Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUWA SAUDA WA MWILIMA NDANI YA GAUNI JEUPE

dada huyo ameolewa mahari
ishatolewa
bi harusi na wake matron
hee mwaka huu Martin lazima ujenge
single button kila corner
dada sauda na mume wake

j wake lo na na toto haula
maids tulinogajeeee
mti wenye matunda ndio unaopigwa
mawe
unstoppable
the crew
sajenti,diamond na j wake lo
wakikagua menu
penny na vijana wa single button
                                                                            
uwiiii kiduku tena

82 comments:

Anonymous said...

mmependeza ila mabibi harusi vipodozi vimezidi jamani hivi hao wanao wapamba hawaoni au nyinyi wenywe wapambwaji huwa hamjiangalii kwenye kioo jamani mnatisha usoni jamani mpk inatia kinyaa.

Anonymous said...

wats wron with sauda usoni jaman? anatisha...... bt tha white dress ilikua poa.

Anonymous said...

hiyo pix ya sauda na dida duh!! wanawake jamani acheni mikorogo kwa nini hamjiamini? wako kama majini

Anonymous said...

hiyo picha ya pili fanya uitoe tu haina mvuto hata. maids walinoga kweli but you nooooo! kila la heri sauda kwenye ndoa yako

Anonymous said...

mmekomaa na mikorogo hadi nasikia kichefuchefu kuwaangalia kama wabibi wa miaka 70..mmmh yatawashinda....

Anonymous said...

mmekomaa na mikorogo hadi nasikia kichefuchefu kuwaangalia kama wabibi wa miaka 70..mmmh yatawashinda....

Anonymous said...

sinta una miguu mibayaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!, usiwe unavaa vimini unakuwa kama unatembelea mikono!,

Anonymous said...

sinta uache kuponda wenzio na miguu yao yako mibayaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...

Anonymous said...

umependeza, sana na bi harusi kapendeza lkn hiyo mimekup bi harusi sijui imezidi sijui joto la Dar wala sielewi imechusha, na ww bi dada unajiita jlo ss umezidi kuvaa vifupi sana hata sehemu ya heshima mapaja nje hivi nyinyi mapaja yenu huwa haya thamani ee du!

ney ian said...

hii mikorogo hadai make ups zinadunda...

Anonymous said...

Hongera Saida Mwilima. Sintah hongera sana. ulipendeza sana kwa kweli mbunifu wenu anahitaji pongezi. mlipendeza wote. Pia nashangaa wanaosema una miguu kama spoke. Mbona iko bomba sana tuu. KIFUPI HONGERA ZETU MLIPENDEZA SANA

Anonymous said...

Nani amewaambia mnapendeza na huo mkorogo? Mbona mnafanana na wale nguruwe wangu kule nyumbani jamani?

Picha ya pili kutoka juu, duuuh!
Poleni sana.

Anonymous said...

Mikorogo hadi mnaboa, yaani mikorogo plus makeup mmekuwa Kama majini.

Anonymous said...

NO GOOD.. SIJAVUTIWA MAKEUP MBAYAA MKAENDA KUMTIA MPAKA HUYO MTOTO MSIMAMIZI..LOH ..J WAKE LO HUKUPENDEZA MAMY..

Anonymous said...

migitu mingine wivu tuuuuuuu waacheni wamependeza sanaaaaa tuu, tena mnaosema hamjaolewa kazi kuchonga tuu tafuten wenu na nyie muwe kama wao stupid kazi kusema wenzenu tuuuuuuu

Anonymous said...

lol....iyo mokorogo sura zimewavimba wanaonekana wazeee...na nyie igen mpake obagi unakuwa mweupe lkn hauvimbi sura kama dida na bi arusi

Anonymous said...

jmn make up mbaya sana!!cjui ni mkorogo umezidi au ndo hawajui basi waliopamba maharusi jmn kha!sinta we mzr sn,ila mwambie mshauri wako wa mavazi bs aangalie upande mwingine.miguu si spoke kihiiiivyo but nguo zinazokushika mwili juu hadi chini hazikupendezi,as shape yako haielweki..unaonaje ukivaa za kubana juu na chini ziachie ?jiangalie kwenye kioo tena uone!!!SOMA HII USIBANE,UPOO JUU ILA HUPENDEZI MAANA HUJIJULII MWILI WAKO..USIFATE MKUMBO

Anonymous said...

