Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

SAUDA MWILIMA ENGAGEMENT,MC JLO TZ




MC wa shughuli ni jlo Tz
ukumbi ni coco star
Mc hair done by Ateka abyssinia beauty and spa

sasa kazi ni kwako kuangalia pics

shughuli iliandaliwa kama bday ikawa uchumba lol

all the best sauda and hubby Mungu awe nanyi naomba niwe hai nishuhudie ndoa



83 comments:

Anonymous said...

sinta hicho kinguo NO!! yaani ni kama blauzi ukasahau kuvaa skirt kwa chini. too much jamani. jaribu kujiheshimu we dada

Anonymous said...

Heee umependeza saaana japo picha ya kwanza sijaipenda ila kiujumla umependeza makeup iko mwake.Umeanza kupungua vizuri.
Eheee Wema vipi mapaja jamani mbona michirizi kila mahalai uwiiiii katumia nini au ni kitu gani?

Anonymous said...

KWELI MAPENZI KITU CHA AJABU, WEMA NA DIAMOND???? ILA KIUKWELI DIAMOND MWEE HATA NA UBAYA WANGU HUU BADO SIJATEMBEA NAYE AU NDO MAMBO YA MA LOVEEE SAANA.
SINTA HONGERA UMEPENDEZA SAANA, ILA NGUO FUPI SAANA HAZIKUTOI KIVILEE. UKO JUUUU

Anonymous said...

Picha ya kwanza noooo, nyingine umepiga kwa pozi zuri na umependeza, endelea kushughulikia mapaja ili yakae vizuri. Wema jamani angefunika kidogo ndo kile kipigo? Halafu kwa Uturn kuna mtu ka comment sasa wadau wanashambulia wanasema ni sinta kacomment why jamani?

Anonymous said...

Sinta mdogo wangu nguo fupi sana hazikupendezi ni aidha upungue kama ndio unazipenda sana lakini hapana kwasababu zinayaonyesha matege wazi kabisaaaa

Anonymous said...

lol bora leo watu wajionee huo usaafiri wako wa ajambu unaojisifiaga nao kweikweikei, saida kweli kuvaa bado yupo nyuma maana waalikwa mmemfunika, jmani nani kamtengeneza kucha mbaya hizo

DINAH said...

congrats sauda, mumy sintah kwa kweli unene unapungua you look amazing mumy you have killed it.
as for wema sepetu mama strech marfks hizo i think pregnancy signs anza kutumia cocoa butter palmers au bio-oil mapema because am pregnant like you na nilianza kutumia mapema hizo products it real helped.
sintah penda wewe sana.
mama kijacho D

Anonymous said...

wewe wema wewe mkorogo utakuua

Anonymous said...

Wema sepetu anatisha kwa kweli duuuuuuuuuuh!.

Anonymous said...

All the best Saida lakin mh msiishie njiani kama wasaniii wote tunaowaona mwisho wa siku.. INABAKI HISTORIA TU!

Anonymous said...

Mtoto wa Wema na Diamond lips zake zitakuwa nzuri sana maana lips za baba na mama zote bomba

Anonymous said...

ILA WEMA HAYO MAMISTARI MISTARI KWENYE MAPAJA KHA..... KAYAONDOE MBONA KUNA DAWA ZA KUONDOA mh..............

Anonymous said...

Mlipendeza sana, Sauda hongera sana na nakutakia safari njema kuelekea maisha ya ndoa. Ila be careful na marafiki wasio waaminifu kwani hao hao ndiyo huwa wavurugaji wa safari hizi za ndoa ama ndani ya ndoa yenyewe.

Anonymous said...

wema,wema wema, jaribu kuvaa kuendana na mwili wako ulivuo, sauda ulishindwa kwenda saloon jamni kujiweka vizuri, hizo kucha pweeehh hivi wewe mdada hata cjui nisemeje kwa kweli, hilo gauni hizo nywele, khaa unahitaji maombi looo, mchumba ni mcheza shoo wabendi gani...hahahaha jiji tamu hili walahi vile.

Anonymous said...

