Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

REHEMA FABIAN VS JINI KABULA


liwalo na liwe
kusema za ukweli kuna watu wengine wanafanya  wengine waonekane vituko na wakati sio,
zilikuwa kama week mbili fulani nilipigiwa simu nikapate exclusive kali sana pale Mango Garden,lakini  nilikuwa niko tight
najua wenyewe wakiambiwa wataninunia ila ni kwa manufaa yao na wengine kwa ujumla
eti wanalipiziana?Kabula aliingia pale maembe garden akiwa na bf wa Rehema F
bila kujua kama jini yupo pale Rehema naye akaja na Mr better,nadhani mmenisoma hapo
sasa kwa habari nilizozipata kutoka kwa kijana wangu aliyekuwepo pale ni hivi hawa masista duu walikuwa wanatambiana.kuna watu wanakuja katia tasnia ya Umiss na uigizaji wakitafuta watoke vipi,wakati wenzao wapo serious sasa wanawaharibia bwana,wameshindwa na maisha huko uswazi wanakimbilia huku.

kwa waliosoma mchezo na wakaulewa waliona mademu hawa wanajichoresha sana.

kutoka kwa ps blog hivi hii tabia ya ku share share kiuchafu chafu inatokana na nini?
je ni kukomoana au wapo kimasilahi duni zaidi
kuna watu wengi wanapenda kuingia katika tasnia ya uigizaji,u miss sasa nyie msiharibu na zenu tabia wakaonekana wote wanafanya hivyo




Jini K




Mr better na Jini


Rehema F


KWA KWELI LEO NIMEAMUA KUJITOA MUHANGA LIWALO NA LIWE, MKINI MIND  ITS OKAY ILA NAWASAIDIA WENGINE.


its me
UNSTOPPABLE

42 comments:

Anonymous said...

Hatari lakini salama uyu Mr BETTER anatumia mkorogo nn mbona ivyooooooooooo???????????!!!!!!Watajibebaaaaaaaaaaaaaaa tupe udaku sieeeeeeeeeee......Napita tu lkn!

Anonymous said...

na ukimwi nao je hau ulishapatiwa ugonjwa huko Tanzania siku hizi?

Anonymous said...

Watajua wenyewe na balaa lao, kwanza hao siyo mastaa bali ni njaa kali wanatumia nguvu nyingi kujulikana mpaka za usagaji puuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!! maana huyu jini alisema aliamua kujiingiza kisa wanaume wanamfrustrate mi kweli huwa sielewi watu wengine ni njaa, taabu au ni kitu gani haswa. Ndo shida ya kutatafuta vyuo wakaanza kuunga unga kama Sintah angalau nao vyeti wawe navyo na kuondoa ujinga. Pia kujua umuhimu wa maisha yao

Anonymous said...

Kweli wewe Al shabab, umeamua kuonyesha chupi za wenzio!

Anonymous said...

Sasa wana share vibwana vyenyewe hivyo mbona vyote vimechoka!

Anonymous said...

Hakuna kitu Mikologo tupuuuuuuuuuuuuuuuu!

msemakweli said...

wanabadilishana virusi tu hao washajichokea na maisha

Jline said...

mmmhsasa napata sinema kidogooo,maana nlisoma jamii forum rehema fabin kanywa sumu ya panya kisa pedejeeee wake kaopoa kimwana!!kumbe mambo yenyewe ndo haya hadharan ya kushare uchafu??jamani wasichana ELIMU inasaidia sana..tatizo bongo movies actresses wengiiiiiiiii shule less!!kazi kutaka usupa-star mbuzi..mtajikerii.ngoja mbadilishwe kama socks za wanaume mwishon muambulie UKIMWI..maana wanaume wenyewe hao u can just tell from their faces haihitaj vipimo!!

Anonymous said...

Sintah kwa hili nakupongeza sana, hata wakinuna wanune mie sijali watu watalipokeaje ila kwa upande wangu umeonyesha ujasiri wa hali ya juu hii tabia ya kushare hawa wanaojiita mastaa imezidi hawajui kuwa wanajiharibia na kuhatarisha maisha yao, hawa kama wameona maisha magumu warudi makwao wakalime sio kufanya uchafu kama huu, wakikununia wanune but sms sent, uchuro mtupu!

