Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

KITCHEN PARTY YA JACKIE MAFURU 08-07-2012

Paco deco
stunning
Jackie umependeza
Jackie na matron Diva
kiruuuuuuu
kidoti loving 

team # Kidoti loving
fundi Ally nakushukuru kwa yote
heeee City Star hiiio chezeyaa
kwa raha zangu 
City star boutique rocks
 
Cute
Angel na Mchichi
mwanammmke somooo
haswa akiwa na madini shingoni
lolest masomo
kwani kuna mtu ananidai hapa??
hapana,,,heee basi tunaendelea kula
starehe kwa hela zetu
pendezaaaa nyie
Myler uraaaaah jicho hilo
unamtega nani??
CEO wa Paco deco
masomo wakitunza na khadija
Unstoppable,j wake lo,Nothing but confidence
sintalicious,sintalita,sintah,christine Jm
uwiii bado kesho mengine
Khadija umeniacha hoi etiii...
ukija na jembe mjini shoga utalima
lami,,,,,
Vj jamani shoga yangu
na mdomo huo
aah nitaufinya
Aisha saidia mie hapo
nitakumisijeee Bea wangu
ila Mungu atakurejesha
Inshallah




yaliyonikuta mmmmh,usitamani yakukute, kilanga komo,fundi kanichakachulia nguo yangu halafu nampigia eti tukutane jumanne,heee nimeamini fundi mzuri ni kinyozi kichwa chako humuachii.



HAIR-DIDIE
DRESS-CITY STAR BOUTIQUE

39 comments:

Anonymous said...

nice,Sinta umependeza mno. much much much love from Cheras kuala lumpur

Anonymous said...

Umependeza mwaya.............

Anonymous said...

umetokelezea na kigaun chako sintalicious.mafund ndo walivyo waweza nuna ukapata presha bureee....,just enjoy life z too short

Anonymous said...

mmependeza saana,mungu awalinde na magubegube!!!

Anonymous said...

Nimependa dressing code hyoo,imewatoa sanaaaaa!!!!

Anonymous said...

umependeza sanaaaaaaaaaaaaaaaaa

Anonymous said...

Kidoti hongera umebeba mpk mimba ya Diamond sio mchezo umemkoshea Wema.

Anonymous said...

mtoto mzuri sintah

Anonymous said...

UMEPENDENDEZA SINTA,,, MIMI NAOMBA NAMBA YA HAIRDRESSER WAKO PLIZ

Anonymous said...

samahani, anaemjua CEO wa paco deco anipe details zaidi...nasubiri

Anonymous said...

kitchen party pendeza sana! lolest, nimependa hako kadress sintah, for the first tyme , naomba nisikutusi leo, nipite kimyaaaaa!

Anonymous said...

eeeh mimba tena, kweli nimeamini ndege mjanja huwa ananasa kwenye tundu bovu

Anonymous said...

Kidoti kitumbo kimetangulia kifua, haya mama from USA to Osterbay sijui Kinondoni to Tandale!! Ndio maana jamaa anakazana kujenga nyumba iishe, lakini ujue wazi baada ya kuolewa wewe kuna nafasi 3 bado ziko wazi mke mwenza kwa Wamanyema ni lazima au ada!!
Kitchen party ilipendeza na biharusi alipendeza.

Mhh hao masomo mie yangu macho wengine waliolewa lini hapo? Wengine walivunja ndoa za watu, wengine kwao hata hakuna unyago! hebu nishut up my mouth!

Anonymous said...

hongera zake jack..tunamkaribisha musoma.

Anonymous said...

kwani mimba ni ugonjwa???????????

Linah said...

kigauni kama umefunga aproni nilidhani unataka kusave wageni mmmh mie kwangu nooo!

Anonymous said...

hahahhah bora umeona na wewe mdomo wa shogako lol utatia hasira huo tangu aambiwe ana Angelina jolie lips basi ni kashweshwe hata mie nngekuwa karibu yake ningeufinya hadi aache mwambie atafute pozi jingine la mdomo au Diamond ndio kamwambia anapenda hivyo lol salale wanawake tunavijimambo siye

Lizzie said...

Ha ha ha ha ha ha Sintah sijawahi ku comment humu ndani lakini leo umenichekesha sana ulivyosema fundi kakwambia mkutane Jumanne!

Anonymous said...

Ha ha mimba tena kidoti yani sipati picha huyo mtoto atafanana na nani manake akifanana na BABA uwiiii, sinta umependeza ila hizo ngoko miguuni ilikuwaje manake goti ka rungu.

