Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

JACKY WOLPER AMCHANGIA SAJUKI MIL 15

jacky Wolper


Amber Rose Tz


yes linawezekana hatimaye ile team ya kusema changia Sajuki imemaliza kila kitu pale ambapo watu mbalimbali walijitolea kumchangia Sajuki,ila shughuli hii iliishia pale Amber Rose Tz ambapo alitoa taslim Mil 15 kwaajili ya matibabu.
Mungu awe nawe Jacky uwasaidie na wengine wenye shida.
Sajuki ameshafika India tuendelee kumuombea.

52 comments:

Anonymous said...

Acha uongoo utasutwa wewe!!!!

Anonymous said...

mhhh lazima umemuongezea sifuri sifuri..either wewe umemtilia chumvi au kajitilia chumvi mwenyewe..aibu zenu..huyo wolper mwenyewe ni mil 15..mfyuuuuuuuu

Anonymous said...

hahahahahahaha nicheke mie nikonde nina mume?????????????????Sintah hacha huongo wako zimepatika M16 na izo zote ni kutokana na nguvu za Dina marious.Mna kma ametoa M15 unataka kusema kuwa Dina na timu yake na watanzania wote wametoa M1?????????Nyoooooooooooooooooo huoni hta haibu mwanamke mzma ovyooooooooooooooooooooooooooo msonyooooooooooooo.Bania na hii leo

Kikie said...

Mungu ambariki na kumzidishia..

Anonymous said...

sawa sintah ambarose katoa mil 15 haihusu kama kahongwa au za kwake kutoka mfukoni kwake, wewe je jamani anza kwako ndo usonte na wenzio vidole

Anonymous said...

Mil 15 kwa kazi gani anayoifanya? hua hanivutii huyu shosti..kuvaa hajui..kama mnabisha google Jacky walper Killi Music awards 2011" alivaa kiatu kama kibuyu..hovyooo..

Anonymous said...

pesa za unga hizo 100% jamaa yake si anaitwa Rama yupo Pakistan, tunajuwa kila kitu bhana, jamaa anajiita rais wa ununio, sijawai kuona watu mafala kama huyo dogo rama, kila wiki anatuma dollar 6000 kwa huyo mdada na ndugu zake wakiwa na matatizo sasa ndiyo wakamuone huyo dada

Anonymous said...

mungu akuongezee hapo ulipopunguzaa jack.,co hy miguu banio anakazi yakupongeza wenzie hata kuhamasisha kuchangia kwny blog yake hakuna,hela ya kumchangia huna bas hamasisha watu wp kazi ya umbea tu...

Anonymous said...

Dah si mchezo,huyo jamaa yake litakuwa zungu la unga..hapo udenda unawatoka wapenda vya watu,we Jack mfiche huyo bwana Oooooh

Anonymous said...

Sinta ungepata bwana kama huyu wa Jack tusingekunywa maji yakashuka kwikwikwi

Anonymous said...

We mia hujatoa

Anonymous said...

Kuhamasisha uligoma kuhamasisha,leo unasifia mwenzio kujitolea we umetoa ngapi nyooo hata ndululu

Anonymous said...

HAYA JLO UMECHANGA NGAPI? AMBER ROSE NDIO HIVYO TUSHAJUA

Anonymous said...

Watu nuksi humu ndani lol,mnabisha mpaka kwenye ukweli,hahah katoa ndio hizo kapeleka mwenyewe kwa mkono wake kamkabidhi sajuki,hizo za dina ni tofauti

Anonymous said...

Huyu sinta atoe thubutu!anashabikia wenzie tu,ye anawaza apate mwaliko wapi akaparty kabahili hata kwenye kuvaa mwenyewe,btw hongera jack iwe umehongwa haijalishi ilimradi umesaidia

Anonymous said...

UONGO MTUPU MBONA HATUJASKIA WAKATI WASTARA KASEMA ZIMEPATIKANA MIL 16 NA NYENGINE ZINAENDELEA KUCHANGISHWA WATATUMIWA WAKIWA HUKO...SINTAH HAKIKISHA HABRI NDIO ULETE HUMU KA SIO KUKURUPUKA.

Anonymous said...

we mbaya wa kila kitu mpk na roho yako mbaya yaan msanii mwenzio hujamchangia ht kumi wala kuhamasisha una kazi yakujishaua na huyo mjinga mwenzie aliekimbia shule na kukimbila usanii ili aweze kuiba mabwana wazee bahat mbaya kaachwa maskin....half nyie wote shule hamna mngekuwa na shule msingetumia majina ya masuper star wa nje kujiita nyie mpate umaaruf hapo inaonyesha shule ilivyo ndogo kichwan,,eti mil 15 hyo ac yake yenyew haijawah kufkia ht nusu,peleken hzo dead body zenu huko,na ole wako uibane hii na leo

Anonymous said...

Msimuibie tu bwana ake manake hamchelewi sahizi mnamuwinda kama mapanya Buku

Anonymous said...

Atoe wapi hana lolote kelele nyingi huwajui watu wafupi wewe

Anonymous said...

