Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

COMING SOON,COMING SOON, LOLEST

kikazi zaidi
ninawamisijeeee?
kitu bila make up hapo n still looking mwaah

sisemi mengi, Mungu atasimamia


Wakati wengine wapo busy kutukana watu kwenye comments, mpaka vidole vinataka kukatika na hizo keyboard za kichina,heeeee Mungu ndie tegemezi langu wewe endelea kuchonga mpaka,comment matusi  mpaka,ila action speaks louder than words (tafakari).


THE GREATEST PLEASURE IS DOING THINGS PEOPLE THINK YOU CANNOT DO.


45 comments:

Anonymous said...

samahani sintah leo nimeona bora ni chune tu ww kiboko yao. naomba uwaache waongee wakichoka watatoka nduki humu ndani ya mjengo wako pliiizi pliizziii usijibizane nao maana utaonekana hamna zo kama wao. mdauuu wako nambali wani kwote kwote tu . go gal go gal!!! fagiliiiaaa wawa

Anonymous said...

usitupe ahadi feki kama za kwa jirani..all the best pretty

Anonymous said...

huyo mwenye li upara kanishtua..nilijua kajala wangu..mfyuuuuu

Anonymous said...

what things mamii ambavyo watu wanasema huwezi kufanya????kupiga picha bila make-up au kuwa shapeless halooooo kweli an empty vessel does indeep makes the loudest noise, hongera.

Anonymous said...

Wape wapeeeee vidonge vyao wakimeza wakitemaaa shauri yao.

Anonymous said...

Huyo likipara linavaaje hivyo,limekaa kama litembo. Hivi ukiwa msanii lazima uvae nguo fupi? hebu mjiangalie kwanza mnatia kinyaa. yani ukimuona unasikia kinyaa na hilo limwili.

Anonymous said...

Ukijibizana na mjinga na wewe utaonekana mjinga, maneno hayauwi kaa kimya

Anonymous said...

Kuna dada hapo ana paja paja, kono kono......

Anonymous said...

Sintah ma dia...achana na wajinga tena taka-taka wa mjini wasiojua wametoka wapi au wanaelekea wapi...songa mbele mkamate MUNGU WAKO SAWA SAWA na hatakuacha kamwe...shatani na wafuasi wake hawana nafasi ktk maisha yako...Achana nao nyau haooooooooo hawana jipya kamwe tumewazoea.

Anonymous said...

huyo kipara mbn mchafu ana paja baya hatari!angevaa nguo ndefu tu

Anonymous said...

Umeona picha ya tatu toka juu ulivyopendeza kichwani??? huwezi fananinisha na blonde uliyoweka, ile blonde ulionekana mzee au kama zile za vijijini za zamani aka suti

mamy naah said...

we msenge na ndo maana huwa tunakutukana kutokana na maneno yako ya kisenge.... eti keyboard za kichina ya bwana ako ndo ya kichina......... ovyooooo

Anonymous said...

namuonea sana huruma wolper kama kweli kanyang'anywa mu x-6 loh
ataukumbukaje mchango wa sajuki kama ni kweli aliutoa..maana mjini humo kwa chenga mmejaliwa

Anonymous said...

MNAENDANAJE NA KIJOTI WOTE VISHOTII NATANIA JAMANI MMEPENDEZA

Anonymous said...

huyo bonge na hicho kinguo jamani loh

Anonymous said...

nice

Anonymous said...

huyu mona na mwenzie wanabeba vyuma maana wamekuwa kama mabaunsa

Anonymous said...

huna lolote malaya tu wewe uloshindikana

Anonymous said...

jamani pendeza nyieee, makofi wa!wa! waa!!!!!!!

Anonymous said...

Nilikuwa sielewi wakikuita anduje,kumbe unalingana na joti,hongera!

Anonymous said...

MOnalisa naona amejiachia; mwili unakuja huo shosti. Kuwa makini maana si wadada umri ukienda uwezekano wa kunenepeana unaongezeka; naona kono linaanza kuwa kono. Na kitambi kwa mbaali.