Dah! wema na diamond mmependeza sana ila wema jarbu kujsitir mwil wako kdogo kutokana na muonekano wa ngozi yako ilivyo!sintah umependeza ila dah upo uchi sana!

jline said...

heheeeeeee,shemejiiiiiiiii amesuka jamani.cjui atatambulishwa kwa Ustaadh mwilima??mapenz ni kikohozi..sinta umeanza kupungua..keep it up BUt hicho kinguo kifupiiiiiii mnoooooooo though kazuri sanaaaaaa kwa juu..as for WEema mtoto umejaaliwa shepu but hayo mapaja duuu nomaaa..mtoto mdogo ushaanza kuzeeka mapaja uuwi .ya kwangu at my age of 30 bado full mvuto

Anonymous said...

Afadhali leo Sauda uso umekaa vzr, jamani wadada wa mjini ukiwa na mapaja manene yenye mabonge km uji ulioganda achaneni na nguo fupi kwani lazma?au nguo fupi ndo ujanja? Mjipatie jmn loooohh, Jack Wolper apumzishe hiyo head band sijui chain

Anonymous said...

kwani sintah na mange wana bifu?hata me nimeona hiyo coment u-turn na wadau wakasema ni sintah ndo kaipost.wema hiyo mistari mapajani huoni aibu?me huko nilivyoiona tu nikastuka.na huyo jack wolper huo mcheni wa kichwani nani kamdanganya unampendeza coz kauganda kila mtoko lol!!!

jline said...

Jamani hiyo picha ya saba ni Lulu Semagongo?na huyo rasta ndo shemeji ooh?mana pozi la ukweeeeeel..maimarthta wa jesse hongera kwa kitumbo..watu walichonga saaaana..Mola kwawaumbua..twasubir ndoa takatifu tu..na ww binti wa Channel ten Penny hujambo??kanisan Ngurumo ya Upako siku hiz hufiki..umepatwa na nini mpendwa katika Bwana?ujana na Yesu maisha yanakuwa salama..hope utaufanyia kazi ujumbe

Anonymous said...

Hongera Sauda ulipendeza kwani ulitoka simple tuu.Sinta hiyo picha ya kwanza nimeipenda coz imekuonyesha jinsi ulivyo,Miguu yako ni mizuri na anayekuponda analake jambo.i wish Sauda all the best.

jane bomba

Anonymous said...

siyo kwamba nakuonea wivu au la, ila kiukweli nguo uliyovaa sinta ni fupi mno, kwakweli umetutia aibu, at least ungevaa hata na skin tight kuliko ulivyoyatangaza mapaja yako kwa kila mtu..ushakuwa mtu mzima, jaribu kujiheshimu kwenye mavazi dada.

Anonymous said...

shughuri ilinogajeeee maana kila mtu alipendezaa.Congratn Sauda na usiishie hapo kwenye engagmt tunataka tuone na picha za ndoa and wish all the best.

jane bomba

Anonymous said...

Jamani yote tisa kumi imeona Jackln Wolper mmmmhhhh kama fani ya sanaa imemshind, sija penda hiyo hair colour

Anonymous said...

Waalikwa wamemfunika mwenye shughuli, hizo nywele mbona zimekaa za wale mabinti wa uswazi kabisa. MC umefunika mbaya ila tu nguo fupi saana hazikutoi. Wema jamani ndo kitu gani mbona alikuwa mrembo saaana. Halafu wema na Diamond mi naona hata hawaendani yaani huyu dada anahitaji kupata mtu wa maana bana haka kajamaa waaala.
Pendeza sana Sintalicious

Anonymous said...

Hongera Maimatha na kitumbo chako mwaya manake ulipata tabu sana sasa naona roho yako nyeupe mungu akulelee kijacho wako, Wema jamani na huyo madini wake loh kupenda kubaya kuhusu mapenzi wema jaribu kujip[anga upya hapo No.

Anonymous said...

Jamani sinta hicho kinguo cha watu wembamba mapaja yanakuangusha sana sijui tatizo umri au nini ila kuhsu uso uko poa dada

Anonymous said...