HIVI HIZO MAKE UP NDO MMEGUNDUA LEO AU VP?KAENI CHINI KITAKO ANGALIENI WAREMBO WA UKWELI MAKE UP ZAO.ANZA NA JLO WA UKWELI,KIM K,ANGELINA J NA WENGINE..HAWAPAKI MAKE UP KISHAMBA HIVYO..YN NI KWELI MKO KM MANGURUWE PORI,BI HARUSI HONGERA ILA USONI HAPANA JMN.HALFU SURA YAKO IMEJAA SIJUI NDO MIMBA AU VP...KILA LA KHERI.PUMZIKA MKOROGO AU ACHA KBS MBN UTAKUWA BOMBA TU.

Anonymous said...

WAMEPENDEZA SANA JLO MH NIMEPENDA SANA HIYO NGUO PIA ALICHAGUA RANGI NZURI. SAUDA KAPENDEZA ILA MAKE UP IMEZIDI KIDOGO SIWEZI KUWA MNAFIKI.

MUNGU AMJALI NDOA YAKE IDUMU NA IWE IMARA WAISHI MIAKA MINGI YA UPENDO NA AMANI.

BIG UP

Anonymous said...

hongera sauda kwa kuolewa, lakini huyo mikorogo imewaharibia picha aisee...dah......hizo sura utafikiri nyani wazeee...jamani hata ukiwa mweusi unapendeza tu...punguzeni

Anonymous said...

bi harusi na matron wake hovyoo! na mwiz wa majina ya watu ndo kabisaa sijui nani kakwambia ukivaa vimini ndo unapendeza. ungejiona hiyo miguu ilivyokomaa wala usingesema wenzako. we believe me, ukivaa nguo ndefu unapendeza kinyama we hujajua tu. so ushauri wa bure na uufanyie kazi, uwe unatupia vitu vya mburuzo

Anonymous said...

Bongo vipodozi vimezidi mnajiharibu kwani mkipaka poda na wanja tu hampendezi?na hao baadhi ya mastaa si huwa wanakuja huku europe kama wanavyosema majuu hawahoni kwani huku wanajipodoa bi harusi aaah nomaaa.

Anonymous said...

jamani kwenye ukweli watu waseme ukweli...nguo ya biharusi na msimamizi ni nzuri....swala la kujichubua kwakweli limewafanya wasipendenze na hata hiyo make up kuonekana mbaya...JLO MPENZI Sura yako nzuri na hata nywele ni nzuri na hiyo nguo ni nzuri KAMA INGEPATA MTU MWENYE MIGUU MIZURI...SINTA JISIFIE SURATU ILA SHAPE NA MIGUU NI VICHEKESHO JAPO NI KAZI YA MUNGU LAKIN MIGGU YAKO NI MIBAYA..NA MIGUU YOTE DUNIANI UKIIPIGA PICHA KWA NYUMA NI MIZURI ILA KWA MBELE NI MIBAYA.

Anonymous said...

JAMANI SIO KAMA NAONA WIVU ILA HAMNA HATA ALIYEPENDEZA KATIKA HARUSI ZOTE NILIZOZIONA HII MMECHEMSHA SNTAH NGUO HAIJAKUPENDEZA HATA KIDOGO MIGUU YAKO MINENE ILA IMEKOMAA MIFUPI KAMA KIAZI KIKUU UPS BORA UWE UNAVAA NGUO NDEFU UMEKOMAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

Anonymous said...

jaman jaman!!!!!!!!hizo pua za bi harus na matron wake!ni nn hiki nguo nzuri mapua yao sasa bora wew kimeo sinta ungemsimamia nyie mlipendeza sana

Anonymous said...

