Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MSICHANA MWENYE MASTERS HAPA TOWN ASIYE NA MAKUU

she is a diva in all aspects


anabadilika kama kinyonga
this is jlo Africa


unstoppable
                  

guys elimu ina raha yake jamani,yaani sasa im so proud of ma self,coz whatever i want ninapata jamani lol,kwa sasa nimeamua kukaa kidogo mbali na my career niliyo ihangaikia miaka 5, nimerudi kwenye entertainment industry najua mlinimiss sana huku,sasa nimerudi full utangazaji na movies subirini muone sasa ukimya wangu,
asikwambie mtu kusoma kuna raha yake ila sasa nina kuwa busy mpaka basi mpaka baby hapati muda na mimi,yaani nikimalizia my movies tuu,naenda UN base in EA ambayo ipo Entebbe tu nikaendeleze yale mambo yangu ya ki diplomat aiiii(usinune bana hujachelewa na wewe nenda shule)

kama vile Mange anavyosema education is sexy ni kweli i feel so good kwakweli nikiangalia vyeti vyangu   yaani ninamshukuru sana DK kwa kunisadia kila kitu mpaka nimepata my certificates najua kuna wale watako nuna na ku comment upupu ila ndio hivyo ukiona mtu anakuchukia ujue umemzidi.

kumpiga chura teke ni kumuongezea hatua


Senkyu

unstoppable
j wake lo
lope lope
sintalicious
sintah
christine
Jlo Africa
Legend

55 comments:

kokusimah said...

go mama elimu ni tamu kwa kweli nami nipo nyuma yako namsaka elimu sitaki aende zake hata biblia inasema.

Anonymous said...

anza ya Mange ya Kujishaua. Unaijua Udaku Special au unaiskia?

Anonymous said...

mie hujanizidi chochote tena nna masters ya engineering na kaz na mume!sasa wewe mbona mashauzi meng mno au ndo mastaz ya ukoo?

Anonymous said...

Tehtehtehteh!sintah wewe ukipata Phd matako yatalia mbwata.asante kwa ujumbe!!education is sexy.ila masters kitu cha kawaida sasa.mi nilipata yangu 2010.pale mzumbe.na nipo na 26yrs.maana unavyojishebedua.wasomi wapo cool.ila kwako mh!chichemiiii

Anonymous said...

Kwa stahili hii sirudi tena huku ngoja bniwaachie wenyewe.

Anonymous said...

Your sick in the head...si bure

jestina said...

Masters za ktombwa na kufirwa mjini sinta unazo nasikia unatafuta wa kuzaa nae kizazi kipo?au ulikiacha marie stopes.

Anonymous said...

whats the hell is masters mtoto if at all cant see how it has helped you and your community Do something that we can see and we will comment

Anonymous said...

alafu kwa jinsi unavyojiita msomi ni bora ungeelewa kwamba hayo majina kama JLO, na mengineyo yana copyright au legal ownership. kwa hiyo unavyoyatumia hivyo unaweza kuingia katika mgogoro wa kisheria. ni ushauri tu dada.mbaya zaidi huyo j lo kajichubua kweli.

Anonymous said...

WERA WERA WAPE HAO WENYE WIVU NA MAISHA YAKO.KUSOMA SIO MCHEZO JAMANI ISIKIENI TU KWA MTU.WANGAPI WAMEKIMBIA SHULE NA KUKACHA CHUO KISA STAREHE?SO MTU AKIJIVUNIA ELIMU YAKE MWACHENI AJIVUNE NA SIO KUTUKANA.KAMA UNAMUONEA WIVU NA WEWE RUDI SHULE BADO HUJACHELEWA.NDIO MAANA SINTAH NA MANGE WANACHUKIWA COZ WANA MAVYETI YAO YA UKWE'E WAMEYAJICHIMBIA CHINI YA KITANDA.WAKO WAPI HATERS HAPA NI MADONGO KWA MADONGO MPAKA MTAPIKE NYONGO,MTASONYAJE SASA?MWACHENI SINTA MIAKA MIA NANE!

