Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

SOME OF SINTALICIOUS SWAGGA (Jlo Tz)

                                             nilipofika nilikuwa mtu wa kwanza ku sign
                                                    sisi wenye blog hatuna kugombana
                                                     itifaki ya Red carpet
                                                       sikurupuki najipanga na kujiandaa

27 comments:

Anonymous said...

TRUE KABISA TWAJIONEA WENYEWE HUKURUPUKI. LOOKING MWA SINTA

Anonymous said...

good jlo umeitendea haki red carpet

Anonymous said...

kwani nani aliekupa hilo jina?maana mambo yako kama ya original yule

RK said...

sintah nakupenda sana mammy huna papara na ni mstaarabu sana
Mungu awe nawe

Anonymous said...

Unataka tu na wewe ujulikane,unampenda unampenda utampendaje mtu usiemjua
kwa taarifa yako ana marsfiki zake hana haja ya kuongeza new taka taka

Anonymous said...

nani aliesema kuwa nampenda awe rafiki zangu ni my role model ndo maana nampenda
amesoma,ana akili kama kinakuuma sanmahani wewe wa mbele

mama mitulingaziii said...

as usual my gal rocks
sintalita a.k.a sintalicious,jlo Tz.nyingine malizia wewe msomaji hii comment

juliana deus said...

jaman kwan kueka comment ya kumpenda m2 ndio uwe rafiki yake huyo anoy wa sep 6,2011 9:30 nahic ni mchawi mana anaonekana anaroho mbaya km mtengeneza mayai viza vile haa watu wa tandale bwana mhhhh wanaboa ALL IN ALL U LOOK SO CUTE WITH THAT DRESS MHHHH MAKE UP NAYO KWELI HUKURUPUKAGI

Anonymous said...

we fala nini?ovyoo

mama eliza said...

sintah mpenzi unatumia nini usoni coz ure qutie ili na mimi nipake jamani kweli mimi nakupendaga,achana na hao wanaosema vibaya,nitakutumia kitu ukipost

jk said...

sintah nini siri ya urembo wako maana huna hata doa,rudi tena kwenye filamu uwakimbize kimbize mamito wetu
mimi penda wewe sana

Anonymous said...

Bibie kwenye hicho kitabu cha harusi nimeona kama umeandika "MAY THE GOOD BE WITH YOU" hiyo Good ulikuwa unamaaniasha God au? ni macho yangu yangu tu labda kama yamenikosesha.
Ila ulipendeza

PS said...

kama macho yako ni mazima huitaji kutumia miwani at times kama mimi
utaona nimeandika May the good Lord be with you
basi macho yako yanahitaji miwani anyway kuuliza hakuna majotroo good

sintah's baby said...

funika,funika,funika mamaaa wataji ji jiiiiu
n o no jlo ni sintalicious tuu

Anonymous said...

Sintah ulipendeza sana jlo kweli hukurupuki hingera mama

sintah's baby said...

sintah usiibanie hii
kwa wale haters wote wa sintah mmetumwa kuja huku?kama hu mfeel toka toka huku looh hamna jema nyie viumbe vizito msiokuwa na haya nyie
kwani kuanzisha blog inahusu?heee ovyo muacheni hii ni free country nawe anzisha yako uone kama kuna mtu atachangia
kuna wengine mnataka kuonekana kama ni wachangiaji wazuri mnatuboa bwana eti afe?
na nikujue wewe unaetaka jlo afe mlimuua Amina sasa sitokubali kwa sintah na mai martha hawa ndio waliobaki
pumbavu zenu nyie
ataendelea kuwatesa sasa mjisogezee kamba basi au tukutundike kama sadam

Anonymous said...

ulipendeza sana cut colour nzuri
Mungu akuzidishie

Anonymous said...

hilo red carpet ni jlo au shamim aliliweka?

Anonymous said...

nimeipenda hio wewe na shamim kwaninmgombane?ni kama tv station chagua unayotaka kuangalia sasa ukitaka kwenda kwa shamim haya kwa jide haya kwa sintah poa
nyie mnao comment ndio machonganisha watu

Anonymous said...

nakupenda sana sintah nataka nikuoe ili na wewe ukiwa unatoka uitwe Mrs fulani maana dida kaandika Mrs G,Mrs Kileo na Sintah
hahaaaaa uko juu

Anonymous said...

baby girl rocks unstoppable sintah good
anaekusema vibaya anakuonea wivu

Anonymous said...

hio miwani kama kobe ovyo wala huumwi macho wewe unavaa tuu

Anonymous said...

hio m,iwani ni swagga hizo au?

eliza mahella said...

muacheni mimi nimesoma na Sintah kiraeni girls Moshi sintah ameanza kuvaa miwani tangu form 1 mpaka sasa,na mwenyewe huwa hapendi kuvaa inambidi tuu anaogopa macho yatamuingia ndani sasa kwa wale mnao mchokonoa kuhusu miwani nimewapa jibu
kama uongo muulize haika mawalla mkurugenzi ccbrt,edith mushi manager uhusiano TBL woyte hao wanamjua sintah kasoma nao
hamna point nyie kazi umbea tuu na kujifanya mnajua watu swaini nyie

juliana deus said...

hahahahha ps huyo mdada niliyemjibu naona bado anaendeleza uchawi bloguni hahahahah ckutukani mama mana nakuona ni jinsi gani unavyotaman kuku watotoe ili uendelee kutengeneza mayai viza hahahahahahahahahah inaumaaaaaaaaaa eeeeeeeee kwa wenzio aaaaaaaaa ila kwako zzzzzzzzzzzz inakuuma nn sasa km we unajua kutukana kwa nn utukanwe wewe ukasirike hahahahahahahahah coward

juliana deus said...

jaman sintah hiyo picha ya kwa1 kwa mbali km mboni jaman heee

Anonymous said...

Hapo sijui ni ofisin umevaa dat sket+shirt umependeza sana, hongera. But to be honest kwny harusi ya Joyce u shuldnt dress lyk dat kuna mavazi ya kwny harusi, labda uwe ulitoka seh ndo ukapitia hapo. But kama ndo ulipanga kuvaa hivyo IT WAS BIG NOOOO!! ULICHEMSHA!! UKIBANA HII COMMENT BANA BUT MSG DELIVERED.