Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

HAPPY BIRTHDAY

only the strongest one's  will survive
Unstoppable
Nothing but Confidence
j wake lo
mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
lope lope
sintah
s
christine JM





HAPPY BIRTHDAY VANESSA MDEE AND PAMELA





 Almighty God without you am nothing,thank you so much, so proud of every scar in  ma heart,each one holds  a lifetime's worth lessons.

What u need to know about me, i don't let other people's opinions affect what i do in life.

Have a blessed day.

55 comments:

Anonymous said...

oooh la la!!! wewe ni mzuri mno unafunika wote.
sana sana yule ceo wa upande mwingine. hakufikii ng'o ata afanyeje!!
happy birthday beautiful.

Anonymous said...

happy birthday j wake lo..have a guuuudddd one!

Anonymous said...

enjoy ya day pretty sintah..love you mingiiiiii

Anonymous said...

enjoy ur day pretty ..love u mingiiii..mwa mwa..leo na kuchamba jamani..its her birthday for god sake!

Anonymous said...

Hongera sana Sinta, endelea kumtumainia Mungu na kuwa mwema. Jitahidi kuwa mfano kwa vijana hasa wakike kwa kuwafunza jinsi ya kujiendeleza ili kuwa na uwezo wa kujitegemea hata kuweza kupata elimu nzuri. Jifunze kusamehe na jaribu kujitolea ili kuwa karibu na jamii zaidi. Achana na bifu zisizo za msingi. Napenda kujiamini kwako, Mungu akubariki sana.

Anonymous said...

Kuma la mama ako!!

Anonymous said...

Happy bday wajina live long! ingawa huwa unanishangaza kila picha umepindisha miguu. try another pozii bwanaa

Anonymous said...

Happy b'day baby mungu akulinde, akushindie na wabaya ili uweze kuishi maisha marefu yenye furaha wewe na familia yako

JLO said...

nakuonea huruma unaesema naijua black forest leo mwenzxio kila mwezi ninaletewa kipande from Kempiski na jokate pole sanaaa

JLO said...

nakuonea huruma unaesema naijua black forest leo mwenzxio kila mwezi ninaletewa kipande from Kempiski na jokate pole sanaaa

Anonymous said...

Kipande cha blackforest ni 10thou tu/= bania na hii,yan sinta kujitia mjanja ilhali mshamba jamani,black forest bei rahisi mno,kaiona juzi kachachawaaaa lol lol ulidhani ni laki tano nini??

Anonymous said...

Mpe moyo eti hamfikii nanihiii hahahahAaaaaa ROR aringe

Anonymous said...

LOLEST J wake Lo uwiiiii unaniachag hoi unavojibugi watu. it shows kua ni kweli ulikua huifahamu ndo umeijulia kwa jokate. eti kila mwezi unaletewa na jokate. atakua kakuletea baada ya wewe kumletea ile wadau waliokuambia chafu,ili ujue kua keki ndo hizo sio ule uchafu ulimletea.

anywayz Happy birhday, may you have many more

Anonymous said...

Una ngapi kama sikosei ni 35yrs hongera bibi

Anonymous said...

happy b'day galfriend see u soon

Anonymous said...

we kifurubwido! haya hebu tujuze sasa kama hiyo keki ya msitu imeletwa!?? kujitia upana ka pazia la leba nimekwambia toka jana utulizane! kujishaua tu ka unga wa ngani kwa kuwa na mambo mengi, maana inga wa ngani kila kitu unapika, hebu kuwa ka binti mtu mzima mwenye kujua anachofanya! muone kwanza kidevu ka cha mnyang'anyi! mfyuuuuuuuuuuuuuuuuu! haya hapy birthday ila punguza hashuo! hovyooooooooo!

Anonymous said...

Happy Birthday Sintah!

Anonymous said...

ha ha ha kama kwa kupishanisha vimiguu yako wewe happybirthday KABIBI

Anonymous said...

ha ha ha ha kwani kipande cha cake shs ngapi mpaka usisifie tulizana bibi wenzio wenye pesa zao wametua sio ww mshamba mshahara wa vilaki vinakuendesha mbio. Kaogeeeeeee bibi

Anonymous said...

