Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

BONYEZA HAPA KUNA UTAMU SANA (BONYEZA BONYEEEE KIBARA)


14 comments:

Anonymous said...

ewe mtoto wa kike, acha umbea mbea! akha, alikukataa nini ndo kisa cha kumuandama hivyo! hayo ni mambo yake binafsi, hahatarishi maisha ya mtu mwengine, kama segerea atakwenda yeye pekee!

Anonymous said...

ofyooo!

Anonymous said...

sio bure unamtaka mista nice wewe, huna habari nyingine zaidi ya mr nice?

Anonymous said...

We mtoto mbona pashkuna ivyo

Anonymous said...

mambo ya ki mujini mujini hayo.loo aibu,hiyo sasa.dume zima.sintah blog yako siku hizi inachangamka.kwa nini usiweke ile ya thumbs up au thumbs down?nahisi kijiwe kitanoga zaidi

Anonymous said...

jlo nawe cku hizi umekuwa gea unatafuta hekaheka....! huyo mr nice aende tu kwao kijijini akatafute shamba la migomba alime ndo kazi inayomsuit, hapa mjini hapamfai tena......!!

dinah said...

pretty nina hamu ya kusikiliza but i cnt play it ungenipa hint kidogo mumy!

Anonymous said...

una lolote ulikuwa unamtaka mr nice mfyuuuuuuuuuuu

Anonymous said...

jamn dinah unajipendekeza sna kwa sinta kwa sinta unatafuta nini wakati umaarufu ndo kwishineeeeeeeee una lolote wewe dinah au ndo anae kusaga mfyuuuuuuuuuu

Anonymous said...

Sinta huu ni uswahili uliopitiliza kwn akidaiwa inahusu nn serikali yenyewe inadaiwa,kwnn unaingilia maisha yake hivyo

Anonymous said...

Nyooo,hunalolote!! Mmbea ww,kafupiiiiiiiiiii pyuuuuuuuu!!

Anonymous said...

Mr Nice ni kweli amekuwa tapeli sana huyu kijana,alipata fedha na kusahau alipotoka badala yake akawa ni mtu wa nyodo na maringo......katapeli mpaka sisi mashabiki wa chelsea kuwa atakuwepo msasani beach club na hela alipewa kwani tuliuliza.......duuuh!!! kweli Mr nice sasa kwishazzzzz------TABIA GANI HIYOOOOOOOO!!!!!!!

Anonymous said...

sinta m nakukubal sana,na unapendwa dat y tunajikuta tunabrowse ur blog,tupe mambo matamu na utupate ipasavyo members kama mtaa wa pili,uku juu

Anonymous said...

Wanawake wakipangiwa nyumba na wanaume mnaona sifa na kujitangaza kila mahali ila wanaume wakipangiwa na wanawake mnaona ajabu? Wee si uliweka humu Beyonce kamnunulia jet mumewe? Au sio wewe?

Isitoshe wanaume kibao mjini hapa wengine na kazi na shughuli zao wako supported na wanawake zao; including mwanaume wako au unataka tumwage mtama kwenye kuku wengi?