Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

WATU TUMETOKA MBALI SANA, WATUACHE TUU JAMANI

mimi na Fide wangu hapa ni long
mama Live akiamua lake ameamua
hakuna tumbo ready kupanda jukwaani

44 comments:

Anonymous said...

hahahahaaaaaaaaaaaaaaa ivi sintah are u serious..mungu anisamehe sana lkn navunjika mbavu jamani...hiyo ya no turbo ready kupanda jukwaani..hatareee.. imeniuwaaa.modelling anaenda kufanya wp jaminiii..ahh u made my day

Anonymous said...

mbutaaaaaaaa

Anonymous said...

sintah we mzuri..nakupenda

Anonymous said...

umetuludishia SOKWE wetu?nasubr coment mie nichek

Anonymous said...

huyu dada ana bahati ya kukonda vizuri maana na yake maunene yake nilitegemea angekuwa na loose skin. Keep up the good work Fide....ila please loose that fake horse hair your natural look is muaaaaaaaaaah:)

Anonymous said...

Nahitaji kujua siri ya kupungua kwake kwani nami ni bonge sana nataka kupungua

Anonymous said...

Huna lolote umepewa za uso kwi kwi kwi

Anonymous said...

Eeh wote wateja wa kila mwezi hosp

Anonymous said...

dah kweli zamani tulikuwa sokwe, naona kuna vizazi vingine vimegoma kubadidilika kabisa still sokwe sokwe......!!!!!!

Anonymous said...

Jamani tusaidie wengine na hiyo diet yake...

Anonymous said...

afanye shughuli nyingine ameshazeeka awaachie akina myler vigori!

Anonymous said...

Sokwe mama yako midole imekuchachamaa kucomment ujinga muozo wewe na mkumbuke hujafa hujaumbika paka shume nyie

Anonymous said...

Sinta 100% wewe hamna kitu kichwani huwezi mtu mzima na akili zako kichwani kupost utumbo utumbo comment nyingine hazina maadili umo tu halaf eti msomi

Anonymous said...

Wote mnalazimisha ujana na uzee ushapiga hodi mmezitoaaaaaa sasa mngekuwa hata mnaozesha watoto wenu

Anonymous said...

Unapenda matusi sana msomi wetu

Anonymous said...

Eti mbona huyu fide akicheka anachukiza na wala cjawahi kumuona kanunu. akinuna jeee?

Anonymous said...

uwiiiiiiiiii... modelling? haaa punda kaingia disko.. watu pipoooo....

Anonymous said...

Mi nilifikiri bwanaake sinta, kumbe fide....!

Anonymous said...

UMETULUDISHIA; UMETULUDISHIA; UMETULUDISHIA. DUUH! DOMO LIMELEGEEEEEAAAAAAAA HATA KUANDIKA 'UMETURUDISHIA; HAIWEZEKANI? EEH!

Anonymous said...

WE UNAETAKA DIET NYOKO......MUULIZE VIZURI SINTA KAMA YEYE MBONA HAJAOMBA DIET YA FIDE NA KUTWA ANATAKA KUPUNGUA SHENZI WEWE.

Anonymous said...

jamani huyu dada ni mrembo mbaya kabisaa

Anonymous said...

mhh sura yake nzuri jamani...uwiiiiii

Anonymous said...

Mmmmmh jamni no comment hapo ila dada mdogo huyo mzuri Sana cjui anaitwa nani? Nimempenda kwa kweli

Anonymous said...

Huyo mdogo anaitwa Ann Robyn Daud ni ki model na Alikuwa mic temeke pia ni mzuri sana huyo mtoto cjui alikuwa wapi? Na hao ma gube gube wa mjini! Hawajamuuza kweli ! Maana nasikia fide ndio tabia yake ! Mtoto mzuri sana ! Nasikia hayupo Tz nw anasoma sema kina akili nilisoma nacho high xul !

Anonymous said...

jamani wabongo hivi tukoje? mbona hatupendani hivi? yani dada wa watu kapungua vizuri wengine mnaponda kama nini? Looh acheni uswahili jamani tupendane sio kupondana khaaaaa....

