Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

HARIRI WA HARIRI APATA JIKO HARUSI ILIFANYIKA KTK MJENGO WAKE ,WAZO HILL

Hariri na mkewe
mwenyekiti Kizai zai
Saguda,Nyerere n J wake Lo
Hakuna kisichokuwepo ndani buffet nje nyama choma
heeee aunt anaogopa baridi huyo
wana ni sandwitch
mama K na Unstoppable
mie huu mjengo tuu nilikoma
Kizaizai akiongea vibweka vyake  nilichekajee
Bob Jr akiniambia thx Sintah kwa ile post
kumbe mi nina aibu,ujanja wangu ni hapa hunioni
lazima ukae
ongea na watu na uvae viatu, Bushoke mrefu
hii picha naipenda halafu aliepiga alikuwa nzwii
Ps blog inawatakia kila la kheri
jamani hii ni harusi ya mwaka daah unaambiwa ukifika pale tuu,maana ilifanyika out of town ktk mjengo wa hatari wa dady(Hariri)ukifika wazo tuu dola 300 mlangoni heeeee,mimi zangu ninazo
hakuna mtu wa mjini aliyekosa labda hawakutokea tuu ktk camera ya Ps ila watu wote walikuwepo kuonyesha Hariri ni mtu wa watu,
kwakweli ilikuwa raha maana baridi la kufa mtu ndo maana nilivaa jacket na kama kawa kama dawa my weaving kama 227 ndani ya kichwa changu,mnawakumbuka lakini 227??ITV zama za kale lolest

natamani niitwe ktk harusi nyingine kama hii ya dola 300,mmmh i doubt nitasubiri sana

ALL THE BEST maharusi.

35 comments:

Anonymous said...

Nonesense

Anonymous said...

Umefanania na kile kibibi cha 227......some time inaonyeshwa dstv

Anonymous said...

Uongeage ukweli bitch dola 300? Shenzi taipu uongo tu mavi yako nyau wewe hata manji hawezi gawa dola mia 3 acha kudanganya watu pumbavu wewe mi nlikuwepo mwanzo mwisho utasutwa cku nyingine paka wewe

Anonymous said...

hahahaaaaaaaaa eti sandWITCH

mamy naah said...

ona sasa unajishtuki umejikubali kuwa wewe ni mshamba?????????????
kwenye harusi we uliona wapi watu wakavaa makoti ya majinz?????????????
sinta kubali kuwa hujui kuvaa...
kiukweli hujapendezaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Anonymous said...

Huo mjengo mbona huuoneshi watu tukauona kama ambavyo unausifia kutwa vikoridoni sijui parking??? hata kupiga picha matukio hujui wakati ndo kilichokupeleka huko nyamafu! mfyonzooooooooooooo!

Anonymous said...

watu wametupia!!!!

Anonymous said...

Cjui kwann ckuelewag huelewek ndomana wanakutukanaga mcxiuuuuuuu

Anonymous said...

nimependa ulivyovaa bidada ila hilo weaving bhana toa mm tu limeshanichosha we chini ulivaa viatu gani km mkoma vile bania na hii kichupi weh???????????

Anonymous said...

hilo weaving lako km umetundikiwa ngano la keki au maandazi ya biashara kichwani hebu liondoe bwana unaboa nalo *manina we pfyuuuuuuuuu na huo mgown na mkoti wa jinsi unaonekana km kibibi cha miaka 60 vile lol

Anonymous said...

Hi Sinta looking good with your friend mama k, mi penda wewe na blog yako sana.Nimependa nywele ya mama k, pls naomba nijuze amesuka wapi na nywele zinapatikana wapi please. Glory

Anonymous said...

Hi Sinta looking good with your friend mama k, mi penda wewe na blog yako sana.Nimependa nywele ya mama k, pls naomba nijuze amesuka wapi na nywele zinapatikana wapi please. Glory

Anonymous said...

Hi Sinta looking good with your friend mama k, mi penda wewe na blog yako sana.Nimependa nywele ya mama k, pls naomba nijuze amesuka wapi na nywele zinapatikana wapi please. Glory

Anonymous said...

naomba picha ya mjengo tafadhali mie niko kwenye finishing huenda nikapata cha kudesa toka kwenye hiyo nyumba..pleaseee

Anonymous said...

jamani huyo halili kamucha wafaaa???ptuuuu dunia hii si amezaa nae watoto wawili waskini dada wa watu nimesikitika sana,na huyo rafiki yake ally nae amekimbiwa na mkewe kisa unyanyasaji loo wanaume hawa jamani siwawezi

Anonymous said...

