Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

UNYAYO WA NANIIIIII


oooh miguu kama spoke zoom uone

40 comments:

Anonymous said...

Ya jokat...

kokusimah said...

Baelezee bamezidi mamii

Anonymous said...

yani ww ni bonge la mshamba. umekosa cha kupost? yani umekaa kishari shari tu. miguu ka spoku ya kwake we inakuhusu nn? aliyemuumba yy ndo aliyekuumba ww. au ww hujioni ulivyojaa jaa hovyo hovyo ka kifuko cha mbolea. kuwa na adabu ww na muogope Mungu yani unakosoa uumbaji wake.

Anonymous said...

Ivi wewe sinta kusema miguu ya mwenzio kama spoku jaman ivi unaonaga vimihuu vyako..kwanza lishepu lako lipolipo tu kama wale samaki wa baharini wasio na shepu,kabla hujakosoa wenzio jitazame kwanza wewe,ovyoooooooooooo baya na iyo mikorogo mpaka ikulipue

Anonymous said...

nyie nao kwa kudadndia gari kwa mbele hakumaanisha hvyo mnacoment hovyo hovyo tu

Anonymous said...

mguu mpaka u zoom ndo uonekane mnene ww bipi kubali tu ww mguu huna basi ha ha

Anonymous said...

Jamani nyiewatu wagumu kuelewa !?anamaanisha nyinyi simnamwambiaga miguu kama spoki ndio iyo anawaonyesha miguu yake vizuri mpate lakusema

Anonymous said...

Hehehe mmeonae heeee huyu msichana mshamba Kabisa yani kazi kuwakashivu wenzie wakati mtu mwenyewe mbaya Kama gurudumu la michelini .... Kisura kimekushuka kami kuma yako chini nyooooooo

Anonymous said...

mie naona hamjamuelewa sinta! kaisifia hiyo miguu na si kuiponda!!

Anonymous said...

Ama kweli nyani haoni kundule!!!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

Eti nasikia ndundi zililindima? Tupe basi newz! Au zako huzitoi za wenzio ndo breaking newz????

Anonymous said...

Ushamba unakusumbu

Anonymous said...

CL za UONGO, Hahahahahhaahaha Uwiii, Ni zile za KINAIJA..... hahahhaah

Anonymous said...

utaishia kuvaaa magauni,na kuonesha miguuu ya wenzio tu,kama mungu alijua jua hakukupa chochote,si mguu wala si shep,labda huo mtindi ndio kakujalia,tuachie wenye navyo babu,

vichambo vingine unavitafuta mwenyewe wacha tukuchambe,mbwa wewe mfyuuuu

Anonymous said...

fake CL he he he he mtajuaje kuwa na yeye anajaribu jaribu hata kama FEKI.

Anonymous said...

jamani watu wagumu kuelewa
hiyo miguu ni yake na mnamwambie ana miguu kama spoke ndo mana amewawekea hapo m-zoom muone ilivyo minene........

Anonymous said...

huna jipya! umefuliaaaaaaaaaaaaaa!

Anonymous said...

muweke na mama diamond tumuone si ndio kaz yako. bt this time alivaa vizuri

davis said...

ooh dear hatuna haja ya kuona nyuma tulisha ona mbele ilivyo ,mibaya kwenye Kili awards, kiufupi hailipi na huo ndiyo ukweli.

Anonymous said...

Hahahahahah mpaka tuzoom????ina uzuri gani???nimezoooooom na sijafanya wow

Anonymous said...

haya mama asante mchina mtazivaaa wee CL za kichina na alaaniwe aliyewatoa tongotongo maana zimejaa mtaani feki feki feki zamani tulikuwa kunazipata kichichin kwa bei rahisi na zinazodumu nowadays zimekosa mantik kabisa huwezi jua ipi feki ipi original ni baraaarrraaa utajua zinavyochakaa haya mama lao kizuri lakini i like the color

Anonymous said...

kama unaongelea Christian louboutin shoes,no offence ila vyakoo r littlebit too red... kuna fake kibaoo, u need to give us more than that...kama wenzio wanopiga picha dukani buying..


ps... loved ur look on killi, ws flawles... pipo huo ni mguu wake whowing off her cl? shoes hihihihi

Anonymous said...

simama vizuri tuone mitege

Anonymous said...

mizuri mamii,hata km imegongana.lkn we mshamba bado.