Hawa wachumba sasa mbona tutakoma wanawake sie haya na twende kilioni sijui siku ya kwenda kutambulishwa kwa wakwe atasuka penseli jamani tunachoka sana wenzenu, Kweli lazima atakuwa mcheza shoo au rapa wa bendi mi sijui. mwwwwwwweeeeeeeh. Wanawake hata kama umri umeenda na umekosa mchimba isiwe sababu ya kujitwisha kila mwanaume anayekuambia kuwa atakuoa najua bi shost alikuwa na hamu ya kuwa na mchumba na kuolewa haya sasa. don't kurupukaling hapo tumeshamjudje ni mwanaume wa namna gani . Mpyuuuuuuuuuuuuuu!!!

Anonymous said...

picha mbona hazina maelezo, sintah? plz do that 4 us..maelezo muhimu sana bana..Hongera kwa Sauda .

mjasiliamali said...

Ila huyu dada sauda huwa anavaa nini jamani? kavaa utafikiri house-girl wa Sinta, sio vizuri bwana Sinta hebu jaribu kumrekebisha shoga ako, bac kwa kua sura mbaya ndo ajiachie hivyo?

kipwinto said...

angalau sinta umeanza kupendeza gauni limeendana na sherehe c ucku? wema toa stretch marks unatisha loh, sauda ndo alochemsha kuanzia mavazi,kucha na kila kitu inshort anakuwa kama hakujiandaa, me nilitegemea kucha zingetengenezwa hasa so ndo sehemu watu wote wanaitolea macho kutokana na uhalisia wa tukio...! nawe anony wa hapo juu uliezungumzia habari za u turn humu we ndo mnafiki mkubwa unatoa maneno huku na kupeleka kule na we ndo uloweka comment u turn unajifanya sintah na ole wako wana uturn tukutie mkononi utajutaje....?!!!

Anonymous said...

eti bendi gani nachekaje... ila wengi waalikwa wachafu wachafu

Anonymous said...

uwii saida need a fashion lession jaman hilo gauni mwaka sabino..sidiria ndo sijui rangi gani jamn... but atha things vimependezaa na woote mmependeza..gudluck saida

Anonymous said...

jamani sauda nampenda sana hana kashfa kama wengine wapamba magazeti kila siku ila huyu jamaa ni mwanamuziki au, mbona haumuendani au mcheza mpira manake huo msuko balaa angefumua kwa tukio hilo tu jamani manake halijirudii tena

Maggie said...

Khaaaa!!!! Hiyo party mbona kituko? Huyu muhusika naona carolyte na maji ya chumvi tabata yamekataa vidole vina sugu nyeusiii... lol!

wewe sinta kituko as usual

Anonymous said...

yani me naona sauda alichukiza kuliko wote looooo kinyaaaaa puuuuuuuuu griiiii nahisi kutapika,yani kagauni kazamani viatu vipaya and all in all hizo hair styl kichefuchefu,uuuuuwiiii natapikajeeee.na hako ka bwana kake stedishoo kachafuje.but sinta umependeza luv u.

Anonymous said...

uuuuuuuuwiiiiiii natapikaje jinsi sauda navyo tia kinyaaa,nyiiiiiiiiiiii,grrrrriiiiiiii

Anonymous said...

KUSEMA KWELI IT EITHER UTAFUTE KAMERA INAYOEDIT VIZURI AU SIJUI ME SIELEWI YAANI MMETOKEA WACHAFUUUUUUU, KHA JAMANI WENYEWE NDIO MNAJIITA MASTAR WA BONGO, HUYO JAK WOLPER AU NAE ANASHEREKEA HALLOWEEN IKO KICHWANI NI NINI JAMANI, HAYA WEMA NAE AACHE CARO LITE A.K.A MKOROGO NDIO MADHARA YAKE, HUYO SAIDA KAMA KAKURUPUSWA SIDHANI KAMA ILIKUWA SUPRISE JAMANI AMESHINDWA KWENDA SALOON, YAN SIJUI MSIDIRIA ULE KHA MMEZIDI KWA KWELI MNAHITAJI, MAKE UP STYLE, HAIR DRESSER, HV HAMNA DSTV MKAANGALIGA STYLE CHANNEL MUONE, YAANI NI BIG NOOOOO!!

Anitha said...

