Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MZEE WETU,AMEN

pole Delina wangu kwa kufiwa
tupo pamoja katika hili
sintah n Steve
Kinje na Nyerere
Madege na Nyerere
Sintah,friend n Bea

Mr &Mrs Kinje




21 comments:

Anonymous said...

please pretty sintah baba yake anaitwa nani?i mean marehemu.sijui kama ndio delina huyu nayemjua maana kainama sijamwona vzuri anglau nimpe hata pole sijamwona siku nyingi

Anonymous said...

USHAURI WA BURE: PS Mshauri bro Steve aache kuweka ufunguo wa gari hapo mbele ya suruali yake kwani wote tunajua ana gari hata kama si la kwake. Maana hizo fungua zinamfanya aonekane mshamba kama vile msukuma katoka kuuza pamba kapata vijisenti vya kununulia hako kagari basi atataka watu wote wajue. SAMAHANI SHEMEJI ZANGU WASUKUMA, NAWAPENDA SANA

Anonymous said...

SINTAH UJUI KUJIELEZA KWANI HAPO HATUJUI ALIYEFARIKI NI NANI KWA HUYU DELINA TUJUZE BASI SHOOOOSTI WA UKWELI

Anonymous said...

pole mfiwa kwa kuondokewa, nawe sintah mwambie huyo Bea ajue mavazi ya kuendea msibani hata hao wazungu mnaowaiga wana mavazi maalumu kwa kila occassion...amenitia kichefuchefu, ukipenda bania ila msg delivery...!!

Anonymous said...

yaani manaudhi ndio nini kwenda msibani hivyo na sleeeveless top na ma shades jamani kumbuke leo kwake kesho kwako hata kama unatoka ulaya respect mazishi jamani hakuna uzungu wala nini ni ujinga ulimbukeni na ushamba. kuonyesha heshima na kujali dakika kadhaa hakutakubadili uonekane mshamba sasa hivyo alivyovaa huyo funckroshh bea ndio kaonekana mshamba mara mia we bania tu lkn msg itakuwa imewafikia nyote ndio hao hao

Anonymous said...

show off hadi msibani, yani watu wako kibiashara zaidi. unaambiwa mtu ujiombee kamwe usitegemee waombolezaji waje kukuombea. wanakuja kufanya yao. watu wenyewe kina sinta

Anonymous said...

sintah naona upo na tapel wa mujin,silipendi hilo li baba.

Anonymous said...

mmmh sinta una pochi moja tu au inakuwaje kila picha nakuona na hiyohiyo pochi, itapauka sasa....

Anonymous said...

mmmh sinta una pochi moja tu au inakuwaje kila picha nakuona na hiyohiyo pochi, itapauka sasa....

Anonymous said...

Jamani tuwage tunaangalia na mavazi ya kwendea msibani mwe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

dada na hilo lipochi lako lekundu kila mahali hula nyengine njoo nikuazime duh

Anonymous said...

Msamehe bure c unajua magari ya ukubwani?

Anonymous said...

MADEGA sio madege tako wewe!

Anonymous said...

Yaani huyu steve anapenda show off na maushamba yamemjaa sura yenyewe makunyanzi ina marinda kama utumbo wa n'gombe!

Anonymous said...

msenge wewe unapenda kujichomeka km ushuzi kha yaani sikupendi kwatabia zako za kishamba huwezi kuwa kawaida tu mbona misiba ya temeke huendi? kila mtu wamjua wewe.....ptuuuuu

Anonymous said...

we anonymous uliyemfananisha huyo steve na msukuma,acha upumbavu tena ukome!heshimu makabila ya watu, kuna kabla gan ambalo halina washamba?mshenzi mkubwa mfyuuuu!

Anonymous said...

yan hata me ckapend hako ka steve nyerere kamekomaa kafupi kama mbilimbi mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Anonymous said...

Sintah yuko poa kimsiba not bad ila huyo malaya loh kaenda kutafuta bwana kinguo gani cha kuvaa msibani nyooo tako lako jeus huyi steve mshamba ka mchaga aloshuka ubungo leo umeona picha ukajua unawekwa kwenye blog mavu** yako wewe mfyuuuuuuuu hupati kitu labda huyo malaya alopiga pic na pretty sinta bana hii lkn msg sent

Anonymous said...

sasa ndo nini hiyo mmevaa huko msibani,hayo mamiwani aahhh too much

Anonymous said...

sintah naona upo na tapel wa mujin,silipendi hilo li baba tambi kubwaaaaa!!!

Anonymous said...

J wake Lo hivi hilo janaume mliloliweka kati wewe na Bea mmelitoa wapi????