Anonymous said...

Tuwekee picha za wedding ya sauda,tucheke jamani hahahah manake make up mi hoi lol.. Ingawa nampa hongera zake,mungu amlinde na wafitini na ibilisi na mashetani viumbe!amsimamie kwenye ndoa yake

Anonymous said...

Miguu itakuwa hiyo wewe,sijisifii ila alhamdulillah nilipewa mguu na hata nguo fupi sivai,ungepewa wewe hii lol tusingekunywa maji yakashuka,mungu hapendi majivuno jamani ingekuwa mguu mguu,mguu wangu mguu wangu heheh

Anonymous said...

hamjamuelewa sintah someni na kuelewa kabla hamjacomment

Anonymous said...

bora huo mguu ka spoku kuliko ww matiti ka una tenda ya kunyonyesha

Anonymous said...

CL fake za kichina izo hahaha elfu 50 tu izo wewe..huna jeuri ya kununua CL..kwanza kazi yenyewe huna. Thn mpaka mabuzi yakutifue tifue uko ndo uchange hela..kwendaaaa umeishiwa ilooooooooo

Anonymous said...

KWANZA WATU WAGUMU KUELEWA POST SINTAH KAONYESHA ALIVYOJALIWA SIO NYIE MNASEMA HANA MIGUU KAMA SPOKI ZA BAISKELI NYIE MNAYO HIYO MIGUU HATA YA KUTOKEA AU NI YA KUTEMBELA TU? MWENZE ANAO MGUU TENA MGUU KWELI BIBI ANGALIA KILI MUSIC AWARD ALIVYO PENDEZA MWENYEWE MIGUU MIZURI GUAUNI NZURI MVUTO MAPOUDO YALIKOLEA SAWASAWA MNAMUONEA WIVU MTOTO WA WAWATU NYIE MKINUNA MWENZENU ANAONGEZA SIKU NA PESA NA UMAARUFU HAPA MUJINI.

ET CL ZA KICHINA TUONYESHE ZA KWAKO KAMA UNAZO HATA HIZO?!! MNATOKA MANENO HATA HAMUONYESHI VITENDO MTAJIBEBA MWAKA HUU. ALIOPEWA KAPEWA JAMANI ACHENI ROHO SA KUTU NYIE WAJA HALOOO MNALO HILO TENA MLISOME KIMYA KIMYA NYIE VISONGOMBINGO.

MIMI PENDA WEWE SANA JLO TZ NA EAST AFRICA BIG UP MAMA UKO JUUUU

Anonymous said...

unafiki wako,mbiga wewe,tangu lini ukampenda sinta wewe,lione,mfyuuu

Anonymous said...

mpe moyo mwaya sie katutoka yani.chefuu humu.twaingia kumchamba tu.mwanamke mnafki kama jini

Anonymous said...

Hv siku huyu Jlo wa ukweli akiuliza nani analinganishwa na mimi bongo huyu sintah ataenda ujue ma star wabongo yani mnakosea kujita majina ya watu bora muwe kama AY yani so creative katunga jina na lina shine angekua limbukeni kam nyie angejiita kanyewest wa bongo ila mademu bwana mara jlo mara amber rose acheni kujiaibisha tungeni majina yenu mcreate tuu then unatoka kivyako sio mna copy na ku paste alafu hata hamlingani na majina ombilangu hlo.

Anonymous said...

huyo ni mtoto wako si kaka yako! namaanisha Milard- si waweza kumzaa huyo kabisa!!! shame on you!!!

Anonymous said...

hana lolote choko tu huyo sinta aende kimara akamsaidie mama ake kuchunga ng'ombe cl atatoa wap uyo

Anonymous said...

wewen Sintah unataka tuone mguu au unatuonyesha CL??? Haya tumeona! Tuonyeshe na receipt uliyonunulia ndio utakuwa umefanya cha maana na watu waache kusema ni za mchina!!

Anonymous said...

Dahh wewe dada ni mshari !!! hata sijui unakaaje na watu wallah!

Anonymous said...

Hiyo miguu ya kichina na inaonesha hukutumia doz vizuri

Anonymous said...

thats a fake cl, original cl haichubukiiii period

Anonymous said...

cl original HAICHUBUKIIII, na HAING'AIIII NEEEEEXT