Anonymous said...

weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa bora umewachana live.wanatia aibu.mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Anonymous said...

mie ndio yule nakwambiaga uchambe, uminye otoko, ukojoe, ukalale! leo sikutukani hata kidogo! kwanza leo umenifurahisha sifa zako za ndezi umeweka kando! then umefanya kitendo cha kiungwana sana kuwasaidia wao na wengine pia! congrats n kip it up!

Anonymous said...

Big up Sintah, ila waambie na shostito wako Wema na Kidoti walishare dudu la Diamond!

Anonymous said...

Sasa nao hawa ni Mastaa? Star gani anakunywa supu ya utumbo Embe garden?

Anonymous said...

Wakakojoe walale, hakuna star hapo!

Anonymous said...

Huyo Rehema F, ni nina?,mbona sijawahi hata kumskia,halafu unawaita mastaa?

Anonymous said...

Wana share shombo tu, hapo hakuna mwanaume!

Anonymous said...

ha ha ha ha ha hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
we nawe mmbea......
huna lolote
tumeshawazoea wasanii wetu kutwa kikicha vitukooo
wenyewe wanaona misifaaaaa
woteee
ovyoooooooooooooooooo
pamoja na ww sintah
mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

mamy naah!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

"maana wanaume wenyewe hao u can just tell from their faces haihitaj vipimo!!"

Hahaha umeonaeee hivi jamani Mr. Nice si alizaa na Marehemu Diana Aston Villa na akamtaja Huyu na wengine wa Twanga ambao hadi sasa hali zao ni tete? Jamani tusinyanyapae wenye virusi ila pia kuwapenda sio na sie kuhatarisha maisha yetu.

Anonymous said...

Sint Love uko juu kama miashoki,
nimekupendaje blog yako inakuja juu sana kwa kasi ya ajabu na sababu ni hizi news unazotupatia. kaza buti my young waache ujinga wao

Anonymous said...

Duniani kuna mambo!mie napita tuu ila nasikitika sana maana siku huu ni ulimbukeni wa kutupa

Anonymous said...

uyo mr better mshenzi tu,na uyo jini kabula na mwenzake wote hawana akili...utampaje kichwa mwanaume kama mr nice kichwa?hana hata sh kumi....mr nice alikuwa zamani sio saa hvi//////juzi kanywa bia sterio bar kinondoni bili ya laki moja hana hela ya kulipwa sasa hao wanaomgombania wanapewa hela or kupakazwa majasho...mana hata perfume ya maana hana......acheni ujinga ambao hauwasaidiimtakua kufa na ukimwi bure

Anonymous said...

Shoga sintah utafungiwa mtaa mama na matarumbeta.....teh teh teh mbavu zangu mie

Anonymous said...

we mwanamke subiria kudundwa, yasiyokuhusu yaache.

Anonymous said...

Sasa wewe Rehema kwa Nice umefuata nini wakti wenzako wanaukimwi yeye Jini kwanza Nice uso wake umeuona ulivyochakaa anaumwa jamani kwanini mnaleta misiba majumbani kafiwa na demu wake Diana kwanza atakusaidia nini hela hana au sifa kumwagiawa shahawa tu

weprac said...

umri unawasumbua hao,hasa huyo rehema fabian nasikia yeye huwa anatafuta waandishi wa habari na kuwaambia wampige picha akishalewa sasa kama sio kuutafuta umaarufu kwa nguvu,angekuwa mdogo wangu mbona angejuta,huyo kabula du atabaka mpaka watoto pole zake.ila na wewe jiangalie unayaona ya wenzako yako huyaoni...kutwa kwenye party ivi kuna siku unakaa kumkumbuka Mungu wako kweli?punguza mitoko best waachie kina lulu

Anonymous said...

