Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

WAREMBO WA MJINI FANYENI KAZI ACHENI MICHEMSHO YA JION YA SIMU

dear wadauzzz ,

kumekuwa na tabia za wasichana wa mujini na mastaa ku act hata maisha yao,jamani utakuta mtu anaishi her life beyond her means,

hivi kwanini ujilazimishe arghhh.

utakuta wasichana hao wana force ku mantain status ndo maana wanamegwa matonge  hata na vibabu vizee.
kibaya zaidi kinachonikera mimi mchana kutwa wanalala wala hawana muda wa kujihangaisha ,wafanye hili wala lile,ila jioni wako stand by ku beep ili waitwe wakale chips na michemsho ya bure.

jamani hamuogopi ukimwi au ndo yale mnaosema mnaogopa mimba tuu maana hamuogopi ukimwi

kama naijua vile ile slogan yenu, BORA MUISHI MIAKA 2 YA RAHA KULIKO 30 YA MATESO

to be honest punguzeni hio tabia ndio mnaharibu wanaume wengine hapa mjini kuona kila mwanamke yupo cheap.

UNSTOPPABLE me
my back isnt a voice mail
say it to my face
ukishindwa unaniogopa
endelea kuniogopa
this is just the beginning
jlo Tzzzzz

30 comments:

Anonymous said...

uwiiiiiiiiiiiii c unawasema mashagoa zako ss hapo mna kila kukicha wanaliwa tu.

Anonymous said...

unatoa ujumbe yes thus gud message kwa wanawake! But wewe vip ndugu? Ucje ukajifanya kusema wenzako kumbe ww mwenyewe yale yale! Jikague kabla ya kuongea!

Anonymous said...

acha kuwalaumu wenzako hujui ni kwanini wako ktk hali hiyo, wanachohitaji na maombi na sala na si kuwasimanga kwenye blog, mbona wewe umeshaliwa sana na watu wazima tena wanaokuzidi umri kwa mbli tu, mfano yule baba bonge mweue aliyekuwa anakupeleka rudz kula nyama si sawa na baba yako yule! we ni mtu mzima kusimanga hakusaidii lolote

Anonymous said...

teh the teh teh uwiii mwenyewe nashangaa,jamani watu tunajisahau mapema kweli sinta wewe ni wakujifanya mtakatifu mpaka kuwaonya wenzio?mdau hapo juu upo right kabisa.haa kumbe alitaka kuolewa yeye looh apeleke ugubegube wake huko.alafu ukishalala na mwanaume weather alikufikisha au alikugusa akaacha you have to respect him coz ushamvulia nguo hiz habari za kuachana na mwanaume na kuanza kutangaza upuuzi against huyo mwanaume ni ushamba na wewe sinta na elimu yako haijakukomboa.tena kaa mbali na hiyo ndoa ulishindwa kipind kile kwa sababu ya tamaa zako ambazo unawaambia wenzio waache.

Anonymous said...

Sinta hivi mmjiona mnavyochambuliwa kwenye hiyo ze utamu part 2 uwiii yaani mnatembea uchi kabisa kama hamna nguo, nawaoneaje huruma.

Anonymous said...

Mwambie na wew chaumbea kwan atamfanya nn??? Na huyo mume wa mtu kwan haliwi??? Sasa mwambie afu tuone atamfanya nin....

Na ile biashara yako ya tigo ulishaacha au mtaji umepukutika??? Lione jepesi kuongelea ya wenzie yako umeyakalia tupishe huko utazid sana kutolewa marinda mkunduni nyokooo......... Anony No2 lako hilo

Anonymous said...

Mwambie na wew chaumbea kwan atamfanya nn??? Na huyo mume wa mtu kwan haliwi??? Sasa mwambie afu tuone atamfanya nin....

Na ile biashara yako ya tigo ulishaacha au mtaji umepukutika??? Lione jepesi kuongelea ya wenzie yako umeyakalia tupishe huko utazid sana kutolewa marinda mkunduni nyokooo......... Anony No2 lako hilo

Anonymous said...

Tehtehtehteh.anamsema shoga ake wema sepetu.nasikia wahapo vzr toka aandike ile post!halloo msg senttttttt

Anonymous said...

Tehtehtehteh.anamsema shoga ake wema sepetu.nasikia wahapo vzr toka aandike ile post!halloo msg senttttttttt.