Anonymous said...

nyie wabongo kweli washamba, hamjui kutofautisha akti ya models na beuty queen........
ni vi2 viwili tofauti,beibg a model ni jinsi ulivyo natural nabody size yako ambapo unaweza vaa nguo na kuwaconvince wa2 wainunue kupitia wee, na si lazima uwe mzuri wa sura.
hivi mnamjua aleck weck wa sudan jinsi alivyo na jinsi anavyokimbiza huko ulaya na america?
achen kuongea sheet kuhusu model huyu, fide ni model na tunalitambua hilo halina ubish.....
y'all look so sneach..........f@@@###

kay said...

eh binaadam wenzangu,tumkumbukeni mungu ndie muumba wa kila kitu dunia hii,na hakuna binaadam mbaya,mungu anamakusudio kwa kumuumba mja wake vyovyote atakavyo tulikumbukeni hilo.anayemwambia mwenzie mbaya yeye kaumba wangapi wazuri?tujirekebisheni kidogo wenzangu tusimkosoe mungu

kay said...

kama vigezo vipo kwa nini asipande tena jukwaani?kuna model wa kimataifa sijui msudan yule jina silifaham,anatamba kwenye majukwaa ya kimataifa.

Anonymous said...

hujafa hujaumbika

Anonymous said...

yaaan sinta we msenge jitu lenyew bayaaa....hate kinyokoo,hunausomi wala nin zaid ulimbuken.....fuck yu

Anonymous said...

Napıta tu wadau !!!!

Anonymous said...

Tatizo lenu wananchi mnajipaisha sana. Comments za ukweli zikitumwa mnaanza kukasirika. Huyu hajapungua kwa diet. Tunaomjua tunajua why kapungua! Sisemi mengi!

Anonymous said...

mwenye kujua ile blog ya minnesota naomba mnipe jina

Anonymous said...

Teh teh!!!!!!!Yeuwiiiiiiiiiiiii.Ndifwa neene!!!

Anonymous said...

Wajameni huyu dada kaweza kupungua kiasi hicho (kama sio kwa ugonjwa) anastahili pongezi. Sintah kwa vile ni shoga yako, vipi ukiongea naye akatupatia program yake alivyokuwa kufanikisha hiyo harakati ya kupunguza kilo and maintaining it

Anonymous said...

fide sasa hivi em tulia kwanza huko kujibizana jibizana na watu acha..afya yako inaonekana tete..ngozi yako haijakaa vizuri..jijenge kwanza upendeze alafu ndio utafute stress za binadamu wendawazimu

Anonymous said...

na anatoatoa picha zake kwa nini? anajichoresha tu mana kila mtu anajua kinachomsumbua. embu akae atulie apate afya ndo arejee kwenye modelling yake. hao wakina Sintah wanamchora tu mwenzao

Anonymous said...

Ctaki kuamini km huyu bidada kapungua hivi. Naomba atuambie ni nni katumia mpaka kapungua hivi, km mazoezi au ni dayati na vitu km ivyo atuambie. Coz me ni bonge hatari na nafanya sana mazoezi naji-control sana kwenye vyakula. Sure i need to know.

Thankx
Adelina - A-town

Anonymous said...

Acha kunitisha ana ngoma?

Anonymous said...

kama ulilala naye, anza kutubu! umekula kwako.

Anonymous said...

Wanakuaga watamu hawa acha mchezo hawa black,halafu vinembe vyao vyekunduuu mnato tu..

Anonymous said...

mtakufa..nembe analo jokate usoni kubwa hilo.. sijui la chini likoje?inaonekana sio mtamu yani diamond kavibrate haraka hivyo..aunt mpe mkundu mr muhogo kwa raha zako akikuchosha fukuza kama unavyowafanyiaga..naaam mwenda mdundo..hakuna kulala hata kama hujala...au sio mama nature?chezeeeeea

Anonymous said...

Wengine hapa mnaomwita mwenzenu sokwe hata kuzaa bado hamjazaa...subirini na nyie mzae masokwe...semeni mengine yote ila muache kumkufuru Mungu

Anonymous said...

Mtaicheza WOTE!!