Matron wa maids hujapendeza,uko kama mama ya hao kina sajent umri mama umri Ooh

Anonymous said...

Eeh mungu warehemu waliotangulia,namkumbuka Ac nyakati kama hizi nadhani ni umri mmoja na wewe lakini yule hakusoma sana na still alikuwa kaerevuka ana hekma na busara... Sinta vitu hivyo huna ni tashtiti mjini tu

Anonymous said...

Mngevaa long dress mngevutia,huyo sajent mguu mashallah wenzangu na mie hapo chacha,bana eeh ikibidi kusifia tunasifia ukichemka tunaponda tu

Anonymous said...

j wake looo yaani uko so swit baby ila sauda na dida duu..utafkiri majini..........yaani sauda ndo kavimba km mdudu

Anonymous said...

j wake looo yaani uko so swit baby ila sauda na dida duu..utafkiri majini..........yaani sauda ndo kavimba km mdudu

Anonymous said...

umependeza sinta ila unaviguu vibaya sana havistahili kimini.

Anonymous said...

Huyo bibi harusi ni mja mzito au vipi? uso wake umevimba sana plus mkorogo!!!!???? anatisha

Anonymous said...

Uwwwwwwwwwwwwwwi sikujuwa unatembeleaga mikono, we dada nikuambie tu ukweli we ni wakawaida sana hauna huo uzuri unaozanishia penzi yanikawaidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

Anonymous said...

bora muache hiyo mikorogo mnatisha looh....mbona mkiwa weusi mnapendeza.tena huyo dida wakati anaigiza alikuwa vizuri tu.jioneeni aibu.au hivyo vidonge nasikia mnameza haviishi mwilini?

Anonymous said...

Sintah naomba number ya Almasi walah nampenda huyu kaka sijiwezi mie najua anamkaza rafiki yako haijalishi nataka awe rafiki tu. kama ule wimbo wa ni rafiki tu hapana noma uwii nimemuona hapo wengine wote nimewaona giza except mkorogo wa Sauda umenipa mwanga nikahisi uwii makimbizwa na shetani im sorry mwambie shosti yako aache mkorogo siyo mzuri na haumpendezi hivi kwa nini marafiki zako wanatumia mkorogo hivyo except kidoti mi naomba uwapige chini wote ubaki na kidoti sababu anajitahidi kukutoa matongotongo na with time utakuwa very civilised hao mashosti wengine wamekuharibu wachagga hatuko hivyo my dear we are naturally beautiful. Simu ya Almasi tafadhali nitumie kwa mankacharles@gmail.com please im serious

Anonymous said...

Hahaa sauda bibi poleee...hata kwenye sherehe yako umeshindwa kuwaka.. Hyo picha we na dida mmetokokea kama Defao na Madiluu...ncheke miee.. Sintah kuanzia shingo kushuka chini sisemi ila kisura umefunikaa...na hicho ndo cha maana. Cute face kwanza miguu na shepu baadae hata kwa mchina vipo.

Anonymous said...

Wewe unayesema tunaona wivu utakuwa na mtindio wa akili,hivi wewe unashabikia mikorogo mpka sura zimegoma kupendeza.khaaaaaaaa

Anonymous said...

hahahahahaah leo uja close miguu shoga???????????????mna mhhhhhhhhhhhhh htrrrrrrrrrrrrrr!

Anonymous said...

