Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

WIVU HAWANA ILA ROHO INAWAUMA ,WANAPOMUONA JOYCE K NA HENRY WAKE

                                                    kiss her kiss her
                                                       men in black
                                                     jlo Tz
                                                       nicheki kutoka juu mpaka chini
                                                             me and Dida
                                              shamim 8020 unawapigaga wenzio nawe hio
                                                madiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mtajibeba
                                                 haya Mbunge Lema akiongoza  hiooooo
                                                  jk alikoma maana kila saa picha na jlo
                                                      ona jinsi Mb Lema na Henry walivyotoka tofauti

44 comments:

darstockholm said...

upo juu sintah kweli wajibebe maana umeumbika na kuvaa unajua kila unachokivaa kinakukubali nani anakupangalia mavazi kabla ya kutoka nyumbani?

Anonymous said...

kwakweli Sintah unapendeza sana mtoto huna hata doa,tujibu nani anakuandalia nguo maana u look mwaa umeanza kupungua keep it up

Anonymous said...

sintah mbona huyo ni kiserengeti?mtoto mdogo kwa joyce kabisa dar bwana full vituko

Anonymous said...

sintah ni mnafiki sana alikuwepo wakati joyce anafunga ndoa na nelly sasa pia kaenda kushuhudia na kiserengeti yaani mwenzio akiolewa na wanaume kumi kila harusi utaenda ovyoo

Anonymous said...

leo ngoja watu waamke tutaishambulia hii blog maana sintah eti some of the swagaa,atajibeba yeye asiyejua uvumilivu katika ndoa

Anonymous said...

sintah nakupenda sana huchuji jamani looh ukiwaona wasanii wengine sasa chokesti lakini wewe manshallah

Anonymous said...

maneno ya kitaarabu taarabu, yamekaa kisharishari, are you sure una maadui kiasi hicho? ila kama ndo style yako na unapenda usharishari poa fanya kitu nafsi yako inapenda but inakuweka katika class tofauti.kama ni mimi ningekuwa naongea na fans wangu sio haters sasa wewe unaongea na haters, but do your thing baby girl ili mradi ufurahi

Anonymous said...

Huyu Joyce Kiria ana matatizo sidhani kama wataendana na hako katoto ambako amekazidi umri. Kuna kipindi alitaka kufanya sherehe ya kupewa talaka kitu ambacho ni high level of stupidity

Anonymous said...

huyo ni kiserengeti Dida na jlo mependeza sana wangu

Anonymous said...

hivi Sintah una muda wa kukaa na familia kweli maana kila weekend mitoko jamani
sijasema kwa ubaya usije ukaacha ku i post
umependeza

Anonymous said...

Mtoto mdogo mwanafunzi wa skuli???kama serengeti boy ye mikumi girl.

Anonymous said...

huo muda wa kukaa na familia aupate wapi?na hana bwana,kila kukicha kwenye maharusi na ma party soon mtasikia nae kapata bwana huko maana ndipo anapoelekea mtoto wa kike

Anonymous said...

atulie thubutuuu,yaani sasa hivi ndio kama kawekwa pilipili kwani wewe mwili haukuumi ukilala,ukiamka unafikiria niende wapi na nani ana harusi jamani kazi kweli kweli na hao wenye magazeti wameku stahi wangekutolea mbali nyauu wewe

Anonymous said...

mmh ndoa ndoano me napita tu.... sintah sasa umependeza nini me naona ushuzi mtupu

jlo said...

unachekesha na nisipotoka hizi habari utazisomea uvunguni mwako?nyauu bibi yako,haikuhusu nitoke nisitoke ins huu na wewe wakualike basi kama unaona nafaidi nyoo anakujua nani na swagaa zako za vumbi tena unabahati kuna watu na waheshimu wanasoma comment othewise ningekuweka ktk danger zone
na bado tena sana ndo kwanza kumekucha kwangu uajiongeza,kujijumlisha na kutoa
chukua lako sonyo mxiuuuu
gday
@dar stockm mmmh kawaida tuu nina designer wangu sehemu fulani huwa namigia tuu na kumwambia nataka kutoka na nimtoko wa wapi yeye anajua kinachonifaa
senkyu hope ure enjoying staying in Sweeden

there is only one jlo in Tz(sintah) said...

