Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MALARIA HAIKUBALIKI CAMPAIGN @ SERENA HOTEL

Mabalozi wa Malaria
haikubaliki(zinduka)
Amini,Barnaba &Mwasiti good willing
ambassadors
Fid Q n B dozen
J wake lo,Marin k n Jacky
mti wenye matunda ndio unaopigwa
mawe
balozi Fid Q,sintah na jacky
unstoppable na sexy lady
THT walitoa burudani
THT members
mc Taji na wageni waalikwa
chezeya jacky
wageni waalikwa

35 comments:

Anonymous said...

Pic ya 5 na wewe umetoka ka kina sauda tu,kuwaweka wenzio na mapics mabaya!camera yako mbovuuuu inatoa pics mbaya kwa kweli hazing'ai kabsaaaa

Anonymous said...

Nguo fupi ulikuwa peke yako ndugu wewe mkubwa sasa vipaja nje nje vya kiutu uzima hayo mambo waachi kina jokate kina wema umri unawaruhusu

Anonymous said...

Sinta umependezaaaaaaa na iyo nguo,ila makeup sijaipenda japo haijachukiza sana...sikuizi uyo jack ndo shogayo?eh mbona kawa mweusi sikuizi kaacha mkorogo nn?na bdo atakiuza mpaka apagawe..anastress za kuachwa na bwana ake victor

Anonymous said...

huyo jacky hicho alichovaa ndio net ya kuzuia mmbu nini loh

Anonymous said...

nyoosha ngoko hizo,una ng'ang'ania kuvaa vinguo vifupi wakati miguu huni,hivi unadhani ukivaa nguo ndefu hutapendeza?jiamini wewe

Anonymous said...

OH MAMAAA, UMEPENDEZAAAAAAAAAAAAAAAAA NAOMBA UNIPE NAMBA YA FUNDI

Anonymous said...

heeh sa naona jack kaamua kuvaa neti kabisa, anajikinga na mbu waenezao malaria.... na we sintah mti wenye matunda utakua wewe? luk at bakhresa, mengi, katunzi etc wale ndo wenye matunda so kwa upande wako ni badae sana.

Anonymous said...

Bila kukunja hako kamguu picha haipigiki? KWELI YOUR UNSTOPED! Mpare Mshambaaaaa. Unatuangusha

Anonymous said...

I LIKE UA NGUO MAMA PENDEZA SANA OTHERWISE ACHANA NA HIZO AKA ZA KISWAHIL

Anonymous said...

Hupendezi na nguo fupi wewe lol vipaja vimekomaa kubeba watu vaa long dress ujihifadhi wewe kajitu kazima

Anonymous said...

Huyo mwenzio wa ajabu,anauza nae eeeh

Anonymous said...

Mgeni mualikwa kikazi zaidi unawatega kina nani hapo jameni mbona hakuna vibopa kimini chote hicho ama ilikuwa kitchen party hapo?mana na kitenge tena kazi kweli kweli

Anonymous said...

hizi ni official gathering so a little bit of decency is appreciated this is for your sexy friend Jacky jifunzeni kuvaa mavazi yanayoendana na mitoko je mpaka muwekewe mabango ndio muelewe. say no to malaria huku umevaa robo tatu uchi

Anonymous said...

please muambie huyo jacky aangalie na ni wapi anapoenda hiyo nguo haiendani na hiyo event

Anonymous said...

hivyo vitu vizuri sana vya wknd ndo hiv?

Anonymous said...

Kanakera mfyuuuuu,unapost kitu comment unaweka kesho yake,unasingizia Zantel huna lolote,modem zenyewe bei cheeeee washindwa kubadilisha?huna lolote kelele nyingi

Anonymous said...

Please dress for the occassion, ujumbe ukufikie bi dada mwenye lace top...

Anonymous said...

Huyo shoga yako katia aibu nguo gani hiyo kama anaenda disko pyuuuuuu

Anonymous said...

