Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

WABONGO TUNGEKUWA TUKITUNGA MANENO TUNAPATA MAENDELEO DAAH TUNGEKUWA MBALI SANA-JACQLINE WOLPER MASSAWE


mimi JWM hii gari ni yangu
akifungua buti
X 6

hii ndo no ya halali ya gari la JackieWolper
File zima la documents
chumba cha mamie Jackie Massawe
kadi ya gari ya halali ya JWM
just zoom


this file has all the documents





hii kwaajili ya ma fans wangu ambao wananisikitikia mimi kunyanganywa gari, nataka niwathibitishie kwamba hakuna kitu kama hicho kwasababu mimi ndio mmiliki halali, na wale wanaotunga msipotoshe jamii wajaribu kusema story yenye uthibitisho .

 JACQUELINE  WOLPER  MASAWE.

Naomba nieleweke haya ni maneno ya jacky mwanzo mwisho, sijaongeza wala ku edit,alichokiongea ndio unachokisoma.

106 comments:

Anonymous said...

Chumba kizuri

Anonymous said...

Ungekaa tu kimya wakuone unaiendesha mtaani, huwezi kujibizana na watu saa zote mamii, na kupiga picha documents ku prove ni lako. Chako ni chako you dont havve to prove it to anybody, mjifunze na nyie macelebrity wetu wenzenu majuu wakisemwa wanakaa kimya, kwani haiwapunguzii chochote.

Anonymous said...

yeeessssss im so happy for her!Kiukweli nilikwazika..

Anonymous said...

uwoya upo hapo?mimi naona ni bora katuprovia thou inakua haijatulia sana ila hali ilikua mbaya..mimi mwenyewe niliamini.maana majitu kwa kutunga sijui yanawashwagwa nini?ni mavuzi au?sielewe..

Anonymous said...

Aliyepewa kapewa cha muhimu fight na wewe upate. Majungu hayajengi, na nyinyi wadada wa mujini mtatoana roho mwaka huu..sijui ni ushamba au elimu ndogo hata sielewi ila mnakoelekea sio hayo mabeef yenu ya kijinga hayatawafikiSha popote

Anonymous said...

x6 ya 1999 kweli? cc 2500 kweli uchakachuaji unaendelea ss x6M kweli capacity yake kama ya gx115 dah tupunguze uongo kdgo.

Anonymous said...

Upuuzi mtupu kama kitu mali yako mali yako mpaka uanze kuonyesha makaratasi yote hayo ya nini watu kusema kawaida yao yani ndo mnazidi kuonekana jinsi gani mlivyo washamba ovyooo!

Anonymous said...

Km kweli ni celeb, na alishasema ni mali yake than watu wakatunga story kuwa sio, yaani ningekua mimi ningekaa kimya km mdau alivyosema hapo juu, kuendelea kujiongelesha ni kutapatapa tu, achana na kuprove kila siku, unaendelea kuafanya watu waongee behave km celeb mkubwa sio wa TZ tu au eastafrica.

Anonymous said...

mbona sioni jina hapo kuwa imeadikwa jackline wolper, wengine wanaandika jina kwa prety namba, ukizidi jibishana na wa bongo itakula kwako. halafu umetuonyesha chumba why not nyumba ha ha mna kazi,

Anonymous said...

inaerekea ilikukera sana pole, ila me nakushauri huna haja ya kuprove kwa wajinga wasojielewa,ungekuwa unawachapa bakora za kimyakimya tu, wanashangaa uko nalo bararani, mara umenunua mjengo wa maana, mara umefungua bsness ya ukweli.. yaani mwendo wa minyato kimyakimya ingewaumaje, sio wao house tu bs shigongo lazima aambiwe apambe magazeti na tv stations zote zionyeshe.... mweeeeeh macelebrity mna kazi..! but jack keep it up pamoja sana....!!! am your#1 fan..

Anonymous said...

Wala hahitaji ku-prove kwa yeyote, si angeonekana nayo tu mtaani akivinjari nayo? Shida yooote ya kutoa documents mpaka kuishia kuonyesha mnakolala ya nini?

Anonymous said...

Mhh na yy nae!!angewajibu kwa vitendo tuu!utaweza jibizana na watu tz nzima???....kitanda booomba!ila imehusu nn mambo ya gar tuonyeshwe had rum?au gari linakaa chumbani yakhee??

Anonymous said...

safi wenye vizabina vya mdomo umewaweza,keep it up girl,wanawake na maendeleo bwana.

Anonymous said...

Uwoyaaaa,atakuwa kasonyajeeee jamani,kila mtu duniani anazaliwa na bahati,yake jamani so people tuache kumsema sana mdada wawatu,hiyo n bahati yake mungu aliyomuandikia kuipata,mimi nampenda sana huyu demu fans wako tunakupongeza,achana na walimwengu mama wewe endelea,kula bata kama kawaida,Jlo sku zote anasema mti wenye matunda ndio,unaopigwa mawe,Na wakae wakijuwa wachaga sku siku zote awajazoeaa kuletewa,washazoea kutafuta,so wafunge hayo mabakuli yao,Keep it up love,Allah will guide u all the time...!
Manka...A.K.A Mjasiriamali...!

