Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MSANII GANI ANAPENDA KUDAKIA WANAUME WA WENZIE?????????????

only the strongest one's will survive
Unstoppable
mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
Nothing but confidence 



uwiiiiii mbona najitoa muhanga hivi kama mabomu ya Goms,heeee potelea mbali liwalo na liwe,nani anathubutu kunifuata na kuniuliza??(habari ninayoandika imepitia viwango na ni ya kweli)kuna msanii ana tabia ya kuchukulia wenzie mabwana na tabia hii anayo kwa muda mrefu, si kifichoo msanii huyo wa filamu hapa bongo ambaye hajielewi mwanzo wala katikati na mwisho,wewe dada nimevumilia kwa muda  mrefu sana sasa leo ninachia commets sito delete ili wadau wanisaidie

wadau hebu nisaidieni kumuelimisha huyu dada maana amezoe kwa hili sizuii comments,fungukeni fungukeni nijue kuwa mnamjua nun'gaembe wa mjini,  nakupa siku mbili ujipangeeeeee.

sasa ameendea mchumba wa wolper,dadaaa unataka kumaliza mashemeji wote
 
huyu dada ni mchicha wa mbezi hauhitaji maji uki steam tuu ngoma inogilee,

 leo kile cha kuzuia comments not reachable kwahio endeleeni kusanuka.


137 comments:

Anonymous said...

Kwani Wewe umjui

Anonymous said...

Aunt ezekiel

Anonymous said...

Anaitwa Lisa au nesh facebook Anajiita divanesh lol heeheee ndio Zake uyo bandugu kwanza anapakukaa muongo kutwa kubadili wanaume na kuazima nguo, gari, simu nk ... Minafikiri mngemdunda siku maana afai kuwa nae karibu . Sinabifu Naye ila namjua vizuri sana like 8 yrs ago so uniambii kitu Kuusu nesh I kno her very good.... Poleni mliochukuliwa mabwana muwe makini nae changudoa huyo anakazi wala chochote yani Ni Malaya mzuri sana sijui asiyemjua nani... Me like u sinter

Anonymous said...

huyu kama si uwoya ni anti weraaaaaaa

Anonymous said...

Mie cmfahamu bt ni baradhuli, mchukulieni naye aone utamu wa kuibiwa

Anonymous said...

Mie cmfahamu bt ni ibilisi kazi kutia watu machungu tu baradhuri mkubwa, achukuliwe na yeye aone raha ya mwizi kuibiwa

Anonymous said...

Sinta unauziiii! Ungetaja hata herufi ya kwanza ya jina lake!

Anonymous said...

...Nani shostisho jakate...au vj jokey..maana ndo kimau wa mjini hapa!

Anonymous said...

Jamani hao wanaume wenu nao hawajatulia, lawama kubwa sio kwa huyo msanii zinatakiwa ziende kwa hao wanaume zenu wanaomfuata, yeye ameonekana kuwa zaidi yenu ndio maana wanafuata

Anonymous said...

we mwehu kumbe?

Anonymous said...

Tupeni jina hapa tumpe live kama ni huyo Irene au nani tumpe za ukweli.

Vivy said...

Ni Irene uwoya Yule kawaida yake kwanza she's desperate now Hana bwana wa kumpa pesa kachuuunda kwikwikwi

Disminder orig baby said...

mtaje banaaaaaaaaaa tumpe ya Chakubimbi

Anonymous said...

we tupia jina lake tumuoneshe kazi!

Anonymous said...

Wema tu ndio hanaga ishu hizo,nyie mbwiga sasa!mmxxiiuuuuu

Anonymous said...

Lolest..... unaogopa shostito atafulia mijin hapa eeenh kuwekwa mjini kutamuuuu, c alitangaza mwenyewe ana bwana mwenye hela sasa matunda ndo hayooo watu wanammendea.. pole Jackie

Terersia Mahimbi said...

heyyy au Lisa Jensen???mana nimesoma kwenye blog yetu ya ukweeel kwa mama U turn mtu ka comment Lisa alikuwa anatembea na mume wa Jacki beach baby kabla soo la madawa ya kulevya halijabumbuluka..na jackie alikuwa anaplan divorce na Teef a.k.a Zungu la unga..
Angalizo:mwambie shogako Wolper akae mkao wa kula,bwanake zungu la unga..najua hii utaibania

Anonymous said...

Wasanii wote bongo movie plus wewe na jokate kazi kubadilishana virus mbona hukuweka wema mlivyomwibia wake...unajigonga kwa jack now upate vihela kwa taarifa yako hizo gari zimeandikwa dallas anadanganya umma siku ataumbuka

Anonymous said...

Maharagwe hayo ni jokateeeee

Anonymous said...

Kidotiiiiiii dotiiiii ndo yeye bania kama kawaida yako

Anonymous said...

Lisa jensen, nahisi ndo alietoka na diamond kipindi jkt hayupo. kodisha watu wamufire huku wakirekodi halafu unauza clip mtandaoni.

