Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

NARGIS MOHAMMED ROYAL KITCHEN PARTY NA TARATIBU ZAKE

  


Nikiwa kama Pro wa Royal Kitchen Party kwa wale walioalikwa yaani shughuli yetu itaanza saa tisa na nusu mchana pale karimjee
Msiwe waswahili maana kp nyingi siku hizi zinachelewa kwasababu watu wanasubiri giza,au wengine hawataki kuonekana kwani wewe bundi?huonekani mchana ovyoo
Muda ni saa tisa na nusu maana mambo ni mengi ya ki star star si unajua tena star ni hapa hapa bongo bana ukubali ukatae

MAMBO MUHIMU
1.vaa sare narudia vaa sare usipovaa utakuwa umevamia bibi weeee

2.Zingatia sana muda bibi weee maana muda ni mali nahi ni shughuli ya ma star sasa mambo ni mengi
Mimi na blogger mwenzangu shamim a.k.a zeze tutatandika red carpet mapema kwaajili ya mashostito  kuonyesha mbwembwe
Kwa wale mliokuwa ulaya napenda kuwambia bongo siku hizi uraya uraya tuuu

Theme ya shughuli:usipovaa sare umevamia

Kwa maelekezo zaidi you got my no just holla


sare sare mauwa
itifaki lazima izingatiwe  jlo Tz

i call her panny
            utatambuaje ni royal kitchen party?card inajibu jlo table 27

ushoga kazi tumetoka mbali jamani alinitengenezea my ist bday cake nilivyokuwa sintah not Christine, yeye na The late Amina Chifupa, aaah sana

25 comments:

Anonymous said...

wewe demu unajishauwa sana yaani unatunyima raha hapa mjini kwa mashauzi yako haya sasa tutakuona utakachovaa

Anonymous said...

ulivyokuwa Uganda tulipumzika jamani sasa umerudi hee tutakukoma mbona maana umekuja kwa kasi sana

Anonymous said...

hivi watu wa magazeti hawaoni huu ujinga na utumbo unaoandika jamani?au ndio ushawamaliza wote maana,mmmh

Anonymous said...

Nargis hii si ndoa ya pili jamani?mbona ina masham sham mengi

Anonymous said...

wadau mtaniambia inaitwa kuchamba kwingi angalien shughuli isje kuharibika

Anonymous said...

kwani nargis si aliolewa na masoud,kanumba duu dar jamani haya blogger wetu jlo nenda tunakukabidhi mikoba

sintah's baby said...

unawaumizaje sintah hee mamiti nenda utuletee maana hawana jipya wamejionea card

Anonymous said...

wewe sintah kama huna kazi za maana utuambie sasa huu ni upupu gani kualkwa ualikwe wewe sisi uturushe roho inahusu?

Anonymous said...

kumbe inawauma eeeh?tunashukuru kulielewa hilo,mamito kaza buti Mungu atakulinda

love said...

sintah ukiwezekana tu aplodie kipande kidogo cha shughuli utuwekee hapa

celine said...

hongera jlo Mungu awe nawe

Anonymous said...

huyu demu ananiboa jamani kutwa kucha party ndo maana huna bf wewe

Anonymous said...

mhhhhhhhhhh kweli siku hizi tumeingilia haya wewe sintah mh. toka lini, any way kuna waheshimiwa wengi may be ni mh. wa..................hahah!!!!!!!!!! eti mabloger zenu zimewashinda kushadadia zawenzenu mbaya zaidi wewe ya uyo blogger mwenzio (zeze) kuvaa neh neh wala huwa hamjui kupendeza mashauzi tu,

nyabo

Anonymous said...

sintah Mungu atakubariki unawapenda sana marafiki zako

Anonymous said...

mammy nipo congo utuonyeshe hizo picha mwanzo mwisho
nice job jlo wa Tz

juliana deus said...

heee jaman nyie watu heee kwa nnn msife

Anonymous said...

Hivi haya majina wanayochukua kwa celebs wa kimataifa huwa wanajipa wenyewe au wanapewa? Maana hata hawaendani na wenyewe.
Alafu unaonekana bado mtoto sana kiakili maana mashauzi yako yamekaa kijinga kijinga mpaka unachefua.

Anonymous said...

Hongera sana mrs juma nature, mrembo wetu wa bongo hakuna kama wewe

Anonymous said...

Ha ha ha ha ha ati mrs. Juma Nature...jamani umaarufu huu!!!! hebu fikiria juma nature nae ni mwanaume pia ha ha ha bangiiiiiii kuvaa hajui mchafu lol.................hayo ndo maandalizi ya nargis hongera sana nargis umejitahidi...TATIZO HUYO MWALIKWAJI ANAKUWA NA MASHAUZIIIIIIII MWISHO WA SIKU YANAKUWA MAMBO YA MISS TZ NGUO MBAYAAAAAAAAA.................AU ISIMPENDEZEEE....

Anonymous said...

haahhahahhaahhaaa kweli anaboa smtms umenikumbusha siku ile alikua kwenye kipindi cha tv akalia kuhusu juma nature

Anonymous said...

mbona umemtenga Nora wakati mlikuwa pamoja kwenye kundi la arqueda? au mkono mtupu haulambwi?!

Anonymous said...

Hayta me nimeona norah ametengwa lkn huyu sintah ana nn8-)wanajifanyaga masupa staa kutwa kuomba kwa mimama ya mjini hapa kama yule mama muuza fenicha mikocheni nae kutauta umaarufu anafilisi duka lake anaungana na hawa watoto wapimbavu.Hayta me nimeona norah ametengwa lkn huyu sintah ana nn8-)wanajifanyaga masupa staa kutwa kuomba kwa mimama ya mjini hapa kama yule mama muuza fenicha mikocheni nae kutauta umaarufu anafilisi duka lake anaungana na hawa watoto wapimbavu.

Anonymous said...

hahha wapi NOraaaaaaaaaaaah loh.watoto wachawi hawa,mpaka waganga kweli umetoka mbali na birthday yako ya kwanza ina maana kwenu hawajawahi kukutengenezea cake hahahhaha kweli kwenu njaaaaa.halafu bado unajiita wa mjni.na nguo la miss tanzania la sendoff za miaka ile mamangu alivaa kwenye sendoff yake hahahhahaha cheap n ugly

Anonymous said...

tumbo kubwa la beer za bure

Anonymous said...

Your working so hard kutafuta attention!!! well yo ugliness alone stands out,dntv waste ur time!! Jeez,Grow up!!! Hiyo kadi umeiandika mwenyewe