C'S MUM WA YUTAN! said...

JACK WOLPER KILA SIKU MI HUWA NAUFAGILIA MKUNDU WAKO UNALIPA! YAANI UCHI WAKO NA MKUNDU WAKO VIPO JUU KAMA KIBO NA MAWENZI! UPO JUUU MBAYA! ACHANA NA SINTA NA WANUKA KUMA WENGINE WA HAPA MJINI, WASIOJUA KUNAWA VIZURI, LOL WE NA WEMA MPO JUUUUUUUU MBAYA!

Anonymous said...

Jamani wasichana wa mjini, mjifunze kunyamaza kimya na kuishi maisha yenu aliye wapangia Mungu...sasa ukianza kutaka ku prove kila kitu utaweza kweli mara kesho utaambiwa pochi uliyonayo umeiba au macho yako ni feki etc uta prove hadi lini! unawasi wasi gani kama ni gari yako jamani? huo ni utoto mie naona,.

Anonymous said...

wazungu wanasema hivi "silent is a killer" unakaa kimya unawacha wasema mpaka maharisho yawatokee midomoni wewe unauchuna tu. hayo ndo matatizo ya wabongo kutaka ku prove kila kitu kwanini? wenye wivu wapo kila kona, wenye hasira wapo kila kona, wenye upendo wapo kila kona sasa uta kuwa una prove kwa kila mtu utaweza waaapi?

Anonymous said...

u need to be private sometimes coz haikucost kitu chako chako mamaa waache waoshe vinywa!

Anonymous said...

Mie sioni kuna haja gani ya wewe kuweka mpaka registration ya BMW kisa kuna wasio amini ni lako!! hata kama sio lako so what? na kama nilako so what? si kwa faida yako binafsi sasa wewe unawajali nini waosha vinywa? inamaana wakikuambia umezaliwa mwako 1950 na hujazaliwa mwaka huo utapiga picha ya cheti cha kuzaliwa utubandikie hapa??? khaa!

Anonymous said...

kweli biinadamu mna kz yan kweli jacky hujiamin you don't have to show documents js b'se people don't trust u thats u'r private life mwisho wa cku nyie wenyewe ndo mnapenda mfuatiliwe kwa sababu ya show off zenu hta ukionyesha bdo hawatokuamini js b'se u don't hve any resources that can prove to people what u'r saying its true mbona jide asifuatiliwe kwa sababu alichonacho kinaonekana kimepatikana kwa njia gn sio nyie kila kukicha mnatuonyesha magar ya thaman majumba while we do see the income thats very strange ma'dia

Anonymous said...

hajui kuvaa..chumbani sijui kaweka mashanga ya kienyeji..ELIMU MUHIMU...chagaaaaaaaaaaaa

Anonymous said...

who cares????

mamy naah said...

hongera shost wolper.... ila jana umepewa vidonge vyako na mama wema
mie hoiiiii..........
yule yule mdau

Anonymous said...

Kwako na wewe kukoje?kwi kwi kwi kwi

Anonymous said...

jamani watu wanaozusha habari za uongo siwapendi, mwaya bora ulivyo thibitisha,halafu mamii uko juu sana mi ni fans wako namba moja hizo habari zilininyima raha kabisa,angalau leo nitalala ucngizi!

Anonymous said...

lol!wewe unachumba,mwenzio nyumba

Anonymous said...

mh! kweli we mchaga hata kupanga chumba hujui?

Anonymous said...

daaaa afdhali ma dear maana nlisikitika sana maana mm n fans wako, hongera sana

Anonymous said...

Jack pole ila u cannot compete with WEMA SEPETE AND ANY OTHER STAR....wewe ni mzuri ila huna mvuto..kutuonyesha chumba chako kinahusukaje na docs za gari au kwa ajili Wema alionyesha chake...YOU ARE SO FAKE.....JIPANGE MAMA .....GAME NDO KWANZA IMEANZA.....STAY TUNED

Anonymous said...

LUV U MUMY BIG UP WENYE MIDOMO WAMEFUNGA SASA,NI WIVU UNASUMBUA.

MDAU ARUSHA

Anonymous said...

kwakusema kweli mimi macho yalikuwa kwenye hicho kitanda than hata hilo file aisee kimetulia... nimeshakilalia kimawazo tu inatosha. kuhusu gari hukuwa na haja ya kumprovia mtu yeyote sababu hata wakati unataka kununua hukumshirikisha mtu so you cant ziba midomo ya watu as lng as they dont put your ugali on the table fuck them off

Anonymous said...

tuprovie basi pia jamaa hama kazi ya national milling pia utatrestisha in peace

Anonymous said...

usipende kujibizana na wajinga just unge wapuuzia tuu wakabaki na labda huko mjini,, mkiwapa atension waandishi watazidi kuwa uumizeni vichwa shauri zenu hapo washapata ya kuuza leo

Anonymous said...