BONGO KUJICHUBUA NI FASHION TUNANZIA SINTAH,SAUDA,DIDA,SHADEE WA CLOUDS,DIVA LOVENESS WA CLOUDS,MANGE,FASHIONJUKII,MILEN MAGESE,MWAMVITA,WEMA,YANI WENGIII MNOOO YANI MTU NILIOKUWA SIMTEGEMEEI NI SHADEE REDCARPET YA KIL NILISHINDWA MGUNDUA DUUU WANAFATA NYAYO ZA MICAHEL J

Anonymous said...

Ha ha ha miguu hiyo kichefuchefu

Anonymous said...

Jamani sauda ni mjamzito ndio sababu ya sura kuvimba sio kusema ndio alivyo,we sintah unazeeka sasa wenzio haooooooo bado unajifanya wa jana

Anonymous said...

OMG, those two Sauda&Dida look like a living gost. They look older than their age. And what is wrong with Mr.Diamond???? why on the earth does he always wear sunglasses in the night?? I can't I understand that n I don't need to. Fashion policy will take ages in bongo...!!!!

Anonymous said...

Jamani wamependezaaa, heupee nyeusi ina hadoa! Weupee peepeee kama karatasi na si kama mzungu! lol!

Anonymous said...

Bi harusi sauda hongera sana mpenzi..ila duh iyo makeup jamani utasema mmeloweka kwa pipa la poda yani kama vinyago sasa bora wewe uyo matron wako je hahahahahaha yani nilikua nampa mwanangu alice uji akawa hataki kula nikamtishia picha zenu akale tena kala sufuria zima hahahahaha..sasa na wewe kikatuni cha jlo iyo miguu utasema umechomekwa yani picha ako ingekua inawekwa bday za watoto ingependeza na miguu kama uma za plastiki

Nanah said...

Sura ya bibi harusi na matron za KISWAHILIIII! Wamevimba kama mikate iliyoumuka, pua kama mzigo wa kuni, yaani ni WABAYA ukijumlisha na mikorogo basi vurugu tupu.

Anonymous said...

hongera sana bi harusi, but hiyo sura vipi, huko kuvimba naweza kuelewa ni kutokana na hali yako ila chacha makeup loh, utadhani waimba taarabu wa manzese uwanja wa fisi...! hivi hamuwezi kuchagua makeup nzuri zisizo na mafuta hata kwenye shughuli muhimu kama hii... yan inshort mmetisha like ghosts...je lo magauni ya kujaa tumboni hayakupendezi kabisa yanakufanya uonekane na shape ka pipa, ungeshona kama ile ya tuzo za kili or mshono mwingine wowote ila siyo wa kujaza tumbo umechemka..na acheni kwenda saluni za tandale......!

Anonymous said...

hahahahah yaani hizi comments ni balaaaa heheheheh miye napitaaaaa vuuuuuumuuuuu...lol

Anonymous said...

hahahah my mbavuuuuuu heheheheh watu mnamadongoooooo balaaaa...duh

Anonymous said...

HIYO COWN KA MISS WORLD MBONA KUBWA SANA JAMANI?????

Anonymous said...

Jamani sio kosa lao yani ni halali yao kujikandika make up,cz wasingefanya ivyo nyuso zao zimeungua ungua upande mweusi upande mweupe sababu ya mkorogo

Anonymous said...

we bania tu kutoa hizo comment lkn ujumbe umekufikia. na picha ya pili hiyo bado ipo tu?

Anonymous said...

duh! hiyo picha ya pili kweli ka wacko jacko

Anonymous said...

oh my baby sintah hebu kweli mpe ushauri huyo sauda siku zote naonaga hapendezi sijawahi ona kapendeza labda akivaa dira,sasa hata siku yake ya muhimu nayo anajiweka vibaya hivyo,walipambiwa wapi au tandika,ni watu muhimu nilitegemea ungewashauri kabla hawajaingia ukumbini au ni wabishi maana wanatisha vibaya mno,sauda hiyo siku hairudi tena so umejiharibu alafu huwa hata mkorogo wake sijui ni wa wapi maana unamtenganisha rangi zake

Anonymous said...

