Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

ONENI HILI TAHIRA LISILOJUA MWANZO WALA MWISHO KAZI KUJIANDIKIA

            hii status msamaria mwema munched for ps blog



Jamani nimeamini wahenga waliyosema kuwa kwenye msafara wa mamba hata mijikenge imo,,,,,wakati wa Tz wengi tulifurahi kwa  kile alichokifanya Diamond oneni hili lidada lilivyotaka sifa na kujifanya linajua kila kitu,

shame on u Aneth or whatever you call yourself, 

Diamond hawezi kujipangia nyimbo pale anafuata utaratibu uliowekwa, 

 kwanini umlaumu yeye laumu walioandaa show maana tangu jana ktk twitter zake na bbm alisema anafanya mazoezi ya show,sasa wamempangia akatae??  next time control your hands before posting anything.

 

THE ENEMY OF AFRICA IS THE AFRICAN HIMSELF-SINTAH'S  PHILOSOPHY.

25 comments:

Anonymous said...

Kibibi kila mtu anamtazamo wake hivyo heshimu mawazo yake.

Anonymous said...

afadhali umesema daa yangu, watanzania tunatabia ya wivu na ya kipumbavu. Mwenzetu anapofanya vizuri tunatafuta kitu kidogo cha kumlaumu....sasa walitaka aende na bendi kwani yeye ndio muandaaji, mshikaji kajitahidi badala tumuunge mkono tunamponda...kuna mpumbavu mwingine nimemuona kwneye faceboook nayeye anaponda!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

Sintah watu wengine hawajui walisemalo, diamond kafunika sana tu !

Anonymous said...

Mmh! Mbona povu linakutoka Bi Dada? Yote hiyo kwa sababu ya
shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Aluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Pole eeh!! Kweli naumiza sana!!

Anonymous said...

anawashwa huyo..

Anonymous said...

alifanya vizuri sana , couldnt be more proud kuwa mbongo kama jana kanifurahisha Diamond

Anonymous said...

daimond u r 4eva & eva bo one like u!! kweli nimeona wasanii wa tz waliopo na waliopita hakuna kama daimond ,yani ile performac ya BBA yani daimond ni mkali simliona watu walivyopagawa naye jamani!! eeeh mnaomponda mtakuwa kweli mna chuki!! wewe aneth nenda kapaform na baba yako bila playback shenz wewe

Anonymous said...

povu la omo dada linakutoka eeh mama ndio maana umeambiwa kuna kitu kinachoitwa freedom of speech so what you think or believe should not necessarly be same of others opinion na je umepata approval ya kupublish status ya huyu bidada? i tell you you dont know me i dont know you the moment you cross my paths na ukapublish any of my status in here utajuta why you were given birth by your mama. stop crossing on other people's paths .

Anonymous said...

He did a superb performance but he still needs kufanyia kazi pumzi.. Pumzi ilikata, kwa tunaofatilia muziki tumeona hilo. He as well needs to work on his vocals, bado hajafika level za kina Barnaba na umaarufu wake wote huo. Ana nyimbo nzuri sana but sauti bado sana

Anonymous said...

we mbilikimo mbona unabania comment yangu?!acha kusema kama kakuibia Juma nature ni mawazo yake

Anonymous said...

WE ANETH CHUKUA UKOO WENU MKA PERFOM BBA LIONE MISHAVU IMEKUTUNA MFYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU

Anonymous said...

Diamond amefanya kile kilichotakiwa kufanywa, wakati watu wanachonga yeye akapiga bonge la show na kuwanyamazisha wale waliokuwa wanasubiri aboronge ili wachonge na kutukana, message kutoka kila kona ya Afrika wakisifia show ya Diamond wewe kama hutaki endelea na kiburi chako ila Diamond amewakalisha.

Anonymous said...

HATA WAKIPONDA UKWELI UTABAKIA PALEPALE DIMOND ALIFANYA VIZURI MNYONGE MNYONGENIHAKI YAKE MPENIIIIIIIIIIIII

Anonymous said...

Mhhh, ze udaku in action, umejisahau kuwa leo uko PS blogu eeh?

Anonymous said...

Povu limekutoka asubuhi asubuhi bibie wipe ur mouth there's a tin bullshit around ur lips heheyaaaa sasa hapo la ajabu lipi mie nimekuona we bwege manake unataka jibishana na punguani so we ndo taahira kabsaaaa,kisa shemejiiiii unavyomfil nadhani huwa unaota anakukojoza almas tongoza na hii anduje bathi,bania comment kama kawaida zinazokugusa!

Anonymous said...

mungu amzidishie mungu amuongezee mungu anpe maisha malefu na yenye amani na upendo kaza sna daimond wengi wpo na wewe wachache ndo hawapo na ww watanzania ni vigumu sna kuwabadirisha alikuwepo kanumba amejitaidi mtt wa wtu wakamsema mwsho wa cku mungu kamchukua ndo wanahaza kujifanya kumllili sisi ni binadamu ata ufanye nn ni bure tu wamepingwa manabii na mitume enzi izo sembuse wwe DAIMOND KAZA KAKA

Anonymous said...

punbaaaavuuuuu aneth! ulitaka achague wimbo gani? Dogo nyimbo zake zote kali! chuki binafsi tu au ulimtongoza akakutosa nn, maana midem ya bongo hata aibu hamna!

Anonymous said...

Philosophy indeed!!!!

Anonymous said...

Playback means nyimbo kama ilivyo then wanaplay cd kwenye show, so sometimes sauti zinapishana na original ya cd. Na ndivyo ilivyokuwa kwa Diamond.
Nakubali kusahihishwa.
Btw good perfomance

Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...

kweli diamond alifanya vizuri sana tena sana na ulichesema cnta ni kwweli bt huyo binti aliyeandika inaonekana hakulifahamu hilo hivyo ungemuelewesha kwa lugha nzuri.. kha mbona mmkali sana.. cjapenda kabisa ni kama umemdhalilisha badala ya kumuelekeza.. thz z nt rt woman...

Anonymous said...

I really love your site.. Excellent colors & theme.
Did you make this website yourself? Please reply back as I'm hoping to create my own personal site and want to find out where you got this from or exactly what the theme is called. Thank you!
My webpage > Status Symbols