Anonymous said...

Wapare nyie (Wewe na Mange) mbona mnavituko? ndio maana kila siku mnatukanwa shauri yenu

Anonymous said...

Hi mdada...kwa kweli ELIMU ni kila kitu hasa kwa maisha ya sasa....hongera sana sana na MUNGU akuzidishie...waelimishe na wasanii wetu wa BONGO warudi darasani kwani Elimu haina mwisho na hawajachelewa. ha ha haaaaa

Anonymous said...

safi sana sinta,mungu akuongozeeeeeeeee mambo yako yanyooke.

Anonymous said...

mh hizi master za siku hizi kingereza utafikiri ndo unajifunza alifu balaaa

Anonymous said...

itakuwa ni master ya ukahaba

Anonymous said...

Hongera unayo haki ya kujitangaza coz sometimes inapunguza machungu kwa jinsi ulivyokuwa ukiliwa kama samaki nyuma, mbele, macho ili mradi tu ulipiwe ada. Laiti ungesomeshwa na wazazi wako kama mie na wengine usingejinadi ni vitu vya kawaida.

Nakuonea huruma kwa maisha ya mtaani uliyokulia sbb watu waliopitia maisha hayo wakipata maendeleo kidogo tu wanakuwa malimbukeni kama wewe na hata ukija kuolewa mumeo atapata shida sana labda umpate wa mtaani mwenzio.

POLE SANA BINTI.

Anonymous said...

Ni kweli unavyeti ila elimu huna

julie said...

we nae unabore ukikosaga vya kupost,wenzio tuna msters mbili mbili na tupo kimya!!!we kutwa kujisifia utafikiri ndo wa kwanza kusoma kuna mambo mengi unaweza kufanya ukasaidia jamii kupitia blog yako na umaarufu wako,e.g Mange mwenzio anasaidia yatima we hiyo blog ulifungua uwe unajisifia na hiyo elimu yako ya kuunga unga...huh tumekuchoka

Anonymous said...

picha hizo hizo kila siku BORING!!!!!

weprac said...

eti masters.....upupu mtupu,naona una master ya kujinadi sio ya darasani,cause hauendani na mtu aliyesoma,siku zote kizuri chajiuza kibaya chajitembeza,bania tena coment yangu utaisoma kimyakimya bwege wewe....

Anonymous said...

Una laana ww ya mama ako, ngoja udaku wakuchambe tena na wakuandame kama mange ndio utajua sasa can't wait to see you there jaman..

Anonymous said...

Hahahah sintah. Umetishaaa.safi sana wema kunyang'anywa gari.mashauzi yamemtoka.afadhari umeachana naye urafiki anakuchafua.nahisi akakeketwe kisimi chake kinachomuwasha.yani mchafu leo yupo na Tundaman.uchafu mtupu.

Anonymous said...

Hongera

Anonymous said...

Nawewe sintah kwa mashauzi umezidi. unajidai umesoma wakati kuna watu wamesoma wana phd na wako very cool, lakini wewe na hicho kidiploma chako cha chuo kata kutwa kujianika kuwa umesoma, wakusoma utakuwa wewe?, hebu mwuone kwanza na lacewig yako ya mama ntilie, mfyuu!

Anonymous said...

HONGERA BIDADA HAYO NDIO MAMBO BWANA SIO WALALA HOI KUTWA KUKUITA MALAYA ELIMU ZERO HALOOOOOOOO EDUCATION IS SEXY JOYCE KIRIA UPO???

Anonymous said...

sintah asikwambie mtu...education is sexy especially us who are beautiful...yaaani hongera sanaaaaaaaaaaaaaa waseme wasiseme shauri zao...keep going jlo

Anonymous said...

na kweli tutasema lakini si kwa chuki bali kwa jinsi unavyojinadi ya kubadili watoto pampers, kuna wana elimu kubwa na wanaheshima zao hapa mjini lakini wako cool. huna haja ya kufanya matangazo, elimu yako ni kwa faida yako wwe mwenyewe. afriti minal jin wee!!!! sura imekusinyaa kama godoro la kikojozi.