KWELI KABISA HUNA HAJA YAKUONYESHA ACHA WASEME MANAKE HATAKAMA UKIONYESHA WAKITAKA KUSEMA HAWATAACHA WEWE KAA KIMYA WENYEWE WATAKUONA MITAANI UKIENDESHA SINTAH MSIPENDE KUJIBISHANA NA WATU WALIOPINDA WANAOANDIKA WOTE NA WANAOZUSHA ,,POLE SANA JACK NDIO USTAR NDUGU YANGU WAKIMA LIZA HILI WATAKUJA NALINGINE MANAKE KUONGOPA NDIO KAZI YAO MM BINAFSI SIKUAMINI KABISA HUWA SINATABIA YAKUAMINI UDAKU WA MAGAZETI MANAKE NAJUA HAUNA UKWELI NASHANGAA MIJITU INAYOPENDA KUAMINI KILA KITU KINACHOSEMWA KWENYE MAGAZETI NA WANATOA COMMENTS DAH AMAKWELI WATU WANAROHO MBAYA

Anonymous said...

Hiyo card ya gari ni fake kwa sababu zifuatazo:1. BMW X6 was not manufactured in 1999, Model ya kwanza was manufactured in 2008 for 2009 model.
2. Make na Model kwenye card haiwezi kuwa BMW. Make inabidi iseme BMW na model ni X6. Angalia card yeyote ya gari.
3. Kwenye category ya class inabidi waweke midsize luxury crossover.

Naomba uweke hii ili watu waelewe na siyo kupotoshana.

Mhaya

Anonymous said...

sikiliza we mbwiga,do u know how to prove that the caris yours? f,,u..kama umeamua kuprove onyesha shipment documents sio hayo makaratasi uliyoyatengeneza stationary kwako...
NOn sense

Anonymous said...

Kweli wachaga tuko juu hatukuja kuhesabu magari mjini. Ila kama kakununulia gari nzuri hivyo akutafutie nyumba yenye chumba kikubwa c kujibana hivyo kwenye hako kachumba. Chumbani ni mahali pa kujipumzisha tafuta nyumba yenye bedroom kubwa ujinafasi mwanamke.

Anonymous said...

Karatasi ya kuchonga MSIMBAZI, ndo tatizo la kutoenda shule.

BMW X6 hakuna ya mwaka 1999 kama Card yako inavyoonyesha. kama alivyosema mhaya hapo juu ngoma imefojiwa hiyo ili kuridhisha watu humu.

Afadhali ungekauka tu.

Soma tena hapa nyie msioenda shule:

Hiyo card ya gari ni fake kwa sababu zifuatazo:1. BMW X6 was not manufactured in 1999, Model ya kwanza was manufactured in 2008 for 2009 model.
2. Make na Model kwenye card haiwezi kuwa BMW. Make inabidi iseme BMW na model ni X6. Angalia card yeyote ya gari.
3. Kwenye category ya class inabidi waweke midsize luxury crossover.

Naomba uweke hii ili watu waelewe na siyo kupotoshana.

Mhaya

Anonymous said...

Make: BMW

Model: BMW

Year of Manufacture: 1999


Hihihihiiiiiiiii wajinga ndo waliwao

Kajipange upya Jackline/Jaqualine Wolper Massawe

Anonymous said...

WABONGO BADOOOOOO , chako ni chako waonene matajiri halali. hawajkishauw nyie mnaochipukia mashauzi tele mfyuuuuuuu

Anonymous said...

umebana eh, teh teh teh teh usikute hata lamiaka ya 90s huna bi shosti, pole mwaya jikongoje utapata tu.

Anonymous said...

kama ni fekino mbona unalo?? ujue TRA watakutembelea soon ukawaonyeshe ulipopata hiyo card ya gari,hope you are right baby. Next time dont try prove anything to anyone,just live your life the way you want it.

Anonymous said...

babu muacheni aonyeseeee kwa raha zake..wake za wazungu za zote wanapiga kelele na tu viatu twao twa dola 1500 ije kua huyu wa ma mamilioni..mboni hamuwafungi midomo hao malimbukeni wanaotambia unyayo mtupu?hawana hata mikoko mbuzi..kazi cl..cl..muacheni kwa raha zake..tuwekee na kadi ya noa..halooooooooooo

Anonymous said...

WOLPER NAKUPENDA ILA TATIZO WE BADO MSHAMBA SANA! HALAFU KITANDA CHAKO KIBAYA! NA CHUMBA HAKINA MVUTO HUJUI KUKIPANGILA....JIPANGE VIZURI UTASHINE ZAIDI ILA USILAZIMISHE MAMBO, ACHA VITU VI FLOW NATURALLY... UNATAFUTA KUWA JUU KWA KUTUMIA NGUVU NYINGI MPAKA UNAPOTEZA LADHA.