Anonymous said...

mbona hukumnanga jocate alivyomchukua diamond? au na yeye mmoja wao? story yako inawagusa na watu wako wa karibu, kuwa makini usifanye vitu kwa jazba.

Anonymous said...

mbona hukumnanga jocate alivyomchukua diamond? au na yeye mmoja wao? story yako inawagusa na watu wako wa karibu, kuwa makini usifanye vitu kwa jazba.

Anonymous said...

jamani mi simjui, naomba nicheke tu nakuondoka!1

Anonymous said...

JOKATE ndo mbeba vya watu

Anonymous said...

huyo WOLPER mwenyewe DALLAS hamjui..kaunganishwa tu na mtu..anapokea hela wakat hawajawahi kuonana hata mara maoja..istoshe bwana yupo PAKSTAN ANAUZA SEMBE..AKITIA TU TIMU TUNAE AIRPORT POLIS AKANYEE DEBE..HICHI NI CHANZO MATATA..NA KITACHO MSTIRI huyo WOLPER NI HIYO KODI ALIO LIPIWA YA MIAKA MIWILI...MAVI MATUPU

Anonymous said...

Ha ha ha mnachekeshaje? kama ni Uwoya basi tishio kwenu nyinyi, mtoto analipa ile mbaya, anawafunika. bwana akimuona tu anasahau kama yupo na wewe. nampenda sana Uwoya anawakomesha.

Anonymous said...

Madame Sinta nadhani katika hili umekosea sana, ulitakiwa uweke hints huyo msanii wa Bongo Movies ni nani? Hata kama usingemtaja jina ulitakiwa uelekeze ili kila kitu kiwe wazi kwa wadau kuchangia,

Kwa mantiki hiyo sasa umetoa uhuru wa wasanii mbali mbali wa Bongo Movie kutukanwa hata kama siyo wao.

Mathalani mimi kwa muono wangu najua wasanii wote wa Bongo Movie hawajatulia ukianzia na Wolper, Oprah aka Irene, Wema, Ant Ezekiel, Jack wa Chuzi, Jini Kabula nawaona wote ni malaya provided utakuwa na hela tu.

Hivyo hujamtendea haki msanii huyo kama kweli ulilenga watu wamuonye.

Umeleta habari kama kila mtu anamjua huyo shoti wako na umalaya wake.

Wasalamu,

MR wa JF.

Anonymous said...

Joketi, Sinta, Wolper, woote malayaz mjini, inamaana hamjijui???? mbona wewe unatoka na Almasi??? Wolper kwani kaanza wapi hadi kufika kwa dallas, Joketi jamvi la msibani kila mtu anakalia. Upo bi dada??? ole wako ubanie

Anonymous said...

mbona wema alivyoibiwa hukuandikaga,nyoo!!!!!!!wasanii wote malaya hata wewe malaya tu.na kugeukana lazima,.wanaume ni wanaume tu jamani walinyanganywa kina princess Diana awe sembuse wolper.wajifunzege kama wema mbona kanyanganywa maisha yanaendelea.yani najua unamchukia wema ila i love wema so much,yuko open na hata mtu akimchukulia bwana ye maisha yanasonga mbele,wala humkuti kwenye mablog analialia.huyo wolper asonge mbele kwani dallas kamkuta bikra mfyuuu...na hata kama ya nyuma kamtoa asonge mbele aache kulialia kwani mwanume ni dallas tu,nampa sana pongezi huyo aliyemyanganya wolper maana alizidi kujishebedua.BADO SHAOGA AKO JOKATE CANT WAIT SIKU DIAMOND ATAKAPOCHAPA LAPA.......HE HE HE OLE WAKO UBANIE COMMENT YANGU...MFYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU

Anonymous said...

Jack wolper kazubaa sana naye check hafi picha zake ndi pozi fungua macho hayo utaisoma namba kwa kutaka kujidai una magari ya kifahari cheki malaya mwenzio wema na mjengo wa ukweli wewe sifa za kutunza dola kila kona angali magari tunajua ya dallas na amewekwa bond pakistan unamponza mwenzio kwa sifa atakuja kukamatwa

Anonymous said...

joket

Anonymous said...

jwake lo

Anonymous said...

kidoti ndio alivyooo

Anonymous said...

wewe sitha

Anonymous said...

AUNT EZEKIEL NA KUNDI LAKE LA WASIOJUA KUOGA KAZI KUVAA NGUO WANAIRUDIA BILA KUFUA UKIKUTANA NAO WAMEJIPULIZIA SMART COLLECTION INANUKIAAA JUU YA JASHO.AU KAZI YAO KUVAA VIATU VIMECHUNIKA NA POCHI ZIMECHUNIKA, MAKWAPA MACHAfuuuuuuuuuuuuuu.Pia Irene Uwoya ndiyo mama lao kwenye hili suala.aunt mara jack pemba mkewe yuko UK, Hartman mkewe alikuwa US, mara diamond akiwa na kidoti,nk,nk!!

Anonymous said...

huyo ni irene uwoya tu

Anonymous said...

