Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

SERENA PALIWAKA MOTO JUMAMOSI

my dada Adeline
jackie&Lisa
Dokie na hakunaga style
kichwani
duu Mange
kiboko,hongera
jlo nimekubali sijui hio size ngapi

thanks this table duu
mlinishangilia sana

lovely
Eve collection rocks
Nai Nai ukinikubali sijui nini na nini
aaah nimezoe za kizungu mie
watu weweee j wake lo


 legend
Asiah Idarus





mlitisha sana watu wangu


thanks kwa kunishangilia




tuache picha ziongee,jlo alipendeza sana,ahsanteni sana designers kwa kunipendezesha. 

50 comments:

Niwa said...

umependeza na hilo gauni refu lakin hiyo fupi jamani miguu km kuniiii

Anonymous said...

SINTAH ULIPENDEZA SAAAAANA SAAAAAAAAANA NIMEPENDA HIYO NGUO YAMWISHOKABISA YAANI ULIPENDEZA NGUO ZOTE ZILIKUTOA SAANA ,ILANATAKA UREKEBISHE KISWAHILI CHAKO SIJAKUELEWA ULIPOSEMA DOKII STYLE YA NYWELE YANI NIHAKUNAGA?UNAMANAGANI?JAMANI WATU HATA KUANDIKA KISWAHILI KINACHOELEWEKA HAMUWEZI,KIZUNGU SINDIO KABISA SASA,

Anonymous said...

Umependeza Mpenzi.

Anonymous said...

Pendeza sana mtoto!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

NAKUPENDA SANA, UMENIKERA TU UNAVYOTETEA UJINGA WA WEMA. Ulipendeza sanaaaaaaaa

Anonymous said...

Uwe unasubiri basi usifiwe dah! kujisifia sana inabore...kama ulipendeza wala haihitaji kujisifia, unatulia tu unaona micomment ya watu wanavyokumwagia sifa..hapo utakuwa na confidence ya ulichokifanya lkn unaanza oooooh JLo alipendeza...unauhakika na hilo...subiri mwisho wa siku utaona sifa zako hapo chini..Wadada walipendeza hasa kwe party hii..

Anonymous said...

Tupe story basi ya shost wako..maana saizi anatapa tapa kwe vyombo vya habari..tupe tupe tupe raha mdada

Anonymous said...

kusema ukweli ulipendeza,hiyo nguo ya pili gauni jekundu hivi la kuchanua designer nani nimelipenda saaaana nalitaka

Anonymous said...

Duh bidada miguu huna

Anonymous said...

mamii mbona comment tumetuma leo kisha zinaonesha tarehe ya jn au??????????? na tyr umeshapost??????????

weprac said...

kwa gauni la kwanza shost haujapendeza hata kidogo,utafikiri unataka kupaa,upepo ungevuma kwa nguvu ungejishangaa umenyanyuka..na sijui tungekuokotea wapi...loh gauni kama parashuti,hapo hujabamba kabisa,ilo la pili atleast umetukuna kwa kweli...na huo umbea wako wa wema usimtetee kwasababu ni shost wako,sisi tunaujua wote,kwa taarifa yako wote waliswekwa rumande,wema haoni haya kumuibia mwenzake mume na kwenda kunywa kwenye pub yake?huo ni ulimbukeni uliopitiliza,mshamba mkubwa..

Anonymous said...

huyo dokii mbona kma chizi? amechanganyikiwa!!!!!!!!!!!

mkweli said...

ndo miguu yake alopewa na mungu heri yako wewe uliyepewa vyote. vaa chochote sinta ili mradi unajikubali kwa umbile lako ulopewa na mungu.

Anonymous said...

wee hyo style ya dokii ndo inaitwa "HAKUNAGA"

Anonymous said...

Umependeza sana Sintah magauni yote yalikupendeza, ila la tatu ndo lilivunja rekodi, hilo la Asiah Idarus nimependa sana.
Big up.

Anonymous said...

wap habar ya wema sepetu loh....

we si mwana habar mwaga umbea tucheke na vimbwanga vya mastaar

mke wa mtu katoka polis bado???duh kwel wanawake hatupendan

nampenda wema kwa kuish kama yeye ila soon ataanza kuniboa na kuiba mabwana za watu.....

Anonymous said...

Umependeza sana mamii. NIMEPENDA SANA UMETOA STORY YA WEMA. ASIKUSHUSHIE HADHI WE NI LEVEL YA JUU. ANAFANYA WATU WAKUONE NA WEWE MJINGA KAMA YEYE.

Anonymous said...

Ulipendeza mwaya,nakupendaga sana na nimezidi nimezidi kukupenda baada ya kutoa ile post ya yule chizi wema!!!Ingekusha chati wangu!! she is going down dont let her go with you!!!!

Anonymous said...

KWANINI UMEZITOA POSTS YA WEMA NA HUSNA ,SI UNAJIFANYA WEWE UNSTOPABLE,FALAAAA WEWE

Anonymous said...

haaaah bidada mbona umetoa post ya shogako wema au ndo madongu yameziiidi????shutuuu

Anonymous said...

MBONA UMEITOA HABARI YA SHOGA YAKO.

