Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

KAJALA AENDELEA KUSOTA RUMANDE

halllowz

my wadau tuendelee kumuombea our sista Kajala

kila siku kesi inapig.wa dana dana mara leo mara kesho uwiiiiii judiciary system in Tz ....... 

Yaan jamani we need to change our constitution aaargh haya mambo ya kukaa miaka 8 kesi inanguruma yanazingua sana bana,

kesi imekuwa postponed mpaka 4th April 2012

poor Kajala

we love you

17 comments:

Anonymous said...

must read blog udakuspecial.blogspot.co.uk

Anonymous said...

Naskia anaumwa na UTI, pole kajala Mungu akusaidie.
Halaf ww sintah ww tabia lako mby ety unaandika kiushadadiii jamani unaniudhi ww mama mashauzi zeero! Andika knachoeleweka ktokana na hbr ww unaandka utadhani ulikw kwenye mdundiko, unaboa!

Dondola said...

Hi, Jamani samahani maana sikuwepo nilisafiri, mrembo wetu anakabiliwa na kesi gani tena?...nimeiona hii kwenye mtandao wa facebook ndio nikaifuata mpaka huku nilipooona full story nikabofya (click) nikajua nitakuta full story, lakini nimeona mukhtasari wake tuu.. Jamani naomba kujua ni kesi gani inayomkabili, amefanya nini tena jamani, kiukweli Kajala namkubali sana imenistua kusikia hilo japo sijui ni kesi gani inayomkabili. Hata hivyo inamaana hata dhamana hakuna?...au kwanini asipatiwe dhamana...?
Samahani inawezekana watanzania wote wanajua lakini mimi sijui, sikuwepo nilisafiri kikazi so sikupata hii...kama itawezekana please email yangu ni munirmdee@gmail.com, nitumie hata kwa email, ningependa kuifuatilia kwa karibu zaidi.
Ahsanteh

Dondola said...

Hi, Jamani samahani maana sikuwepo nilisafiri, mrembo wetu anakabiliwa na kesi gani tena?...nimeiona hii kwenye mtandao wa facebook ndio nikaifuata mpaka huku nilipooona full story nikabofya (click) nikajua nitakuta full story, lakini nimeona mukhtasari wake tuu.. Jamani naomba kujua ni kesi gani inayomkabili, amefanya nini tena jamani, kiukweli Kajala namkubali sana imenistua kusikia hilo japo sijui ni kesi gani inayomkabili. Hata hivyo inamaana hata dhamana hakuna?...au kwanini asipatiwe dhamana...?
Samahani inawezekana watanzania wote wanajua lakini mimi sijui, sikuwepo nilisafiri kikazi so sikupata hii...kama itawezekana please email yangu ni munirmdee@gmail.com, nitumie hata kwa email, ningependa kuifuatilia kwa karibu zaidi.
Ahsanteh

Dondola said...

Jamania huyu mrembo wangu amefanya nini tena?..sorry mimi sikuwepo kwahiyo sikuipata hii, nakabiliwa na kesi gani na kwanini hapewi dhamana?...samahani email yangu ni munirmdee@gmail.com kama itawezekana naomba nitumia email itakuwa poa zaidi....

Anonymous said...

We mtoto unasema umesoma kumbe bure kabisa shika adabu yako tena ukome kesi ambayo iko mahakamani huruhusiwi kuizungumzia zungumzia upumbavu wako mwingine usiingilie uhuru wa mahakama, pale mahakamani hata rais mwenyewe heshima na adabu

Bazazi said...

Sio mambo ya danadana hiyo kesi haina dhamana mama!Kuweni makini sana suala la utakatishaji wa fedha haramu halina dhamana!Sio mnaona tu mtu ana hela bila kujua kazipata wapi nanyi mnajongea tuuu!Kuweni makini kidogo.

Anonymous said...