Anonymous said...

umeiminya komenti tangu niliyokutusi nayo, maanina zako sintah, pua ka bibo!

Anonymous said...

hicho kifutu ni nani. mana tumbo hilo paja hilo makunyanzi ya mapaja ndo usiseme. jiheshimu we dada au nyege zilipanda?

Anonymous said...

uyo mona cku hz kawa mbaya..mona alikuwa zamani sio cku hz ....wamekuwa kama mabaunsa na uyo mwenzake mwene para.....

Anonymous said...

Yani huyo para kaniboa nackia kichefuchefu kwa huo mpaja na mkono kha, wanaume wanaonaga vituko jamani. sipati picha bwana ake anamuonaje akivua nguo du. kaaazi kweli kweli

Anonymous said...

Yani kipara jamani kanitisha, nimefungua tu blog kidogo nizimie. Yani sipati picha hapo kati pamekaaje kama mpaja tu huo ka dunia.

Anonymous said...

PRITY ZINTA aka MAMA NECHA! TUMIA obagi bac maana ngozi imepaukaa ooohh wait m-bbm wema sepetu ana ule mkorogo wa dubai hahaha lolestii

Anonymous said...

biatch!!!!!

Anonymous said...

yaani wewe ni ANDUNJE WA UKWELI. umevaa CL zako feki ila bado unalingana na Joti kiandunje, mweh

Anonymous said...

Hahahahaha!!jamani eti pua ka bibo!!hehehe sintah kiukweli blog yako inanifurahsha hapo tuuuu!!!

Anonymous said...

Mmependeza sana love u all lkn huyo mnene atafute nguo za kujistiri atapendeza hizo zinamchoresha mh ni ushauri tuu other wise lov uu

linsy said...

ivi bila kutukana hamuwezi kucomment jamaani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!kwani mmelazimishwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.MOTO WA JEHANAMU WAWANGOJA NYOTE MTOA MANENO YASIOFAAAA.

Anonymous said...

mdau haki ya nani umenichekesha balaa !! Chukua gwala mamito u made my day...muah!!

Anonymous said...

Hahaha dah mie hoooi!!

Anonymous said...

@linsy na wewe unakungoja pia huo moto wa jehanam..ushaona huku matusi mengi hakukufai ila umo tuu huoni hiyo ni dhambi?huu mda ungetumia kumcha mungu wako..na wewe pia unangojwa na limoto..unatuchonjea kwa mungu?ushindwe

Anonymous said...

hiii blog jamani hata kama ulikua umenuna ukiingia tu humu utacheka mpaka basi,watu wana maneno humu balaaa!!!!

Anonymous said...

MONA AMEEZEKA LAKINI MAZIWA YAKE YAMEJAA VIZURI,SIO WE KIANDUJE UNAJIITA UNSIMAMA MAZIWA YAMELALA KAMA KANDAMBILI YA MKWELE WA MIZENGWE...HAHAHAHAHAHA UNALO BANIA NA HII

linsy said...

te te te te!wala hata siwachongei mie mjumbe tu!ILA ustaaarabu waitajika!

linsy said...

atashindwa shetani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

HUYO MWENYE BLONDE NI LINA?

Anonymous said...

Ur so cute Sintah, no matter what

Anonymous said...

wera weraaa, mwaga maneno watu tucheke tuongeze siku za kuishi,halafu ambao hawa mpendiJ, wake lo watupishe babuuwee!!!!!

luvy angel said...

tena wa2 wanakera sana kama umeishiwa swaga ya nn ku2kana,hebu 2we wastaarabu kidogo wapendwa.

Anonymous said...

kumaanyoko weee mkundu kunuka.huon hata haya et bila make-up hahahaaa!uwiiiii wadanganye wasenge wenzako vijishavu vimepakwa blusher afu et bila make up!cheap cheap shit

Anonymous said...

Hilo lo Monalisa mbona likono limekomaa kama la kibibi? spa staa mzima machafuchafu kazi kuiba mabwana za watu na kuolewa na kuachika, ovyooooooooooooooooo