Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

NAJUA UNAIPENDA,UNAITAKA PIA,KAMA UNAWEZA SAVE KWENYE COMPUTER YAKO,,,LOLEST

huyu ndiye Unstoppable
I'm sexy and i know it

unaweza u ka print na kuweka chumbani
jaribu kupenda vya kwenu
sio lazima Ashanti, etc
beautiful Sintah
j wake lo
nothing but confidence
mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe 



watu pipo it is furahi day, jamani ndio tunaelekea katika ule mwezi mtukufu,Mungu atulinde,tumshukuru Mungu kwa kila jambo.

Nawapenda sana.

Sintah wa.........????

45 comments:

Anonymous said...

Mti wa matunda mbona siuoni kwenye picha! angalia usijetunguliwa weye.

Anonymous said...

mamimto designer nani?

Anonymous said...

siku hizi jlo anapendeza sana jamani yaani uso utadhani mdoli hakika anapendeza sana ya kaizari mpe kaizari keep it up my dada sijui nini siri ya urembo kuanzia nywele uso nguo loh im salute to you nowdays sio siri umekuwa mzuriiiiiii wenye chunusi za rohori wameze carolight itaenda kutakatishjlo unatisha

Anonymous said...

umependeza sana toto la kipare mwaaa

Anonymous said...

Basi na wewe tuwekee vikatuni shoga?! kunaboaaaaaaa tushazoea kule uzunguni kwetu mfyuuuuuuuuu

mbaby wa Rick said...

nice dress,cute bby!umependeza

Somebody Not Hater:... said...

Nimeipenda hiyo...et "tujaribu kupenda vya kwetu cyo lazima Ashanti"....LOL.....me love u Sintah naona unatafuta watu maneno wafungue kamusi za matusi.

Anonymous said...

Puwa kubwaaaaa

Anonymous said...

Asante Sinta kwa kunikumbusha mfungo ila umependeza yaani mi nachanganyikiwa hiyo nguo inapatikana wapi? Ijumaa kareem!!!!

Anonymous said...

obang obang obang, mkifulia tu mnafubaa shauri yenu

kay said...

umependeza bi dada,mashaallah

Anonymous said...

pendeza sn hasa huo unywele

dinah said...

umeonaaaa eeehe? halafu umenichekesha eti watundike kwenye ukuta yani umenikumbusha mbali enzi hizo tunachana magazeti achaa tu...........

wataisoma namba mwaka huu

Anonymous said...

kwel mamito umewaka vizur na rang hy,yan uko mwaaa

Anonymous said...

MashaAllah umependeza sinta,ila unavyosema tupende vya nyumbani ni sawa kabisa sasa vipi kuhusu wewe si tungependa kukusifu kama Christina dear na sio sinta au ule uchafu mwingine unaojiitaga sijui J wa kitu gani kile!!

Unknown said...

hahahaaaa! umependeza wapi wewe

Anonymous said...

sinta kama una CD ya ile michezo yenu ya kaole ya zamani ebu jiangalie ulikua mzuri sana na ile colour yako, yani sa hzi umejiaribu sana. by the way nguo imekutoa ila hyo rangi ya kutafuta dukani BIG NO.

Anonymous said...

stunning!

Anonymous said...

mhhhhhhhhh haya bwana angalieni msije kutana na mifupa tu kwa kujichuna

Anonymous said...

Mmmh naona na wewe sikuhizi umepanda grade kutoka carolight to Obang.... ongera kila kitu ni hatua...

Anonymous said...

nadhan hua unaugua cku watu wakicoment kistarab kwenye blog yako..hongera kwa kupendeza na pole kwa kumis matusi

Anonymous said...

uwiii! Kituko cha mjini hapa!

Anonymous said...

lovely

Anonymous said...

umependeza...sana tuuu na kuna vitu umepunguza as kujishauwa....masifa...ona sasa kila mtu anakukubali...keep it up

Anonymous said...

hA HA HA SINTA UMENIMALIZA, MANENO YAKO TU ME UNIKOSHA, WE NI MZURI NA UKWELI UTABAKI PALE PALE. NA HAO WANAOSEMA UNAJICHUBUA NI CHUKI BINAFSI TU MANAKE MAJORITY WANAOONGEA HIVYO NA WAO WANAPENDA KUJICHUBUA SANA ILA WANASHINDWA WAANZIE WAPI. KAMA NI MBAYA HATA UKIJICHUBUA UTABAKI NA SURA LAKO BAYA SINTA NI MZURI. YULE ANAEJIITA MUASIS WA OBAGI TZ NAONA USO UMEMKOMAA SIJUI OBAGI IMEDUNDA. MTAJIBEBA MWAKA HUU ETI KITU OBAGI " MY ASS"

Sweet baby said...