Kuna mnenguaji mmoja alifariki na maradhi ya kisasa mungu amsamehe makosa yake na amrehemu...huyo mnenguaji aliwahi tamka kwa mdomo wake kuwa amekufa na UKIMWI..Na akasema ni wengi watamfata..huyo mnenguaji alizaa mtoto 1 na mr. better....mr. better yuko na shetani....na mr. better huyo huyo ndo yuko na R.F...Kazi kweli kweli kweli....HII HAIMAANISHI KAMA WAO WANA MARADHI...NOPE...Nimeweka tu hiyo cheni.

Anonymous said...

Poa kurekebishana ila na wewe ukikosolewa usifuke kama moto wa kifuu

Anonymous said...

sinta mie napenda sana kucheki chekina blog yako,huwa sipendi sana ku comment maana sio kila kitu ni lazima mtu ucomment.Na mengine mie huwa naona kama pia ni ya industry yao yenu wasanii zaidi so huwa nayacheki tu kwa style flani ya kusoma maisha yetu wadada wa ki tanzania afu nakuwa na majibu yangu.
Ila kwa hili la hawa sijui wasanii maandazi kwa kweli umenifurahisha mno,yani ni kujidhalilisha gani hawa mabinti wanafanya.To me ulichonifurahisha ni kuiweka hii habari kwa style ya kuwachana na kama ulivyo insist kuwa hata wakimind we hujali kama ujiitavyo unstopable.Mami hebu uwe unawalipua kidogo kidogo hao mataahira wasiojua dunia inaenda wapi au kutoka wapi kazi kutuchafua wanawake tu wa kitanzania .Wakileta za kuleta niambie mpz,loo,,,,,,,,,,,,,UMEYAWEZA NA YALIVYOCHOKA USO HADI ROHO MMMHHHHHHHHHHH

Anonymous said...

hongera sana mpenzi hawa mastaa uchafu wala usiwamezee mate,wachane tuu jamii ijue.hawa wanawake hawana mwelekeo wa maisha,wewe nae mr nice ngozi imekushuka kama...... wa bibi kizee baada ya kutubu bado unaongeza dhambi maradhi uliyokuwa nayo siyo ya kuhangaika,ila kweli diana alisema watafata wengi sasa tunayaona wanawake tuamke jamani jijue unaweza kuishi bila kumtegemea mwanaume kikubwa malengo na jitihada.JAMANI SIO SIRI TUMEWACHOKA

Anonymous said...

TUMECHOKA NA HABARI ZENU JINI JINI HEEE WE MWANAMKE UNGEKAA UKATULIA MUNGU AKUNUSURU

Anonymous said...

MMMH

Anonymous said...

Hahahah....nijuavyo Rehema Fabian ni changudoa anajiuza alikuwa anaishi gest moja kinondoni karibu na siri yako kabla hajenda china kupiga danga na likamshinda..hvi sasa ameshamuuza mdogo wake toka kijijini kwa pedeshee na mtoto amepangiwa mbezi sasa huo unyota unatoka wapi...na huyo nice jamani ni mwathirika na ni picha ya kaunta ya masai club sa mwajichosha...na wewe sintah unangalie habari ya kuweka sio makuma utoko kama hawa ambao walifukuzwa vijijini kwao.

Anonymous said...

Dada zetu mnatutia aibu kutokanana na tabia zenu zisizo na maana wala maadili ya kitanzia. TUNAWATIA AIBU WAZAZI WETU. Kutokana na mavazi tunayovaa pamoja na vitendo tunavyofanya. Hivi kutokana na tabia hizi za ajabu unadhani kuna mtu anayetaka kuoa msichana asiyetulia? Na hata hao wanaume wanaokuja kuwatongoza wanakuja kwa sababu wanaona kuwa hapo ni mteremko, HESHIMA NI KITU CHA BURE JIHESHIMU ILI UHESHIMIKE pia kabla hujaanza kuiga hayo ya wenzio jiangalie kwanza na kujiuluza HIVI MIMI NAPENDEZA KUWA KAMA FULANI? then go on! Mavazi yenyewe ni ya kichafu (KISWAZI) hivyo kwa mtu mwenye akili zake timamu hayana mvuto. Ninyi ni wazuri sana tena Kabula wewe ni mzuri sana mi nakuomba utulie achana na mambo ya kijinga mummie u'r beautiful mama na kwa sasa hata uzuri unachujuka kutoka na kutokutulia si wote wanaokutongoza wanakupenda ila wanakuchezea tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! haya mi naelekea kituo cha basi

FAYUS said...

