Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

HABARI NDIO HII HAPA

                                    nilipochomwa sindano


amber rose akim baby sit jlo


                  jlo Tz ni mzima wa afya

                jackline wolper na sintalicious




Baada ya kuandika nimepima mara 15,vigogo wa global publisher walitaka nihakikishe kama kweli sina ngoma
sikuwa na tatizo niliwambia pangeni siku wakasema the following day twende, sikuchagua Hosp, good enough Jacky Wolper ambaye namtambulisha kama Amber Rose Tz alinipeleka maana naogopa kuchoma sindano
kwakweli namshukuru Amber kwa kuwa nami karibu thou nimezoe lakini alionyesha moyo kwamba she cares about me
natumaini wale mliokuwa mnajiuliza maswali ooh vyeti sijui nini haya sasa kazi kwenu
amepima amepima wallahi hana ngoma lol
ciao
i go by the name sintalicious,jlo,unstoppable,nothing but confidence
mengine ongezea

NB
please kujua afya yako ni muhimu sana,USIDANGANYIKE,nenda sasa

14 comments:

juliana deus said...

mm lazima nikupe hongera mana mi sijawahi lohhh naona cku iyo nitajinyea mhhhh naogopa sana cjui nitapata lini moyo wa ujasir namna iyo na mwambie jack ametisha mbaya lohhh pendedhaaaaaaa nyieee

Anonymous said...

KAMA UMEAMUA KUTUONYESHA CHETI CHAKO UNGETUONYESHA THE CURRENT ONE OF OCTOBER, FROM JANUARY MPAKA LEO ITS A LONG TIME.


FORTUNE

Anonymous said...

afadhari umewakomesha hao wadaku... wamezidi kuuza magazeti kwa kuwachafua watu.Hongera sana kwa ujasiri.
Much love..
mwaaaaah

Anonymous said...

Mbona jack hajapima? hongera sintalicious nawapenda sana jamani

NaLu said...

Its good that ur negative lakini hicho cheti cha majibu mbona kimekaa un-official hivo? hakina hata muhuri jamani? ni kama tuu ulichana hiyo karatasi na kuandika hapo
ila kupima muhimu :)

Anonymous said...

Huyo aliyekusindikiza ye mbona hajapima??????????????????????????

Anonymous said...

loh, pole sana ila hata wewe inaonesha ulikuwa hujiamini kuhusu afya yako..........

Anonymous said...

sinta kama wewe msomi kweli. hivi umefanya kweli research wewe>hivi unajua kwamba ukimwi sasa hauwii? hao wanakufa ni wachache tu wa kutotumia dawa na wazuri zaidi yako unakumbana nao njiani,wanaishi afya njema ,ambao wanatumia dawa mnaenda nao sambama, mbona una mambo ya zamani?
cancer ndio inaongoza kwenye kwenye globalization<kwa kuua sasa duniani
pia nenda katuletee vipimo vyake,jee unasemanYO VIPI NA HUO MKOROGO, DID U EVER THING ABOUT SKIN CANCER? IS A WORSE DISEASE THAN HIV!!!

i really under grade u, nilijua unapima kwa ajili yako sio kwa kuonesha magazeti yamesemajee, mmh! poor u, you not civilized at all than u think, shame on u!

Anonymous said...

safi sana mdau hapo juu, embu mueleze huyu limbukeni wa maisha.

mimi said...

jlo nielekeze kwa mama ngoma umenihamasisha sana. please me mgeni sipajui.

Anonymous said...

We mdau namba mbili huoni kama hiyo ni January 2012 na imeandikwa Re-test yaan siku ya kurudi ili apimwe tena watu wengine bana wagumu kuelewaa,Hongera mwaya mdada kwa kupima n take care!

Anonymous said...

Kweli christina una kazi!!unaishi ulimwengu gani jamani, yaani una mambo ya kizamaniiiii!! kama umepima, so what! au ndio unataka kuwahakikishia wanaume kuwa upo safi so what!! hujui ukimwi hauui?fanya research, utajua kinachoendelea duniani

Anonymous said...

safi sana mdada hapo juu ni uwazi na ukweli hayo makemikali unayopaka ni cancer ya kutosha asubiri muda wake, cancer two weeks u dead HIV is not un issue

mama 2 said...

Hongera sana Sinta! endelea kujitunza na umshukuru Mungu.