Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

NYAMA CHOMA ,ILIKUWA NI POUWA SANA

heeee choka umeniondoaje katika
diet

party animals
hapo chacha
Bonny love n i
uwiiii hawa wadada basi jlo,jlo
nipeni autograph zenu ni sign
all in all
nawapenda my fans
utajijuuuu
watu sintah sintah
mmmh
Unstoppable
j wake lo


Kwa picha nyingine hebu click djchoka blog

love u  always

34 comments:

Anonymous said...

J lo utakuwa ww malaya!

Anonymous said...

am sorry to say sijaelewa huyo alievaa blue nini hio top au kikoti au kivest au? am not been rude bt the whole outfit have been destroyed by that blue thing.. one love
dd

Anonymous said...

Ungejijua....mkorogo umekuchonga hadi kinyaa! watu wanasema shortie shortie, mfupii na mkorogo..ptuuh

Anonymous said...

vaa kulingana na mwili wako hiyo nguo big no, umetoka kama mtoto wa primary,pia pangilia rangi vizuri ther was no point of wearing on a black coat since ur dress has a lot of black colour

Anonymous said...

hao wanaokuita nao vichwa vyao vina matatizo kama yako! uwiiiiiiii unejibenua hapo kwa huyo kaka??? kwani huwezi kuwa decent??? idiot, unaboa wewe??? na misifa ka ya ndezi! kiuno kimembinuka ka nyigu mwenye mimba! mfyuuuuuuu!

prettiest said...

hao wanaokuita nao vichwa vyao vina matatizo kama yako! uwiiiiiiii unejibenua hapo kwa huyo kaka??? kwani huwezi kuwa decent??? idiot, unaboa wewe??? na misifa ka ya ndezi! kiuno kimembinuka ka nyigu mwenye mimba! mfyuuuuuuu!

Anonymous said...

uroho wako ndo ulokufanya ule nyama kwani ulilazimishwa!

Anonymous said...

M nt digin the outfit....u shud v put on a skinny jeans atleast

mamy naah said...

hicho kisketi hakija kupendeza hata kidogo
ila kwengine upo poa......

Anonymous said...

haujapendeza kabisa wewe hujui kuvaa wala kupangilia rangi maana izo nguo ulizovaa zimekufanya uonekane mzee na mshamba ni hivo tuu!naungana na mdau hapo juu bora ungevaa skin jeans maana huwa hamtupi mtu!

Anonymous said...

malaya ni wewe na ukoo wako komaaaaaaa

Anonymous said...

Jlo nilikuona.mh hyo miguu ckupendeza na hicho kipensi sketi!na hayo matege.2likuwa 2nakucheka atii.kujichezesha chezesha!pyuuu.na hayo matege.kwa aliyekuwepo atakubaliana nami.tege lilionekana mpenzi.ungevaa hata jeans.

Mdaju na Mdakuzi said...

Habari zenu wadau wangu, poleni kwa shughuli zenu za kila siku samahani kwa ukimya nilipata matatizo kidogo lakini UDAKU umerudi na sasa ni kwa speeed ya nguvu. haya leo niko na hot breaking nyuzi ni huyu anaejiita eti Kim Kardishan wa bongo MBONI MASIMBA kama hajioni vile alivyozeeka. Habari zilizotufikia ni kuwa mwanadada huyu amelala na wanaume sita kwa usiku mmoja ndani ya chumba kimoja hotelini nchini ya italy chanzo chetu cha habari kinasema tukio hilo limetokea wiktatu zilizopita kwa mwanadada mboni kufanya uchafu anaoujua yeye ndani ya chumba hicho na midume hiyo sita. hivi we mboni mbona kututia aibu hivi wapanda ndege kumbe waenda kujiuza hatukusomi kujiuza hapahapa umeona haitoshi hadi uende na ulaya kisha kurukiwa na midume sita ndani ya usiku mmoja umetutia aibu na mdaku nimekudis na nina kutapika ptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!

Anonymous said...

alikua anajchezesha apawe attention,ovyooo uno kama mwanaume

Anonymous said...

jamani hebu tuwe na ustaarabu kdogo,,,, sinta kuwa na matege hajapenda ndio hvyo alivyo,,, kwahyo kama anamatege ndio mlitaka akae tuuu,,, bora umwambie tuu kwamba the cloth she put haikumpendeza basi,,, but kumbuka hujafa hujaumbika,,,,, tusimkufuru Mungu

mama msimbe said...

sinta nimependa ur hair do!!!! plz umesukia wapi? imekutoa sana mpenzi. plz tujulishe, si unajua tena KKW

Anonymous said...

JAMANI ACHENI KUMKOSOA MUUMBA NA PIA JLO KAJIKUBALI ALIVYO JAMANI ETI ANA MATEGE NDIVYO ALIVYOUMBWA ATI. ALIMRADI AMEVAA NA YEYE ANAJISIKIA YUKO COMFORTABLE MWACHENI. MI NILIKUWA NAYE NA NILIMSIFIA AMEPENDEZA TUSIWE WANAAA HAPA.