Hahahaha Happy Birthdayy Sintah.. May you live long.. Leo silongi mengi staki kukuharibia siku since ts ur big day! Sema kwenye cake ya blaq forest umejidhalilisha..kwahyo alivyokuletea jokate ndo ukaijua?? Hahaha haya naona kakutoa ubwabwa wa shingo

Anonymous said...

Mfupi kama kimba. mshamba msomi utakuwa ww malaya mkubwa hapo naweza kukupa cheo cha ukahaba

Anonymous said...

Happy birthday Sintah May God protect you from all haters out there.


Hivi sintah, unamfahamu JANETH MANONGI? Naona kama mmefanana kiasi flani are you sisters or cousins? check her on face book and tell me i am curious

Anonymous said...

jamani watu wengine cjui mmelelewa wap muacheni sintah jamani hvyo ndo alivyo KUMTUKANA CDHANI KM ITASAIDIA KUMBADILISHA MUACHENI ATABADILIKA MWENYEWE KADRI CKU ZNAVYOKWENDA IWAPO ATATAKA KUBADILIKA HATA ACPOBADILIKA CC WENGINE BADO TUNAMPENDA HVYO HVYO ALIVYO TANGU ENZI ZILE ZA KAOLE, JUMA NATURE, JUMA KAKERE N.K. HAPPY BIRTHDAY MTI WENYE MATUNDA NDIO UNAOPIGWA MAWE TUNASUBR MAPICHA YA BIRTHDAY PARTY, PENDA SANA WW.

Anonymous said...

Happy birthday!sa cjui miaka mingap kama c 35!

Amanda Adam said...

MATUSI NA KASHFA ZAO NI BURE,UMEPENDEZA MDADA WA WATU.HAPPY BIRTH DAY.

Anonymous said...

Kaogeeee, Ila Sintah kuna vitu viwili abt U. U either too smart or too dumb
Smart- unafaya kusudiii kuandika upuuzi ili kukera watu ili blog yako iwe juu
Dumb- huna akili kabisa na hujui unachoongewa which sielewi iweje una masters na reasoning yako ya kijinga ivyo au ndo degree chupi?

Either way... inawezekana una akili coz umenifanya mie na akili zangu nina visit this stupid blog na ninakerwa na statements zako...crazy huh?

HBD anyway

Anonymous said...

Sinta wewe ni zaidi yaoooo!Mungu akupe maisha marefu yenye furaha na amani siku zoote!! happy b, daaaaaaaay!!!!!

Anonymous said...

Hahah unavyohusudu matusi ati ukapiga mkwara siweki comment,thubutu! mbona waendeleza

Anonymous said...

yani we sinta unapenda mashauzi ya kuiga wakati mshara hata milioni haufiki. sasa si unapata tabu sana jamani, hayo ndo mambo yakuchukuna na kuomba omba ilimradi tu uweze kununua hio blackforest kila mwezi. acha hizo mamito kwa maoni yangu hujafika huko. kwa kipato we bado saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana

Anonymous said...

Yani wewe utabaki kuwa msenge tu hata kama umebania coment yangu. Kichupi chako kinanuka, nafurahi manake umeisoma kimyakimya. Manina zako

Anonymous said...

Eti mama muzungu hamfikii,hahahaha mdanganye mpake mafuta kwa kiuno cha chupa aringeeeeee,akipita hashtui hata wauza genge huyu!bania kama kawa ila umeipata bidada

Anonymous said...

Happy birthday kikongwe!unazeeka sasa unasherehekea uzee?duhhh,fanya fanya ya mwaka kesho tukuite at least mama naniliuuu

Anonymous said...

SINTA HAPPY BDAY. MWANZONI NILIKUWA NAIPEDA SANA BLOG YAKO LKN SASA NIMEPUNGUZA SANA MAANA KILA NIKIINGIA NI LOPE LOPE,MTI WEYE MATUNDA,NOTHING BUT CONFIDENCE,SIJUI NINI INABOA AISEE TOO MUCH MY DIA NA LEO NDO MWISHO SIINGII HUMU TEENA. BYEEE.