kingine haiwahusu awe kiserengeti,ki coca cola,ki ndovu ni yeye jua kuonga vitu vya maana hapa si kuendekeza chuki
kuna watu humu mmeolewa mara 4 mna comment ujinga au kwasababu yeye anajulikana
wengine mnatabia chafu kuliko mtu mwingine mpo huko kazi kuandika utumbo tu humu
ndio kashaitwa Mrs Henry Kileo atakae nuna anune,mwishowe atacheka kama mimi hapa llllllolll

Anonymous said...

wewe pita tuu wangu ukiona umepotea anza upya
walipendeza sasa hivyo ni vijiba vya roho mbona binaadamu hamkubali matokeo?

Anonymous said...

mimi sioni ulichopendeza,unajishauwa sana wewe demu sijui unaringia nini jamani?
whats so special cha utufanya uturingie sisi wewe kuku?

Anonymous said...

muacheni mtoto wa watu,amependeza sana,anaesikia wivu na ajinyonge jamani jamani muacheni jlo

rose said...

sintaaaaaaaaaaaaaaaaa anatisha hongera

Anonymous said...

mimi huyu demu anavyoniuzi jamani natamamani pale wanapotoaga muanikeni huyu wamuanike sintah yaani nitatumia pen 6 kumuanika huyu dada mmmh sijui napita huku kufanya nini
I HATE YOU,Kwanini usife?

there is only one jlo Tz(sintah) said...

unaacha kujichukia wewe usiejielewa unichukie mimi ambaye sikuhusu haya basi kama hutaki kuniona kachukue kamba maana ukiendelea kuishi,na kupitia hii blog utaniona tuu
kajianike mwenyewe kwanza sielewi nini unaongelea

Anonymous said...

sintah hii harusi ilifanyikia wapi?

Anonymous said...

it was simple wedding but lovely ilifanyika wapi?
na kwanini hutupi picha za watu wengine ni wewe na mashankupe wenzio tuu,maana nilimuona John Myika akihojiwa na wewe jana mbona hujaweka au hana swagga?

Anonymous said...

kwakweli sintah ulilipuka pu puu

Anonymous said...

Hapa mi naona c sinta tu asiekua na shughuli na nyie mnaopoteza muda wenu kuchambana nae ndo kabisaaa bora hata sinta yupo kazini kukuza jina lake nyie sasa wenzagu na mi yanawakuta yapi mktoe mishipa ya shingo. Hongera mwaya sinta umependeza na unawafunnika.....

elisa said...

sintah unapendeza honey punguza tumbo kidogo utazidi kua mzuri..
halafu acha kupoteza muda kujibu haters...ongea na fans wako...bana

Anonymous said...

miwani unajishauwa nayo hio hivi kweli unaumwa macho wewe

Anonymous said...

sintah get ready for anything maana wewe ni star usiwajibu hata waache waongee mwisho watachoka afterall wanakupenda ndio maana wana comment
umewazidi kwa kila kitu

Anonymous said...

huyo joyce na kiserrengeti chake na wewe una kiserengeti kiko wapi?mbona hutokagi na bwana yako?

NEEMA MASUKI said...

JAMANI SINTA ULIPENDEZA SANA MY DIA, UNAJUA KUNA WATU HAWAPENDI MAENDELEO YA WATU KWAHIYO WEWE ACHA NAO WALA USIPOTEZE MUDA WAKU KUJIBIZANA NAO MPENZI, HIVI HUYO MTOTO JOYCE ALIYE MBEBA NI MWANAE? KAZI BUTI

CHEERS

Anonymous said...

WANAWAKE LIVE!!!!! YANI KIUFUPI ANAMAANISHA WANAWAKE MSIKUBALI KUSUMBULIWA, AKIKUSUMBUA MUME OMBA TALAKA UKAOLEWE TENA. SASA HAPO CHACHA MJIFUNZE SI KILA MNALOAMBIWA MLIFANYE, WANAWAKE MJIPANGE.

