Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com


hivi huoni kama utakuwa unanifundisha kazi?kwa kuniambia nimuweke huyu na nimuache yule
wewe unaesoma hii blog sasa,sina beef na wala sitokuwa na beef na mtu,this is my blog ninahaki ya kumuweka kila mtu ninayejisikia kumuweka,sasa kama mtu ametuma picha zake nizikatae?eti kisa ana ugomvi na fulani nop nop,labda wewe ndio unataka kuninunulia ugomvi tena kwa bei rahisi,ila wise people huwa hatuna majotro ofcourse,msiache kuongea kila mnapoongea na ku urgue mnazidi kunipa raha nikijua kuna watu wananipenda na wanafuatilia my roots lol,nitaweka picha za kila mmoja anaetuma na kutaka awekwe akiwa amependa,hilo halipingiki.

kuwa stand by ya kuona Red carpet ya nguvu ya royal kitchen party,kwa wale tutakao kaa table 27 mbona raha jamani maana mtapata upendeleo kidogo,mambo ni ya reserve table sio unajikalila kalia,hii ukitoka kwako unajua utaenda kukaa wapi,good Nargis ni ki star star,nakuona kabisa hapo unasema star bongo?kumbe wapi sasa  mmmh sasa itakuwa ni mihogo yako,uichemshe,kukaangaa,kuchoma mimi huko sipo




kuna watu huwa wanadiriki kusema miguu yangu kama fito sasa zoom uone,siku hizi siongei sanaaaaa ni vitendo tuu


ciao



49 comments:

Anonymous said...

nimekuuliza kuhusu saada kama aliwahi kukaa dom mbona hujajibu wla comments umebania inahuuu

alafu kuna mijitu mengine kazi yao umbeya hawa tunawaita visonoko wa comments basi hawana kazi kutwa kukaa kuchokonoa blogu za watu k=kutoa umbeya kule kuleta hapa kutoa hapa kupelkea kule jamani msitake kugombanisha watu wa comments zenu za kishari sinta kama mijitu inatuma comments kisonoko wla usizirushe wbanie waache watype hadi vidle viote sugu hahahaa

skinnygal

there is only one jlo in Tz said...

skinnygal niliipost kwanini niibanie?na nimemuulia yeye mwenyewe akakubali
usijali my dear
i dont care at all,talk is cheap and affordable

aunt said...

sintah ni vizuri kabisa usipojibizana na wajinga waache waonge na wewe mtu akikutumia picha zake tuma,mbona wengine wanaweka?kwanini waseme wewe ndio unanunua ugomvi kwani yanakuhusu wakuache our only jlo
umeniacha hoi eti mguu mwembamba haya mimi nime zoom na nimekubali matokeo

sintah's baby said...

sintah yaanitunasubiri sana hiyo royal kitchen party hee mammy upendeze kama kawaida yako,yaani nina hamu nikuone jinsi ulivyotoka super kama nakuona mama shughuli jinsi unavyo chacharika kutafuta vitu vya ukweeeh

jacky said...

wachome wachome inahusu usijingize kabisa wewe weka kila mtu anayestahili atakaye mind achukue lake sonyo kutoka kwangu mxiiiiu ovyo

jasmine said...

sintah good gal you have grown dont urgue with fools,please have yourself a freedom of doing whatever you like
im so happy for you and keep it on

Anonymous said...

kwani huo ugomvi unakuhusu nini wewe mpaka uingilie?wewe weka picha za yoyote kwasababu siku wakipatana utaumbukaje?usisikilize mtu
yoyote atakae taka muweke

rose said...

guu la bia hilooo nimeliona haya waseme sasa talk talk much

Anonymous said...

sintah ulikaaa kimya sana watu wakajua huna dili kama wasanii wengine walioisha sasa umerudi bongoland na mambo yako ni super wataacha kuongea jamani?
achana nao mamito kip it moving love

harrieth said...

walitegemea umechoka hivi hawajui wewe bila ya sanaa unaishi na ni sintah tuu ambaye ataendelea kujulikana mpaka mwisho hata akifa ona amina sasa bado tunamkumbuka achana nao
sintah utaendelea kuwa sintah
nimetabiri hivyo na ndio itakavyokuwa

Anonymous said...

hayakuhusu kwahio weka picha zozote wajinga hao sijui ikoje aibu zenu

juliana deus said...

jaman huyo anayesema una miguu myembamba ana lake jambo lohhh ashindwe na alegee jaman nasubir kwa hamu hiyo shughuli ya nargis najua wengine tutaambulia picha 2 mana mhhh pia ps jamn nilikuomba uniulizie kwa sada km amesoma olevel biafra au nimemfanisha

jlo said...

ndio huyo saada @juliana

Meggy said...

Hhahahaahahah!!!!! tunangoja kama nakuona mashauzi mengiiiiiiiiii ila utatuvalia kituko... Usiende kutafuta gunia plus kaniki maana huna mbele wala nyuma kwenye ishu ya mavazi... nguo zenyewe kauka nikuvae, yetu macho, mtakuja niambia..

Anonymous said...

mh!makubwa,wandugu wengi wenu mnaonekana mna kijiba cha roho!hebu kaeni chini mnywe maji mpoe kidogo khaa!!