Hongera sana Sauda kwa hatua uliyofikia mama
Anitha

Anonymous said...

sinta hujapendeza hicho kigauni chako ni kifupi mno,na nyie mastaa kwa mkorogo mtakufa,Uk mastaa hawawi vituko km nyinyi yani ukiwa staa unahela sio ombaomba

Anonymous said...

SAUDA MSHAMBA UYO BWANA AKE NAE LOL JAMANI ASA NDO KAVAA NINI UYO BWANA????? KM MUUZA MITUMBA SAUDA NAE GAUNI HILO LA MCHINA CHECHE KDG LISHATOBOKA ARRRRGH

UKIWA NA MINYAMA JAMANI USIVAUE NGUO FUPI MBN HAMUELEWAGI?????? HAYA SASA WEMA NA MICHIRIZI SINTA NA WEWE PIA HIVI NYIE HAMTAZAMAGI VIPINDI VYA MITINDO EEEH, ANYWAY BORA YAKO SINTA WEMA DUH

Anonymous said...

SAUDA HUJAENDA SHULE NA BWANA NAE IVO VIO JAMANI KAH.SIMJUI ILA MUONEKANO WAKE ANAONYESHA SKONGA AJAPANDISHA WALA NINI.
HAYA JACK MBN KM KAPOOZA?????? ALIZANI DIAMOND ATAKUJA MWENYEWE NINI????

Anonymous said...

sinta unatia aibu umeshakuwa mkubwa nguo fupi hazikupendezi hata kidogo

Anonymous said...

mmpendaza any way .saida u mean huyo ndo atakuwa mumeo lo najuta

Anonymous said...

mbona wachafu wachafu!!!!!!!!!!!!?????????????????eeeeeeeeeeeeish

Anonymous said...

kumaamae zenu na kuma zenu za nyuma, ndo nn kutuanikia mapaja yenu yenye mamistali mabaya sjui mkologo mnatia knyaa,hcho ndo ulichosoma sinta kuma wema naww utadhan c yule mis tz duu... nimemmis jaji salama ndo angewajaji, angesema nyie ni wabaaaaya kuma zenu za mbele. halafu nasikia sinta huna kisimi na wema.

Anonymous said...

heheeeee nachekaje?eti wachafu wachafu jamani watu mna mambo.ww anony hapo juu umenichekesha sana.

Anonymous said...

kazi bado nzito, ndio kwanza asubuhi, kiufupi, bado hawa watu wana safari ndefu mpaka waje kuwa STAA. mafanikio yoyote hayaji hivi hivi tu,KIKUBWA kinachochangia mafaniko ni kukubali ushauri toka kwa fans wako, kama hutaki kukubali ushauri unaishia kuporomoka , mfano sinta, kila mtu anamshauri ili akubalike, shurti aachane na kuiga majina ya watu kaka JLO, ANGELINA JOLLIE etc, but it seems like anawadharau sana wanaompa ushauri, sasa kama anadharau fans , how comes huyo fan amkubali? ni maoni yangu tu jamani

Anonymous said...

Mmmh wote naona mikorogo imewaduuu lol, kwanza uyo bi harusi mtarajiwa mmh mavazi to evthn hell no hajapendeza.....Penny vidole miguuni vimedunda mkorogo, mtoto alikuwa mzuri tu cjui nani kamdanganya weupe deal same goes for Wema dah thos stretch marks girl u nid help....n as for u umependeza ila hako ka-micro dress kako hakajaendana wt ua body bt u tried ;))

Maimartha hongera sana n may god bless u mamii n b a gud mama!!

Bless 1

Anonymous said...

Mhusika kwa siku yko muhimu kama hiyo ulitakiwa ujitahidi kujipendezesha kuanzia nywele hadi viatu lakini ndo umefunikwa na wageni wote, manicure zero, make up zero, mavazi kuanzia juu hadi chini zero. sijapenda. Sinta umependeza!!

Anonymous said...

sauda hauna skendo tatizo lako hujui jinsi ya kujikwatua. sasa nguo gani hiyo kwa siku muhimu kama hiyo? mashost na nyinyi wabaya kwanini hammwambii mwenzenu? sio tabia kabisa,angukuwa shoga yangu angenitambua lol! afadhali na mimake up yako umepunguza.Wewe si star bwana tafuta stylist na make up artist,oya oya kaa ukijua ustar gharamaaaa

Anonymous said...