Anonymous said...

Hahaha cake kafundishwa na cate baada ya kumpelekea lile li ugali la muhogo lake,mshukuru sana naona anakutoa tongotongo sana!

Anonymous said...

ucbanie comment zetu nyoko wewe nyoko!

Anonymous said...

Nikitaka kufurahi tu huwa napita humu kwenye comment. Yaani nacheka hadi basi maana kuna kila aina ya vijimambo. Mashushu sasa me hoi. ALL in ALL HAPPY BIRTHDAY SINTAH.

Anonymous said...

we anonymous wa kwanza acha kumuongopea mwenzio

Anonymous said...

we anonymous wa kwanza acha kumuongopea mwenzio

Anonymous said...

HAPPY BIRTHDAY MREMBO SINTAH WAUKWELI MNOO!!!!!!!!!!!!ACHANA NA HAO WASHAMBA WALIOUJUA MJI JUZI..TUPA KULEE KWENYE DUSTBIN

Anonymous said...

happy bday cute

RUKY said...

WAWOO SIJUI KWANIN WATU WANAPENDA MATUSILOOOOOOOO UTADHANI WAMEZALIWA CHOONI.. PENDEZA SANA SINTA MUNGU AKUZIDISHIE UJASIRI.

Anonymous said...

Nimekusikia leo times fm umetimiza miaka 20 hongera j wake lo mi luv u xi much but sio jokate mwizi wa mume wa wema

Anonymous said...

nyie mnaomtukana poleni na hiyo ni hasara ya wazazi wenu kutowalea ktk maadili mema,kama hamumpendi sintah msiingie ktk blog yake,tuwe wastaarabu hasa ww wa sita kutoka juu.

Anonymous said...

happy birthday,,

Anonymous said...

happy birthday mdada

bellensia said...

Happy birthday Sintah:-) Love u gal

bellensia said...

Happy birthday Sintah:-) Love u gal

Anonymous said...

happy birthday sintah tuoneshe basi jana ulikulaje hilo li blck forest lakoooo.... he he he he he

Anonymous said...

hongera mumy kwa miaka uliyotimiza ila usijibu mtu humu ww kaa kimya alafu acha kuweka matusi unapoweka moja tuu na mwingine anaona na mm niwekee we huwajui bendela fata upepo hapo ata ukimuuliza kwa nn amekutukania mama yako hata hajielewi my dia uwe unazibania huko huko ili heshima ije, ambaye akupendi sasa anakuangalia ili iweje mbona mablog kibao yakuangalia.

Anonymous said...

Happy birthday Sintah aka Jlo wa Kimara...... kwani cake kitu gani mamito, we nawe saa nyingine una miss mitusi hiyo, haya tunasubiri picha za birthday lakini angalia cake isiwe ya gharama kushinda mavazi yako, maana umeomba ya bei ghali,,,, alafu mavazi yako ........
Happy bday mwaya, me love you...
Hanna

Anonymous said...

Happy birthday Sintah aka Jlo wa Kimara...... kwani cake kitu gani mamito, we nawe saa nyingine una miss mitusi hiyo, haya tunasubiri picha za birthday lakini angalia cake isiwe ya gharama kushinda mavazi yako, maana umeomba ya bei ghali,,,, alafu mavazi yako ........
Happy bday mwaya, me love you...
Hanna

Anonymous said...

Happy Belated Birthday Sintah! u shared the birthday with ma son! Stay Blessed

Anonymous said...

Shosti mbona kimya? Ulikosa keki ya blackforest ndio umenunaa? Aah usifanye hivyo bi shosti kila kitu majaliwa ninaimani mabff wako ni matawi ya juu watakuwa wamekufanyia bonge la birthday party Kempiski!!

Anonymous said...

Black forest hujaletewa nini maana naona umesusa hata ku up date blog yako bwahahahahahahahaha.

Anonymous said...

umependeza vibaya mno! nakupendajeee! afu wee mzuri sasa ndo mana watu full kukicha mijelas haiishii! pendeza wewe!!!!