Enyampise ekinyiga enyera(ajambae kwa hasira) sinta umejamba kwa hasira umemnyea Joketi bila kujijua

Anonymous said...

yaani mi mbavu zangu jamani, bora Sinta hujamtaja huyo mtu ili tupate kuya sikia mengi, watu wana Tiririkaaaaaaa!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

HII NI YAKO SINTA KUSOMA SN SIO MWISHO WA UJINGA NA SHULE YAKO YOOOOOOOOOOOOOOOOOOTE UNAYORINGA NAYO AKILI YA KUFIKIRI HUNA. NANI KAKWAMBIA MWANAUME ANAIBIWA?? YANI UNAMPAKA KBS MWANAMKE MWENZAKO HUHISI KM HUYO BWANA NI MALAYA?? HAO MABWANA WENYE MAJININA MJINI HAPA WOOOOOOOOOOOOTE MALAYA NA NDO MNAWATAKA NA MTAPANGWA SN

Anonymous said...

Yani nampongeza huyo atakayemchukua huyo mshamba dallas wolper misifa imekuzidi wenzio huwa wanakula kimya kimya wewe naolewa naolewa nnimebadil dini wakati bwana hewa haonekani yuko bond pakistan na gari takukuru walipokuhoji mbona ulionyesha copy ya card mmiliki dallas?na huyo bwana ni wanted siku akitia mguu tz kadakwa

Anonymous said...

Nampongeza huyo mrembo mzuri mwenye kutakwa na kila shemeji iwe ni uwoya ama aunt nawapendaje

Anonymous said...

SINTA NA JOCKET.

cecil said...

mh wabongo 2na mambo!

Anonymous said...

Jack wolper kazidi ushamba kuvaa vya bei gali lkn hujui ni wapi pa kuvalia too much makorokoro embu angalia hata hiyo picha hapo juu amevaa nini sasa,awe anaangalia fashion tv huwezi kuvaa tumbo wazi kwenye red carpet iga basi hata kwa dada mrembo tajiri mtoto wema,kwa mtindo huu lzm kina warembo wazuri hata kama umemwamsha kitandani bila make up wana mvuto halisi kina uwoya watazidi kukukwapulia mabwana.. Pole sana inaumaa eeeee

Anonymous said...

SASA UNALALAMIKA NINI WAKATI WASANII WOTE WA KIKE WA HIYO BONGO MOVIE KAZI YENU KUCHUKULIANA MABWANA, ILI MRADI MTU AWE NAZO TU, HAMNA HATA MAANA, WEWE NAWE JUMA NATURE ALIKUVUTISHA KIPINDI KILE MANAKE KWA KUKURUPUKA BI DADA MIE HOIIIII

Anonymous said...

NA BADO WEWE KUCHUKULIWA, KAMA WANAKUJA WENYEWE NIFANYEJE, WANALIPA THATS WHY NADONDOKA NAO, WAULIZE SIJAWAFWATA WANAKUJA WENYEWE.

Anonymous said...

JOKATE; ndio anatembea na waume za watu, na wachumba kabisa za watu nini bwana tu kama huyo wa Wolper? Halafu nasikia keshatembea na bwanako pia kama ulikuwa hujui! Hehehee tatizo bado anatafuta inayofanana na yule mcheza mpira wa kikapu ndio maana anahangaika kubadili. Na atatembea na wanaume wa wote kwenye kundi lenu, hata huyo wa Wolper atamtaka kwa ajili ya noti.

Anonymous said...

Kuweni kama Wema alivyosikia Jokate anatembea na mchumba wake Almasi na uchumba akauvunjilia mbali, itakuwa huyo hawara tu, si amuache!!

Anonymous said...

MUOGA KAMA KUNGURU HALAFU UNAJIITA ETI NOTHING BUT CONFIDENCE. CONFIDENCE UTAKUWA NAYO WEWE?

Mtu mwenye confidence na mwenye uhakika na anachokisema angeandika habari iliyokamilika yenye majina ya wahusika lini nini na wapi yaani with details, lakini sio habari yako hii isiyo na kichwa wala miguu. Huna confidence wala nini mbea tu na majungu yamekujaa!!

Anonymous said...

HIVI INAKUAJE MNASHINDWA KUWAULIZA MABWANA ZENU PINDI MNAPOGUNDUA WANA UHUSIANO NA MTU MWENGINE BAADA YAKE MNAWALAUMU WALIOTONGOZWA? AU HUYO MWANAUME ALIBAKWA? LAZIMA MFAHAMU KWAMBA NJAA MLIYONAYO NYINYI NA WENZENU PIA NI HIVYHIVYO KWA HIYO ITAKUA N I KOSA KUBWA KAMA KICHWA KIKIJILETA ALAFU MTU AKIOGOPE ETI KISA BWANA WA SINTAH AU KIDOTI. NA HAPO NDIPO PA KUJIPIMA THAMANI YENU KAMA KWELI MNAPENDWA AU MNATUMIWA TU, MAANA KAMA ANAKUPENDA HANA HAJA YA KUCHUKUA MWENGINE ILA TATIZO WATU WANATAFUTA WAPI KUNA UNAFUU MAANA WANAWAKE WA BONGO MOVIES PAMOJA WAREMBO WOTE MAFLA ZIMEKUFA KWANI WALIANZA UMALAYA TANGU ENZI ILE ASKARI ANAVAA PENSI!