We naeee kha

Anonymous said...

Haijalishi bana

Anonymous said...

Kina roho mbaya sana,hamjui!?

Anonymous said...

Angerefuka kwa hashuo

Anonymous said...

Hongera mwayego

Anonymous said...

hizo pozi zote za kifreemasons, ndo ashaingia...

Anonymous said...

kiuchi chako nyooooooooo

Anonymous said...

jaman acheni hilaaaaa kweli wolper katoa milion 15 hamtaki sasa kwani lazma awaonyeshe ana hela ili iweje??? ametoa hela ni kweliiiiiii mtabaki nyie na midomo yenu - mdau Mwanza

Anonymous said...

we umetoa ngapi? kazi kutoa umbea tu kujishughulisha kusaidia wanaohitaji unaona tabu. hovyoo! inawezekana kweli katoa hiyo m15, si anauza uc** mtu mpaka kabadili dini kwa ajili ya ufuska

Anonymous said...

ubarikiwe wolper..

Anonymous said...

JAMANI HIVI KWANINI MNAMCHUKIA SINTAH HATA KAMA ANAMAPUNGUFU YAKE LAKINI SOMETIME ANAFANYA VYA MAANA ,,YEYE SIO MJINGA AKURUPUKE NAKUSEMA WOLPER KACHANGIA MIL 15,,SIO MNAANZA KUMKOROMEA NA COMMETS ZENU KAMA HAMUAMINI NENDENI KWA MILDAYO NAYEPIA KAWEKA ,,KILA KONA LINAZUNGUMZIWA HILO SIO MNATOMBOKATOMBOKA TU ,,SINTAH WEWE USIJALI UKIKOSEA UTAAMBIWA NA KWENYE UKWELI UTASIFIWA LUV YOU SINTAH

Anonymous said...

Mungu akubariki Wolper

Anonymous said...

Haijalishi kaitoa wapu angalieni moyo wake wa kutoa wangap wanapata hela kwa njia halalui na hawajatoa, Tujifunze kuapreciate vitu sio mnatoa vikwazo kwa kila kitu had visivyo na maana

Anonymous said...

namtafuta huyo rama

j ca said...

Sinta kama hizi habari si za kweli hukumu ni juu yako. Tulisikia kwamba kiasi kilichotakiwa hakikuwa kimetimia, so kama ni kweli jack katoa hizo hela zitasaidia sana.

Kama hajatoa itakuwa aibu yako kuweka uwongo hapa kwani huwezi kuleta mzaha kwenye ugonjwa. Kama kweli katoa abarikiwe sana.

Anonymous said...

rama labda umfuate Pakistan

Anonymous said...

sintah uligoma kuhamasisha watu wamchangie sajuki ulijua atakufa ili uwe wa kwanza kupost msiba wake? lo...umeula wa chui...kunduuu lako liliwa na mvuta bangi nature,ndo maana uliachika na bwana wako wa uganda,mbona huonyeshi picha za watoto wako wawili uliozalishwa uganda,,,kunduuuu lako

Anonymous said...

sintah uligoma kuhamasisha watu wamchangie sajuki ulijua atakufa ili uwe wa kwanza kupost msiba wake? lo...umeula wa chui...kunduuu lako liliwa na mvuta bangi nature,ndo maana uliachika na bwana wako wa uganda,mbona huonyeshi picha za watoto wako wawili uliozalishwa uganda,,,kunduuuu lako

Anonymous said...

ki ukweli,nampa hongera zake wolper.kutoa inataka moyo,na yeye mwenyewe amesema sio kama hana shida,ila sajuki ni mwenzao.na humu mbona watu wanapenda kubisha bisha?punguzeni jamani,mnaingia humu kufanya nini?ni kumkosoa sintah tu.angalieni yenu kwanza

Anonymous said...

haa!watu kwa midomo michafu hamjambo,mnatukana sana sijui hata kama mnatamkaga maneno ya kimungu nyie kutukana tuuuuuuu!hadi mnaboa wastaarabu,hamna kazi za kufanya kazi ni kuandika matusi tu.hebu kaeni kimya.kwani kutoa taarifa kama wolper katoa mchango huo imekuwa sababu ya kutukana hivyo, mwacheni sintah wa watu ebooo!haijalishi wolper hizo hela kazitoa wapi mwenzenu ndo kishabarikiwa hivyo.aibu zenu zimewashika,

Anonymous said...

haa!watu kwa midomo michafu hamjambo,mnatukana sana sijui hata kama mnatamkaga maneno ya kimungu nyie kutukana tuuuuuuu!hadi mnaboa wastaarabu,hamna kazi za kufanya kazi ni kuandika matusi tu.hebu kaeni kimya.kwani kutoa taarifa kama wolper katoa mchango huo imekuwa sababu ya kutukana hivyo, mwacheni sintah wa watu ebooo!haijalishi wolper hizo hela kazitoa wapi mwenzenu ndo kishabarikiwa hivyo.aibu zenu zimewashika,

Anonymous said...

