Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

THE MBONI SHOW LAUNCH @ SERENA

Mboni
Anold K n J wake lo
Nargis,Monica n Mwamvita
Mishy,Jacky n Unstoppable
Lotus n Jlo
Aunt Ezekiel n friend
Jacky Patrick n Sintah
Izoo B haaa swagga zako tu mie
Cousin n Jacky
our stubborn sisy Adeline
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe






East Africa stand up,new show,new presenter in town one n only Mbonie Masimba a.k.a Tanzania Kim Kardashian, amekuja kuwashika na her new talk show n EATV, just watch  CH 5 from 31st may at 9pm to 10pm  and every Thursday @ 9pm to 10pm.


THE MBONIE SHOW- EATV

picha nyingine zinakuja hii ni rasharasha

 



45 comments:

Anonymous said...

Leta vitu Jlo wa ukweliiiiiii.

Anonymous said...

Jamani sinta u luk hot.. with that dress i think long dress luks gud on yaa..

Ila aunt alichovaa du kila akokwenda kavunga kikamba kichwani why..? Au anachronic headache..?

Anonymous said...

hahaaa j lo wewe ni mtata..haya bana..mimi sisemi wacha tuone comments

Anonymous said...

Hiyo bangle ni hirizi yako?kila kona nakuona nayo huhuhuhuh

Anonymous said...

Relax kwenye pics bibi weeh unakakamaa ushuzi utakupita

Anonymous said...

Khe makubwa,kumeingiliwa xxxxx

Anonymous said...

BWAHAHAHAH kim kardashian salaleeeee ya huyu mteja wa naniliuuu

Anonymous said...

Wacha we atazidi kupata wa kuondoka nae

Anonymous said...

Unapungua kooote hilo limkono linabaki mwanawane

Anonymous said...

Sintah pliz mturushie kwa youtube segments basi sisi ambao tuko nje ya nchi plizzz tunaomba mfanyie kazi hilo,

big up sana Mboni

Anonymous said...

segments you tube za nini na wewe nenda bongo ukajionee vimbwenga live..au makaratasi kugomile?mwee mnaroho nyinyii

Anonymous said...

Khe imeanza ushoga na aunt Ezekiel coz yupo na dimond au? Ila umependeza sana pale juu uliporilax miguu we ni mzuri basi watu na viatu usibanie hii coment

Anonymous said...

haya ndio mambo tunayopenda kuona. sio kujisifu tuu!

Anonymous said...

Hapo umevunja kabati HaAhahahahah

Anonymous said...

Urefu wa hio nguo umekupendeza sana.yani classy hujajibana sana wala nguo si fupi.na miguu poa kabisa..wanaopenda kukusema waonyeshe yao.that's how u should wear mamii!

Anonymous said...

WE SINTA WE SI UNSTOPABLE WEWE! HEBU ACHIA COMMENTS ZANGU HARAKA SANA!KWA NINI UNAZIBANIA?

Anonymous said...

shost jlo leo nikiponda ntakuwa nakuonea...umependeza urefu wa nguo size hiyo ndo unakupendeza sio kulazimisha vinguo vifuupii...! tumbo linaanza kupungua endelea na zoezi liishe kabisa....Ila shost we na diamond niaje? mana ukisikia mtu anamegwa na diamond lazima utaanza kujipendekeza kwake kutafuta ushoga, ilianza kwa wema, kikovu now unamnyemelea gantwa(aunt ezekiel)....!!!!!

Anonymous said...

kwa taarifa yenu ambao hamkuwepo ni kwamba diamond aliingia na wema sepetu na kidoti is about to get married to a Us Embassy worker..manina zenu

Anonymous said...

iyo logo ya mboni mbona kama kama big brother???

Anonymous said...

kafirwaaaa weee bmpakia kapata hera ya show

Anonymous said...

U luk gud na hilo gauni.. Vimini havikufai kwa kweli!

Anonymous said...

Pendeza sana mwaya.....aunt ndo kavaa nini sasa, Tunasubiria show.

Anonymous said...