Anonymous said...

Achana na maujinga mauswahili ya kuibiana wanaume wote wezi kwani ni mume wake alifunga naye ndoa?huyo dallas bado anatafuta mchumba bwanaa utasoma namba jack hujaibiwa kila mtu anahaki mpaka hapo mtakapofunga ndoa na siyo ndoa maneno

Anonymous said...

SASA HAPO MWENYE MAKOSA NI MWANAMKE AU MWANAUME? MWANAUME NDO WA KULAUMIWA MAANA YE NDO MALAYA, UYO DEMU YEE ALIFUATWA TU KAMA ALIVYOFATWA HUYO WOLPER

Anonymous said...

Tuonyeshe ya maana tuwekee jumba la mtoto mzuri wema umebaki mabwana mabwana si mnawapa sifa hao wanaume ndo wanazidi kuwamix

Anonymous said...

Wako akiwa kwako akitoka nje si wako! wanaume malaya jamani! huwezi ukampata wa kwako peke yako dunia hii ya leo, labla umuumbe mwenyewe, mwenye makosa hapo ni huyo mwanaume jamani msimnange dada wa watu bureeee!!!!!!!

Anonymous said...

Umesema hubanii comment mbona umekimya watu tunapost hazifiki

Anonymous said...

mumtaje basi uyo mchukua waume za watu tumjue

Anonymous said...

jamani mwenzenu nipo dillemma, ni nani huyo???

Anonymous said...

Jamani jamani kwa Jokate mnamuonea tu na pia kabla ya kupanic au kufanya lolote fanyeni uchunguzi wa kina watu wengi wanaishi kwa kusikia na kuambiana but si kwa kushuhudia kwa macho yao acheni hizo kila mtu anatafuta ridhiki yake hapa mjini,na unapokuwa na boyfriend no need of show off wala kuwaonesha wanawake wenzako.

Anonymous said...

Huyo niiiiiii mwaNadada mwenye mvuto kila amwonaye anashtuka ireeene ama kiboko yao aunt mkomesheni huyo mshamba wenzio wananunua majumba wewe unapewa funguo za x6 wacha wakupore urufi kule ulikotoka

Anonymous said...

kuma la mama yako malaya wa Juma nature ww.

Anonymous said...

Huyo atakua ni Wema maana yeye ni zoazoa kutwa kuhangaika na wanaume tu ndicho achokijua mwambieni atakufa mapema halafu magazeti yanamuandika anasema ana nyota ya kupendwa anajicfu ujinga? kaeni naye mmwambie anapotea

Anonymous said...

duuuu nia ina mamboo,,,WOLPER ALIKALIA GUMHOGO GWA DIAMOND,WENA ALAINYONYA LIMHOGO HILO LA DIAMOND,AUNTIE ALIMUNGUNYA LIMHOGO LA DIAMOND,KIJUTIO...aka KIDOTI ANALIKALIA...ANAYEFUATA..ATAKUWA SINTA,HALAFU SINTA MBONA KILA UKIPIGA PICHA UNAFICHA TUMBO NA MKONO...UNA MIMBA AU

Anonymous said...

TIRIRIKA!!!!!!!!

Anonymous said...

Nyie nanyi kusoma hamjui hata picha hamuoni mshaambiwa anakaa mbezi sasa uyo c irene uwoya na mara kibao magazeti wameandika wazazi wa dallas wanampenda irene zaid ya wolper

Anonymous said...

Pumbavu we sinta shenzi kabisa, uliona raha sana kidoti alivyompindua WEMA na bado utaliona jua usiku

Anonymous said...

Hahahaha Nimeipenda hiyo mnapenda wenye majina yaani mbona na bado mtapangwa kama nyanya maana wote mnawataka hao hao kuweni wapole mambo siku hizi ni mbio za vijiti kikidondoka mwingine anaokota na kingine hata kabla hata hakijadondoka kinaokotwa juuu kwa juuu so kazi kwenu kugawana virusiiiiiiiiii

Anonymous said...

du!

Anonymous said...

my dear sintah wote wamesema mengi na comment zote nimesoma but me nahic ni Wema Sepetu no one else mwenye tabia chafu ambayo inamfikia wema.ni hayo tu wangu

Me Shasha
Arusha

Anonymous said...

Shangazi ezekiel huyo nahasira naye ametombwa na bwana angu american chips kweny gari akajua atapewa helaaa kaambulia elfu 30 sasa nakutafuta na mi nikutombe na kisu si unapenda sana mabwana za watu eh mbwa kabisa jitegemee. Mwenyewe

Anonymous said...

wema tu ndio mchukua mabwana za watu

Anonymous said...

