Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

JINI VS SHETANI


jini K

haya haya mtaalamu wa kufokonyoa,ilikuwa ni siku ya jumapili
pale nilipopigiwa simu na dada ambaye simjui akasema Jini K kamchukulia bwana yake,dada huyo alitoa maneno makali sana kuhusiana na jini K,ila kwakuwa nilikuwa ninatafuta ku balance story ya segment ya udaku na udakuzi 100.5,ilinibidi nimtafute jini naye aseme yakwake kutoka moyoni.

jini alikataa na kusema huyo mama hamjui ingawa huyo mama alimuelezea jini kabula kama yeye ni jini(kabula)basi yeye ni shetani
hivyo wakutane wazichape.





ANGALIZO

dada yule ambaye alijiita shetani alijitapa sana akasema,

kama kweli jini unatoka na mume wa mtu muachie shetani
na kama wewe shetani unampkazia jini sio tabia nzuri usimchafulie jina jini wa watu.


22 comments:

Anonymous said...

ha ha ha kazi kweli kweli hebu tuwekee habari za kueleweka kwani ww ni hekaheka au, weka baraza la mawaziri watu wasome weka habari za wakuu wa wilaya wapya wasome this is stupid u know

Anonymous said...

yani ww kwl huna kazi ya kufanya baraka ya umbea tu looooh,mbona nyie mnatembea na wanaume za watu hamjitangaziiii...!

Anonymous said...

yani ww kwl huna kazi ya kufanya baraka ya umbea tu looooh,mbona nyie mnatembea na wanaume za watu hamjitangaziiii...!

Anonymous said...

mademu wa kibongo kwa kupenda attention za kipumbavu, hawawezi kupiga picha za kujistiri mpka watuonyeshe mitindi mara mikundu....na kuiba waume za watu ndo zao wanatafuta maisha bora mxxxxsssshhh....! huo muda mnaopoteza kuzunguka kwenye mabaa bora mtafute vicourse vifupi mfanye viwasaidie kupata kazi kuliko kudhalilika na waume za watu kisa kutafuta tonge.......!

Anonymous said...

Umeanza kujirekebisha sinta hahahah hapo utaenda sambamba na sisi,sio kukurupuka na kushadadia ujinga,haya ndio maneno yanatakiwa kukutoka unakuaga kama hujielewi vile

Anonymous said...

paka hapo hajielewi, wala usimpe sifa si zake! mfyuuuuuuuuuuuuuu! we na rachel temu kwa nini mnamchukia dada wa u turn? leo mmemnanga kwenye kipindi chenu uchwara! muone kwanza kundu pana ka sinia la skukuuu! nyooo, umenitibua

Anonymous said...

umeona waswahili ambavyo hawana jema,,wengine wanasema huu upuuzi,,wengine eti umeanza kujirekebisha hii ndo habarii lol bibi fanya yako mana hawa hawana jema kila kitu wanasema.

Anonymous said...

Wakuache lete umbea woteeee

Anonymous said...

binti mdogo maziwa yamelala kama ya bibi yake kisa yanashikwa na mikono na kunyonywa na midomo ya wanaume tofauti lolest. sijui huko chini kukoje kama mitingi ishakuwa chokest hivi

Anonymous said...

Waache wagawane virusi. Yani mimi nsikie mume wangu anatembea na huyo jini; stop ya kwanza ni angaza; ya pili mahakamani kudai talaka. Wanawake tulo kwenye ndoa tuwe tayari kufanya maamuzi magumu kuliko kukubali kuacha watoto wetu yatima kwa ushenzi na tamaa za hawa waume zetu

Anonymous said...

Hivi samahani Sintah Rehema Fabiani kapotelea wapi,maana sijamuona wala sijamsikia wala sijamuona kwenye magazeti kaokoka nini? Maana huwa anapenda kujichoresha.

Anonymous said...

hivi nyie madem mnamponda sinta mnaujua utamu wake huyo mwanamke???

toka nizaliwe cjaona kuma tam kama ya sinta..cjui anahambia sukari guru!!!

Anonymous said...

Baby,
I am back since the 7th. Please call me when you have a chance at the same number I normally call you from

Please call me between 7pm time and 10pm your time. I really miss your voice

Your American Husband to be

Regards
JT

Anonymous said...

Hv mtu unakuwa na akili gani hadi ujiite jini sijui shetani? Tunaelekea pabaya wanawake wa Tanzania. Mnaona ndio kwenda na wakati kujitangaza kwa vitu vya kijinga kama hivi, kweli tutafika??

Anonymous said...

Kaaaaaaaaaaaaaaaz kweeeeeli. IDIOT

Anonymous said...

sinta shule yako uliosoma inakusaidia nini wewe mrembo?ukitaka uwe mwandishi mzuri bora uende chuo cha uandishi wa habari ili unaposimulia story uwe unaeleweka,

unajua hata kama unatoa umbea basi utoe kwa mtiririko mzuri ili umbea huo unoge,mie napenda umbea lakini niuelewe nisipouelewa unanibore kama huu wako uliandika hapa,mweeee shule sex hizi,balaaa au ulikuwa una ingia na vibomu mwenzetu,maana kama shule haina msaada hivi kwako,naiona mdomoni tu lakini uhalisia haupo vilee,

Anonymous said...

so wat's ur point?

Anonymous said...

sintah i love your blog..nachekaga karibu kuvunja mbavu, kuliko uturn...ata usijali matusi saa ingine bs tuu tunakua tunawashwa lkn hatumaanishi sana..na wewe unanifurahisha unajiwekea tu macomment..kuna moja nilicheka mpaka nilitaka kudata ya mumewe sauda mtu kamuuliza kama anajua kuvaa chupi kweli maana madudu yalimtuna...hahahahaaa sina mbavu mie jamani..love u j wake lo

Anonymous said...

huyo sinta mwenye mwizi wa waume wa watu mbona hajawai muonyesha mtu mumewe au mpenziwe tangu enzi za juma necha.au walewale wtoto wa mchungaji dizai kidoti .angoja asafishiwe njia aibe kama nyani hahhahha

Anonymous said...

JAMANI WE DADA ULIYENIKUMBUSHA ILE COMENT YA MUMEWE SAUDA, UMENISABABISHIA KUCHEKA MPAKA KULIA KHA! HATA MIMI ILE COMENT NILICHEKAAAAAA MPAKA MUME WANGU ALIKUWA HAELEWI NI NINI NAFANYA KHA! WATU HUMU NDANI WANA MANENO SANA! HII BLOG INANIPA RAHA NA UTAMU KHA! BIG UP J WAKE USHUZI!

Anonymous said...

TENA NIMESAHAU, ILE POST YA FIDE IRANGA! KUNA MTU ALISEMA ETI AKITAZAMA ZILE PICHA ZA FIDE, NDIO HASWAAA ANAAMINI KUWA BINADAMU CHANZO CHETU KILIKUWA MASOKWE! KHA! JAMANI NILICHEKAAAAAAAA MWISHO NIKAMUOMBA MUUMBA JUU ATUHURUMIE KHA! JAMANI HII BLOG! UWIIIIIIIIIII HAKUNAGA!

Anonymous said...

hee!hii blog kboko...watu wanashusha kama wanaharisha!!uuwwiii,mbav zng...