MBONI ANA GOITRE (GOITA) AU?

Anonymous said...

Sintah hiyo picha uliyotoka na Anold imekutoa chicha sana. Halafu mtindi wako kwa kweli una mvuto wa kileo hongera bibi. Ila huyo Aunt Ezekiel kweli hako kakitambaa ka kichwani kanamtia aibu, halafu shoga yake anaonekana mshambaaaa hajui hata kupozi. Mi namshauri Aunt amtafute Kidoti kuhusu mpango mzima wa mavazi kwani shape na sura vinalipa ila tu hajui kuvaa.

Anonymous said...

kweli hapa umependeza. nguo imevuka goti safiii. leo nakaa kimya

Anonymous said...

Yule dada wa elimu ya darasa la saba anayeringa na talk show yake atajibeba mwaka huu, analeta ugumu mpaka katika kazi safari hii lazima atafute kopo la kukojolea ndani hahahahaha aka ni JK mnamjua bwana......

Anonymous said...

sinta kweli ulipendeza..that dress looks cute on you..mwahh sintah nakupenda!

Anonymous said...

Helow Mum,uwa napita 2 humu ndani bt sijawah ku coment kwa Blog yako bt Umependeza sana sana na hyo nguo halafu Umepungua pls naimbie nin unatumia Mamaa nami nijitahidi maana looh.

Anonymous said...

waliingia wote wema diamond na kidoti?lazma kidoti ajitahidi arekebishe file lake maanake wananchi tumemrarua hakutegemea..mshenzi wa tabia mkiristo mshenzi..we aint gonna buy that jokate..sowrrrryyy

Anonymous said...

wema kapendeza sana kuliko wote kafunika bovu nimempenda sana hapa

Anonymous said...

sinta umependeza sana ila bwana mm unaniuzi sana unapokaza miguu jamani, jiamini basi unstopable lkn hujiamini relax kwenye picha mami he unaniabisha, unaonekana mshamba kupiga picha bana

Anonymous said...

JAMANI AUNT Ezekiel ni mzuriiii, naomba asijichubue tu kama hao wengine wanatapishajeeeee

Anonymous said...

makubwa we dada ni mnafiki hivi unamatatizo gani eeh? sasa naona unaanza kujipendekeza kwa Unt wewe kila atakaye liwa na Almasi unajipendekeza kwake kwani unataka nini? sibure kunakitu.

Anonymous said...

Wema ni mkali @ idara ndio maana mnaumiza vichwa kwa ajili yake, sintah na shosti yako inabidi mjimpange sanaa

Anonymous said...

KOMENTS ZANGU ZOTE ZA HUYO MALAYA MBONIE UMEZIBANIA, HAYA KAA NAZO MATAKONI KWAKO, MFYUUUUUUUUU!

Anonymous said...

Sintah weee mkareeeeeeeeeeee anayepinga hili ajitie chupa ya bia mkunduni!

Anonymous said...

Sinta wewe ni mzuri, mi huwa nakupenda sana, umepungua vizuri nahamu na mimi nipungue kama wewe.Ila usipungue zaidi ya hapo, kwani una maziwa makubwa, haipendezi uwe huna tumbo na shepu huna then maziwa makubwa, jiachie kidogo ili maziwa yaendane na mwili wako.

Anonymous said...

umekomaaa miguu unajiia j wake lo hata aibu, jlo kakomaa km wewe...ptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

giselle said...

Yeees,u look nice wen u put lil bit long dress.usivae fupi saana ya kufunika ikulu tu..juu ya goti kidogo,na kuendelea chini unapendeza mno mno!hivi vinguo vifupi sana hata havikutoi decent n classy.when u don't put too much u rock sintah.lav the dress,purse n shoes n the whole make up!

Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...

i lov lotus na huyo hizooo cjui.lotus very risk taker hasa kwenye fashion lol

Anonymous said...

i lov lotus na huyo hizooo cjui.lotus very risk taker hasa kwenye fashion lol

Anonymous said...

anti anahitaji msaada wa kuvalishwa yupo nyuma sana kwemnye fashion