Uwoya uyoooo demu kuna siku aliingia ofisi kwa watu akafirwa bila mate wala mafuta..tena hii juzijuzi wakati mumewe yupo na wamegombana alipangishiwa nyumba na mbaba mpaka mumewe akagundua akaenda kumuambia mke wa uyo mbaba kuanzia siku iyo mbaba akaacha kumuhudumia..unaloo bibie kazi kuchukua waaume za watu tu ulizani kuolewa fashion eh sasa ndoa imekushinda kauze dagaa

Anonymous said...

huyo aliesema enyampise ndo kanivunja mbavu...

Anonymous said...

1. Jacky Wolper - ushahidi ninao hata wangu alitaka kumchukua nikapiga stop......
2. Jokate
3. Aunt Ezekiel
hawa ndo top 3

Anonymous said...

ila kweli hawa mabwana wenye majina hapa mjin npasua kichwa, wana tabia ya kuwataka shemeji zao, kifupi hawajatulia!!

Anonymous said...

"SURVIVAL OF THE FITTEST"
WANASEMA ANAYEFIT NDIO ANASURVIVE SO
HAO WANOIBIWA WANAUME WOTE HAWAFIT KUWA NA HAO WANAUME
SO POLE ZAO HALAFU WATAIBIWA SANA WANAUME WENYEWE
TAFUTENI VYENU WANAWAKE ATAKUHESHIMA MWANAUME KAMA AKIKUONA UNA PESA/CLASS
CONFIDENCE YA "KUIBIWA" ANAKUWA NAYO ANAPOKUONA YOU ARE SO CHEAP HATA KAMA UWE NA ELIMU GANI IF DONT HAVE THE CLASS U JUST DONT HAVE IT
SO
U LADIES ARE CHEAP AND YOU DONT FIT IN THIS COMPETITION
HAHAHA
MTAIBIWA MPAKA MKOME KUWA CHEAP

Anonymous said...

hayawahusu!

Anonymous said...

KIJOKETI HICHO NDICHO KINAIBA MABWANA WA WATU, NA WEWE SINTAH UKIONA TU MTU ANA UMAARUFU TAYARI NI RAFIKI YAKO SASA HIVI UPO KWA JACK YATAKUSHINDA,WEMA ALIKUWEPOGI RAFIKI YAKO MPAKA UNAMUAGIZA VITU DUBAI KUMBE MNAFIKI

Anonymous said...

Jacky nae si nasikia kumbe gari ilikua card sio jina lake.

Kaporomoka mbaya mpaka kwenye Noah.

Ushauri wa buure Jacky. Tulia tafuta hela zako. Hapo wanaume watakuheshimu. Hebu fikiria juzi juzi ulitangaza kuuza Noah sasa ndo unaitumia tena. X6 ya watu imeshachukuliwa.
Dola elfu kumi uliogawa ndo thamani ya Noah yako show roo ya used cars. Ni akili hiyo?

Na Aunty Ezekiel atkuchukulia tu huyo bwana. Halafu mambo yako ffanya kimya kimya sio matangazo. Mara unabadili dini. Ustaadhi anafundisha.. Yote ya nini hayo? Mbona mshamba wewe?

Tangaza tena kwenye BBM unauza Noah yako, Tangaza X6 imechukuliwa. Tangaza pia bwana kachukuliwa na Aunty ezekiel.

Bwana mwenyewe muuza unga!!! Nyoooooo! Hata huoni future. Wewe wa kutembea na Jux kale katoto kweli? Ndo maana X6 imechukuliwa.

Anonymous said...

mwanaume haibwi shosti anaamua kujiiba!!!upooo??na huyo jacky ajiandae chezeaaaa pesa za ungaa!!!!mwaka huu wezi wote ndaanii!!alianza kajala,lulu,jacky patrick saivi ni jacky wolper na kidoti>>>>mjini hapataki makuu wadada!!na huyo anaeitwa mwizi ni ataibwa na yy

Anonymous said...

MLETE KWANZA JOKATE A.K.A KIDOTI TUANZE KUMCHAMBA YEYE HADI TUKIMALIZE NDIO UTULETEE HAO WENGINE.ILA TUANZE NA HUYU ALYEKUBUHU,HAVUMI LKN WAMO.JOKATEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

Anonymous said...

MLETE KWANZA JOKATE A.K.A KIDOTI TUANZE KUMCHAMBA YEYE HADI TUKIMALIZE NDIO UTULETEE HAO WENGINE.ILA TUANZE NA HUYU ALYEKUBUHU,HAVUMI LKN WAMO.JOKATEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

manka said...

we kifurubwido mbna unabania coment yangu!!!!!!huyo paka shume la mjini ni uwoya!!mbwa wake anaitwa jacky!!ila jack aache umalayaaa!!!halaf mambo ya kutembea na wauza unga lazma laana ziwazunguke mmezoea kuiba mkiibiwa mnalia!!!!na hii bania mfyuuuuuu

Anonymous said...

hivi wewe sinta unaakili kweli huyo mwanaume wa ilo li bibi lisilo na mvuto wolper ndo amekuuma sana na je joketi alivomchukulia wema tena mwambie joketi hana mvuto labda akafanyewe plastik sj. irene na anty nawapenda sana wanajiamini sio nyie msuo na choice

Anonymous said...