Uchafu mtupu mastaa wa bongo bwana! sasa huyo mwanaume ndio kavaa nn?na hizo nywele sas kwenu unampelekaje?Alafu ndio mmegundua kuvalishana pete za engagement club?hovyo na hizo ndoa zitakuwa za klub na watoto club vile vile. Hilo gauni la kishamba dada Sauda mbona mm nakuonaga mjanja tuuu kumbe mshamba tuu.Alafu iyo pete ni ya kizamani sana jamani na kwa style hiyo ukute hata umejinunulia mwenyewe.Maana mngejua maana na thamani ya hilo tendo(engagement msingafanya huko club sijui baa! loh hovyo! hata kama upo desperate kuolewa sio ivyo lakini! shida nini?sherehe?kuweka picha kwenye blog au kutunzwa vyombo kitchen perty?

Anonymous said...

Hamna kitu hapo ushamba mtupu jamani alafu mnajiita mastaa

Anonymous said...

mmmhh this is my first tym kwenye hii blog yako Sinta,ila ukweli ni kwamba kati ya wooooote aliyependeza ni mmoja 2,Maimarthha.wengine wote mmetoka wachafu,vituko na waajabu tena ajabu hasa.Sinta kama kweli unampenda Sauda utamshauri juu ya mavazi na thw whole appearance thing n juu ya huyo stejishoo wake.afu wahucka ndo wametoka vituko hasa,puuuuuu....

Anonymous said...

watu wote mme comment point sauda unahitaji sallonist kwakweli ujapendeza kbs umekaa kiuchafu chafu sidiria linaonekana nywele mbaya hlf sinta nguo fupi hazikufai kbs bwana mwenyewe kasuka nywele!sijui umehangaika sana sasa umeona huyo huyo!duh kwakweli sinta mshauri mwenzio anajiabisha
SI UENDE KWA SHAMIMU AKUONYESHE MAVITUUUUS!!!!!SI WENYEWE TULIOPO MIKOANI TUNAKUZIDI KUVAA!

Anonymous said...

1.sinta unapungua vizuri endelea na mazoezi punguza bia mana zinaachangia sana vitambi.na pia kuwa mwangalifu na mavazi i think u dont wannt to end upp like wema.
2.watu wako wachafu sana sana haswa alievishwa pete.simjui hanijui ila very unfresh.haswa kucha na nguo.
3.j.walper has to know that LESS IS MORE.now she is putting on too much.dont think halv diva jackie if u want be a real diva.
4.maimatha much congrats.

sophy said...

wema umetishaaaaaaaaa na mr hapo pembeni ila punguza kujichubua mwaya anayekwambia ukweli anakupenda, sauda no ulishindwa buku kumi kutengeneza kucha, sintah umefunika anaye kuponda ana lake jambo.gud day jlo tz

golety said...

Mi Millard jamani nimemuona roho yangu nyeupeeeeeeeeeeeeee nampenda huyo kaka mpaka basi

Anonymous said...

kwa kweli picha nzuri na sinta umependeza sana kweli kbsaa sauda ukaa hajuii embu mfundisheni jmniiii mwenzenu anatia aibuuu na wema mhmm hata kaam sie tunamistari lkn wewe uemzidii duh na usivae nguo fupii basi maana aibuuuu tupuu inavyoonekanaa kwa kweli haipendezii hapnaaa

Anonymous said...