Anonymous said...

huna la kumrekebisha mtu wkt na ww umepita hukohuko kwenye kununnliwa chipsi sasahv umechokwa nani wa kupoteza hela yake kukununulia kitu,huna cha kuwapa wamekichoka

Anonymous said...

huna la kumrekebisha mtu wkt na ww umepita hukohuko kwenye kununnliwa chipsi sasahv umechokwa nani wa kupoteza hela yake kukununulia kitu,huna cha kuwapa wamekichoka

mamy naah said...

mdau hapo juu mawazo yako yanafanana na mm kweli kabisa anasema mashoga zake mwenzangu na hizo ndo tabia zao madai yao eti mutoto ya mujini ndo wanavyo jiita ahh!! waaaapi hakuna lolote...
msooonyooooooo

Anonymous said...

Acha kuongelea mambo ya watu wewe mbona yako huongelei? Badili muda wa saa katika blog yako umbea tu hadi muda hujui.

Anonymous said...

watu wengine bwana, sintah ameongea kitu cha maana, sasa wewe kwa chuki zako binafsi unaanza kuropoka mitusi isiyo na msingi badala ya kuchangia topic iliyopo. Una koo la Lusfa

Anonymous said...

wewe sinta mbona umekosa haya ivyoooooooo
we ni mnafiki coz ulikuwa wa kwanza kutuonesha gari la wema na safari ya dubai ...yako wapi sasa umehamia kwa jokate kumsifia kila kukicha iweje uwe rafiki na adui wa shoga yako?? wadada wa bongo badilikeni hizo offer zitawauwa ndo maana hamuishi bifu kwa kushare hao vicheche...mnadanganywa kwa mchemsho??? duh kazi ipo

Anonymous said...

JAMANI TWAOMBA JINA LA HIYO BLOG MPYA MAHUSUSI KWAJILI YA DADA YETU MA--E.. he heeee... nikiipata ntafurahi kweli!

Anonymous said...

mpe mpe mpeeee andunje kujifanya mwema kuwasema wasichana wezako wanajirahisisha kwani wewe hutombwi,tena unatombwa na wanaume za watu.malaya mkubwa weeee.nyoooooooooooo!

Anonymous said...

NYANI HAONI KU**LAKE

Anonymous said...

mbona unajisema wewe hapo??wewe ndo hunaga shughuli ni umalaya tu na kuuza sura kila mahali unajipachika..

Anonymous said...

makubwa!!!

Anonymous said...

jamani blog gani inayomtukana Mange kimambi? mimi naona watu wana wivu tu na muke ya muzungu. jina pls, naungana na wewe mia kwa mia JLO hii tabia ya hawa loosers wa mjini wa kupenda vya bure inatupa wote majina mabaya.

Anonymous said...

sasa ndo nini kusemana shoga?mana ndo style yangu kisa cha kuniumbua mwenzio sina kazi siku nzima sili nabana matumizi ikifika jioni ndo nashtua wadau nijilie zangu na kijinauli nipate cha kesho yake chai asubuhi, kama vile hujui mambo ya mjini wadada wengi wanaanza hivo baada ya muda dili zinaitika anaacha na hiyo style and life goes on and For Your Infomation ukiwa mjinga ndo utatiwa hovyo yani nitiwe coz ya mchesho??kumbe hujui kucheza na akili za wanaume wewe... Kwenda zako na mkorogo wako ulioanza kudunda

Anonymous said...

ushauri mzuri, lakini dada unakigeu geu.. shoga yako wema ulimsupport kw kuiba mume wa mtu, shosti unajitahidi kuwa mama ushauri ila kw upande mwengine unasupport hio tabia..

mama TINA said...

uwiiii wezi wa waume hadi sweden wapoooooo yani watu wamekubuhu imepaki awards to ndio.wapate hivyo vimasters.degree phd walimaliza sasa wanasubiri award yani stockholm imejaaa waizi niwatajeeeee.... mkatafute vifagio na kulea wazee acheni kuchezewa

Anonymous said...

duuuuuu

Anonymous said...

YANI NATAKA TU JINA LA HIYO BLOG YA PURE UDAKU. MNGENIJUZA KWANZA TWENDE SAWA.

waukweee!!! said...

mi napita tu jamani!!!!

Anonymous said...

napita tu jamani!!!!!!!

Anonymous said...

Wewe mwenyewe ulikuwa cheap cheap the cheapest, leo ndo unajiona high, kwa lipi?

Anonymous said...

mmmmmmmmmmmmmmmmmmh