Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MAGUBE GUBE FAKE YA KIMASAI NDANI YA ZANZIBAR

Hallows

ngoja niwape mkasa wa weekend iliyopita ndani ya  znz

mmmh nilikuwa katika hotel yenye hadhi ya kimataifa Melia, hapo zamani ilikuwa inaitwa Kempiski.

basi kwa pembeni yake kukawa kuna disco la beach vile nikasema ngoja nijitupe na washikaji zangu,looh asalalee naingia naona rangi nyeupe nyingi sana(whites)weusi mbali na company yangu,wahudumu waliobaki ni wale wazee wakuruka juu(Masaiii)duuh nikajiuliza inakuwaje??

hahaaa kumbe si wamasai,ni watu wanaojifanya  wamasai eti na kusuka kabisa,hawa vijana wanatumika kule kwaajili ya shughuli za ngono,duu si wanawake tuu katika mtanange huu
yaani wazungu wakija wanawadaka na siunajua tena wazungu kuna vitu wanapenda kutoka bara hili,yaani wamasai fake wanaweza hata kuuana kisa nani apate mama mwenye pension kubwa,yaani ni style fulani  kama ya madada poa.

wale tours,na nk please watahadharisheni wageni wenu wanaoenda znz wale si wamasai bali wana act,na serekali ya znz jamani ifanye kitu kuhusiana na hilo maana its so nasty jamani natamani ungekuwepo arrrgh.


PARTY ILIANZA HIVI WATU PIPO FULL KUJIACHIA MCHANGANI NA UKILEWA KAJITUPE BAHARINI UZINDUKE TENA

mmmh hivi vitu ndo ninavyopenda mimi
ku party mbali,hamna anayekujua
full kujiachia


si umeona mwenyewe ki beach beach
watu wanajiachia mbaya hela nyie acha tuu




huyooo mlengwa jamani
maana nili zoom kutoka mbali
eti huyu ndie mkewe


maana kuna wengine hawakawii
kusema sikuwepo
siku hizi ni kimya kimya tuu mwendo
mzima

                                                              

16 comments:

Anonymous said...

sijakusoma yn wamahisha mkaka anainamishwa au vipi?au makaka wanajiuza kwa ajiri yakuwapa dozi madada wakizungu wanapata chao hlf wanalud lindoni tena?

Anonymous said...

eti hela hela gani ulonayo na wenye hela wasemeja sinta limbukeni

Anonymous said...

hivi sintah hizo pesa zote unazofanyia matanuzi si ungetafuta kibanda mama ujenge mana uko kempiski si mapesa mengi ndugu yangu

Anonymous said...

hahahhahha SINTAH we mkareeeee yani uyo kaka nimemzoom hapa hana umasai wowote duh wamasai walikuwa zamani hahahhah

Anonymous said...

mmh wamasai wana mboro ndefu na wanajua kutombana ndio maana wathungu wakija wanawapenda sana. sasa hao feki sijui inakuwaje!!! naona ulikula bata sintah hongera. lakini tuwekee picha ambazo ulikuwa unacheza kamuziki mamaa.

golety said...

ahsante kwa kutuabarisha mdada

Anonymous said...

Sasa si bora hao makaka walikuwepo,bila hivyo wange kubeba wewe,maana mwenyewe unasema kuna vitu wanapenda kutoka kwenu weusi!

Anonymous said...

Hiyo mikorogo mmeonekana Kama maiti mmechukizaaaaaa.

Anonymous said...

alipataga mfadhili wa siku mbili sasa na yeye kawa na mihela ya kuyamwaga ama alienda lokeshen wajameni.

Anonymous said...

Hata wamasai wa kweli wanajiuza sana kwa wazungu, anyway ndio hivyo watoke vipi maisha magumu sema wakishazibuka sasa huku Ulaya wake zao wanajuta.

Anonymous said...

mimi na Rav four hizi new model mmasai wa pale mbalamwezi akaona huyu dada yuko mwenyewe nina pesa kumbe kwa wenye nazo im nothing basi wacha anitongoze " we mama yoyo mi napenda sana wewe mamayoyo naangalia siku mingi moyo yangu nachanganyikiwa kabisa"

mzanzibar said...

we sintah kinachokuhusu nn mind ur own business et hela hela ukawe nayo ww? na ulichokiongea hakuna ukweli hata m1 hao wamasai wanafanya kaz za ulinzi na vivutio na wanaokutana nao mara nyingi hko ndo hao wazungu sa wa2 wasipendane ishakua wanajiuza, we unadhan ukijiuza ww ndo kila m2!!! UNAKERA na hyo mkaka unaesema si mmasai ni mmasai pure na hta hyo akiwa mke wake WAT DO U CARE? we mbona unatembea na mizee ha2semi?? MSONYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!

Anonymous said...

Duh huwa napenda sana kusoma ulimbukeni wako humu...unanitia kichefu chefu lakini sikomi kuingia humu, mi naye sijui nikoje..

Anonymous said...

dada yangu sintah, naona ni mara yako ya kwanza kwenda kule. Kuna ma disco mengi kuna Full moon nk. Hao jamaa wanauza ushanga na viyu kadhaa. Wengi wao ni wamasai.

Ila hongera maana angalau umeenda. Sema ulichotaka kutuambia tunakijua na umekosea.

Anonymous said...

Anonymous unayesema Sintah Asiatic kutanua avenge kibanda inahusu nini? She has decide to have her own life according to her choice. How do you know that she does not have a house? Other things in life we do not need to publish. For the other idiot anonymous regarding the behaviors of fake Maasai hit on wazu gu in znz pretending it's part of tourism, this is ubsurd to the community because they are fake. Another thing, the fake Maasai wanted Sintah and when she saiid no he freaked out and I made sure he was not going to ruin the party. Sintah they wanted you to put the pics why you were in znz. Please post them I have authorized it under my own concent. I even signed the indemnity form as part of the agreement. Go ahead and put them sweet heart am behind you back. Mama Tonylizer

Anonymous said...

we mwenyewe ulikua kwenye mawindo yako....wazungu wanataka vi portable zigo ka wewe wakupeleke wapi na spoke zako!