Anonymous said...

NA HII COMENT BANIA TENA MAANA YA JANA HUKUITOA.

YAANI NI KITUKO CHA MWAKA NDIO MAANA WATU HAWACOMMENT HUMU NDANI KUMBE. SOON TUTAKUKUTA MILEMBE. KWELI WATU WAKO PROUD NA ELIMU ZAO ILA WEWE DUH! NA MASHAKA KAMA HUKUVUA CHUPI KUPATA HIKO CHETI.

POLE SANA.

Anonymous said...

Hivi hoa mabinti wanaokubali huyu kichaa kuanika mijicho yao wana akili timamu??? kweli no wonder Dar watu wamejaa maana kila biashara inalipa... ...

Anonymous said...

Hahahah diplomatic mpaka utangazaji,nilikuwa kwenye tax nikaskia eti mnaongelea UKiMwi hahah mada iliwagusa wenyewe kabsaa,eti wadada wanajirahisisha mjini,Yule kuwadi ndio kashupaa kueleza,heheh kazi kweli kweli,btw hiyo kazi inakufaa kwingine unajitia tia tu,umsaidie saidie na dida pia kurusha vijembe haloooooo shuzi limepata mjambaji,halaf si adui yako yule Buahahahah

Anonymous said...

Hahahahah kama watoto wanavyolingishiana vitu Doliii dolii,hii yangu sikupii nikitoka hapa naenda kutembeaaa na mama yanguuuu,kesho tunaenda beachhh sikuchukuiiii wewe si ulininyima vya kwakooooo kwikwikwikwikwi mbavu zangu mie poleni Shost za bidada mwenzenu anawalingishia hawachukui Ugandaaaa Oiiiii

Anonymous said...

mh sinta wapo wengi hapa mjin waliosoma zaidi yako lakin hawaji proud mm mwenyewe nimesoma zaid yako,,,yan unaonekana mshamba wa elim ambae haujiamini kama umesoma mpaka ujitangaze,,lol,,we ni mshamba mswahili haf kutoka cio elimu pole.

Anonymous said...

nyc...

Anonymous said...

Halafu we Jlo mambo yako makubwa uko juu sana, Ila angalia usiwape pressure haters!!!!!!!!!

Anonymous said...

mwacheni mbuzi yake kamba.

Anonymous said...

Eti wapare sisi tunamashauzi! lazima turinge vilivyo, tunamshukuru mungu kwa kila kitu! wivu utawaua!!!!!!!

victor said...

Sintah,mbona matatizo ni mengi katika jamii yetu,kwanini usitumie blog na elimu yako kuwaelimisha ambao hawajafanikiwa kufika ulipofika wewe?kumbuka jamii yetu ni maskini na hivyo wengi wamekosa elimu si kwa sababu hawakuwa na akili.unawafedhehesha hata wanawake wenzako matokea yake mnaonekana ni malimbukeni wa elimu.mtu kama wewe huwezi kupewa majukumu makubwa kwani hujakomaa ki elimu ingawa vyeti unavyo.na hicho chuo kilichokupa hiyo masters kama kipo Tz basi hakifai kwani kimeshindwa kuzalisha graduate ambaye ni matured and competent enough to deriver her profession.

Anonymous said...

Kama umefungua hii blog kwaajili ya kuwachamba wabaya wako basi please waanike tujue na sisi wengine tusiingie kabisa, naona unatumia hii kuwarusha yaani haupo kama msomi kama mshamba , please badilika jitenge na mjinga, maana kwa jinsi hii na wewe unakuwa mjinga na limbukeni wa Elimu.
By Elly(Elimu sina kabisa)

Anonymous said...

