Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

NYWELE NI 1MIL (MILLION MOJA TUU UNAPATA NYWELE)

diva &jackie


hi loves kitu cha nywele kinaenda mil 1,kwahio anza kuziunga unga ili ununue nawe utoke chicha kama Devotha Diva wa town

Kilimanjaro Music Awards hio inakuja anza kujiongeza bwana

30 comments:

Anonymous said...

Milion 1 ya zimbabwe au ya Tz?

Anonymous said...

Naomba kuuliza nywele za Mil 1 zinatokea nchi gani?Weka web tuhakikishe maana mjini matapeli wengi.

Anonymous said...

shost hiyo mil 1 mbona umeirudia mara nyingi...inainekana hata wewe umeona sivyo ndivyo...lol

Anonymous said...

mna mavi nyie nendeni mkachambe kwanza,nywele millioni 1 zina feni hizo ukivaa unapepewa kichwani usiwashwe au???pelekeni uchafu wenu uko

Anonymous said...

unajishaua nyau wewe

muke ya muzungu said...

Unaongelea 1ml ya tz or wapi?hebu nikojoe mie nioshe nyapu nilale kwa uchumi upi huo??ww mwenyewe hapo huna hata kibanda uluchojenga halafu uweke nywele ya mil 1??mtaishia kutoa tigo tu..n ukishaweka hzo nywele usisahau kuagiza obagi cz naona hatabmkorogo wako umedundamweh

Anonymous said...

Hapa naona kuna mtu anatafuta hela ya mzigo na ticket mmmh ngoja tuwaachie wenyewe!

mamy naah said...

watu na nywele zetu tuhangaike na nywele za ml1
za nn
jikusanye ww usokuwa na nywele maana unawekaga vitu vya ajabu kichwani kwako labda hiyo nywele ya ml1 itakutoa....

binti sayuni said...

acheni ushamba nywele mil 1 wakati unakaa nyumba ya kupanga fasheni imerudi siku hizi natural hair hata hayo na relaxer tupa kule

Anonymous said...

kingereza hujui hata kiswahili ncho hujui??????? sio kwahio ni kwahiyo.

Anonymous said...

Mama mashauzi, it begins with you! au wewe utauziwa kwa bei ya kununulia kama dola 100-200? wanataka wakatanue wao halafu wateja wawalipie ndege, hoteli na pesa za kujivinjari, mafala kweli.

Anonymous said...

kuma mayo million zinajisuka zenyewe au

Anonymous said...

Hivi jamani huyo Jackie mbona kama anafanya BOTOX? Maana sijawahi kumuona akiwa amesmile naturally yeye kila siku smile yake ni plastic kama ya Jordan au kwa jina lake lingine Kate Price. Yaana nimekaa nimejiuliza what is wrong with her? Why her smile doesnt appear naturally ndio nikakumbuka botox!

Anonymous said...

Unavyojishaua ili na wewe uonekane umo....eti milioni moja TU unapata nywele, we ushazinunua????

Anonymous said...

dah wadau mmenichekesha, yani hadi nimetoa machozi...eti kuma mayo! mwingine onho zinajisuka, mwingine onho...zina feni yani lol...ni full shangwe. ila ma blogger wa kibongo bwana, wanapenda sana mashindano. jamani kuweni creative sio kwa vile mtu kule kasema product za obama..sijui obag..basi nawewe unakuja na kitu kingine lakini kwenye fani hiyo ya urembo! ni kama una compete au unajaribu ku prove something..hii unaweza kubania..umebania nyingi lakini message sent...!wadada wa mujini changamkieni tenda...mie maji marefu siyawezi..napaka kitu cha soft azana mgando..advanced form ya shanti..tetetetete), usoni napaka kiti cha johnson body cream, nywele kila mwisho wa mwezi ndo najikakamua kuweka noble weaving...15,000! so ...mimi si mlengwa wa hii nywele ya 1m..cause sio kama sizitaki mbichi hizi ila tu..siwezi ku afford!

