Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

KIBAO KATA YA JACKIE @ MIKOCHENI

bibi harusi mtarajiwa
bibi harusi una damu ya Kihindi??
pendeza sana 
mwenyewe huyoo
 kubwa la maadui
usitake kujua nlichokuwa
nafanya hapo huku Nargis ananicheki
mmh Kiuno changu cha Kipare
lakini ahhhhh manshalaah
me n Roberta
Vivy mwaka huu Miss Kinondoni
iko mikononi mwako all the best mammy
Myler na Jackie
Zenna
Unstoppable
mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
na kupendwa, lolest
Nothing but Confidence
J wake Lo
lope lope
Sintalicious


kwa wale niliowapiga na hamjaona pics zenu sorry wapendwa,mmmh nilifuta kwa bahati mbaya next time, Mungu akipenda katika kitchen party.


Mie nilichoka na Herry Nase pale aliposema jamaani wakina dada msijitie aibu katika kitchen party maana atatufunika nguo yake ame order on line thru on phone,so kama hatujajipanga tuongezee stones na glitters ili ipendeze kumzidi yeye.



ALL THE BEST JACKIE MAFURU

24 comments:

Anonymous said...

Bibi harusi kapendeza na rangi yake nzuri,sio wewe rangi mbili hapo na unajitia kujiweka ma foundation unachekesha tu

Anonymous said...

weweeeeeeeeee lope lope pendeza sana my dia leo yaani km wajua black black iwe flavour colour maana umetokelezeeiyyya saaaaaaaaaaana leo nimekupenda mara 100000000 acha wape j wake lo unstopable na hako kapozi kamiguuu leo umekatendea haki lkn siyo kila nguo ya kupindishia miguu congrats madam sintaliiiiiiiiii!!!

Anonymous said...

pretty girls, Jackie yeye ako poa sana na yukogo kwa chati ati. ni mirembo sana. napenga rangi yake ako natural

Anonymous said...

Nice legs, unatisha ila jackie sijamuelewa kabisaa na hiyo nguo yake

Anonymous said...

wenzako wanaolewa wewe utabaki nungaembe ivoivo,punguza mapepe bidada!

Anonymous said...

We mbwiga comment yangu umeipachika wapi kwenye K yako

Anonymous said...

utamuelewaje na wewe mshamba ungekuwepo ungeielewa......hamna kibao kata cha apa mjin kilichopendeza kama cha jack...kilikuwa clasic....alitunzwaje,sinta kupuza kujishaua na uwo mkorogo wko...skirt uliyovaa ulitakiwa uvalie top sio shart la zamani

mataka said...

sinta acha herry nipe namba ya yule msenge mwingine ndugu yake jokate.

Anonymous said...

Sitaharishaaaaaa

Anonymous said...

Hivi Sintah kama kweli wewe umeenda shule ilikuaje ukakubali kujiharibu na mkorogo, nguo nzuri sana ila sura imekua kama ngedere aliefiwa na mjomba ake

Anonymous said...

umependeza sana dear

Anonymous said...

Hahahahha daah u made ma dayna comment yako ila wote wamependezaa

Anonymous said...

Umependeza mama,,,nimependa colours.U all look gud

Sweet baby said...

Woooow! U look so hot babes! Nice outfit btw!

Anonymous said...

Hivi jamani naombeni kuuliza... nijuzwe tu kuna CEO anayekaa nyumbani kwa watu asie na kwake wala kwao?

Maana kuna rafiki yangu mmoja anadai yeye ni CEO, sasa u Chief Executive Officer wa nini? wa ku..... au?

Mie nimechoka na maneno ya kujidai wakati mtu hana kwake wala kwao.

Anonymous said...

umependeza sana Sinta, mi ni fan wako na 1 !!

baby ya Ceo said...

Nyoko weee unaeuliza kuhusu Ceo,Ceo ndo cheo tumempassi watu wake wa ukwee kwani tunamkumbali kwahiyo hata kama anakaa kituo cha polisi au nje sisi haituhusuuu na ushike adabu yako,kwanza nimefurahi ambavo Ceo wetu hajichanganyi nanyie wanuka mavi na mikojo,eti kibao kata full uswahili nyooo imehusu nini kuulizia ya Ceo kuma kibuyu wewe.ceo wetu analipa bana

Anonymous said...

Kenge mumaji wewe mkorogo umeuona huuu, embu muacheni JLo wawatu anatakata na maji sio mahydroquinone yetu, mtoto akicheka utafikiri anadimpo. Wivu utawafiligisa

Anonymous said...

Kumaintain status mjini unafikiri mchezo? Kila siku sherehe, michango sijui nini, bado hujanunua zawadi na nguo ya kuvaa. Wenzake wanafanya biashara za maana, kwa hiyo mwacheni tu yeye na blouse yake ya zamani ilimradi amependeza. Mwisho watu wataenda kusimama Morogoro store usiku bure kisa shughuli za mujini!!

Anonymous said...

You look so sexy sinta, miguu mizur sema utaki kujiamini.

Anonymous said...

watu mna maneno sana,mbona hamtoi comment kule kwenye bei za viwanja,kazi kujifanya mnajua kutukana kumbe kutafuta ela hamjui, nyambafu ! Tafuten ela mfanye mambo ya maana,matuc hayajengi,ni maoni tuu jaman.

Anonymous said...

mjini mtu usivamie uliza upewe details vizuri eti CEO hana kwake wala kwao nyooooo mwana mnuka kei we jiangalie bidada watu watakuulimboka mjini hapa kwa kushadadia ya watu mamaaaayo....pole sinta kwa kuchafua hali ya hewa u know huyo govi amenikera sana, ulipendeza mwayego tupe full pictures tuenjoy.........!!!

Anonymous said...

Thats my gal sintah aka lope lope...go on gal!

Looking beautiful,love u...

Its me ,the expected young millioner (eym)...

Anonymous said...

Kubwa la maadui uwe wewe!Pua ka kiko