UKOME,NA CHAMOTO UTAKIONA MWAKA HUU

Anonymous said...

ivi watanzania wa leo mmekuwa majuha kiwango iki???katiba ibadilishwe kisa kesi ya Kajala?ivi kajala ana mwanasheria kweli?wajua kesi ya Balozi Mahalu ilianza lini?Daniel Yona,Mramba na Mgonja je?Badala ya kuasa wapenda slope wenzio wajifunze kutafuta vyao na waache kubabaikia mapedeshee ''mysterious source of income'' unatok pumba. Mie bila kumung'unya maneno,simuonei Kajala huruma,coz sidhani kama alikuwa hajui ile nyumba ilikuwa detained na TAKUKURU na sina uhakika kama alijaribu kutafuta ata ushauri wa kisheria ili aya yaliyomkuta leo angeyaepuka.Kama Kajala asingeuza ile nyumba angekuwa huru,yule muwewe ndo angekuwa na kesi,nyumba ingetaifisha that's it.Vijisenti vya bongo movie vingemsaidia kusurvive mjini uku akisubiri mgodi mwingine uteme,lkn kwa mashauzi yenu nyie vimeo na kurushana roho kwenye magazeti ya udaku ndo vimemfikisha hapo.

nono said...

Kweli usemayo hapo juu , kwanini alitaka kuuza nyumba iliyo na kesi na kuibadilisha jina liwe lake .hayo ndo malipo yake wala hajaonewa kabisa, aliona mume wake ana kesî ya hela za kuiba kîlichomfanya atake kuuza nyumba iliyonunuliwa kwa hela haramu ni nini ? Haya labda alitaka aende gerezani kuendeleza mapenzi yao!
Ushauri :, wadada wenzangu tuache tamaa ,unakuta mwanaume ana pesa hata hujui kazipataje unaona ndo upata !haya kajala ndo amepata fundisho...

Anonymous said...

dah madau umenena! tena mi ndo nilishasema hawa waiba mali ya umma sina hata huruma nao. na sio sintah tu hata mange alisema eti tuandamane twende ikulu ikibidi hawa mablogger wanawake zinawatosha kweli? kuandaman kwa lipi? na huyu naye onho tumwowmbee..tumwombee ili atoke na mwingine afanye kama yeye naye tumowmbee atoke, ili tuendelee kulipa kodi kwa ajili yao ama?? sina huruma hata kidogo..simwombei mtu ili asifungwe kwa kosa la ubadhirifu ila nasubiri haki itendeke ili kama kweli amehusika apewe adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine.

kokusimah said...

mimi simlaumu mdada wa watu, wewe ukutane na kaka uchumbiwe uolewe anafanya kazi analeta pesa utamuuliza hii pesa umetoa wapi? sioni kosa lake dada huyu wanawake sisi yanaweza kutukuta manake tunachumbiwa tunaolewa hatujui kaiba au kauza unga kosa nina muibaji si la muibiwa hila ndo hivyo ishakuwa tangu enzi za adamu,Hawa aliiba tunda likamzuru na Adamu japo hii side Adamu alijua nilakuibiwa. Pole kajala yatapita tu.

Anonymous said...

nono wewe ndo naomi kazungu au???

Anonymous said...

nono wewe ndo naomi kazungu au???

Anonymous said...

hakuna cha huruma wala nini alivyokuwa anachezea pesa kwa kuhonga vivulana?mwenzie yuko jela akaona bora amuoe babuu?kumkodia magar ma3ma3 kwa siku ya kazi gani ss shiling hana,kwa jins ulivyotendagwa nikajua ulishapata akili ya maisha kumbe bado 0

Anonymous said...

Jamani segelea si sehemu nzuri bt Huyu dada kajitakia kabisaaa,hayo ni malipo ya kilio cha mum ewe segelea jamani!Huyu dada aliuza Kila kiti na hata pesa alizoacha mume alizichukua na kumdanganya zimeibiwa.pesa zoote alitumia kula Bata na babuu wa kitaa,pia hakua hat a na muda wa kwenda kumuona mume wake jela.baada ya kuishiwa babuu katupa mzigo kule ooh my gosh mungu mkali Sanaa jamani,and there she is Hana kumi anaishi kwa marafiki,kabaki na freege tu ambayo ameweka wa shemsa.Mara akaolewa na petie man katoto kadogooooo mhhhh.rest in peace poor greed Kajala

Anonymous said...

na hilopia litapita komaa tuuu MUNGU ni mwema saaana.