Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

THANKS CHALZ BABA (KINGUNGE)

thanks a lot 
Toress
uwe na moyo huo huo wangu


kweli ule usemi unaosema umdaniaye ndiye kumbe siye nimeamin sasa,daah yaani Chalz baba amenisaida sana katika jambo langu muhimu ambalo lilikosa ufumbuzi ila kwa yeye aliweza kunipa support,imagine nilimpigia saa nne ya usiku na saa kumi ya usiku baada ya show alimtuma mtu na  aliweza ku solve my problem.
thanks so much Kingunge zimepita weeks but ni muda wangu kukushukuru,Nakuombea Mungu akulinde na akuzidishie.



From 
Sintah
J wake Lo

30 comments:

Anonymous said...

Ndo bwana ako unamnadi kijanja sintah umri unaenda jarbu kufanya maisha ubint unaisha mwisho wa siku utakuja jutaa umepoteza mda buree kuangaika na dunia uyo kidoti anakudanganya tu mwenzio anasaka maisha wee unarembua tuu

Anonymous said...

basi utakuwa umemkopa, kumsifia kote huko

wa ukweliiiiiii said...

Huna lolote unamtaka nyama wewe

jlo said...

inaonekana wewe ndio tabia yako ukiwa na rafiki mvulana lazima awe bf wako poor u,sorry unajichoresha labda ulikuwa hujui kanisaidia nini kwa wanaojua sasa wanasoma na wanakuchora tuu,

i'm satisfied of what i have,nahis we mkopaji maarufu angalia maisha yako,madeni mabaya

Anonymous said...

Ha ha ha ushazeeka lazima utakuwa ushafikisha thelasini ndoa huna mtoto huna na huo mkorogo loool kazi kwelikweli

Anonymous said...

Sintah naomba usitukana na wala usijibishane na wajinga unaweza ukaonekana wewe ndo mjinga zaidi. Achana nao.

Anonymous said...

una lolote sinta kumbe ukweli unauma uweke usiweke ni kweli unatafuta umaarufu kupitia Chalz baba nimestuka una lolote wew na kidoti mfyuuuuuuuuuuu uweke usiweke ujumbe umekufikia na umeisha zeeka tangu namsikia sinta kwa sasa una umri mika 35 na wala usibishe ndoa ndo una wala mtoto mfyuuuuuuuuuu sms sent

Anonymous said...

kwenye maisha huwez kupendwa na wa2 wote hiyo isikupe taaabu,uko juu thats y big up

Anonymous said...

Maisha siyo ndoa na mtoto tu. Mbona mnakariri hivyo? Sinta Baby do you ting...........Unawaumiza mbaya!!!!!111

DOREEN LOVE said...

HA HA HA HA SINTA BWANA HUNA LOLOTE UMEMKOPA HELA

Anonymous said...

mungu azidi kukuweka sinta na blog yako nimetoka home nimeuziana na mume wangu yani break ya kwanza nimefikia kwenye blog ya sinta ha ha ha ha ha kitu comment bwana nimecheka mpka asira zote zimeisha asante sinta kwa kumpenda chaz baba asante sna jlo na chaz baba akupende vizuri

Anonymous said...

unajipendekeza tu

Anonymous said...

Love you Sintha

Anonymous said...

Mfyuuuuuuu Sinta huna lolote na unavyojifanya matawi wakati maiti inayotembea mimi nakujua vizuri na bwanako babu wa TRA aliyefiwa na mkewe kwa ngoma, mfyuuuuu

Anonymous said...

bibie mbona comments unazibania ziachie.wew.si.unajiamini mjinga wew.find.ur gud.way.of.life more than wasting.u.time for.nothing hapo ulipo ajir una bwana wa.kufanya.nae future huna yani unaruka ruka tuu pole sana

Anonymous said...

