Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MLIMBWENDE MPYA WA WEDDING BELLS NJOO UMSHUHUDIE DIAMOND JUBILEE


this is me
endelea ku comment upupu wenzio
tunasonga mbeleeee
thanks my Lord for everything
Jlo Africa
mimi sijali maneno hata
kwenye kanga yapo


Cute smile sintah


mlimbwende wa wedding bells



yap yap mdau wangu unayenipenda

hii ni habari nzuri kutoka wedding bells,wedding bells ni duka la nguo za harusi kama wengi wenu mnalijua basi swadakta,ni pale mnapoendaga na kusema tunataka nguo kama ya jlo kwenye pics,sasa usiwe na shaka njoo kwenye banda letu katika harusi trade fair pale diamond jubilee  ijumaa na jumamosi uone nguo  za harusi ambazo zinamtoa jlo chicha,

pia unakaribishwa katika fashion show ya Harusi Trade Fair itakayofanyika march 31-2012 jumamosi diamond jubilee,guess what?nitapita kama model na mashela ya wedding bells

karibu unione nitakavyopendeza na ninajua kawaida yangu kupendeza but this time kiharusi zaidi.

narudia tena kumpiga teke chura nikumuongezea hatua

ciao ciao

see u on saturday katika fashion show nitalipukajee, @diamond jubilee



31 comments:

Anonymous said...

HII MIPASHO UNGEPELEKA KULE KWA DIDA. NA TUNAKUOMBA TUMIA HIYO ELIMU YAKO IKUSAIDIE. KUMALIZA MASTERS SIYO ISSUE INAWEZA IKAWA UNAVYETI LAKINI HAIKUSAIDII. KWA MAANA NYINGINE BADO HUJAELIMIKA UNAMAKARATASI TU

Anonymous said...

Mi nakuhakikishia asilimia mia moja hutafika mbali, kuwa humble na ushukuru kwa yote unayofanya ndo utaweza kufanya makuu. Sasa haya madogo tu unataka ulimwengu wote ujue, mfano Masters watambishie kina WEMA ambao hawajaenda shule.

Anonymous said...

Ww mwenyewe upupu sasa unadhan cc 2tacoment nin?ila dah...ua 2 local na mambo yako ya kimbeambea.....

Anonymous said...

utishia kuvaa mashela sampo kuolewa hauolewi,maninaaaa zako muuza k weh

Anonymous said...

TUJE KUKUONA ULIVYOPENDEZA AMA TUJE TUONE MAGAUNI YALIVYO MAZURI???

juliana said...

Na ungekuwa mzuri tungekoma mtu mwenyewe mbaya kujisifia kila cku huchoki loooooh wewe mbaya tena sana.

Anonymous said...

Sinta unatisha, pendezaaa Sana... Ukiwa bibiharusi lazima ufunike bongo nzima harusi zote zilizowahi kutokea

Anonymous said...

umependeza sana ila punguza matambo

Mpita Njia said...

CHEMA CHAJIUZA....napita tu hapa ila duh!

Ur best friend said...

Ungekuwa na height kama yangu sijui ungeringaje na elimu yangu ya Phd na kazi nzuri hivi sipati picha.

Anonymous said...

Heheheheh utaishia kujipima tu hahahah,sisi ni shabiki zako we mwanamke sasa kila tukiingia humu tunakutana na madongo si uhamnazo huo??? Andaa kipindi maalumu kwa haters wako,iwe kila wkend ndio unawapasha humu heheh siku nyingine utuandikie vya maana na tucomment vya maana basi Dddduh

Anonymous said...

Anampa madogo wema sepetu.hawaivi chungu kimoja.sintah snich.sintah narudia tena wasomi wapo cool sana.mbona unatuaibisha.kama unataka watu kuwapa moyo wa kusoma.toa kwa hekima na maarifa ila c mipasho kama upo ngomani.sio vzr.

Anonymous said...

