariki akiwa hayupo clouds so labda wabunge ndo walitakiwa kuwa wengi?/mmh nina maswali mengi mno na hawa watu, je wametumiaje blog zako katika kumbukumbu ya mwenzao....kwa dina at least kuna post vipi wengine anyway labda ni mimi tu nime expect much from them kuliko hali halisi ilivyo...ok Mtu kama Gadner hukuhisi ingekuwa vizuri we kuwepo pale....wapi masoud kipanya au sintah jkapiga picha kwa uchoyo...liko mezani hili wadau karibuni...