Anonymous said...

Labda aweke jina lake kabisa kwenye plate number ndo' tutamuelewa!

Anonymous said...

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiii mna makubwa nyie mastaa. somtym muwe mnajielewa jamani watu wamesoma na wanaelewa, tatizo lenu mnaishi maisha ya kuigiza ndio yanawacost. haya katengeneze vingine hivi vimefail.

Anonymous said...

Ivi nyie wasanii mnaakili kweli kitu kidogo tu mnakitangaza..sasa hapa bongo kila mtu angeamua kutangaza gari. Lake ingekuaje?wewe kua na icho kigari basi kujipiga mipichaaaaa..ivi hamjaskiaga watu wanahongwa gari na kupewa kadi feki mwisho wa siku mapolice wanakuja kukukamata kama gari la wizi?ivi jak umesehau eh ile gari ulionyang'anywa na ikasemekana ya wizi ndo kitakachokutokea..acha upuuzi+mavazi yako sijaayaelewa we msagaji

Anonymous said...

Jack masawe wewe ni mzuri sana ila huna mvuto na hata ukipita sehemu hustui watu yani sura yako imepooza,miondoko yako. Ya mipoozo,sura nzitoo..sasa kitanda umeonesha cha nini?kinahusiana nini na ilo gari la kupewa?aisee mikundu inalipa woooii aisee watoa tigo juuuuuuuuu..haleluyaaa

Anonymous said...

jamani jacky acha uongo kha.. kweli wajinga ndio waliwaoo....

Anonymous said...

DOKOMAAAA KAJANJA MAANA HIYO GARI IMETENGENEZWA 2008 IKASAMBAZWA 2009
KAMA HUAMINI SOMENI LINK HII
http://en.wikipedia.org/wiki/BMW_X6

Disminder orig baby said...

mh!! Ungekaa kimya mtoto hakuna fimbo mbaya kama vitendo!!! chumba kizuri but mmmmmh hizo fimbo hapo na hizo vitu zako nop!!!!!!

Disminder orig baby said...

mh!! Ungekaa kimya mtoto hakuna fimbo mbaya kama vitendo!!! chumba kizuri but mmmmmh hizo fimbo hapo na hizo vitu zako nop!!!!!!

Anonymous said...

Hicho chumba hakiendani na value ya BMW

Anonymous said...

hakuna X6 iliyotoka mwaka 1999 ni ya uongo hyo, X6 ya kwanza ni 2008 duuuh kweli wajinga ndio waliwao lol

Anonymous said...

wanao ponda wote wanachuki binafsi!waapi Ali choki, chuki binafsi haifaiiiio tuiacheni jaaamani italeta tafaraniiii, nadhani mmenipata!!!!!!!

Anonymous said...

Cjui kwann ckupendi we shAromaro huwezshidana na Wema hahahaaaaa Kaogeeee

Anonymous said...

JAMANI INASIKITISHA SANA HATA UKIINGIA KATIKA INTERNET KUANGALIA SPECIFICATIONS LA GARI AINA HII KUANZIA UZITO, ENGINE CAPACITY MWAKA WA KUTENGENEZA UNAJUA KABISA KUNA TATIZO NA HIYO CARD YA GARI. KAMA NI YA KUCHONGA JE HAONI KWAMBA HILI NI KOSA LA JINAI MAANA HUU NI WIZI NA KAMA WABAYA WAKO WAKIAMUA UNAWEZA KAMATWA UWEKWE NDANI ILI UTUSAIDIE KUTUAMBIA WAPI WENZETU MNAPATA CARD ZA GARI ZA KUCHONGA.
MUWE MAKINI NDUGU ZANGU NA HUU UMAARUFU USIO NA TIJA. BEYONCE KANUNUA NDEGE 40MLN DOLLARS NAYE SIJUI ASEMEJE JAMANI. MAANA NA DIAMOND NAYE KANUNUA GARI TENA USED ANATAKA KUTAMBA JAMANI !!!

Anonymous said...

Make: BMW
Model: BMW
Year of make : 1999


BMW X6 zimetoka 2009 kutengenezwa 2008.

Nenda TRA wakakurekebishie hilo gari details zake.

My take is USHURU ULIKWEPWA ndo maana make na model ni FEKI.

Ngoja nimshtue mshkaji wa TRA Customs alipitie walahi lazima uliuze .......

Umeingizwa town dadie

Anonymous said...

Mhh x6!

linsy said...

NAWASAPOTI HAO WALIOSEMA BMW X6 IMETENGENEZWA 2008: NIMEGOOGLE WIKIPEDIA YAKE NA HAYA NDO MAELEZO:
The BMW X6 is a mid-size luxury crossover released for sale in the second quarter of 2008 for the 2009 model year by German automaker BMW. The X6 was marketed as a Sports Activity Coupé (SAC) by BMW. It combines the attributes of an SUV (high ground clearance, all wheel drive and all-weather ability, large wheels and tires) with the stance of a coupé (bold styling, dramatic sloping roof).