Anonymous said...

sasa usiweke picha za watu kwa kumuogopa nani?

Anonymous said...

kwakweli binaadamu lazima waongee sana kwasababu wewe hayakuhusu sasa wanataka na wewe umchunie

Anonymous said...

tena bidada umenifurahisha sana na maneno yako
wao wanaweza kufanya hivyo
ukijisikia kuweka mtu muweke ya kaizali ni ya kaizali

Anonymous said...

wana wivu tuu sasa miguu mibaya wapi haya zoomuni basi muangalie

sintah's baby said...

hawana hawana la kusema hawana unazidi kupanda chat mamito

harieth said...

wamebaki kuongea tuu,achana nao

lily said...

kuna watu wengine wamebarikiwa kuongea good jlo achana nao

Anonymous said...

nimependa sana sintah speech yako ya leo
well done

Anonymous said...

mtajijua tena sana sintah kama miashoki inapanda tuu

Anonymous said...

jlo nimekukubali we mkali miguu mizuri

Anonymous said...

hii speech inaonyesha jinsi usivyokurupuka
good lady

Anonymous said...

i love you sintah umenikosha inaonyesha jinsi shule ilivyolala

Anonymous said...

safi sana jlo hayakuhusu weka utakayejisikia

Anonymous said...

sintah usijali mtu wewe tupe raha sisi

Anonymous said...

haina majotro kama ulivyosema weka weka weka hayakuhusu kabisa waogombane wao wakusumbue wewe

Anonymous said...

miguu hio bomba nani kasema mibaya muwe mnaona haya jamani

Anonymous said...

usijali mama achana nao

Anonymous said...

Uzur unao shap mashalaah ila diet mumy fanya utakimbiza balaa ukipungia

Anonymous said...

kwakweli Sintah wewe ni manshallah ila pungua kidogo mammy umesikia eeh

Anonymous said...

anaesema wewe una miguu mibaya ana lake jambo

Anonymous said...

vizuri wa zoom ili waone,watu hawajuagi kumsifia mtu jamani,kwakweli wewe mzuri pia miguu ya bia

Anonymous said...

kwakweli dada wewe ni mzuri funika bovu ila wangu pungua kidogo unataka uwe kama lile micheline la wa leo ;;;;;

Anonymous said...

manshallah dada Sintah keep it up lady

Anonymous said...

kuna watu wamekodishwa humu kuvuruga watu,kuleta ugomvi ila wewe usiwajali, jamani yule dada aliekuwa judge miss Tz ni mjamzito?

Anonymous said...

hongera mama Mungu akutangulie kwa kila jambo

sarah said...

haina mjadala kubishana na mtu wewe songa songa mbele tuu kama ulivyosonga sasa
katika wasanii ni wachache wenye Degree zao,ndio maana lulu alikimbia shule alifikiri shule ni lele mama
hongera sana beauty goes with brain
mimi na ku admire

loveness said...

maneno hata kwenye khanga yapo
sasa wewe jitahidi no kusikiliza ikiwezekana aanza masters mapema watachonga mpaka

Anonymous said...

usiingilie ugomvi usiokuhusu kabisa,wewe tupe raha watajijua wenyewe siku wakipatana utakuwa mnafiki

Anonymous said...

hayakuhusu wanakuingiza wa nini ?hao ni waswahili na waswahili kazi yao ni umbea na kufikiria leo wafanyeje wamseme nani achana nao

dina said...

naipenda sana blog yako dada na wewe ndie maarufu wengine wanajulikana kwa sababu ya blog
hivi kwa wale wasiotumia mitandao wanawajua?
lakini wewe hata kule kigoma mwisho wa reli wanakujua kama ni sintah
so take it my love achana nao

Anonymous said...

wewe dina unaongea pumba hujui usemacho.kuna watu blogging ni for fun, si kutaka kujulikana!!kuna blog ambazo hata hao wenye nazo si kila mara wanaweka picha zao au kuzunguimzia maisha yao.so weka makalio chini and think.

Anonymous said...

ASIKWAMBIE M2 BWANA RAHA YA BLOG KUKOMENT KM HIVI SINTA BLOG YAKO IMEKUJA KUWASHIKA UHURU UNAOTUPA HUMU NA MASHAUZI YAKO NDO YANATUFANYA TUINGIE HUMU KILA SIKU NA KUKOMENT. NAKUSHAURI USIMJIBU M2 WALA KUTOA DUKUDUKU LOLOLTE HASA KM NI LA UMBEA WE KULA GANZI HUKO NDO KUBLOG, UTANUNA NA KUPATA MAKWAZO MEEEEEEENGI MANA SI WOTE WAINGIAO HUMU WANA AKILI TIMAMU.KOMENT UKITAKA WEKA UTAKI BANA WE NDO MWAMUZI YANINI MALUMBANO???

Anonymous said...

sintah,naomba unisaidie mapajan wapaka kipodoz gan,coz mapaja yko ypo clear,mie nna weusi weusi,pliiiz nisaidie mdada mwenzako

juliana deus said...

hahhaha anoyny wa sep 15 wa saa 5:00pm amenifurahisha kweli c wote waingiao humu wana akili timamu