WERA WERA WAPE HAO WENYE WIVU NA MAISHA YAKO.KUSOMA SIO MCHEZO JAMANI ISIKIENI TU KWA MTU.WANGAPI
Hawachukiwi bali wana tukera tunaitaji faraja kwa wanawake wenzetu, tunaitaji mawazo kwa wenzetu, tunaitaji kijifunza kwa wenzetu na si majisifa na upupu anao post huyu bi dada tena anakera, Kuna ambao hawaja soma kweli nakunaambao walikimbia shule, Je ulisha wai kujiuliza kwa nini huyu Sinta hakusoma pale mwanzo na amaamua kusoma DSJ, ina maana kipindikile alikuwa hajui kama Education is Sex, leo ndio kajua Elimu basi mmmmhhh naomba geuka nyuma na ukumbuke ulipokuwa mwanzo na leo upo hapo ninani aliweza kukusaidia hadi ukajua What is Education, Nandio tunataka utuelimishe na sisi wakina naniiii na majigambo, Ukiona kunamjinga anakukwaza jua huyo hakuharibii maisha bali anafuraisha nafi na ujinga wake , basi jiupushe na wewe usiwe mjinga.


WAMEKIMBIA SHULE NA KUKACHA CHUO KISA STAREHE?SO MTU AKIJIVUNIA ELIMU YAKE MWACHENI AJIVUNE NA SIO KUTUKANA.KAMA UNAMUONEA WIVU NA WEWE RUDI SHULE BADO HUJACHELEWA.NDIO MAANA SINTAH NA MANGE WANACHUKIWA COZ WANA MAVYETI YAO YA UKWE'E WAMEYAJICHIMBIA CHINI YA KITANDA.WAKO WAPI HATERS HAPA NI MADONGO KWA MADONGO MPAKA MTAPIKE NYONGO,MTASONYAJE SASA?MWACHENI SINTA MIAKA MIA NANE!

Anonymous said...

Unaonyesha nijinsi gani ulivyo hauna kazi unaandika upuuzi ukishindana na wapuuzi wenzio, Haya yote ya nini? naomba jibu please


unstoppable
j wake lo
lope lope
sintalicious
sintah
christine
Jlo Africa
Legend

Anonymous said...

kama sinta anakukera chukua upupu kachambie maumivu yakizidi kapashe nyapu yako kwenye moto go gal go gal kama imewakera kachangishe kijijin kwenu ada ili ukasome nyooooooooooo roho mbaya zimewashika kama wakaanga sumu, kama nawaona hapo mlivo komaa kwenye keyboard kuweka madole mekundu,mfyuuuuuuuuuuu!!!!!! roho mbaya utafkir wale wenye blog ya udakuspecial,,

Anonymous said...

kama sinta anakukera chukua upupu kachambie maumivu yakizidi kapashe nyapu yako kwenye moto go gal go gal kama imewakera kachangishe kijijin kwenu ada ili ukasome nyooooooooooo roho mbaya zimewashika kama wakaanga sumu, kama nawaona hapo mlivo komaa kwenye keyboard kuweka madole mekundu,mfyuuuuuuuuuuu!!!!!! roho mbaya utafkir wale wenye blog ya udakuspecial,,

Anonymous said...

Hahaha ushamba kweli kazi,well ndio una elimu so inakusaidiaje?,tn masters yenyewe ya Uganda ukicompare na Tz ni sawa na Certificate ya Mzumbe!!wenye masters zao ndo wanavyokuaga hvyo?mmh

Anonymous said...

