Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

ATTENTION ATTENTION, DUNIA INAYOSOMA PRETTY SINTAH BLOG TAPELI HILI NI HATARI

Dear Wadauzzzz,


kuna tapeli la kimataifa jina lake ni Johnson Lwakatare ambaye anatumia utapeli kwa njia ya simu,kwa kupigia watu maarufu au akiwa na no yako,mmmh hivi watu wengine hawaogopi na kusajili kote no zetu za simu na  bado anadanganya.


huyu kaka ameshawahi kumdanganya msanii Linah kwamba ana picha zake za utupu na nimuandishi Luqman hivyo atoe mpunga ili amsave utafikiri tuko BBA,Shilole pia udanganyifu huo  na Sintah kuwa anafanya DSTV.


kwa mimi nili save no yake DSTV ,alitaka kuniingiza mjini uzuri nilimshirikisha my close pal ch 0 VJ Jockey na kwaakili zetu tukajua tumeingizwa changa la macho,akiendelea zaidi    akasahau mara ya pili eti akajifanya anaitwa Luqman Maloto (mwanahabari) kuwa ameishiwa hela na amefiwa yupo mkoani  anaomba nimtumie pesa.sasa kuweni makini na huyu kijana ambaye haogopi kukamatwa maana kasajili no yake.


no zake za simu ni 0713 934910 anaitwa Johnson Lwakatare


kuweni makini naye kwani ana njia nyingi za udanganyifu leo kwetu na tumemuweza maybe kesho unaweza ukawa wewe  kwenye mtego maana anakuja kila siku na formula mpya


no 0713 934910 ni hatari 


ni yeye mwenyewe, 


Unstoppable.


Nothing but confidence
J wake Lo



17 comments:

Anonymous said...

Iyo picha mmmh!

Anonymous said...

una uhakika hilo jina lake

maana kuna docta bingwa na fisrt class clinic hapa Dar, anaitwa hivyo kwa hiyo huyo mwizi anaweza kuwa ameamua kurunga na kutumia jina la uongo.

asante kwa namba zitasaidia watu.

Anonymous said...

Asante kwa namba

Anonymous said...

umependeza sana my sinta

Anonymous said...

umependeza sana mdogo wangu , mungu akulinde na manyang'au !!!!!!!

Anonymous said...

We nawe mpana lol. Mbona wakienda kuwalala hamuandiki kuwa ni matapeli watu wawe makini?

Anonymous said...

lips hizo babu aisee penda sana mie uwe unapaka red lipstick na uwe unaweka kidomo chako hivyo hivyo unapendeza asante kwa number sintah

Anonymous said...

Na mim naisi huyu kaka atakuwa amekulala na amekukopa kuma una lolote unataka kuwazushia watu ubaya wakati umekopwa iyo k imeisha regea mfyuuuuuuuuuu uweke usiweke sms sent mfyuuuuuuuuuuu tumestuka ulikopwa k na iyo kaka mfyuuuuuuuuuuu unapenda kuzushia watu ubaya wakati ukitoka kutiwa mbona usemi mfyuuuuuuuuuu pua baya

Anonymous said...

Sijaelewa vitu vingi hapa, lakini nafikiri masuper star wenzio wameielewa manake anadeal na ma super star, you look pretty kwa hiyo picha hapo.

Anonymous said...

miwani kama fundi welding !!! mfyuuuu

Anonymous said...

Mh ivi we sintah hujui ata wanaume wanaowalala na kuwakimbia pia huwa wanaitwa matapeli sasa mbona hao hujawahi kutoa tahadhari tujiandali nao jaman mh....asante kwa namba

Anonymous said...

We mwenye pua zuri hongera!uliepata kujiumba mwenyewe,nyooo ibilisi mkubwa mtoka pabaya mfia jehanamu,naona uchawi uliorithi unakuunguza fuse kichwani au nyama za watu unazokula zinakuathiri,cheche za mavi zinakutoka hujijui Bwahahahaha tafuta mfirano huko tutolee harufu ya nnya humu

Anonymous said...

Kalalwa mamako na mzoa taka wa mtaa wenu

Anonymous said...

Jamani watu hamna jema nyie,mnatahadharishwa na utapel mnajifanya mnajua, we christina aka JLO FEKI achana nao hawa binadamu hawana wema.

Anonymous said...

HAJAKULIPA AU UMEMLIPA ALIPOMALIZA MCHEZO :Mal.....

Anonymous said...

Sura yako kama tako la bibi mzee na hilo domo na red lipstick ni kama mkundu wa ngedere.

Anonymous said...

mti wenye matunda ndio unaopigwa maweee! mnatukanaaa lakini hamtoki kwenye hii blog Sinta uko juu mwanawane ndio maana yote hayo yawatoka!!!!