The concept model debuted at the 2007 Frankfurt Auto Show and the production X6 officially debuted at the 2008 North American International Auto Show in Detroit and Montreal International Auto Show. While slightly longer and wider than the X5, it is significantly lower and seated initially only four, and since 2011, optionally five.[2

Anonymous said...

MIE, NASHANGAA KWANI NYIE NDO WA KWANZA KUWA NA PESA HAPA MJINI MPAKA KILA MTU AWATAZAME NYIE KUNA WATU MAMILIONEA HAPA MJINI NA AWAJAFANYA MATANGAZO . ACHENI ULIMBIKENI.MBONA KUNA MADADA WENGI TU TENA WADOGO KIUMRI,WANA MAMBO MAKUBWA KULIKO NYIE NA WAKO KIMYA, ACHENI MATANGAZO YASIYO NA TIJA NI USHAMBA,MTAKUFA BURE KWA MASHINDANO YA KIJINGA.

Anonymous said...

uwwwwwwwwwwwwiiiiiiiiiiii umepanga mito ili upige picha heheheh mjini kuna mambo

linsy said...

KWA UFUKUNYUKU ZAIDI MAELEZO YA ENGINE!IZO CC ZILIZOPO KWENYE KADI NADHA MI KIPOFU ZIJAZIONA KWENYE MAELEZO HAYO HEBU JARIBUNI KUTOA MIJICHO YENU LABDA NYIE MTAONA:
Engines

Model

Displacement

Cylinders

Power

Torque

Max. Speed in km/h

0–100 km/h in s

Consumption(ECE)

CO2-emission

basic weight (EU)



Gasoline



xDrive35i

2979 cc

I6

225 kW (306 PS) at 5800–6250 RPM[6]

400 N·m (300 lb·ft) at 1300–5000 RPM

240

6.7

10.9 Liter/100 km

262 g/km

2,145 kg (4,729 lb)



xDrive50i

4395 cc

V8

300 kW (407 PS) at 5500–6400 RPM[7]

600 N·m (440 lb·ft) at 1750–4500 RPM

250

5.4

12.5 Liter/100 km

299 g/km

2,265 kg (4,993 lb)



X6 M

4395 cc

V8

408 kW (555 PS) at 6000 RPM

680 N·m (500 lb·ft) at 1500-5650 RPM

250[8]

4.7

13.9 Liter/100 km

325 g/km

2,380 kg (5,247 lb)



ActiveHybridX6

4395 cc

V8

357 kW/485 hp (combined)

780 Nm (combined)

250

5.6

9.9 Liter/100 km

231 g/km

2,525 kg (5,567 lb)



Diesel



xDrive30d

2993 cc

I6

173 kW (235 PS) at 4000 RPM

520 N·m (380 lb·ft) at 2000–2750 RPM

220

8.0

8.2 Liter/100 km

217 g/km

2,150 kg (4,740 lb)



xDrive35d

2993 cc

I6

210 kW (286 PS) at 4400 RPM

580 N·m (430 lb·ft) at 1750–2250 RPM

236

6.9

8.3 Liter/100 km

220 g/km

2,185 kg (4,817 lb)



xDrive40d

2993 cc

I6

225 kW (306 PS) at 4400 RPM

600 N·m (440 lb·ft) at 1500 RPM

236

6.5

7.5 Liter/100 km

198 g/km

2,185 kg (4,817 lb)


[edit] BMW X6 M (2009-)

linsy said...

TENA IYO WIKIPEDIA YANAMBIA IYO GARI YA TUMIA DIESEL NA SI PETROL KAMA IYO KADI INAVYOSEMA !WIZI MTUPU.JAMAN HEBU TUACHE ULONGO TUSIJE INGIA JEHANAMU BURE!MAELEZO YENYEWE NDO HAYA:
Diesel engines

Two diesel variants have been announced, and are expected to constitute as much as 90% of sales volume in European markets. The models are called the xDrive30d and xDrive 35d, respectively. They are powered by BMW's 3.0-litre turbodiesel engine (in its sequential twin-turbocharged variant for the xDrive35d), and produce 235 PS (173 kW) in the xDrive30d and 286 PS (210 kW) in the xDrive 35d version. The second of these power units will form the basis of BMW's Diesel launch in all 50 states in late-2008.[5

Anonymous said...

MIJITU INA ROHO MBAYA KAMA MIKAANGA SUMU NYOKO NYOKO FEK CMUWEKE ZA KWENU ORIGINAL MFYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU

Anonymous said...

cs mum umenyongorota!!lol...u turn 4ever bebeee!!

Anonymous said...