Anonymous said...

shoga umechemka kama umejazwa na mimba na mtoto mdogo huyo au kakubwa kamekomaa labada hehehehe

Anonymous said...

cha ajabu kipi jokate kupata mimba jaman si mwanamke mwacheni azae ,sintah umependeza sana mumy jokate pia umefunika ni mimi kipilinginyi mwanza bahati upo hapo

Anonymous said...

na kwa nini ufanye vitu paka last mins ungempa muda fundi angeishona vizuri , mmmm kidoti kakupita urefu?

Anonymous said...

Mimba?! Mdau uliesema maswala ya mimba ya kidoti ebu rudi utudadavulie tafazali

Anonymous said...

Well

Anonymous said...

you look fabolous darlinng.pendezaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.watasonyajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

galfrend wa biba said...

ati mjichane kwa hela zenu kitchen party mmelilia mwaliko mfyuuuuuuu

Anonymous said...

Mummy Sintah, you looks Mwaaa!!!! umependeza my dear yaani ni more than kupendeza, hapana chezea wewe sintaaaa umetishaaaaa!

Anonymous said...

ZAAA kidoti ndo mwanaume utamjua utamu wake .Utamtafuta kona zote na baby carriage . Hapo bi sanura nae karaha mpaka na ukitaka raha wahonge wote bwana na mkwe ndo angalau uapata wakukuliwaza huyo bwana akiwa anpiga mziki . Sinta cream magotini unasahau . na usikatize miguu siunajua NOTHING BUT CONFIDENVE

Anonymous said...

KIDOTI USIPUTE SANA MDOMO MBELE WE NAWE WAACHIE WEMYEWE WENYE MIDOMO YA KUNYONYWA NA MIDOMO YAO AU NENDA KAUCHOME SINDANO TU UFANANE NA WA HUYO UNAIMWIGILIZA .

Anonymous said...

simpaka kahaba bubu joketi akae na hiyo mimba ataenda kuichomoa fasta anavyopenda kuonekana mtakatifu kumbe malaya mbovu

Anonymous said...

mumependezea uwiiiiiiiiii kidoti ndo hivyo vikao vilivyoanza ni vya baby shower au maana mh! yangu macho kukodolea mablog haki ya nani umbea mzigo nitafuatilia mpk nijue una mimba au lah ila hiyo mimba labda ukatoe hata ndoa bado bania hii sinta ila ukishasoma mpe huyo........... mwenzio leo ctaki kukutukana hadharani kwa sababu umependeza sana.

Anonymous said...

i like everything..big up jacky!

Anonymous said...

Sinta and kidoti you look fabilous ....


Nyie mnaosema kidoti ana mimba mmepa nyie?

Umbea tuu...

Anonymous said...

Umbea gani? Mwanamke mwenye mimba anajulikana tu, huyo tayari kitumbo ndii chezea maharage ya Kigoma. Mwache mwaya azae amkomoe Wema na auntie Eze, kwi kwi kwii!!

Wee unaebisha kaangalie picha zake kwa Dida, nenda global kule ziko za Uchumi birthday, halafu imemchusha usoni; mtazame hapo post za nyuma alivyokuwa flat, sasa hivi kitumbo mbele kama sio model!! Dada mwanaume wa kiswahili raha yake uzae nae si umeona mwenzio Beyonce kazaa!!

Unknown said...

Sinta aliyekutengeneza nywele kakupatia sana ....umependeza.

Unknown said...

Sinta aliyekutengeneza nywele kakupatia sana ....umependeza.

Anonymous said...

kijiwe kimenoga ngoja nikachukue maji narudi!!

Anonymous said...

Sitanta mpenzi mie nakuambia tu kwa upendo sina ubaya wowote ila punguza sasa mkorogo usoni ameshia mikonani na miguuzi maana uso umeng'aa kuliko mwili sio fresh....ungeacha uso kwa wiki kama mbili hivi halafu ukoroge miguu na mikono na sehemu nyinginezo mwilini. wooooote mme toka bomba sana. Bibi harusi juu juu juu juu sana!!!

Anonymous said...

We anonymus ''July 10, 2012 3:25 AM'' utasutwa mwanamke ...hata kama ana mimba inakuhusu nini? ni mwanamke kama wengine so acheni kimbelembele.ulitaka ufanywe wewe ndo upate hiyo mimba???

mfyuuuuuu kukalia ya watuu ndo mana hamuendeli ...ni maamuzi yake kubeba mimba muacheni nyoko zenu