Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

SANAA BILA NDUMBA ???



mtuhumiwa na vyote vya juu anavimiliki hivyo ni baadhi tuu



 aisee kijana mpunga upo


Kuna tuhuma zimekuwa zinazagaa  kwamba Jose Chameleone anatumia jujuuu na pia hio ndumba inampa nguvu yeye na kuwapoteza kisanii wasanii wanaofanya naye  colabo,na wasanii hao wanapotea katika ulimwengu wa music kwasababu nguvu zinahamia kwa taita huyo,,,  heee chineke, na baadhi ya wasanii ni ;
mzee wa mbona unanitizama eti na yeye kapotea kimuziki

Mr better ndio kushnehi
wakati huo huo wakisema kwamba mara nyingi gwiji huyu wa music wa kipepeo na shida za dunia kwamba huwa anapotea katika mazingara yasiyoeleweka mida ya usiku daah watu wana imani potofu.
hivi kuna msanii atakuja kutanua maisha kama Mr Better?maana lunch alikuwa anakula Dubai huku akiwa first class ila kwa sasa lunch ni mango garden na kwa daladala (mwenzenu nikipigwa mje mnisaiide maana mdomo huponza kichwa)
kweli maisha huenda ya kabadilika Mungu waajalie warudi tena kwenye game,siamini kama Jose Chameleone kama anaweza kutumia uchawi maana uchawi gani usio isha nguvu maana huyu jamaa ana nyuma zaidi ya kumi na magari zaidi ya 30 sasa uchawi wa aina gan ambao hau expire?
naamini sisi wa Africa tuamini mafanikio yanapatikana bila ya uchawi.

22 comments:

Anonymous said...

Wewe mnafiki achana na maisha ya watu. Muache Mr Better na maisha yake hayakuusu.Yako yamekushinda unafakamia ya watu yatakurudi angalia sana.

Anonymous said...

hakuna ndumba hapo jamaa yuko seriouc na kazi yake hawa wana muziki wa kwetu wanachea sana maisha dada yangu.

Anonymous said...

waeleze dadaangu,wamezidi uzushi,ukitembelea RangeRover utasikia ooh huyo freemasson,pumbavu.

shongololo said...

Mbona mi nilifikiri wachawi hawaendeleagi kwani najua waganga na vichawi ni maskini watupu inawezekana vipi ndumba ikupe utajiri?? Siku hizi ukifanikiwa tu freemason?
Hivi hakuna bahati ya mafanikio hadi ndumba?Siamini kama kuna mchawi tajiri. Mtu anatunga wimbo tunamwona, anaingia studuo ukimtoa ni bahati yake si ndumba. Usipoweka akiba usisingizie umelogwa.

Anonymous said...

NA we bakuona tu unavyojikomba kwake! mpaka akumege ndio utauona mwisho wake! mfyuuuuuuuuuuuuuuuuu! ulivyokuwa uganda mbona hukumwambia akupe hata bajaji, hebu tokomea huko, na utadundwa kwelikweli! nenda umshauri sauda kwanza amtoe mumewe busha ndio uje huku kuzungumzia ya wenzio.

Anonymous said...

chamelion kazi zake zinaeleweka bana,mziki akitoa unahit na mauzo yanakua jhuuuu,ndo utajiri wake unaanzia hapo!! jamaa hajawahi kutoa nyimbo mbaya baya...toka dorotea,jamila analiaa ekcetra!! ni mkali kwakweli,anaemsema ovyo na yeye si afanye huo uchawi tuone...waafrica ndo mana hatuendelei!!!

Dorah said...

Kama madai yao mafanikio ya mtu ni kupitia kwenye migongo ya watu hao ni baadhi tu ya waliofanya nae collabo mbona Prof J alifanya nae na bado yuko juu nyumba kajenga magari anaendesha na mziki anaendelea na maisha.......Sintah hata wewe tu ukibadilisha usafiri na kale kamjengo ketu basi watasema we freemasson bongo wacha watu waongee midomo mali yao bwana kazi kukaa vijiweni na kusema flani ana hiki we unaesema una nini ama umefanya nini kazi kusubiri kudandia na kupewa tu si wake kwa waume feeeeeeeeeeew

Anonymous said...

kilomo lomo achana na maisha ya watu jamani, yako yanakushinda ya watu ya nini????? umekalia umbea na kujipendekeza kwa watu wenye pesa tafuta zako mwanamkeee..... unaonyesha magari na nyumba za watu onyesha na zako basi.....