KWANI HAMJUI VIJITU VIFUPI VINAJISHAUA??KAFUPI KAMA USIKU WA MATATIZO NA UNAAMBIWA KWENYE FAMILY YAO YEYE NDIO GOLIAT TETEHETEH MBAVU ZANGU

Anonymous said...

Chezea ada ya kuhongwa??huuma ati,ukiwaza uchi ndio umekusomesha!wasomeshwao na wazazi wao hawanaga makuu kwanza huona wanastahili,kina sie sasa kelele nyingi kwetu tunasemaga MASHIKORO MAGENI

Anonymous said...

KIBAYA CHA jitembeza kama hivi!

Anonymous said...

Nani amuweke ndani,thubutu hapa hamna kitu sio type ya wanawake waolewaji fasta ukimuona tu tathmini unafanya hapo hapo kimaongezi tu na vyeti vyake lakini unaona hakuna kitu hapa andazi lilojaa upepo ndani heheyaaaa andazi yake nyama bwanaa

Anonymous said...

Tunacomment anachostahili mjinga huyu ukisupport hapa unaonekana wa ajabu ka yeye

Anonymous said...

Jana shost yako wema sepetu ameumbuka kujifanya predeshee kumtunza diamond.hajapokea hela za malaya mnafki wema.cku nyingne ajifunze.

kokusimah said...

Kazi njema my Sintah

Anonymous said...

unasonga mbele kwa kuvaa magauni ya harusi au? i dont get it somebody help me understand

Anonymous said...

nani aoe? kuoa msanii maarufu wa kibongo ama super star wa bongo ni sawa na kujichimbia kaburi! hao ni wa kuchakachuliwa kama munavyoowaona tu!mwenye elimu huwa anajulikana kabla hata ya kusema

Anonymous said...

Yan wewe kweli elimu yako ya makaratasi,unawashwa acha tukumwagie upupu ukuwashe zaid,cshangai, masters yenyewe ya UG ingekua ya UK ucngegraduate,hujui hata kula na vipofu,at first nlihis wa2 wanakuonea kumbe mpuuz,unamaneno meng kama unajifunza kuandika.Kuwa mstaarabu upendwe kama akina Dina.

JG said...

LOVE YOUR OWN NAME ACHA KUJIPA MAJINA YASIYOENDANA NA WEWE ENGLISH UJUI NJOO UK UJIFUNZE MORE ENGLISH CORSE....SURA BAYA JLO UWE WEWEEEEE

Anonymous said...

mambo mliyomfanyia wema sepetu wewe na malaya wenzako jokate na diamond in ya kisenge sana. inaonesha pamoja na elimu zenu bado hamna class are still very uncivilized, mnapitwa heshima hata na zinjanthropus!

Anonymous said...

Kwani what do you do for a living? As in how do you put food on your table? Am sure you are good peoples but your comments make you very "unlikeable" LIVE!

Anonymous said...

Umefia wapi wewe msomi my ass post utumboo wa juzi umeonekana kituko huko kwa mange omba mungu sana akupe hekma na busara nyau weeeh,mtu mzima hovyooo kama kikatuni ulikuwa!!wewe jokate yule si unaweza mzaa wewe eti ndio shost sasa ROR,mnafiki mkubwa wewe umekaa kishakunaku uso na haya mmfyyuuuu yalikuwa yako bibie kanashangilia utasema utamu wao huwa wanamuonjesha kajitu kazima haka msomi mafi ya kuku,btw hapa kwako ni mafi sio mavi manake hayo yanaafadhali

Anonymous said...

gukundu gwako! mny'ooo wako wee

Anonymous said...

Hivi itakuaje kama ukiongelea mambo yamaana jst lyk Dina! ur jst a cheapskate

Anonymous said...

Hivi itakuaje kama ukiongelea mambo yamaana jst lyk Dina! ur jst a cheapskate

LINDA said...

PENDEZA WEWE MWAAAAAAAAAAAAA WAJA MIDOMO TUMEUMBIWA,ACHANA NAO

Anonymous said...

duh noma jirekebishe dada yangu