MALAYA MBOVU MJINI NA MWIZI WA MABWANA WA WATU INGAWA NA MABWANA ZENU PIA WANAMTOGOZA WENYWE KWA UZURI WAKE MTOTO KAUMBIKA MSHALLAH MZURI BLACK BEAUTY NO MKOROGO AUNTY EZEKIEL. NA AKIMPTA WA WOLPER AMEKWISHA ATAPIGISHWA MCHAKA MCHAKA MPAKA AKOME. AUTNY KAZA BUTI ENDELEA KUWATOMBEA TU HAO SI WANAJIDAI SMART KUJIONYESHA NA KUJITANGAZA KULA MAMA

Anonymous said...

halafu wewe SINTAH MUONEKANO WAKO TU UNAONEKANA UNANUKA MIKOJO AU CHUPIII, HAHAHAHAHAHA, OVYOOOOO

Anonymous said...

HUYO DALLAS MWNYWE MBNA TUNASKIA ASHAKAMATWA NA MAGAR YANAPGWA SALE KAWEKWA BONDI MBNA HILO HUSEMI

Anonymous said...

MBNA HYO DALLAS WA WOLPER KAKAMATWA KWA UTAPELI NA KAWEKWA BONDI MAGAR YANAUZWA WAARABU WALIPWE MBNA HILO HUSEMI?

Anonymous said...

Wolper mwenyewe kazeeka kha hata havutii tena ataishia kuendesha magari ya wtu tu .big up wema upo juuuuuuuu

kokusimah said...

Ahahhaa We makwetu u made My night

Anonymous said...

Jamani watu mna maneno kweli bora hujaweka jina tumejua mambo mengi ya hao malaya wanaojiita wadada wa mjin alafu hawana hata kinyaa wanachoangalia eti pesa sa hv mnaonekana wa bei rahisi kazi kuuza uchi ndo mchetuke mjini mnapenda vya bei gali na pesa hamna mbona mtagaragazwa

kay said...

wa kulaumiwa nani kati ya mwanamke na mwanaume?kuna movie moja ya chuz nimeisahau jina,nilipoiyona nikajisemea mwenyewe chuz anawafikishia ujumbe maisha yao halisi wasanii,ndio hayo sasa.

Anonymous said...

Wema yupo juu sasa ni ngazi nyingine,muacheni na mmkomeeee...uzeni uzeni mtapata na nyie hela ya kununulia nyumba chalinze

Anonymous said...

watu people endeleenei kutiririkaaaaaa!!!Sinta usimtaje huyo mtu acha kwanza watu watiririke, yaani mi naona raahaaa!!!

Anonymous said...

hahahahahahha..... Dar es Salaam is full of shiiiit!!!1 na wote mliotoa comments!!!

Anonymous said...

Hili li shangazi ezekieli nalichukia kama nini,kwanza nasikia huyomalaya mbovu ananuka mkundu.huyo annon aliesema anti na kundi lake ni wachafu wala hajakosea.ukikutana nao kama ukiangalia makucha yao waliyobandika kwa chini yamejaa maviii.halafu wanapenda sana kujipendekeza kwa watu na kukaa tu chini kuongea umbea na kusema wenzao au wake za wanaume wanaotembea nao.watu wenyewe shule hawana,kazi yao ni majungu tu.

Anonymous said...

teh teh teh uwiiiiiii we ndo bwege kweli sasa c pamoja na weweeeeee,

Anonymous said...

Huyo ni Irene Uwoya jamani mwanamke huyu ni malaya ndio maana kaachana na mumewe kwaajili alimpendea pesa alivyoom\na mmewe mamabo hayaendi sawa kwa mumewe akadai kuachana naye na pia alivyoona jacky anakismart akamnyanganya jack bwana wa kwanza AKAMWACHIA now anataKA KUMWIBA HUYU WA SASA kweli uwoya huna haibu subiri utafutwe iumezidi kudandia vya wenzio tafuta wako UWOYA unatabia sana ya kuibia wenzio mabwana acha hizo malaya ww

Anonymous said...

Huyo ni Irene Uwoya jamani mwanamke huyu ni malaya ndio maana kaachana na mumewe kwaajili alimpendea pesa alivyoom\na mmewe mamabo hayaendi sawa kwa mumewe akadai kuachana naye na pia alivyoona jacky anakismart akamnyanganya jack bwana wa kwanza AKAMWACHIA now anataKA KUMWIBA HUYU WA SASA kweli uwoya huna haibu subiri utafutwe iumezidi kudandia vya wenzio tafuta wako UWOYA unatabia sana ya kuibia wenzio mabwana acha hizo malaya ww

Anonymous said...