I cant believe we still have saddiest ppl in this world.KI UKWELI NILIUMIA ROHOOOOOOO MNO DU NIMEFURAHI SANA MWENYEZI MUNGU AKULINDE JACK IM SO HAPPY FOR YOU

Anonymous said...

WOLPER NAKUPENDA SANA YAAN HUYO ANAESEMA WEWE MSHAMBA YEYE ANACHO HALAFU KAA KIMYA KAMA KAWAIDA YAKO ACHANA NA HAO WANAOJIITA WA MJINI WEWE UMEKUJA LAKIN UMEWAACHA.WANAOMCHUKIA NA WAJINYONGEEEEEEEEEEEEEEEEE LUV BIG UP ACHANA NA MALAYA HAO WANUKA K

Anonymous said...

Wow hapo pametulia, achana kujibishana na Malaya wema upo kwenye magari mdogo wangu, mwambie your mum asijiingize kwenye mambo ya watoto kwani inaonyesha mum wema ni mshamba wa mambo ya kizungu ndo mana Mwanaye kafuata nyayo zake na ikamsababishia kuachwa na balozi Isack sepetu, kazoea mambo ya uswazi ndo mana akajengewa nyumba sinza. Mtumzima hovyo, mama kojoa ukalale.

Anonymous said...

Kwa Nyie msioenda shule,tafuteni mtu,wakuwasomea hii,

ManufacturerBMW
Production2008–present
AssemblyGreer, South Carolina, United States (BMW US Mfg. Comp.)
Kaliningrad, Russia (Avtotor)[1]
ClassMid-size luxury crossover SAV
Body style5-door liftback
LayoutFront engine ; 2 Elektro-Synchronengines / four-wheel drive
Engine3.0 L 306 PS (225 kW) I6 Twin Turbo
3.0 L 235 PS (173 kW) I6 diesel
3.0 L 286 PS (210 kW) I6 diesel Twin Turbo
4.4  L 558 PS (410 kW) V8 Twin Turbo
Transmission6-speed automatic; 8-speed automatic (ActiveHybrid X6)
Wheelbase2,933 mm (115.5 in)
Length2008-09: 4,877 mm (192.0 in)
2010-Present: 192.1 in (4,879 mm)
Width2008-09: 1,979 mm (77.9 in)
M/ AH: 1,983 mm (78.1 in)
2010-Present: 78.1 in (1,984 mm)
Height2008-09: 1,696 mm (66.8 in)
M: 1,684 mm (66.3 in)
AH: 1,697 mm (66.8 in)
2010-Present: 66.5 in (1,689 mm)
RelatedBMW X5
Mdau msomi

Anonymous said...

Embu ngoja tusubiri akizushiwa na scandle ya ngoma atatuwekea vyeti mana hapo wanakuaga wagum kwel atakaa kmya muongee tu kwa hili alishindwa nn

Anonymous said...

Heheheee halo halo, Jacky hujui kuwa huyu Sintah ndio anauza news zenu kwa magazeti? Sintah umekazana kuwadanganya watu wa gazeti la Kiu kuhusu nyumba ya Wema, sijui yule mwandishi wa KIU umempa nini maana ukurasa wa mbele kila toleo unamponda Wema wakati ukurasa wa nyuma unamsifia Kidoti. Kwa hiyo ujumbe uliowekwa na Jacky na wewe unakuhusu sana. Na ukibania msg yangu ndio uthibitisho kuwa niliyosema ni kweli.

Anonymous said...

mmh wolper ulivyovaa hivyo umeonekana kama bounsa..kwikwikwi

Anonymous said...

jamani nyinyi mnaojiita ma supa star wa bongo angalieni mnapodanganya mjipange jack hapo tayari una kosa la jinai la kufoji vyeti vya serikali hiyo kadi uliyofoji ni kosa la jinai unastaili kushtakiwa na serikali lkn kwa vile una jina na serikali yetu ni mambumbu kazi kuonewa walala hoi ili lako hawataliona,hiyo ndio bahati yako , nahuyo diamond ameweka gari anadai kanunua mil 60 je TRA MPO GARI HIYO IMELIPIWA KODI KIASI GANI?

Anonymous said...

teh teh teh watu wa TRA soon watamgongea mlango.we dada umeharibu kabisa kujaribu kuprove kwamba gari lako angalia sasa kwa ujinga wako utakamatwa gari hilo ni la mwaka 2009 na sio 1999´,jamani kukosa elimu kubaya.bora ungekaa kimya na watu hao hao wanaokuzushia wangekaa kimya wakikuona nalo unakatiza mitaa.jamani jamani muwe munatumia akili kidogo kama ulikwepa kulipa ushuru wa gari unapaswa kukaa kimya kama wenzako wenye magari yathamani ambao wako kibao wamekwepa kodi..mweeee miye matchoo this time utanyanganywa full..mweeee mweee

Anonymous said...

