Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

POLE DADA FULANI KWA KUVAMIWA NA MAJAMBAZI

kama kawaida PS inapata ist class news na si za uongo,

ilikuwa majuzi kati hapa mrembo ambaye aliwahi kuwa Miss Tanzania no 2 na ni kisura mpaka wa leo,alipatwa na matatizo nyumbani kwake maaneo yaaaaaa M....., ambapo majambazi waliingia nyumbani kwake na kukomba M kadhaa, na kumuacha dada huyo na majeraha ya mikimikii ya mapanga usoni na sehemu zote za mwili, mrembo huyo ambaye alifanya siri kubwa hakutaka bloggers wasijue lakini kwa kuwa j wake lo ana source nyingi za habari alizinasa na kuzipeperusha PS.

pole sana dada mwanafulenge kwakuvamiwa next time weka hela bank na usiwaamini marafiki ndio watakuwa wamechonga deal.

nikiripoti kutoka kawe beach
ni mimi

UNSTOPPABLE

26 comments:

Anonymous said...

MH SASA CHAJABU KAMA KWELI UNAJIAMINI SIUMTAJE HUYO MREMBO MBONA UNAOGOPA UNATOA HABARI NUSUNUSU NDIO UMESOMEA UPAPARAZI WAUCHOCHORONI HUO,UNATAKIWA KUSEMA WAZI FULANI BIN FULAN KAVAMIWA NA MAJAMBAZI ,HAPOO HUJALETA MANA NAWATU WENGINE HUKU UGHAIBUNI HATUKUELEWI KABISA UNATUCHEFUA TUU .BORA USINGEWEKA HIYO NEWS

Anonymous said...

Tabia gani?

Anonymous said...

Yaani unavyochapia katika uandishi ni balaaaa. sijui ungekua muandishi wa habari ingekua vp? ungekua ushatimuliwa kazi

Anonymous said...

Ww badala ya kumpa pole mwenzio unakw km unamchambua! Roho kubwa tuu, na ao majambaz awawez kuja kwako wachukue kile kitanda cha chuma cha laki na ishirin na kabati la nguo km frame ya kuwekea vtabu mfyuuuuuuu.
Pole dada mrembo jpo cjamjua bdo ila pole sana

Anonymous said...

sintah kama unatoa habari basi toa habari kamili unaogopa nini?asa mtu fulenge ndo nini? si utuambie tu jina na kila kitu.aaaargh! mambo ya kutuacha kipeo cha kati sio fresh

Anonymous said...

JLO umeona simba tulivyo chama kubwa!! Timu yako ya yanga walisubiri kwa hamu kutuzomea

Anonymous said...

Habari imekaa kimajungu na kinafiki,haina concrete base ya kiundishi wala kuandikwa na mtu mwenye MA,eti mwafulenge anaishi....ungeipotezea tu na uendelee na junk news zako na vimeo wenzio za kugombea wame za watu.

Anonymous said...

huo ndo umbeya umewewka ya nini kama hutaji jina hovyooo

Anonymous said...

IVI TINA UNAJUA WE NI MMBEA,MDAKU NA SHAKUNAKU PIA. HUMU TUWEKEE HABARI NA MATUKIO YA KUELEWEKA SIO JINA LA M..... MISS TZ FULANI, UMEMPA POLE HUMU THAT MEANS NA SIE KM TWAMJUA TUMPE POLE SASA UNAVOKATISHA JINA HUMU SISI TUTAJUAJE???? NA KM NI HIVO BASI UNGEMPA POLE BINAFSI NA SI KUWEKA HUMU WEWE NIA YAKO ILIKUWA KUMUONYESHA HATA KM HUTAKI TUJUE TUNAJUA SI NDIO??? AND THIS CONCLUDE KUWA POLE YAKO YAKO NIYAKINAFKI TUPE JINA NA MAELEZO YAKUELEWEKA NA SIE TUMPE POLE ASA HIVI TUNATOAJE POLE????

Nanah said...

Hakutaka bloggers WASIJUE au hakutaka bloggers WAJUE? Nadhani sentensi sahihi ni hakutaka bloggers wajue. Degree zetu HOYEEEEEE!

Anonymous said...

inafiki .com

Anonymous said...

Tembeza spoko zako huko,wewe ni katika mashoga mliomuundia zengwe!

Anonymous said...

Nyoooooo wewe uliibiwagwa magomeni vimacho karibia vitoke pahala pake,ya mwenzio meno 36 sijui 40 nje yatakushinda bibi wewe,uzee huoo wakunyemelea kwa ushambenga

Anonymous said...

Wewe ndio ulikula njama na kina kiroboto,kwi kwi kwi!pole dada ulieibiwa acha nalo hili gumegume,akizeeka lazma awe na vimacho vyekundu

Anonymous said...

Roho mbaya haijengi shoga,wadada mpendane!ndio maana na wewe hupendwi,huishi zodolewa.ooh wananiomba bbm pin nyooo anatoa mange itakuwa wewe kisorokwinyo

Anonymous said...

Na wewe ingekuwa Muke ya muzungu tusingekunywa maji yakashuka halooooo ungerefuka kwa mashauzi hali hii kilala wima ka'mie,dada wa watu anaibiwa unafurahia na party una tamani uandae mtu mzima wewe

Anonymous said...

acha udaku wewe we mpuuzi, kama unaandika kitu nyoosha maelezo na sio mafumbo

Anonymous said...

Wewe Sintah ni mnafiki sana, tambua yakuwa matatizo huweza kumapata mtu yeyote. Ukikataa ukikubali ila wewe ni mnafki sana

Anonymous said...

Hata msiangaike kumjua huyo mtu ni Irene Kiwia jaman alivamiwa nyumban kwake mbezi beach mi nakaa naye karibu huyo sintah ni mnafiki kama ameamua kuandika hii habari si angemtaja tu xiiiiiiuuuuuu,. Twinkle twinkle little snitch mind ur own bussiness biatch..

Anonymous said...

Irene kiwia

Anonymous said...

Mmh huyu sintah mshamba sana,cjui anaanzia wapi kumchukia huyu dada,looh huna haya weye.wivu utakuua cjui hiyo elimu uliyonayo inakusaidia nini!anyway ckulaumu wanaoenda kusoma uganda always huwa ni form 4 failer thats why!!!

Anonymous said...

hahahaha well said anomy wa juu kweli wanaoenda kusoma uganda ni ma failure IRENE KIWIA kavamiwa kisa katembea na daniel Yona mke wake kamualikia majambawaz Sinta we Mshamba kama unajiamini......Ungemtaja..

Anonymous said...

Ukizeeka utakuwa mchawi wewe Stupid

anonymous said...

MMMH!!

Anonymous said...

MMMH

Anonymous said...

haya sinta utajuta kuandika habari za watu kama ulitumwa!! waosha vinywa hawana kurembaaa, sasa tumejua kua unalalia likitanda la chuma, apo nakuona ulivyobinua midomo...why dont u zip ur mouth?

ukiwa na kifua wala huumbuliwi, imekucoste nyoko! mke wa marck antony wala usijifananishe nae kabsaaa!