Kumar @ woooote

Anonymous said...

Jamani kama hamjapata habari hapa bongo msikurupuke kuropoka msiyoyajua, yap ni kweli katika harambee aliyoiongoza Dina mario ilipatikana kweli mil.16 na Wastara akatangaza so zikawa bado mil.9 ndo hapo mwanadada Wolper akatoa DOLLAR ELFU 10, na kwa rate ya dollar ya juzi ilikuwa ni mil.15.8....tena kama hamna habari mi nachukulia kama aibu zao mana JB kawaomba wasanii wenzake wachange pesa ili at least wamrudishie wolper kiasi cha fedha mana katoa pesa nyingi.....Guys lingine wangapi wanahongwa na hawajachangia hata shiling 100, acheni jamani jiulize we hapo ulipo ukihongwa mil 15 leo hii si utaipigia mahesabu ya kubadilisha hali ya maisha ya kwenu acheni usenge usiokuwa na maana haya na wewe kahongwe uchangie nyoko nyie...

Anonymous said...

Bongo movies walikuwa wanasubiria Sajuki afe ndio wakatoe michango ili wapate kugawana wenyewe. Nasikia walivyosoma kwenye vyombo vya habari Wolper katoa $10,000 wacha waanze kujishebedua kuwa eti watachangashana wamrudie Wolper pesa zake! Pambafff mmeshindwa kuchanga hata elfu 10 kumi kumi ndio mtaweza kurudisha pesa ya Wolper?

Anonymous said...

jamani kweli ubinaadamu kazi! Jacky katoa hizo pesa ni kweli imethibitika kila kona mie nampongeza hatakama kauza uchi au za unga haijalishi, kwani wangapi wanauza uchi na unga hapa mjini na hawajajitoa kuchangia? So kutoa ni moyo na kwa hili limenifanya nimuheshimu sana Ilham a.k.a jacky wolper.

Anonymous said...

huyo demu anauza tu, hiyo hela wala ajatoa yeye, katoa rais wa ununio, yeye kamwambia kuna mshikaji anaumwa inatakiwa apelekwe india ama sivyo atakufa, dogo akamwambia kanitolee mchango wa dola elfu kumi, yeye anauza tu si bora angesema zimetoka pakistan, wasiwasi wangu wasimjaze tu midude yao baada ya kumpasua.india na pakistan si mbali kivile, lazima zirudi

Anonymous said...

Watu wengine humu ndani sijui mpojeee!hamuwez kusifia kitu kazi majungu na umbea usio n'mana nyie mmetoa ngap.kama kahongwa n'kasaidia kuna shida gan,acheni hizo funza nyie.Kama bwana zenu wabahili kaeni kimyaa,mnaomba hela mpk mnazeeka hampewi ndo mana mna mabwana mia coz hamna hata mmoja anaefaa,hamna mana uchafu tuu mnakera sana.Hela hamna mdomo tuu.Hamwatoshelezi mabwana zenu ndo mana hata hela hampewi mnatamania tu wenzenu na kutaka kuwaibia mabwana zao..nyooooooooo.keep it up Jack wolper.Mungu akuzidishie bibie

Anonymous said...

watu mnasikitisha, kwanza kama machizi. hivi kila hela anayotoa mwanamke lazma awe kahongwa. alafu utakuta ni mijianamke ndo inacomment huu upupu. tena mianamke mi vivu iliozoea kupewa. wanawake wenye hela tupo, na tunajituma tuna kula jasho letu. wolper bigup kwa mchango, uachage tu kuvaa uchi

Anonymous said...

Ubarikiwe Jacky kwa roho yako Mungu aliyokupa,na uzidi kubarikiwa...Binadamu jamani tuache wivu,roho mbaya, fitina na kashfa mana mnamsimanga Sinta wa watu kana kwamba amefanya kosa kuandika hii habari.Kama mnaona anawaboa please na nyie fungueni blog zenu muandike habari ambazo mnaona zinafaaa..Mana kutwa ni kumtukana dada wa watu asiseme kitu.Bora msiwe mnaingia mana tumechoka matusi yenu, just imagine ni wewe unatukanwa tuu..Ni binadamu ana moyo na hisia pia. Love you Sinta. ..

Anonymous said...

kumamamamamamamamamzenu wote ambao mnasema wolper kahingwa sijui kauza uchi ndo katoa mchango, kama na wewe ni mwanamke kauze wako na wewe uchange na kama ni mwanaume kauze mkundu uchange kumamamamamamamamzenu nyie msio ns jema kwenu

Anonymous said...

abarikiwe ndo mna anatumia obagi fulll mipesaa watajibeba mwaka huu sinta umetoa ngapi?

Anonymous said...

watanzania mtaji mkubwa kwenu ni umbea

Anonymous said...

naomaba kuongeza! chuki na fitina pia, haswa WANAWAKE! Ndio maana tumeonywa kwenye maandiko matakatifu, kitakacho tupeleka jehanam wanawake ni ULIMI! KUSENGENYA! Kama la maana libebe, likikuobore potezeiya!