Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

HAPPY MOTHER'S DAY

baby Caro na mum Sarah
 
Hawa na Brianna wake
Monica,Jj na Mike
Nargis na Nasreen
Zamaradi na baby Junior




 Nani  kama mama,ni mara nyingi sana watu huwa wanasahau walipotoka na kuanza kumkashifu mama yake ,jamani hakuna kama mama duniani mpende mama yako kwani mama ndio  kila kitu.

sitaki kusema mengi ila mpende mama yako.


HAPPY MOTHER'S DAY.


from 

Christine sintah



12 comments:

Anonymous said...

Jamani Zamaradi anavyojiadaigi ana principals kumbe principals ni kuzalishwa bila kuolewa, anyway congs

Anonymous said...

zamaradi amezalishwa na ruge mutahaba,,,m

Anonymous said...

sio ruge.. ni riz 1

Anonymous said...

Nashangaaaa

Anonymous said...

hayawahusu! mwanamuke uzazi bwana! mbona nyie munatupia chooni watu hawasemi! yawanzenu midomoni! ovyoooooooooooo!

Anonymous said...

MI MWENYEWE NNA MIMBA YA RIZ 1, WALAAH VIJITI KUPOKEZANA! KAAZI KWEL KWEL! INAHUUUUU KUWA NA MUME WAKO MWENYEWE!??? UKIONA UNABANWA, KAA KANDO, EPUSHA MSONGAMANO WATU TUPITE TENA KWA SPEED YA AJABU! MI NILIITOA HIYO COMMENT WA KWANZA KUWA KAZAA NA RIZ 1!!! SINTA AKABANIA KWENYE PAPA LAKE, HAYA BANIA NA HII, LAKINI SENTENSI HII UMEISOMA KIMYAKIMYA, MFOWARDIE ZAMARADI NA RIZ 1, NAPENDA KUTUMA SALAMU KWA WANAUME WOTE CHEATERS NA WANAWAKE WOTE CHEATERS! UJUMBE TUKUTANE MUHIMBILI KWENYE FOLENI YA ARV'S. AMEN!

Anonymous said...

SA SIUANZE KWENDA HUKO MUHIMBIL KAMA VIRUS VYAJO VIMETIBUKA UNA MTANGAZIA NANI SASA MFYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU

Anonymous said...

Wee malaya msg unabania za nini matege yale kama migulu baya embu tutolee takataka zako hzo mijitu imepauka inamaana wameshindwa hata kujipodoa ndo wapige picha mh

Anonymous said...

zama kazaa na ruge jamani na si riz one.....baba ya mutoto ni mutahaba chezea muta wewe

Anonymous said...

KWANI MI NIMETANGAZA, WE MBWIGA NINI! MUONE KWANZA ANA KIMUHEMUHE KA KAPATA BWANA BIKRA! HOVYOOOOOOOOOOO! MI NIMETUMA SALAMU TU! MFYUUUUUUUUUU!

Anonymous said...

KIHERE HERE UNACHO WEWE NYOKO WEEEE LOL MIJICHO IMEKUTOKA KAMA UNATUNGA UZI MANINA

Anonymous said...

Huyo hawa nakuuliza kazaa na nani?mbona kapauka hvyo????mh hata mafuta inavyoonekana hapaki looh kashazeeka na yy atulie,nargis mwaya wewe ndo mwanamke cheki unavyokipenda mwenzangu,sio hilo li bibi hawa chafuuuuu na lilivyo baya kama sokwe.