Mangapi sintah anafanya anayaweka live humu mbona hili hajasema exactly ni msaada gani hapo kwa kukisia utakisia tu kaomba hela , afta kiingilio katumwa mtu ampelekee kama hamtaki shauri yenu sintah anavyopenda kujigamba asiseme kafanya nini thubutu

Anonymous said...

nyooo we mkundu unaesema asibishane na wajinga we ndo bwege kbs mbwiga we kama snta mwenyewe.Huyu sinta ana-aproach kwny late forties mana tumeanza msikia c bado wadogo lakn kishaanza tumika na mji mzima.Ibanie na hii sinta ila utakua umeisoma kimya kimya

Anonymous said...

mhh! Unamdanganya hayuko juu wala nini,uyo sintah ni kituko cha mjini hapa,watu tunamwangalia na mashauz yake,eti j loo mavi yako,,,jlo anapaka mkorogo??? Mcxxiuuuuu!

Anonymous said...

sintah anakutukana anakujua manake haiwezekekani kila unachoweka hapa wanakiona kibaya ila wewe usijali wewe endelea kutupa burudani huwa nakwazika nikiona mtu unamtukana mwenzio bila kosa nachukia sana sintah mm sioni ubaya wako kabisa ..urewedi mdori wangu?

Anonymous said...

utalipa kidudu kwa deni ulilokopa!

Anonymous said...

huyo charz baba wako nilishukuru kweli alivyoachana na wema manake alikua anamtia shombo tu mtoto wa watu, yani nikimuangaliaga huyo chaz baba mpaka naskia kinyaa lo, bora hata ya diamond

Anonymous said...

mimi naitwa bakari na ndie nilitumwa na chals baba kukuletea hela saa kumi usiku....ulikopaaaa

Anonymous said...

mimi naitwa bakari na ndie nilitumwa na chals baba kukuletea hela saa kumi usiku....ulikopaaaa

kay said...

miaka ni nini,ndoa na mtoto vyote ni mipango yake allah.hujawahi sikia watu wanaoana hata akiwa na hamsini au kupata mtoto akiwa na arobaini?

Anonymous said...

na kweli huyu sinta atakuwa amekopa pesa kwa chalz baba au amemsugua k vizuri uwezi kumsifia mtu hivi hivi atakuwa amemsugua kinembe sawa sawa mfyuuuuuuuuuuuuuu una lolote baada uweke mambo ya maendeleo unatuwekee mambo ya ngono zembe zenu wewe na huyo chalz baba mfyuuuuuuuuuu uweke usiweke ujumbe umeupata mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Anonymous said...

umaarufu wa kulazimisha sas ndo nini kujipendekeza kwa chalz baba sinta ulisha pitwa na wakati waachiewatoto under 30 watese wewe bibi kizee unamtakisha nini kaka wa watu chalz baba mfyuuuuuuuuuu unatafuta umaarufu wakati wewe
ulisha pitwa na wakati najua utaweka hii comment lakin mregwa mwenyewe yamekufikia umri wako najua ni 35 kengere ndo imeisha gonga mfyuuuuuuuuuuuuuuu

Yasmeen said...

Jamani sio vizuri kumsakama mwenzenu kuwa hajaolewa. Kuolewa na kuzaa ni mipango ya mungu. Ingekua watoto wenu au dada zenu wanasakamwa na watu kisa hawajaolewa, mngejiskiaje?? Au kwakua sintah sio ndugu yenu ndo mana mnaona sawa kumtukana. Ukitaka kusema aibu ya mwenzako kwanza kumbuka yako!! Hakuna binadamu mkamilifu, kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake.

Anonymous said...

I luv u Sintah! U rock babes !

Anonymous said...

Mijitu mengine kama wanga humu....akiwa na miaka mia mnawashwa washwa mikundu eeeh?
Mwenzenu hata kama ni mkubwa lakini bado analipa ,wengine sura zimewakomaa kama matako ya ngedere.....ebu kajambeni,mchambe mavi yenu alafu mlale...mtutolee harufu

Akikopa,akitiwa nyie mnapata nyege ehhhh...wajinga kabisa

Sinta we love soooo much,achana nao hao vinembe baridi....

Anonymous said...

jamani ,watu mwajua kulonga nyie , mbavu zangu za chomoka miee!!!