Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

KITUKO CHA KARNE MWANAMKE AOA WAUME WAWILI

HAWA NDIO WAUME ZAKE ALIOWAOA NA KILA MMOJA ANA MTOTO

NI VERONIKA SALEH AU MAMA KAELA(50)WA KIJIJI CHA IKANDAMOYO NI KARIBU SANA NA JIMBO LA KATAVI LINAOLOWAKILISHWA NA WAZIRI WETU MKUU PALE MJENGONI

WANAUME HAO AMBAO WAMEOLEWA NI PAULO SABUNI (60)NDIO MUME MKUBWA

WA PILI NI ARCADO MLELE (45)MUME MDOGO

JAMANI HUKU TUNAPOKWENDA WANAWAKE TUTAKUWA TUNAWEZA KILA KITU

NASHUKURU SANA WADAU WANGU KWA HABARI HIZI

NAWE USISAHAU KAMA UNAHABARI UNATAKA ITOKEE KTK PS BLOG NIANDIKIE prettysinta244@gmail.com

THANKS
CIAO

2 comments:

Anonymous said...

KEEP IT UP MY DEAR THIS IS WHAT WE WANT FROM YOU. YANI MIMI NINAMPANGO WA KUOA WANAUME WATATU WAKOME KAMA WANAVYOTUKOMESHA

Anonymous said...

dawa yao kuwa weka wamewenza watano watano ndio watatia akili kwamba wanawake nao wamezinduka kutoka kwenye kiza cha mfumo dume......Mama Imu