Anonymous said...

we ngedere WEMA AMEWAPOTEZAAAA! AIBU YENU HAOOOOO!CHEZEA TOTO YA KISHUA WEWE?

Anonymous said...

hahahhah hizi comments zanipa raha! eti mume wa sauda ana busha lmfao

Anonymous said...

SUBIRI UTASIKIA TU ALIMJENGEA HIYO NYUMBA NANI NA ANADILI NA NINI CHEZEA MAGAZETI YA UDAKU YAKIFWATILIA JAMBO KAMA ILE NYUMBA KAJENGA KWA HALALI KABISA MUNGU AMBARIKI LAKINI KAMA NI MADAWA KAMA KINA BEACH BABY IPO CKU KITANUKA MBAYA MUNGU ATUPE UHAI NA ATUJALIE HELA ZA HALALI TUSAIDIE NA WENGINE WENYE MATATIZO MBALIMBALI KWENYE MAISHA YETU MAFUPI TULIONAYO HAPA DUNIANI.KUNA KUFA WAPENZI TAZAMA NDUGU YETU KANUMBA YU WAPI SASA.

Anonymous said...

tatizo wanamuziki wa kibongo wanapenda sana ngono na starehe,wakiishiwa na kuukwaa wanatafuta mtu wamsingizie amewaroga,

Anonymous said...

jamani watu wanachekesha kweli hebu nicheke kwanza halafu nitarudii kwi, kwi, teh, teh!!!!!!

Anonymous said...

jamaa anamiliki kampuni yake ya sim unasema uchawi... just mind ur own buznes!!!

Anonymous said...

Kwa nini amuache huyo mr better ana nini????? kama kafulia lazima apewe kubwa yake tu alizan hela atakaa nazo maisha yote?? ACHA KUTETEA UPUMBAVU WEWE ANONYMOUS WA KWANZA

Anonymous said...

hata me nashangaa,, asisemwe huyo mr better kama nan? au kwa sababu kasema sintah angekuwa kasema yule CEO wenu msingekosoa mngesupport mfyuuuuuu!!!! kama unaona sintah anawakera kafungue blog kimya kimya waalike na ukoo wenu wote wawe wanachangia mada,,

Anonymous said...

Si ndumba ila ni seriousness. Chamilioni ameoa na ni cool family man. Hapa kibongo bongo wakipata vijisenti badala ya ku settle wanaruka ruka hovyo kuadili mademu na kuonga. Chmilioni ana nyumba mpaka US.

By the way nilidhani hivyo vitu ni vya Almasi, maana pichani ameonekana kama Almasi nkasema dogo katokaa. Kumbe ni jirani yetu

Anonymous said...

Hauoni uchawi unaoufanya wewe unaona wa watu paka shume weee!lione kwanza sikupendi wewe kimbilikimoooo....

Anonymous said...

we ukimwi unakusumbua kwenye uchi wako

Anonymous said...

JAMANI MBONA MNAPENDA SANA KUMTUSI SINTA? KAMA KWELI CHAMELEON NI TAJIRI ASISEME? NA HILO LIWE FUNDISHO KWA WASANII WETU WA KIBONGO. WAKIPATA PESA WAKUMBUKE KUWEKA INVESTMENTS NA SIO KUTANUA TU STAREHE HAZINA MWISHO.

Anonymous said...

mbona hamuweki humuweki wema na mafanikio aliyoyapata he he

Anonymous said...

huyu mkareeeeeeeeeee prety namba face yake he he he tulizoea majina tu he he uko juu asee camelion nani anaweza kama huyu kaanza kama mchicha tu jamaa, mtu na malengo yake sio wabongo kila kiwanja wanataka wauze sura watajenga lini?