D wa makalio! said...

sioni kitu cha millioni moja hapo! mbona hata hakijamtoa huyo diva mwenyewe! uchafu mtupu!tusidanganyike wa Tz na fashionz za kupita, we r naturally beautiful n bless!

Anonymous said...

hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahhhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhaahhahhasghsahsghqwgyqwghaghaggagagagagagagagahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhah

hahahahahahahahahahahaha
acha nicheke mie mana huku sie tulipo ukinunua za dollar 200 au 300 hizi ndo za high quality...hahahahahahahahahha mmekosa kazi ya kufanya:

mamy naah said...

huyo mwenzio ni muke ya muzungu ndo maana kamiliki hiyo nywele haya na ww
he heeeeeeyaaaaa
ishakukost
shosti we komaaa tu na hayo maweaving yako na miwigi feki
mpaka ukome....

Anonymous said...

muulize kwani zina diamond au dhahabu??? hebu tutokee hapa na upumbavu wenu!

Anonymous said...

nashanga! yaani hawa malaya wana mbwembwe hawa! kwani hizo nywele unaziungia na kwenye uchi au??? pengine na vuzi nalo linatakiwa kurefushwa, hebu tutolee uanaharasha wako, wewe na huyo diva tupa kule!

Anonymous said...

mimi naungana na uyo wa pili cku hizi akuna tena kudanganyana mitandao ipo wazi waseme jina tu watu ata dk 1 nyingi wata tafuta kwenye mitandao na wataona kla kitu

Anonymous said...

nyie watu hamuelewi hamjui mambo ya nywele mnaongea pumba watu wanatumia pesa zaidi ya hiyo mil 1 kwa nywele mpo dunia ya ngapi mnafikiri ni wachina wenu wanawauzia fake aaash

Anonymous said...

Wewe Sinta na huyo Diva wako pelekeni ushobokaji kule Mnavyoitamka hiyo milioni moja mnafikiri ni ndogo sana shenzi zenu halafu eti Millioni moja Tuuu Kweli matako yenu wote wawili na wewe unayetangaza biashara yake unapata 10% sioee kwenye hiyo 1mIllion Tuuuu Mfyuuuuuuuuuu hamna haya kama vile mnaona maisha ni rahisi kihivyo! na wewe Sinta thats not your Class acha kujishaua "SHENZI TYPE" watu wanapendeza na Noble wiving kuliko hizo zenu za wachina washenzi kabisa mneniudhiiii kiukweliii situkanagi ila huuu upuuzi wenu hapa mmenifika pabaya shenzi kabisa badala muige mambo ya maana kama kujenga na mengine yakimaendeleo mnatulete huu ujinga hapa washenzi wewe na huyo diva wako mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!

Anonymous said...

hilo nalo neno

gg said...

lol!!! nilizonazo zinanitosha

Anonymous said...

duh 1mil for hair....wat a plastic life,lets live reality...
na tukiangalia uchumi wetu wa nchi yetu,pipo are r suffering n u guyz are talking about nywele 1mil,au ndo nyie mademu wa mafisadi.....
Be creative on yo blog usiwe mswahili na mshamba wa maisha...

Anonymous said...

kwa uchmi upi?

Anonymous said...

duuh nywele za 1mil maneno kibao yanawatoka.je mngeambiwa kuna CL zinauzwa c mngesemea matakoni.kuweni wastaarabu kama huna pesa kaa kimya lkn nywele zipo zaidi ya 1mil.

Anonymous said...

guyz wat z wrong wt u...sintah ddnt say u av 2 buy dat hair...ts ur choice 2 du so espcl f ur financial okay....t dasnt min thr z no such hair wt dat price plz go travel n c wonders 4 urself...stop insultn sintah sh dasnt dserve t..wt al de luv sh z gvn u guys..plz kip urselp in ha shoes n c hw t fils 2 b insultd....n as 4 u ma sis sintah nxt tym whl writin such advertisment finish by de word lyk ts nt a command...luv u Sintah "J LO"

Anonymous said...

mbona hata hzo nywele za mil 1 hazijawapendeza?