WERA WERA WAPE HAO WENYE WIVU NA MAISHA YAKO.KUSOMA SIO MCHEZO JAMANI ISIKIENI TU KWA MTU.WANGAPI WAMEKIMBIA SHULE NA KUKACHA CHUO KISA STAREHE?SO MTU AKIJIVUNIA ELIMU YAKE MWACHENI AJIVUNE NA SIO KUTUKANA.KAMA UNAMUONEA WIVU NA WEWE RUDI SHULE BADO HUJACHELEWA.NDIO MAANA SINTAH NA MANGE WANACHUKIWA COZ WANA MAVYETI YAO YA UKWE'E WAMEYAJICHIMBIA CHINI YA KITANDA.WAKO WAPI HATERS HAPA NI MADONGO KWA MADONGO MPAKA MTAPIKE NYONGO,MTASONYAJE SASA?MWACHENI SINTA MIAKA MIA NANE!


INAELEZEA KIASI GANI NA WEWE HUJASOMA.... WABONGO WE HAVE A LONG WAY TO GO

Anonymous said...

SINTA HIYO MASTERS UMEIPATA WAPI NA LINI WAKATI JUZI TU HAPA ULIKUWA UNAZUNGUMZIA FIRST DEGREE YAKO HATA MASTERS HUIJUI? AU HIYO POSTGRADUATE DIPLOMA ISHAKUWA MASTERS SIKU HIZI? AU USHANUNUA VYETI FEKI.

KIUKWELI MUOGOPE MUNGU HUNA MASTERS ILA UNA BACHELOR DEGREE NA TUCERTIFICATE VYA KOZI NDOGO NDOGO MUOGOPE MUNGU WAKO UTAUMBUKA TUKIMWAMBIA MWAJIRI WAKO UKWELI.

Anonymous said...

Hivi ina maana gani kujiita msomi ikiwa usomi wako haujakusaidia kujitambua na kujichanganua km msomi? Elimu ni kuelimika na siyokutangaza vyeti!!! nina wasiwasi na vyuo mlivyosoma km vimequalify au ?Mnatia aibu kwenye tasnia ya elimu!

Anonymous said...

mmh atleast mdau hapo juu umenifungulia njia, hata mm english ya Sinta inanikwaza ni broken sana sijui uko UN anatumia lugha gani,ukiachilia kupata hiyo masters( kwagu si ajabu zinamwagwa za kutosha pale mzumbe wenyewe tunaita Tigo Faster pesa yako tu)mm ni fun wako sikuchukii mpz ushauri wangu kapige msasa lugha za watu hz...

Anonymous said...

Stupid ass bitch eti mwanamke mwenye masters wakiitwa utatoka?? Aliekuroga kafa maiti ikachomwa moto mana angezikwa tungeomba kwenye kaburi lake akuague foolish girl

Anonymous said...

masters uganda?

Anonymous said...

we nae kuringa na ungekua mzuri basi

Anonymous said...

master za chupi utazijua tu kelele na nyodo zake

Anonymous said...

Kwanza hongera kwa kupata masters haijalishi matatizo uliyopitia ...........
...kip it up.......jmn m2 akxoma 2mpongeze. Pili haitakiw kujicfu dada cha kfnya ww 2mia elimu yk na blog yko kuwaelimisha masista duu wenzako wanaokmbia xul kwnd kwny starehe km kujicfia wangejcfia waha Dr. Mohamed H. Bilal , Dr. Mohamed Shein, Dr. Asha Rose Migiro na Mumewe, Prof. Shivji na Prof. Lipumba wote hawa elimu ya wamehaso sn na wahana chet ht kmoja cha ku2nukiw vyote vy drsn ss unajua shida y kuxoma mpk uitwe Dr. hapa pagumu sn ...........U stl hv a lon way 2 go lady......

Anonymous said...

mastaz ya kuliwa tigo tunajua unayo

Anonymous said...

haha ile coment yangu ya huawei hujaiweka rrh

Anonymous said...

sintah nimesoa nawewe nkumba university uganda, akili hukuwahi kuwa nayo,nakushauri uwe unakaa kimya sometimes kwasababu tunakumezea mambo mengi,usije fanya tukakuanika mambo yako machafu uliyokuwa ukiyafanya....wewe jitahidi tuu kutafuta pesa kwa umalaya wako maana ur nothing than a dumb ass bith