Guyz punguzeni kashfa, aliyepewa kapewa! Kama ni Fake na wengine wakatafute tuone kama rahisi, tupeane moyo jamani watanzania wenzetu...BATULI

Anonymous said...

watu kama hawa ndio wanapunguzia Tanzania mapato kupitia TRA tunaishia kusema naisha magumu...dada umejipaka mavi

Ngoja nimwambia jamaa wa TRA kaa mkao wa kuliwa mama huwezi kuipia nchi tukuangalie halafu na mwenzio huyu hamnazo nae kapublish akijua anakusaidi kumbe anaunguza picha

Anonymous said...

mhh hatari...jacq nenda tra kwa step urekebishe hiyo kadi amasivyo utalipoteza hilo gari..sinta mfahamishe mwenzako..

Anonymous said...

sinta wewe hauna akili yaani kusoma sio kuondoa ujinga,twajua jack kaishia class 7 sasa na wewe instead of advicin ua friend wewe ndo umemchoooma but sio kosa lako kwani wewe hata piki piki huna hutajuaje mambo ya magari?poleee sana next tym b careful,uliziba comment yangu ya kuhusu dallas kwani nilikupa ukweli ila soma upate ujumbe.

Anonymous said...

ngoma wolper aliisha pima tena na huyu huyu swaiba wake sintah..ivi mlipima kweli?labda sasa hivi atuthibitishie tigo yake bikra,x6 ni zari tu tigo haikuhusika.. mpige picha tuhesabu marinda hayo...hahahaaa teezing:)
zoezi hilo apewe uwoya nahisi anabonge la channel O..PSSSSSSSTTTT

Anonymous said...

JACK WOLPER MLUGA LUGA..POLE SANA..HILI GARI KWANZA ALIKUWA ANATEMBELEA DADA MMOJA MWARABU ..BAADAE AKANYANGANYWA NAO ANATEMBELEA WOLPER..KWA MCHEZO HUO HUO WA KADI FEKI....LOOOOH SO SORRY MAMIIII

Anonymous said...

Mwenzako akipewa japo furahia mnatukana kwani kajiumba eti sura imepooza mshukuru Mumgu aliekuumba wewe sura yako imechangamka Hongera Wolper love you xo much********** phides

Anonymous said...

Masupastaa wenzetu mbele mtu anasubir afatwe tena na kulipwa ju il aonyeshe mal zake anazomiliki bongo wanafoc king blog hiz..

Anonymous said...

Fuel : Petrol

Engine: 2500cc

Make: BMW

Model: BMW

Year of manufacture: 1999

Yaani zote hizo feki kasoro make pekee yake.

TRA TRA TRA TRA TRA TRA TRA TRA TRA TRA TRA

Kweli darasa la saba ni la saba tu hata akinunua YATCH!!!

Anonymous said...

Jamani kwa darasa la saba kama Jackline au Jaquiline au Jacquiline maana hata jina kuandika hajui.

YATCH ni Boti la kifahari.

Anonymous said...

BMW X6 xDrive35d, Australia
Manufacturer BMW
Production 2008–present
Assembly Greer, South Carolina, United States (BMW US Mfg. Comp.)
Kaliningrad, Russia (Avtotor)[1]
Class Mid-size luxury crossover SAV
Body style 5-door liftback
Layout Front engine ; 2 Elektro-Synchronengines / four-wheel drive
Engine 3.0 L 306 PS (225 kW) I6 Twin Turbo
3.0 L 235 PS (173 kW) I6 diesel
3.0 L 286 PS (210 kW) I6 diesel Twin Turbo
4.4 L 558 PS (410 kW) V8 Twin Turbo
Transmission 6-speed automatic; 8-speed automatic (ActiveHybrid X6)
Wheelbase 2,933 mm (115.5 in)
Length 2008-09: 4,877 mm (192.0 in)
2010-Present: 192.1 in (4,879 mm)
Width 2008-09: 1,979 mm (77.9 in)
M/ AH: 1,983 mm (78.1 in)
2010-Present: 78.1 in (1,984 mm)
Height 2008-09: 1,696 mm (66.8 in)
M: 1,684 mm (66.3 in)
AH: 1,697 mm (66.8 in)
2010-Present: 66.5 in (1,689 mm)
Related BMW X5

Anonymous said...

duh umechakachua magari haya yameanzia 2009

sasa 1999 imetoka wapi????

lazima ushtakiwe.

Anonymous said...

We binti tulia kama ni chako ni chako haiitaji nguvu nyingi kama hzo unazotumia kuuthibitishia ulimwengu hzzte ni fahari za dunian tunakufa tunaviachajaribu kutumia nguvu hzo kujiwekea hazina mbiguni na si dunian

Anonymous said...

Nyota ya jaah bibi wewee, wema kitu gani msidanganywe na matako yake yalotepeta Kama uji na michilizi ya mkorogo huu ndo mvuto mnaouona? Jack wolper analipa Kama k..a ya Wema haijui kupiga makofi atajibeba. A-Town mdau.

Anonymous said...

