Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

YANGA OYEEEEEEEEEE NI HAMIS KIZAAAAAA

ni yeye mwenyewe
andunje akiwajia
ktk National stadium

kama hawakubali sitowalazimisha
                                                             
Dito,jlo,Mwasiti&friend
                                                                      
dole kwa Yanga
                                                         
who run the world ladies
we run this huuu
mmmh Amiri hajawahi kukutana
na Sintah akaomba apige picha
                                                                        
benchi la ufundiii my toto Tegete
kulijaejeee watu
Yanga,pipo Yanga
kama humkubali huyu kaka wewe mchawi aisee
he is ma best player
Haruna N
oono msaja atusanyudee nyo
webale Kiza
                                                            
kila nikienda mpirani huyu
kaka hakosi,shabiki wa ukwelii
                                                    
eti huyu naye alikuwepo
kuimba hili Game
                                                                     

20 comments:

Anonymous said...

uyu nae alikuwepo si bwna yako umtaje tu JUMA NATURE

lulu ibrahim said...

jamani samahanini kuuliza si ujinga kwani umefanania nini ama kuna kitu gani umeendana na J.LO mpaka wanakuita ivyo plz naitaji jibu nijue tafadhali

mimi said...

SINTAH pendeza sana my dia friend LUV U

SINTAH SINTAH SINTAH kama umpendi JLO kakojoe ukalale

Anonymous said...

eeh wewe na J Nature mlikutana mpirani nn mbona wote mnashangilia yanga

Anonymous said...

jamani Sintah mi pia yanga damu, i miss such moments kwa kweli mana niko mbali kidogo lakini vinginevyo ningekuwa mmoja kati ya umati wa waliokusanyika....so, what was the final score? Did we win? BIG UP MAMA... I AM PROUD TO BE A PARTY OF DAR YOUNG AFRICANS FAMILY! XXXXXXXX

Anonymous said...

ha ha ha ha ha hongera kwanza kwa kujikubali eti (ni yeye mwenyewe
andunje akiwajia
ktk National stadium))) umenichekesha sana sawa sasa dada kwenye hilo tshirt lako huko nyuma ulitakiwa kuandika ANDUNJE na c J LO
....
ni yule yule

Anonymous said...

AAAAAAAAAAAAAAH Kiroboto babaaa naona unawakilisha TMK,Nakupenda lakini punguza bangi nawe,ndio maana mtoto mzuri kama Sinta akakukimbia!

Anonymous said...

Kweli mtu akikubikiri huwezi kumsahauuu,si umtaje tu dada!

Anonymous said...

Big up J.Nature kwa kukata utepe kwa J.LO Unaona asivyo kusahau?

Anonymous said...

Naichukia Yanga kwakuwa iko associated na CCM!
Amr Zakir huyooooooooooooooooooooooooooooooo. Big up Zamalek

Anonymous said...

Sinta wewe ni mzuri sana na unapendeza sana ila tumo tumbo tumbo punguza shape yako inaharibika jitahidi kupunguza fats tho ni ngumu ila fanyia kazi utaweza

Anonymous said...

huyo j lo wala hufanani nae kwa nini usijiite tu mlopelo hahahaaa

Anonymous said...

why unamsema mwenzio eti huyu nae alikuwepo ni mume wa ujana wako watati ule you where nobody leo hii amekuwa yule wanawake mlioibuka kwa shida mnavijimambo

Anonymous said...

sema ni yule bwana wangu wa longi maku ww!ati jlo,kwa kipi?ushuzi mtupu...

Anonymous said...

y do u call urself jlo?achen kuchezea majina ya watu jaman

Anonymous said...

sinta uko juu dada

Anonymous said...

SASA WW SINTA HUYO MAFTAH ANAKUPA STICK FINGER NA WW UNAONAUTAAAAAMU!?

Anonymous said...

si utumie jina lako tu,mbona mnapaisha wenzeshi hakuna cha unstoppable wala nin.na huyu nae si alikuwa bwana ako humsahau duh pole christine

Anonymous said...

safi sana maftaa kwa stick finga i hate yanga,yanga wote matako yenu

Anonymous said...

juma nature mpenzi wako wa long tym enzi zile uko mshamba first grade...