Jamani sinta hebu msaidieni huyo mwenzenu SAUDA... muonesheni sehemu mnazonunua nguo au ni mbahili sana...jamani huyu dada sijawahi kumuona amependeza...loh hiyo nguo aliyovaa ni kichefuchefu kwakweli especially kwa event muhimu kama hiyo....angalia nywele na kucha zake loh.....huyo dada yuko mjin siku nyingi lakini kila siku nikimuona utadhani ndio kaingia mjini juzi halafu anahang na watu mbalimbali ambao wanajua kuvaa ila nashangaa kwanini hajifunzi....japo wanasema mapenzi hayachagui ila huyo mpenzi wake doooooh...hebu mcheki hicho kishati jamani yaani ukipita moto sauda na mpenzi wake wote hawaponi maana wamevaa mpirampira....ajiandae kuigombea dressing table na mumewe mtarajiwa....
NA WEWE WEMA....unajizeesha jamani...mtoto mdogo lakini ni unonekana mzee kwakweli....ona hayo mapaja...uanjiachia mno bado ni binti mzuri sema unajiachia sasa na hako kadiamond jamani hata hamuendani. Hivi huwa humuonei wivu mwenzio jokate...mlikuwa wote enzi hizo lakini mwenzio ameweza kumaintain status yake hebu ona where she is now...she is still as beautiful as she was sio kama wewe umekuwa....cnt even say
Lol

Anonymous said...

souda plzzzz from da hair style,dress big NO,sintah luking gud,mai hongera sana welcome to motherhood n inshalah!,wema stretch mark hizo zinaharibu uzuri wako do something gal,jack toka uwaambie yo amber rose wa bongo basi mmmh!

Anonymous said...

me uku hoiiiiiiiiiiiiii na izo commet za watu,uyo sauda s angeenda hta kwa mashaka pale tbta mawenz hakamtengneza izo kucha jmnnnnnnnnnnnnnnnnn...kweli ushamba mzigooooooooooo..ila ongra yake.

Anonymous said...

wooote mmesema lkn lamgu ni moja tu kwanza sauda kachafua ukumbi hair style,nguo ni full kichefuchefu! sinta kuna blog nyingi sana, na wenye blo zao wanajua wanafanya nn kwanza wanaadabu kamili fuata mfano wa lady jay dee, shamim mwasha,na dina marious hawana mashauzi wala speech mbovu ukisahihishwa badilika! MAISHA NI KUISHI NA KUJIFUNZA! IN THIS COUNTRY HAKUNA STAR ZAIDI YA PRESIDENT WETU! Neno star ni kubwa sana kingine wasomi wengi sana nchi hii ar u sure ww ni educated unaweza kutuwekea certificate zako HOW MANY MASTERS DO U HAVE? OR PHD?

Anonymous said...

ndio kusema mzoga unaokotwa na fisi loooooh,tutajionea mengi.

Anonymous said...

Alafu hayo makucha ya Sauda mabaya na izo rangi sijui za nyumba ukichanganya na ilo pete loh la kizamani kweli alafu bei rahisi kweli alafu mnajiita mastaa hivi mnajua maana ya kuwa star? bado ni washamba sana.mtu unajuiita star lakini haulewi chochote kinacchoendelea duniani muwe basi mnaangalia dstv channel fashion na Entertain muone wenzenu wavyoishi. sina maana mcopy na kupaste ila mjifunze na kuweka kwenye mazingira yenu. Maana naona mshapata style ya kufanya engagement party club loh! mnasikitisha sana.hovyo kabisa.

Anonymous said...

janneth mwenda talawa oyeee.ww anony wa hapo juu kwani jack walper anammendea diamond?

Anonymous said...

jaman Wema hiyo michirizi khaaaaaaa siungevaa nguo ndefu mkorogo too much acha maana hata ukidundwa tena na diamond mwili huo hautafaa kuangalia,sasa Sauda naona hapo umefika mwisho kweli kupenda huku puuuuuuu mwanaume anaesuka tena mwenzangu umekosa kabisaaaaa pole wee,Maimatha naona tunategemea katoto hongera,

Anonymous said...

SIO VIZURI KUACHIA COMMENT ZA KUMNANGA MWENZIO KIASI HIKI JAMANI, UNAZANI ANAJISIKIAJE AKISOMA HIVI?

Anonymous said...

jamani km usupastar wenyewe ndiyo kuwa mchafu chafu hivi, ni bora kuwa nobody! hapo zaidi ni Maimatha na hako kadada pembeni ya mirald. wengine ushuzi mtupu!haya mambo wenyewe ni wakina mange kimambi wengine kujishebedua tu na kuvamia vamia. wapi mchafu mwenyenu mama dida wa mchops?