Yaani Malaria haikubaliki campaign inafanyika Serena hotel why?? Kwanini msiende tu kijijini mkawaelewesha watu jinsi ya kuzuia/kuua mazalia ya mbu; na mkawasambazia net za bure. Yaani watu wamekaa wanakula serena wengine wanateseka vijijini hawajui mbele wala nyuma.

Anonymous said...

Mhh cjuy nianzie wapi.. Wewe na huyo mwenzio wote HAMJAPENDEZA! Make up mbaya nguo ndo kabisaaa sizielewi. Mmetokea kama Yondo sister na mbili abeli.. Hapana kwakweli.. Sijapenda!

Anonymous said...

Mnaosema hajapendeza kweli ni roho za kwa nini. for sure Sinta kapendeza sana. J wa L

Anonymous said...

Hee huyo jacky kapigwa bomu la hiroshima n ndo nguo gani hyo kwenye official gatherin,kweli ana stress victor kamtema saiv ana kibinti kibichii ye anabaki kukatikia mijibaba na bado atahama mji,sinta mependa nguo yako umependeza bt naona kama usingeivaa kwahyo event

Anonymous said...

Kumbaf,sasa ndo nn hayo mavazi. Sinta nguo yako nzuri ila huyo shoga ako jacky kwanza kama vile kapigwa bomu la hiroshima na nagasaki huko usoni,pili hiyo nguo alifikiri anaenda runway? Hehehe hamkumwambia nn? Ama alikuwa anaenda kuuza nyabe. Angalieni jamani mahali mnapoenda na nguo mnazo vaa. Alaa

Anonymous said...

nguo aliyovaa Jack!!! sijaielewa kabisa ila mmmh labda ndo wamjini kama vip angevaa bra na hicho kisketi chake tujue moja. nimemtapikajeeeeeeeeeeeee

Anonymous said...

nguo za disco mnafanya za official sijui biashara matangazo wakati mwingine mnanajishushia hadhi zenu angalieni nguo za kuvaa wapi na ipi inafaa sinta tulishakwambia nguo fupi hazikufai miguu imekomaa mno jamani he huelewi ww

Anonymous said...

huyo jacky naeamezeeka sana hatulii nini? alikuwaga mzuri sana

Anonymous said...

hivi hiyo nguo fupi hivyo sinta ulikaaje ss kwenye hiyo malaria duh na huyo nae anaonyesha sidiria watu wanavaaje au sielewi mnachekesha sometime mjue mnajushushaaaa

Anonymous said...

Jamani kweli mazingira ya utotoni yana affect future ya mtu huyu Jack wa sumbawanga kavamia mji na kuzibuka matokeo yake hata mavazi ya wapi yavaliwe wapi haelewi msameheni bure.

Anonymous said...

Jacq kulikoni jmn mbona umechoka hivyo sikuhizi,yani umechuja na kuruka...

Anonymous said...

MWAMBIE WOLPER ASINYOE TENA JAMAN AOTESHE NYWELE AWE KAMA ZAMAN

Anonymous said...

mmmmhhhh jamani jacky, ndo nini umevaa wajameni? mbona una nguo nyingi tu na nzuri kuliko huo wavu ulovaa mama? hivi zadoky akikuona hivo ataamini kweli!!

Anonymous said...

kweli hiyo malaria haikubaliki mpaka watu wamevaa neti loh...! sinta hy nguo ni nzuri color and mshono but sketi ni fupi mnoooo kwa event kama hy.....!!!

Anonymous said...

Mijitu mingine mfyuuuuuu sasa hiyo habari ya wolper arudishe nywele inaingiaje hapa?umemuona hapa kwani?kudandia gari tu kwa mbele

Anonymous said...

natamani hiyo skirt ingekuwa ndefuu ungetoka bombaa zaidi

Anonymous said...

Naona picha zako zote sikuhizi unakunja miguu tu, sijui kwa nini..??