Jamani wengine ni watu wazima acheni uongo sintah umemuabisha mwenzako mngeomba hata ushauri kwa watu hio gari ni make ya 2008/2009 sasa hio 1999 imetokea wapi kweli shule inaumuhimu wake acheni kujipa vyeo ambavyo hamviwezi kwani ukiendesha vitz haufiki mpaka mnaaibika ona sasa mpaka umekuwa talk of the town kwa kadi yako feki,ruisha gari ya watu mwenyewe anaitaka muda wa kutesea umeshapita.DU...............hii kali ya mwaka eti x6 bmw make ya 1999....

Anonymous said...

Diesel
xDrive30d 2993 cc I6 173 kW (235 PS) at 4000 RPM 520 N·m (380 lb·ft) at 2000–2750 RPM 220 8.0 8.2 Liter/100 km 217 g/km 2,150 kg (4,740 lb)
xDrive35d 2993 cc I6 210 kW (286 PS) at 4400 RPM 580 N·m (430 lb·ft) at 1750–2250 RPM 236 6.9 8.3 Liter/100 km 220 g/km 2,185 kg (4,817 lb)
xDrive40d 2993 cc I6 225 kW (306 PS) at 4400 RPM 600 N·m (440 lb·ft) at 1500 RPM 236 6.5 7.5 Liter/100 km 198 g/km 2,185 kg (4,817 lb)
[edit]BMW

Anonymous said...

HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA...YAANI ULIVYOKIMBIA HOMESHOPPING CENTRE KUNUNUA MAMITO KAPANGA HAPO HATAKI KUSHINDWA KISA WEMA KAONYESHA NYUMBA, WALISEMA GARI TU SIO LAKO CHUMBA USIWE NA WASIWASI CHAKO...HA HA HA UNASHINDANA HA HA HALIGI LIPULI NA MANCHESTER..MCHAGAaaaa shamba

Anonymous said...

Kiukweli hukutakiwa kuonyesha chumba chao maana chakawaida sana ,tuonye na sitting room km wema basi tuone au mbaya,,,,,,,,,,,,kwkwkwkwkwkwkwkw

Anonymous said...

Mdada ana sura ya kichaga huyooo

Anonymous said...

wolper pole sana..ila tatizo shost we HUNA MVUTO..sura yako imekaaaa kichagaaaaaaa sana..yani hata uulizi kabila gani?..istoshe kutembea pia hujui..unatembea kichagaaaaaaaaa..kuvaa ndio balaa..sasa hapo juu umevaaje?nani alikushauri uvae nguo mbaya?..kama MSELA....ARE YOU INVITED?

Anonymous said...

wolper pole sana..ila tatizo shost we HUNA MVUTO..sura yako imekaaaa kichagaaaaaaa sana..yani hata uulizi kabila gani?..istoshe kutembea pia hujui..unatembea kichagaaaaaaaaa..kuvaa ndio balaa..sasa hapo juu umevaaje?nani alikushauri uvae nguo mbaya?..kama MSELA....ARE YOU INVITED?

Anonymous said...

Wengi waliongea ni wale wale roho mbaya ndio zinawasumbua.asa wewe uwoya huna lolote malaya mkubwa wewe na wewe wema ndio maharage ya mbeya

Anonymous said...

chumba kinafungwa na komeo kwikwikwi kiko kwa mfuga mbwa manzese nini? hahahaha star wa kigongo huyo!!!!

Anonymous said...

haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa are u invited?

Anonymous said...

acha kutaman vitu ambavyo una uwezo navyo ka vp na wewe nenda ukaongwe na mwarabu kisha badil dini

Anonymous said...

Wolper ni muongo mshamba.hajui anachokisema.na huyo alimsaidia kufoji kadi nae hajui kitu.mfyuuuuuu

Anonymous said...

Na huo mpangilio wa mapazia yake ni wa kishamba sana.hajui hata mapazia ya lace na opaque yanatakiwa yawekweje.pole sana mchaga mshamba

kenzos grandmaaa said...

ww sintah aka malaya mstaafu,huyo limbukeni wa mapenzi kijoti sijui,wolper mchagaa mshamba wote wasengeeee, mmeonaa mambo ya are u invited very classic.

Anonymous said...

Jamani, Jack hakuna X6 ya 1999, concept yenyewe ya kutengeneza hy gari ilianza 2006 na X6 ya kwanza ilitoka 2008.....mmmmmh hy itakua Noah ha h aha, but alt least u have it all the times

Anonymous said...

me napita tu jamani..ila nimechekajeeeeeeeeeee

Anonymous said...

mbona ya wema hamyasemi yamama mzazi kuonyesha kitanda kipya na dizaini ya miaka ya hv karibuni akidai nikitanda alichokilalia wema toka yiupo mtt hqhqhqhqqq nanyumba ile pia sio yake ndomana hatan maza hajaongelea chochote bkuhusu ile mwenye nyumba kamind sana kaeni tayari ataaibikaje bidada