Haluuuuuuuuuu,nilikuwa nimenuna mmenisababishia nuru kwa uso wangu manake nasmile tu hapa.... Kwa micomment hii jamani jamani

Anonymous said...

Jamani vibaya wajameni watukaneni mikorogo yao si maumbile hawajajiumba yarabi! Sijui miguu mibaya aii,mkumbuke hujafa hujaumbika..

Anonymous said...

Binadamu tuna mambo kha!kuchamba kote hukoo ddduh

Anonymous said...

HIYO MI POUDERRRRR UTASEMA WAMEPAKWA SHAHAWA!! KHA! ETI NDIO BIBI HARUSI, NA SINTA NA SAUDA WALIKUWA LINI MASHOGA?? AAAAHHHH NIMEKUMBUKA WAKATI SINTA ALIVYOKUWA CLOUDS MWANZA, OOOPPPSSSSS MFYUUUUUUUUUU NO WONDER THEY R FRIENDS AKILI ZIMEWAPAUKA! HAMNA HATA MOJA, HOVYOOOOOOOO!

Anonymous said...

hiyo mimakeup ni big no kwa kweli...n huyo martin kadinda jmni co designer wa hzo single buttonz..mie nachefuka kweli..he should create something of his own ndo ajiite designer..hizo single button zilikuwepo cku nyingi sana..so pliz acheni kujipa mapromo yaco yenu khaaa

Anonymous said...

jamani sijawai kuona bi harusi anambiwa eti ametisha kama jini!!!! sio vizuri ata kama kweli tumezee tuu...
ni watu waliokua nae siku hio ndo wamemfanyia vibaya sauda wa watu maskini.....

ukiwa bi harusi unataka upendeze unabaki ukiwasikiliza watu, wakikuponza inakula kwako... pole mami Sauda but heri njema katika ndoa yako hilo ndo muhimu

Anonymous said...

sintah, pendeza wewe, nguo fupi znakupendeza, mshukuru Mungu maana kakuumba kwa mfano wake, achana na wenye kuponda, wanataman tu kuwa na mafanikio na confidence kama zako, be proud of ur legs.

Anonymous said...

i just love 2nd and 4th pic

Anonymous said...

i just love 2nd and 4th pic

Anonymous said...

Mmmh huyo biharusi Sauda yeye na mumewe mwanaume mzuri lol! Sauda pua kubwa kama bibo na hayo mapodo kama mpoki huna damu ya nguo mpaka shera alikupendeze ww kiboko.

kitumbushu said...

comments za kusifia mbona kama anazitoa J wake Lo....
speak the truth ma

Anonymous said...

ha ha ha daah hz comments jamani ni burudan tosha eti pua ya saida kama bibo mara kama zigo la kuni ha ha ha mbavu sina

Anonymous said...

Kwa kweli hawajapendeza kabisa hata watu wote walimshangaa hiyo ni special day yake lazima ndio imechatoka tena kila la heri kwenye maisha ya ndoa

Anonymous said...

Sinta uwe unachagua picha za kuweka!! au kamera yako ina makengeza! mbona jamani! umewachora wenzio jamani!

Anonymous said...

yaani hiyo picha ya pili jamani kama mazomby hivi hii mikorogo tunayopaka huwa tunajiona lakini

yaani nimeogopa nikafikiri naangalia picha ya vempire au mazomby

anonymous said...

Mmmh huyo biharusi Sauda yeye na mumewe mwanaume mzuri lol! Sauda pua kubwa kama bibo na hayo mapodo kama mpoki huna damu ya nguo mpaka shera alikupendeze ww kiboko.


dah tuwe na huruma ata kwa bb harusi kati ya zote hyo ndio imenivunja mbavu zaidi,hongera dada suda and pole inawezekana mpambaji wako alikua ex gf wa mumeo apo chacha!