JLO KEEP IT UP MAMAAAA USIJALI MANENO YA WATU.

JOYCE ROWLAND

Anonymous said...

jamani taratibu acheni kumsema sinta wa watu.loooo! Mungu ndivyo alivyomuumba sasa kama wewe unataka awe na miguu mizuri muumbe wewe basi.mwacheni dada wa watu na life style yake.

jane bomba

Anonymous said...

we nae sijui huna washauri uko hovyo sana hata hujapendeza

Anonymous said...

jamani punguzeni maneno makali kwa mtoto wa mwenzenu mbona hivyo wanawake wenzangu? mtu hafundishwi kwa matusi ongeeni tu kistaarabu kama ni wakuelewa ataelewa, watu mna midomo michafu utafikir hamuingiagi nyumba za ibada. Au kama vipi msiingie kabisa kwenye blog yake mwende huko mnakofurahishwa

mama d said...

kwanini mnatukana jamani mnalazimishwa kutuma comment mtu na maisha yake kwanini ujiumize moyo wako dada wa watu kawakosea nini yan mtadhani anakula kwenu

Anonymous said...

wewe uliyemuita jlo malaya wewe ndio malaya

Anonymous said...

Sinta surely wewe hukutarajia maisha yoyote yenye nafuu.Sasa umekua mshamba sana i seriously can not believe kama shule is that all.Manake msomi kama wewe na ujinga unaoandika vina disconnect...Poor you

Anonymous said...

watu wanamtukana kutokana na mijishauzi yake
anajishaua sana huyu demu na angekuwa mzuri sijui ingekuwaje
na pia ni limbukeni, mshamba
ovyoooooooooooooooooo.....

Anonymous said...

Muacheni mboni wa watu hamna kazi vya kufanya mpaka msene watu wewe tangia uzaliwe umelala na wangapi pumbavu zako kabisa uliyemsema mboni huna aya ujiono wewe kwanza kazi kuona wenzako

Anonymous said...

ishu siyo kulala na wangapi bali UMEJITANGAZA MARA NGAPI?? Upumbavu tu mnaendeleza....kujiuza kwa wanaume ili mpate umaarufu!stupid non-entity gals...

Anonymous said...

Wewe unamtetea mboni, ni mawili! labda wewe ndiye mboni mwenyewe, au malaya mwenzie. hata kama tumeanza kutiwa na wanaume tofauti toka utotoni, lakini si wanaume 6 kwa usiku mmoja! huo ni umalaya uliokithiri na anatudhalilisha wanawake wote. yule ni malaya ni mbwa tu, utalalaje na famous pipo wote wanaokuja nchini, achilia mbali etoo, haya juzi kati hapa alikuwa anatoka na chief kiumbe! kwa kweli huyu dada ni hapana! msitetee ujinga na kufuga maradhi!

Anonymous said...

Ajishaue asijishaue ni maisha yake, mnafata nini kwenye blog yake kama anawakera kiasi hicho? siunafki huo. Hivi hamuoni mnajivika dhambi za bure? au mnadhani hayo matusi mnayomtukana mnapewa thawabu kwa kuwa mnafanya jambo zuri sana? Me pia huwa ananikera saazingine lakini nikiona hivyo kimya kimya natoka zangu, siku akipost vya maana nakomenti basi, sasa kwanini kumkufuru Mungu kwa mitusi namna hiyo

Anonymous said...

Unajua hata huko majumbani kwetu tuna wandugu wangine wameshindakana mpaka hata kuwambiwa watu fulani ndugu yangu unaona aibu, au ukikutana nae barabarani kwa vituko vyake au anavyovaa unaona noma kusema yule ndugu yangu, lakini kweli huwa tunawarekebisha kwa matusi kama hivi? Kwenye biblia imeandikwa siku za mwisho Upendo wa wengi utapoa, na ni kweli kabisa mwisho umefika, maana jinsi mtu anavyomtreat mwenzie kisa tu hamuhusu INATISHA

Anonymous said...

YEYE MWENYEWE AMEJIKUBALI NA MATEGE YAKE, NA YUKO HURU ANAVAA APENDAVYO AS LONG AS NI MWILI WAKE SASA WEWE UNAEMUONA KICHEKESHO HONGERA KWA KUJIUMBA VIZURI, MUUMBE BASI NA YEYE AFANANE NA WEWE

Anonymous said...

sishabikii matusi ila huyu dada ni mshamba sana. Yaani limbukeni.

Anonymous said...

Lol.mkorogo haujakupendeza.rangi yako ya zaman ni nzuri sana.na una kisura kizuri.punguza mikorogo.au muone mange .akuelekeze Obagi.kung'arisha 2 ngoz.ukweli cku ile kivazi ulichemsha.yan iliyokuokoa ni msuko na sura 2.mmh vingne fyuuuuuu

Anonymous said...

sinta umeanza kuzeeka au macho yangu au camera mbaya. hebu nawewe uanze kutumia OBAGi bwana

Anonymous said...

uje utuwekee pisha za mtoto wako kazi ya kuruka ruka tuu.