Woooow!! U look so yummy babes!

Anonymous said...

sintah wa OKWI..........uko juu

Anonymous said...

Huna jipya wewe,ona ulivyojichubua utafikiri mkundu wa nyani yn sikupendi wewe hujui tu ungeju ungeacha kujishauwa.nyooooooko

Anonymous said...

we pua bibo! nguo za kuazima hizo ndio fyokofyoko, hovyooooooooo! sura ngumu kama ukuta wa chuping! hebu nenda huko!

Anonymous said...

sinta picha ya pili pozi zuri ila ukipiga picha za kuangalia mbele ya mpua huuo, ukiwa na mimba sijui utafananaje, maana lipua litazidi kupanuka. you are cute sema pua ka goti

Anonymous said...

Sintah wadau wanajiandaa na mwezi mtukufu? leo no mitusi ni masifa ya ukwee umeringaje shosti tumekua sasa mambo ya kitoto yameachwa wadau big up midomo hainuki tena mmepiga miswaki

Anonymous said...

umependeza,nguo nzuri.

Anonymous said...

nauliza mbona kesi ya fundi wa kupinda kanga humu haiwekwi?

Anonymous said...

mimi siipendi blog ya kule uzunguni ata kidogo sintah blog yako inakimbiza asikudanganye mtu ...uyo wa uzunguni matiti yenyewe feki kafanya breast implant na kujikondesha ataja kufa na magonjwa buree mshaurini mnaompenda jamani....

Anonymous said...

Sintah ivi umekuja mjini apa unajiona wa maana eh?watoto wako wawili wa kiume ulozaa na bwana aliekuoa kampala wako wapi?uliokua unakuja nao ubalozi wa tanzania kampala kwenye party,leo unajiita sexy and u knw it,ulivokua umefulia kampala tunakutana na wewe taxipark huna tofauti na housegal mbna hukujiita ivyo?we ni choko na utabaki hivyo..kuma la mama yako mara buku na ukome kutukana mama za wa2

Anonymous said...

Sinta umependeza sana aisee, una baby face

Shoga akoo mtaa wa pili naona kafulia maana sura siku hizi imemkomaaa balaa sijui noo obagi..alafu wanamdanganya kapendeza..
Tunakukubali koz umeacha mashauzi na mambo ya kijinga ..

Songa mbele mama

Anonymous said...

Sintah, u rock...

U have natural beauty darling .

Its me, the expected millioner ...

Anonymous said...

subiri kupata kipigo kile alichopata dokta ulimboka cha mtoto.tutakung'oa meno bila ganzi, naona umezidi nyodo,ndo maan huna bwana kuma lako linanuka uozo.

Anonymous said...

pendezaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Loveness malinzi aka mrs zito kabwe said...

Sinta vp kale kamkakati kako kakumgombanisha wema na jack maana ndio zako nackia sasa hv unataka kumharibia kwa meneja wake acha hizo sinta sio vizuri hv unavyowagombanisha wenzako ww unafaidika nn nackia ulivyoona wema kakumbatiana na wolper ulivimba nusu uvunje chuma kwa kichwa tena jipangeee acha umbea fanya maendeleo au tafuta mkwanja

Anonymous said...

mhmm makubwa tenaa mie naomba tu sintah unijibu maswali yangu mawili la 1 je ni kweli unawatoto wawili? na hilo alilolisema loveness aka mrs zito ni la kweli kwamba wewe ni mgombanishi wa wenzakoooo? ni hayo tu...

meggie impostra

Anonymous said...

ichi kiblog cha uyu mwehu mnataka kukifananisha na kile cha uzunguni? Haha acheni unafki watu jaman.

Anonymous said...

uzunguni ilikuwa zamani siku hizi hakunogi sana sijui kwa nini
Mie napapenda uswazi huku

Anonymous said...

uswaziii oyeeee!

Anonymous said...

unampenda nan mnafki wewe! Mama misifaaa! Cfa za kijinga Zitakutokea puani.