Anonymous said...

sintah acha nao hao wanaotuma comments za matusi coz wanakupotezea muda.alafu walitumwa kutembelea blog yako.watajiju we songa mbele mamaa.
thanks
jane bomba

Anonymous said...

sintah achana na hao vizavizabina kwani wanakupotezea muda wako kwa kuwajibu,ur a star mamaa upo juu.

thanks
jane bomba

Anonymous said...

yan wote mlioalikwa pamoja na mahalusi mlipendeza mbaya na mwenye wivu akajitundike kwani ndiyo ishakuwa tena Mr&Mrs.

thanks
jane bomba

Anonymous said...

yan me huwa nawapenda sana watu wenye matusi ,ivi kwani kalazimishwa kucheck blog yako?,please sintah me namtaka sana huyo shetan anayekukosesha raha kwa mitusi pleazz nitumie ata email yake .

thanks
jane bomba

Anonymous said...

wenye wivu wajinyongeeeeeee

Anonymous said...

sasa wewe wasema joyce kaolewa na kiserengeti wewe mbona wewe umeolewa na kikongwe a.k.a ajuza mbuzi wa mayai wewe.mwache Jlo na swaga zake,usije chezea yeye mimi iko maliza wewe.sintah you rocked.

Anonymous said...

Hizi blog mbona zimekaa kimipasho, au mwajuana nini maana ni umbeya tu, mpeni hongera zake aliyeolewa, kama mzee kama kitoto haihuuu ndiye aliyempenda

Anonymous said...

mmmmmmmmm, ni maraya kwanzakupita huku lakini hizo comment za watumaji, namwenye blog, duh sijazielewa, matusi sana. sinta hutakiwi kujibu comment hata kama umechambwa, ingia kwenye website za kardashians, hawajibu na wanasemwa vibaya sana. iga mambo ya ulaya na marekani utaienjoy sana maisha. au angalia kipindi cha STREET OF HOLYYWOOD. Uone macelebrity na mastar wanavyofanyiwa vimbwanga. dstv.chnl 124. usijibu comment za viewers hata siku moja.

Anonymous said...

ookkkkkkk.nlikuwa nasikia Joyce KIria kaolewa..hatimaye?/amependezaaaaaaaaaa,though haruc haikuwa na mashauz saana.simple n classic..Swali langu ndo imefungwa wapi???????!!!!!!!ni hayo tuuuuuuuu..hongera kwa kupata mtoto joyce..yaelelekea yule zilipendwa damu hazikuiva nn?ukagoma kutotoa??sinta ulivaa kawaida sanaaaaaaaaa..usijissifu

Anonymous said...

Sinta, si kila anayekuonyesha meno anacheka binti, wengine wanakusanifu tu eti ulipendeza, HOW???? to be honest ulichemsha Big time, huwezi kuvaa hivyo ulivyovaa kwny wedding. YAN NI NO NO NO!! UMESEMA UNA DIZAINA BASI HUYO DIZAINA WAKO I DON THINK KAMA ITS A PROFESSIONAL DESGNER!! UKIBANA HII COMMENT BANA BUT UJUMBE UMEKUFIKIA, PLZ, DRESS ACCORDING THE OCCASION. OTHERWISE, JOYCE KIRIA ALL THE BEST, IF MWANZO WAS WRONG CHOICE THEN HAPO KILA LA HERI, USISAHAU NDOA NI UVUMILIVU!!

Anonymous said...

Sinta my Love,just leave them FOOL!
Wewe uko kazini,so fanya kazi yako usiwasikilize wapumbavu wachache wanaotaka kukuharibia kazi yako.

from bad grl group said...

kiukwel kuhus mavaz ulchemsha sinta as a celebrite na sehem uliyoenda umevaa kama unaenda klab kumbe harus vaa simple learn frm celebrite walio nje kwenye location hzo ujue wanavaaje achana na hao dsigner upuuz hao wanakualibia status yako na monekano wako fanyia kaz ujumbe huu, keep t up, kwa joyse no comment otherwse just 2 wsh her long lyf,,.