Anonymous said...

hivi jamani mpaka leo bibi harusi anavaa crown me cjaona nowdays yan sintah na didda mmeshindwa kumshauri rafiki yenu mbona sauda alikuwa matron wa dida na alipambwa vzr 2 imekuaje kwny haruc yake katisha.

Anonymous said...

jaman msimlaumu sintah et kamera yake sio hao cjui ma biharus sura zao mbaya tu mhh kama huo mpua wa sauda mwilima kama rungu la mgambo

Anonymous said...

Loooh mikorogo imewafanya muonekane kama mikundu ya nguruwe mhhh mnatishaaa mamamaeeeee ombeni mungu msipate ajali mtajutaaaa...

Anonymous said...

sasa huyu Bwana Harusi ndo kavaa aje?
cjui niite mchuzi kha!!!,halafu hata label ya suit hajatoa.Mh ulimbukeni huuu.

Ladida said...

mh wadada wa kibonge mnatumia mkorogo mno jamani?!hadi uzuri wenu wa asili umepotea!ona sasa Sauda huo uso!kwanini msiache rangi zenu za asili? shame shame shame

Anonymous said...

SINTA KABLA UJARUSHA PICHA UZIANGALIE KWANZA KICHEFU CHEFU KITUPU .PICHA MBYA THEN UJAVAA SIDILIA .ZITOE MNA DUNIA NZIMA WANANGALIA.AIBU BI HARUSI NA MPAMBE WAMEJIKOROGA MNO AIBU MNAANGAIKA NINI?NADHANI UJUMBE UTAWAFIKIA AU NDO WALE WA ABAGI MMMMMMMMMMMM.MNACHOKITAFUTA NA ABAGI MTAKIPATA .

Ladida said...

mkorogo mkorogo... kila msichana maarufu (ambaye hajaenda shule na mswahili mshamba) wa kibongo anataka kuwa mweupe?hivi mwili mzima mmekua hivi?maana kuna sehemu ngumu kutoka rangi kama nyuma huko!!! shame on you...mnataka kuwa wazungu wakati mipua minene kama ya ng'ombe?penda rangi yako mwafrika acheni kudanganyana...

Anonymous said...

Bi harusi na Matr wake ni ndugu? Wamependeza ila vifupi vinene .Mashaalwa Pua mashavu macho .Mikorogo mie unene nauchukia unapotaza mvuto wa mtu tena nenepa kote si usoni au tumbon .

Anonymous said...

ha ha ha ha for the first timenacomment aisee...nimefanya kuzi review hizo picha na ku relate na coment nimejikuta nacheka ofisinzima kwanguvu..LOOOHH wanawake mnanyuso nzito nyinyi kama mkundu wa ngamialohh..

Anonymous said...

dah kweli wazuri wamekwisha yani hata wewe sinta nawe mzuri? kwakujichubuaaa au kitu gani maana cjaona hata huo uzuri ulionao,hiyo sura tu kama kuma ya ngedere,na huyo bibi harusi Sauda sura mbovu kama fenesi na huyo matron wake wote wanasura za bibi zao na hapo ndio wamepaka sumu za wazungu kumamazenu.

Anonymous said...

KAMA MAJINI JAMANI INA MANA HUWA HAMUJIONI JAMANI JAMANI!

Anonymous said...

im off the comments jaman i used to love wolper nasikia eti kaslimu mhhhh mtoto anahangaika huyu kisa..... mwanaume mwenye pesa unaweza ukaslim na bado ukaijutia tu hiyo relationship............of ol the things umewahi kuniuzi ni hii kitu..................go to hell mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,iwill hate you forever mtoto w mamdogo..............

Anonymous said...

make-up ya bi harusi jamani hapana, na hiyo taji kichwani imepitwa na wkt mnoo....na ukiwa mjamzito ukafika ile hatua ya kuvimba uso, hutumia make ups kwa mbali sana. matron na make-up artist wamekuangusha sana. All in all Hongera mwaya