Anonymous said...

mmependeza ila wema kuna mdada mmoja kavaa stockings nyeusi na nguo fuoi kapendezaa u sholud do the same. wema mzuri na u look gud with diamond. sintah pungua zaidi ndo uvae nguo fupi, mtarajiwa ungejitahidi kujiandaa kidogo ila umependeza an u r cute ata bwanako mzuri and u luk gud together

Anonymous said...

SAUDA NA MUME MTARAJIWA MMEFANANA KWELI SIDE VIEW, NDOA YENU ITADUMU

Anonymous said...

loh naungana na mdau aliesema kuwa katika wote aliependeza ni MAIMARTHA TU its very true...BIG UP MAI..WEWE KWELI UNAJIAANDAA KUWA MAMA NA UMEPENDEZA SANAAAA SIMPLE AND FUNIKA WOOOOTE!,wengine jireekbisheni bwana HIVI MNAJUA MAANA YA USUPASTAR kweli?? then mnajiita wasomi doh!au ndio usomi wa THEORY TU..upuuzi mtupu i like LADY JAYDEE STYLE OF LIVING..

Anonymous said...

yani DIAMOND na pete yake kafunika SAUDA sijui tatizo nini ila SINTAH ni mjanja sana hapo anacheka mwenzie kunangwa ila ndio ushoga wa mjini hii BLOG ya watoto na watu wachafu wachafu tu hakuna ata la maana umu, PENNY ninamkubali ata kama ana jikoroga ila she's smart enough.. MIradi wewe ushamba na ulimbekeni wa wanawake ila sio kosa lako otherwise naona utoto mwingi hii party aina tofauti na party inayofanyika uwanjwa wa fisi

Anonymous said...

eeeeh! kumbe maimatha ni mjamzito mbutaaaa

Anonymous said...

wema ebu nenda amon ununue maxitoner lotion upake ayo mapaja uondoe hayo ma cellulite vinginevyo kimini STOOOOOP

Anonymous said...

Alafu iyo mikorogo jamani mpunguze wadada sio mizuri eeh? na hilo group lenu wote mkorogo ila afadhali wewe sinta, ila uyo shosti wako hapana. Wewe Sinta mshauri mwenzio bwana ndio mambo gani anafanya?kwanza hapo ni mchafu!yaani kama wewe ndio engagement yako. Vigauni vyote vilivyojaa madukani.shoga yenu dida si ana duka kama alikuwa hana hela si hata angemkopa?ndio nini kuvaa ilo gani mplastic huo? why? ovyo! unatutilisha aibu wasichana wenzio.alafu inaonyesha haujiamini kabisa ndio maana ukaenda kuokota huyo mcheza show?Na huo mkorogo upunguze Sauda.

Anonymous said...

umependeza Sintah lakini mngemshauri bi harusi mtarajiwa lol waalikwa wote mmemfunika.na hizo nywele ndo kabisa jaman c mngempeleka saluni mliyoenda waalikwa....

Anonymous said...

sasa Jack mbona kapooza hivyo anawaza nini anatamani Diamond angekuja bila wema nini manake alivyokaa anatamani wema aondoke

Anonymous said...

Mbona Lulu hajaonekana.............!

Anonymous said...

bongo kuna maneno sana jmani huhhhhh

Anonymous said...

Sijaona kitu hapo ujinga mtupu ukumbi mbaya, mwanaume mchafu,Sauda mwenyewe ndio kavaa malonyaaaaaaaaaaa kabisaaaaaaa bora mngevalishana chumbani tu wenyewe kuliko kuchafua hali ya hewa.

Anonymous said...

yani mi kila siku nasemaga,SAUDA MCHAFU JAMANI....sasa ndo vitu gani kafanya hapo!! ushosti na huyo role model wako jlo wala haukusaidii, hubadiliki, USHAMBA tu!!! na chauchafu mwenzio dida yuko wapi? mnakera kweli!!

Anonymous said...

wema ni mkali sana,ila carolyte itakuharibu!! umefunika unajua hapo ila mistari tu ndo imeharibu!!
we JLO nawe una kibana mavi,vaa nguo ndefu unabambaga,hata kama fupi sio kama hiyo!

mai you rock mamie, luv u xana

Anonymous said...

nawapenda elvis fundi wa atm naishi railways