Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

NABAELEZA BAELEWE

hiki kiatu usikivue maana tutakipeleka mdomoni
                                      hii keki hapo juu ndio kiatu alichokivaa Nargis

                             unajua jlo nae ni mtaalamu wa viduku?

                               hawa ndio maceleb wa ulaya TZ

on your left Kimora Lee,Jlo,na keri  hilson

        bibi harusi wetu manshallah

je unajua?mtu aliyempamba bibi harusi wetu ndie anayenishauri vitu vya kupaka mwilini ndo maana unaniona niko hivi?sasa basi usiige,usiige nenda na wewe akakushauri maana  isije ikakucost ushawahi kuniona mimi katika sherehe yeyote ninatoka jasho?sasa basi muulize Maznat pale mikocheni product za Jlo wa bongo anazotumia atakupa jibu
huwa ninanunua full package kutoka New York na yeye ndio ananiletea maana sio kama mac hata mchina anatengeneza hii haiigiki jamani kupatikana kwake Dar ni sehemu moja tuu
Maznat yeye ni authorised dealer anapata kiulaini

Maznat alinishauri sana product za kutumia na mpaka wa leo unaniona hivi mimi jlo

 i
je unaju hili?
huyu dada jamani nae leo kauza nyago ktk gazeti fulani ila hii picha niliiweka makusudi nilijua nitakuja kuihadithia na wale wenye gazeti wamenisaidia kuichukua sasa nashuka namna hii,
ukiona msichana yeyote anaeitwa star hapa bongo kasuka yeboyebo vile jinsi mnavyoziita basi ni kazi ya huyu bidada,
anapatikana pale mwananyamala anaitwa jamila wa urembo wa mastar n.k Nargis,Lulu,Aunt,Sintah,na wengineo wengi tuu wanasuka kwake,
sifa yake kuu hana umbea kama saloon nyingine hapa Dar ukienda anakushughulikia kichwa then unatokomea sio eeh hiyo yeye hapana taka
congs jamila wa yeboyebo.

senkyu
nikiripot kutoka news room wako
there is only one jlo in Tz
SINTAH
ciao

12 comments:

Anonymous said...

yaani wewe nimekushindwa NY my foot

Anonymous said...

sintah a no ya unaweza ukatupa no ya Maznat?

Anonymous said...

sintah a no ya unaweza ukatupa no ya Maznat?

Anonymous said...

mpeleke sauda kwanza si rafiki yako?kwanini humshauri atumie hicho unachokitoa huko

Anonymous said...

una udugu wowote na luisa mbutu yule wa twangapepeta???

Anonymous said...

Sintah uirudie rudie habari.....si umeshatoa hizi picha jamani....tafuta kipya....aggrrrr

Anonymous said...

Hongere kwa blog na mafanikio tunaanza kuyaona kwa Equity!
But emprove quality ya picha unazopost!
Kila la kheri PS!
Mdau!

pendo said...

U LOOK GOOD SINTAH

Anonymous said...

Ha :-)) huyooo huyooo na mzomea aliesema tafuta habari nyingine unarudia rudia.Mimi sikujuwa Kama kiyatu sawa na cake cinta nakushukuru kunipa habari.na hii kitchen party hata ikirudiwa rudiwa inanoga tu.rudia Utakavo blog yako.
Yani mpaka unakoroma agrrrr kwa jinsi inavokuhuma.pole kunywa antibiotics utapona donge la kwenye koromelo.ngoja picture za harusi utafofoka ,koroma mpaka utaona bora ujinyonge tu sababu hamna dawa itakayokuponesha.kaa Mkao wa kuhumia mapeeema.
Binti Mgeni walai wa majuu.

Anonymous said...

Kapangilia rangi vizuri mbona haujaweka na kucha na mkufu mana viliendeana mtoto anajjuwa kuvaa na umsikii kujishauwa sijui kiatu nini mkufu nini aka Yuko so simple,tuwekee kucha na mkufu na heleni na nywele kimojo kimoja mana zungumzo kweli kweli
Mgeni walai.

Anonymous said...

hi sinta!
congrats for having a nice blog but u need to improve it in some areas.
please would u mind giving me the lady's number(yeboyebo lady) would love to visit her.
thnx in advance.
keep it up!!

Anonymous said...

mpnzi wengine hatupo bongo nitaji hio product niitafute nipo marekani mpenzi unashine vibaya sana please jamani usitufanyie hivyo kizuri kula na mwnzio