WEZI WA MABWANA ZA WATU
1. IRENE UWOYA na tunajua anagawa matako
2.WEMA SEPETU-Gumegume
3.AUNT EZEKIEL
4.JACK WOLPER

Anonymous said...

WE MBWIGA ULIOSEMA TULIOTOA COMMENTS FYOKOFYOKO, -SHIT UNAZO WEWE, AMBAYE BADALA YA KUCHAMBIA MAJI, UNACHAMBIA MIKOJO! SASA HAPO UMEFANYA NINI? MFYUUUUUUUUUU! NDIO MAANA HUNA MWILI KA TAMBI ZA FUTARI! ACHANA NA CC!

Anonymous said...

huyo atakuwa nesh au lisa li malaya halina mpango anawivu kwa mademu wenzie muongo wa kutupwa kujifanya yupo juu kumbe hana lolote!tumeshtuka dada na uache wivu

Anonymous said...

hahaha kuibiwa mwamaind mnavyoibaga vya watu...shogaako jokate si kamwibia wema au sio yeye....we mwenyewe ushaibia wangapi alaf anayejiamini anataja na jina mbona hujalitaja zaid ya kumbwela?ungelitaja ningekusoma...mpaka hapo bado rudi kajifunzeeeee!

Anonymous said...

Hakuna anayeibiwa bwana hapo wte nyie wafanya biashara wa kuma

Anonymous said...

We sintah na joketi ndo wa kwanza

Anonymous said...

WEWE sintah unahakika na unachokisema? Bwana kanifuata mwenyewe!! uzuri wangu na umbo langu limemvutia atawapendaje nyinye magumegume? mtajiju mwaka huu nawa ambia nimeambiwa kuwa umenitoa mtandaoni teh teh teh teh nikupe siri moja sihazimi nguo, gari, walanini mabwana zenu na kuwashwa kwao wanazimwaga kama hawana akili nzuri kila nacho omba namwagiwa mwaaaa! nikiwa nao wananiambia wanajuta kuwapenda teh teh teh kwanza malovee hamjui mtajiju 2012/2013 kazi kwenu kurusha mafumbo mtajibebaaa na siwaachii ng'o! magume gume nyie.

Anonymous said...

waambieni mabwana zenu wakae mkao wakula burget ndo ishapitishwa hivyo!!! nasubiri ukame uwapate vijisenti vyote navikamata kama sina akili nzuri mtakomajeee! bwna wa mwenzio mtamu asikwambie mtu. nitampataje wangu kutwa niko na wako? tafakari chukua hatua teh teh teh

Anonymous said...

HAPO HAKUNA KUPINGA NI JOKETI ANACHUKUWA ANGALI MOTO! MTOTO MALAYA SANA YULE! ANATOBWA BILA AIBU! HATA MDOMO WAKE ANAPENDA KUWEKA KAMA MKUNDU WAKE! KUONYESHA NYEGE POPOTE!

Anonymous said...

JOKETI

Anonymous said...

JOKETI JAMANI!

Anonymous said...

SINTAH HUYO!

Anonymous said...

SINTAH!

Anonymous said...

Binti andika vitu vinavyogusa jamii na kuelimisha, mjadala kama hii inaongeza chuki, ugomvi na fitina! Napenda kutembelea blog hii unatoa taarifa nzuri lakini kwa hii binti sijakupenda kivile! Ongeza marafiki punguza maadui!

Anonymous said...

Binti andika vitu vinavyogusa jamii na kuelimisha, mjadala kama hii inaongeza chuki, ugomvi na fitina! Napenda kutembelea blog hii unatoa taarifa nzuri lakini kwa hii binti sijakupenda kivile! Ongeza marafiki punguza maadui!

Anonymous said...

yaani mi hata kama nina stress zangu nikiingia humu zote kwisha, safiii saaana wadau lete mambooooo, lakini mnao wataja muwe na uhakika wakiwa jua mtajibeba wenyewe Sinta hayumo!!!

Anonymous said...

Safi sana na umalaya wenu mnatuabisha wabongo kwa sekondo za umalaya tuu

Anonymous said...

Jamani mwenye uhakika anijibu..je ni kweli jacklin wolper kanyang’anywa x6 ?

Anonymous said...

Jamani kuweni wapole ni Aunty Ezekiel Confirmed.

Mwambieni Jacky naye aache kutembea na watoto wadogo ndo maana Dallas muuza Unga kamshtukia.

Huyo muuza unga angekua na kichaa angeendelea kuwa na Jacky aliyepigwa pasi. Mfyoooo

Anonymous said...

huo mtu wako utakuwa namatunda yaloyooza ndio sababu yanapigwa mawe....

Anonymous said...

akimaliza uyo aliyeingia mm mwenyewe namtaka uyo mume wa jack coz naisi na uwezo wa kumtumia vzuri kuliko nyinyi nyote.... mpe pole hla ntampata 2 uyo bwana i knw

Anonymous said...

Mh,mimi napita tu humu

Anonymous said...