WE SINTA MACHO YAKO MEUSI MBONA AU NI MAKE UP UMESAHAU KUPAKA NA JUU YA MACHO, UTADHANI UMEVAA MUSK UKAACHA MACHO.

NI BARIDI AU NGUO IMEKAA VIBAYA MABEGANI, MBONA BI HARUSI NA WENGINE WAMEJIACHIA

Anonymous said...

dada anapenda kujisifia uyu haya lakini unaambia raha ujipe mwenyewe usingojee kupewa

Anonymous said...

uyo hahriri kweli ana hela lkn sio za kubwaga ivyo...eti mwenyekiti kizaizai...malaya mchafu ambae ajui kusoma wala kuandika...afadhal angemrudia limkewe ainesi mafujo anaejipendekeza kwa watu wa mjini waliochoka ili na yeye aonekane....

Anonymous said...

anon wa 12:21 rafiki yake ally yupi huyo? rafiki yake ally marehemu? rafiki yake gani sasa mbona hutaji jina unaficha ficha weka wazi bana

C'S MUM WA YUTAN! said...

WEWE SINTA, BWANA HARUSI, BIBI HARUSI NA WOTE HAPO JUU TUPA KULEEEEEEEEEEEEEEEEEE, MNATUZINGUA, MFYUUUUUUUUUUUUUUUU! MUONE KAVAA KOTI KA ANAKWENDA MARS!

Anonymous said...

Choleo Fedha tajiri naona iko na papaaaa kizai zai

Anonymous said...

heeeeeeeeee

Anonymous said...

we cmus cjui cvuzi embu tutolee shombo humu.mfyuuuuuuuuuu

Anonymous said...

msomi wa MA ati aandika Sandwitch, mnh.Au ulisoma MA yako kwa kinyankole

Anonymous said...

Watu wenye Hela utawajua tu check Choleo Fedha anavyoshine hela zote hizo ujue Sintah

Anonymous said...

Jamani ni kweli huyo Hariri ametoa hizo hela kwa wageni wake msibishie Sinta

Anonymous said...

anae bisha hakuwepo, nkama hukuwepo kwanini unabisha? ila Sinta nigaiye basi hata100!maana hii w,kend balaaa!!!

Anonymous said...

hAPO ALIEPENDEZA NI BOB JR TU HAKUNA MWINGINE, MIPIA NAUNGANA NA C'MUM... WENGINE MMEKURUPUSHWA AU.

Anonymous said...

Hivi jamani ma biharusi wa Kiislamu ni sawa kuacha matiti nje kama wadada wa mujini. AM just thinking loud. Kweli utandawazi umeingi mpaka kwenye dini za ushungi.

Anonymous said...

sintah muangalie sana kizaizai muharibifu huyo, kajifanya mtoto wa mujini mkewe akatembea na mtoto wa baba mwenye nyumba mwembechai kamkuta alikua mkewe dainess uchiiiiiiiii na mtoto wa baba mwenye nyumba ndani ya chumba chake alimuacha mke akaingia kwa gumegume nyoko ww kizaizai

Anonymous said...

sintah muangalie sana kizaizai muharibifu huyo, kajifanya mtoto wa mujini mkewe akatembea na mtoto wa baba mwenye nyumba mwembechai kamkuta alikua mkewe dainess uchiiiiiiiii na mtoto wa baba mwenye nyumba ndani ya chumba chake alimuacha mke akaingia kwa gumegume nyoko ww kizaizai

Anonymous said...

Wapi wauza sembe????????yetu macho

Anonymous said...

Labda katoa kwa hawa wanaojiita superstar,mbona wengine hawakupewa?na awape tu hela zenyewe za haramu za unga

Anonymous said...

Uwiiiii umri wakimbia jama,kila wkend watu waolewa oh wenzangu na mie tupo tu kuhudhuria

Anonymous said...

hongereni vifupi nyundo...oyeeeeeeeeee