Anonymous said...

miguu hana anatembelea nini? hate tabia dont hate uumbaji wa mungu hujafa hujaumbika shutup stupid idiot

Anonymous said...

uwe unafata hata ushauri basi kwa hao eve collection nguo zao zimekupendeza sn sn sn sn sn sn sn sn na sio kutuvalia vintentemete unakuwa km kifurushi kanga kitenge zinaweza kukutoa sexy sn tu inategemea na mshono vaa nguo inaendana na wewe sio kukurupuka na fasheni nguo nyingine unaonekana km KHADIJA KOPA wakati una figa yako nzuri tu

Anonymous said...

umependeza sana Sintah.

Ila mbona umetoa ile post ya Wema, acha kutubania

OBAGI said...

Kilichokufanya utoe post ya ujinga wa wema ni nini?we si unajifanyaga unawaumbua watu kina kabula na mr better,mbn ya wema umeitoa?kwa kuwa mnaendaga kunywa wote sio,ukiibania ujumbe umefika na ukiitoa nitaamini wewe kweli ni nothing bt confidence,kingine hiyo nywele haijakupendeza imekutoa kimama sana,unapendezaga zile style zako zingine.senki yuu.

Evelyn said...

afu we anonymus unaejib especially pale inapotolewa kasoro, ni we mwenyewe sinta, tushakushtukia aisee ehh, yaan una hekaheka, za Gea habib cha mtoto mweee

Anonymous said...

usipende sana kuiga,hiyo hairstyle ilimpendeza mange 2,wewe nooooooooooooooooooooooooooo

Anonymous said...

kiukweli mii huwa sipendi mashauzi yako....lakini hii ya leo WANASEMA MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MMPENI umetoka chicha sana hasa hiyo gauni refu hilo, limekutoa sana sinatah BIG UP mamaaaaa.

Anonymous said...

Utampenda zaidi siku ukisikia katembea na bwanaako!

Anonymous said...

Sontag nope details naïf aka sana hiyo gani ya orange na white ya Asia Icarus wapi nitaipata? Mimi niko USA lakini kuna mtu anakuja y
Uku nataka aje nayo

Anonymous said...

shoga mbona ulivaa kiatu kimoja nguo zote? hata kubadilisha jaman

Anonymous said...

Umependeza sana Christine ,mi naona kwa kuwa wewe unajiita star uwe unatumia madesigner kukuvalisha (kama jlo wa ukwee mwenzio anavyovalishwa).pili kama kuna mdau hapo amesema hiyo hairstyle hapana yaani usiirudie tena yaani yule Joan na kina Giulinna wa E fashion police wangekuona wangekuchambuaje? Maana iyo ni grandma hairstyle. Maana mi nilishakuona several times lakini wewe sio fashionista kabisaaa!So kama unataka kuwa elegant mamaa uwe una consult hao watu.ni mawazo yangu tu....

ADELA KAVISHE said...

nice picture nimezipenda u look good sana nimeipenda picha ya gauni refu yaani african women

Anonymous said...

Achanganyikiwe mara ngapi?

Anonymous said...

Umependeza Sintah,japo usijisifie mwenyewe subiri watu waseme!

weprac said...

Ilo nalo neno bibi

Anonymous said...

ha ha haaaaaaaaaaa

Anonymous said...

well said,demu hajui kuvaa kabisaaaa,tatzo hela yake yenyew ya mawazo ataweza wap kununua nguo za designers huyo

Anonymous said...

MGUU UNA KIGIMBI KAMA MUSA HASSAN MGOS

Anonymous said...

tooo much mashauzi bana your pretty kweli ila unajishauwa sana aiseeee................ haya sasa we nyoko wema fyoko mbona usemi kama alipelekwa dubai na mume wa mtu?????? eti gari nimenunuliwa na ndugu zangu.... mfyuuuuuuuuuuuuuu chezea wake za watu wewe

Anonymous said...

Picha ya kwanza gauni lefu umependeza sana,ila hizo nyingine mmmmmmmmmmmmmmmhh upepo ukipulza unapaaaaa kama puto!

Anonymous said...

Mtoto mzuri sana, ila ungeacha mashauzi kidogo upate mume wa ukweli!

Anonymous said...

SINTA TUONYESHE BASI NA PICHA YA KANGA YAKO SIO HIZO ZA DESIGNERS KM ILE ILIYOTOKA KWA MANGE KWIIIIIII

Anonymous said...

Mhhhh

Anonymous said...

tatizo lako mchele kitumbo sana maana mfupiiiii,by dA WaY ulipendeza,by shedy sweden

Anonymous said...

nasikia best yako alinunua na pete ya engagement ili aje avishwe wazee nyie mna mambo kweli kweli.

kokusimah said...

Ulipendeza Pretty S mwanamke kujiamini. Kote upo mamaaa Saaaafi

Anonymous said...

mume wako mwenyewe anakushinda

Anonymous said...

lakini si kafaidi? haya wewe umenunuliwa nini na mumeo?

Anonymous said...

waooohhhh nampendaga Jack u luk great cwtyhrt. Jlo umependezaaa mwayaaa