Ukiona hivyo Bwana bado anaendelea kuchakua atakaye mfaa, kaona WOLPER HAMRIDHISHI ANAVYO TAKA YEYE SASA MWAMBIE ASILALAMIKE AKAZANE MAUJANJA
HABARI NDIO HIYO KILA MWANAMKE ANATAKA KUISHI VIZURI SASA KUTONGOZA KAUMBIWA MWANAUME TU HATANA SISI WANAWAKE WANAHAKI YAKUTONGOZA MBAYA UKATALIWE KAMA KATONGODA NA KUBALIWA POA TU MBONA MNAPOTONGOZWA NA WAUME ZAWATU MNAKUBALI KWANI HAMJUI KAMA WANAWAKE ZAO


KAOGENI HUKO WEWE NA HUYO JACLK WAKO BADO WEWE WANAMGOJA WAKO KAMA WEMA ALIVYO PORWA NA KIDOTI
NDIO LIFE LETU

Anonymous said...

Wanawake kazi mnayo!!!

Anonymous said...

Kuna lijitu linachekeshaje eti kaanza kajala,lulu hahahahah hv kajala na lulu wamemuibia nani?acha usenge wewe mbona ubacomment out of mada mfyuuuuuuu utafirwa na kisu nyambafu wewee acha chuki binafsi.

Anonymous said...

Fuck ur asssssss**** wewe unaetumia majina ya watu mbona tushakujua mwenyewe unafanya siri wakati umemwambia mwenzako mwenzako naye karopoka,ili iweje?sibora ukachagua anonymous

Anonymous said...

Acheni ujinga watoto wa kike mnaacha kudiscuss issue za maana mnajadiliana kuibiwa mabwana,hivi we sintah mzima kweli?eti Jack kaibiwa bwana,ye mwenyewe mwizi acha nae aone raha ya kuchukuliwa, na huyo mwanaume ni malaya tu na mtapangwa foleni sana tu hamna mnachokitegemea mjini zaidi ya kuuza nyuchi,kumamae zenu,bora ungetuletea mjengo wa wema atuencourage mademu watafutaji nyie muendelee kuuza kuma na matako,nothing but confidence mbona umeshindwa kutaja jina kama una confidence kweli,BWEGE WE.

Anonymous said...

Nawaangalia tu mnavyohangaika na ku comment sasa nyie wooote nshawapitia hamjijui tu......

GRACIE said...

sijui ni umasikini au ni ufinyu wa fikra ndo unaochangia????au kulala na kulala na kila mtu na kudharauliwa kwenu nyie ni MODE!!!
YAANI MKO SO LOW!!!!! VERY CHEAP FROM VICHWANI HADI OUTFITS ZENU!KUWA NA DEGREE SIO KUWA NA AKILI NI KUWA ULIJIBU MASWALI VIZURI KWENYE MITIHANI ILA MAMBO YOTE NI NJE YA DARASA!!! YAANI HATA NIKIWAONA SEHEMU ZA STAREHE NITAONDOKA HILO ENEO!!!
THOSE WHO HAVE KNOW HOW TO MAKE REAL MONEY THEY DONT FLASH THEY INVEST AND DO BIG THINGS BUT PPL LIKE U N UR GANG(ZERO BRAINS)U FLASH FOR FEW DAYS N U LIVE REST OF DAYS WITH NOTHING!!!SORRY THERES NO SCHOOL FOR HOW TO LIVE A LIFE!!!!

Anonymous said...

Ati "mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe" wewe mwenyewe Sinta unaweka mapaja yako na matiti wazi!
Acha tabia chafu na watanzania waache kukusema!

Anonymous said...

aunt mzuri bwana..mimi ni demu lakn nikumuonaga naskiaga hamu ya kumdondokea tu!mumkome kabisaaaa

Anonymous said...

Chuki ni nyingi kuliko hali halisi, ni vizuri mkirekebisha watu kwa busara kuliko kuwafanya wachanganyikiwe zaidi kwa kuwatusi, makosa yapo na kusameheana kupo pia! Punguzeni hasira wachangiaji!!

Anonymous said...

MIMI NAPITA TU NAWASHANGAA MAMBWIGA MNAVOHANGAIKA KUCOMENT

Anonymous said...

he! makubwa jamani, ngoja nipite tu mi sitii neno hapo!!

Anonymous said...

We dada ni Zero sanaa!

Anonymous said...

najuta mie lo jamani wadad mbona adabu imekosekana kiasi hiki! hebu mjiheshimu jamii inawatapika bila kichefuchefu loh!

Anonymous said...

HAWA WOOOTE NSHAWATIA SASA ACHA NIMTAFUTE LISA KUNA VOGUE NEW MODEL INAKUJA HIYO NIKENDA NAYO KWA DOGO HACHOMOI TEHEEE ETEEHEE BONGO RAHA SANA

Anonymous said...

We unaesema hawa wote ushawapitia ngoja nikusahihishe sema hivi hawa wote tusha pitiana, yaani umewapitia naoo pia wamekupitia, na huyo dada wala humpati anajiheshemu mwenzio!!!!!!