Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

INAENDELEEEEEAAAAAH

jamani nilishanga kuona hii kitu barabarani
sheraton

siko na baby huwa nakaa counter na my wine

6 comments:

Anonymous said...

mhhh, mwanamke una heka heka ww khaaa, mbona shughuli waziweza, jitu zima lenzio waliita baby......lmfao

haya okota babu-baby wa kidhungu huko basi akupe ofa walau ya kulipia hiyo yne, maana hata hiyo hela ya kulipia hapooo....mhhhh, au alikupa lovely BOSS......lol

Anonymous said...

hayaga weee, jishaue na huyo baby wako, mwenzio kapakatia toto nyeupeeeeeeeeeeeee, huko

Anonymous said...

wako akiwa kwako babu hata akitoka wako si wako,wacha apakate kwa raha zake na shosti akitudi anapakatwa tulia hivyo hivyo.

Anonymous said...

Mhhhh! kazi kweli kweli.

Anonymous said...

Mbavu sina LOL, watu munamaneno nyie.

Anonymous said...

naona unatega, jitahidi na wwe upate bwna wa kizungu utese kama wenzio kina TK, Mange......unatamani kishenzi lyf style yao, kakojoe ulale!! we size zako kina nature tu,lol