SOMENI NA AMBIANENI WASICHANA NA WANAWAKE WOTE DUNIANI.
KUNA UGONJWA WA KANSA AMBAO UMEENEA SANA TZ KWA SASA.
UNAPATIKANAJE: KWA KUWA NA WANAUME WENGIAU MPENZI AU MUME WAKO KUTEMBEA NA WASICHANA/WANAWAKE WENGINE, ANACHUKUA HICHO KIDUDU CHA KANSA KINAKAA KWAKE THEN MKIJAMIIANA NAE ANAKUACHIA HICHO KIDUDU CHA KANSA YA MDOMO WA KIZAZINDUGU ZANGU INAUA SANA TUJIEPUSHE KUCHANGIA MABWANA NA TUWAOMBE WANAUME ZETU WATULIE ILI WATUTUNZE NASI. MAELEZO ZAIDI WAWASILIANE NA MEWATA. TUJIHESHIMUNI AU PIA KUISHI BILA YA WANAUME TUNAWEZA KAMA DADA ZETU WA NJE NA TZ MATAJIRI LAKINI HAWANA WANAUME.

mamy naah said...

teh teh teh teh!!! mdau Weprac nakuunga mkono....

Anonymous said...

hahahah full kupeana bacteria sijui virusi yani mastaa ni wakuwaogopa kama ugonjwa ukoma ukigusa tu unanaswa na umeme labda uvae condom sita na ya mdomoni pia usiiache

Anonymous said...

Hahahahaaaaaaaaaaaaa

Mdau amenichekesha, Eti Supu Utumbo...Duuuuh

Anonymous said...

YA NGOSWE TUMUACHIE NGOSWE.UKWELI WA MAMBO WANAJUA WAO SISI YETU MACHO NA KUTAZAMA NA KUSIKILIZA .USIKUTE WTE WANAJUA AFYA ZAO NDO MNA WANCHANGIA KAMA MTU NA AKILI YAKO MAGAZETI YAMESEMA WATU WAMESEMA PICHA ZINAONYESHA DALILI .BADO HAKUNA SHULE?MUNGU AWSAMEHE LAKINI NI VIZURI SINTA ULIVYOWEKA HAPO MAANA KUNA WATU NA AKILI ZAO BADO WATAENDA HAPOHAPO WAKIONA WENZAO WANAPATA JAPO KIDOGO .WANAWAKE TUAMKE TUWENA WIVU WAKUBUNI VITU KAZI SIO KUTEGEMEA WANAUME .UKU UGHAIBUNI TUNAISHI BILA WANAUME TUMEJIFUNZA MENGI SANA .NA MAISHA YANAKWENDA .HATA HAPO AFRIKA KUNA WATU WANAISHI BILA WANAUME NA MAISHA YANAKWENDA .TUSILAZIMISHE MAMBO WAKATI .MUNGU AJATUJALIA KILA MTU WENGINE KUJITUMA KWETU KWAO NDO KUTOKA KWAKO .TUSIKATE TAMAA .MAISHA NI MIPANGO .JINSI UTAKAVYOSEMA KWA ULIMI WAKO NA MDOMO WAKO SO CHUNGA SANA .MDOMO SUMU .HONGERA SINTA MANA ZAMNI WATU KUWA WAWAZI HIVI MMMM .INHUSU .NA NB WASANIII MMPENDANE MUHESHIMIANE.MKIPATA MDA HUKO MKIKUTANA MJARIBU KUPEYANA USHAURI.DADA SINTA .

Anonymous said...

MUNGU ATUNUSURU TU MAANA CHENI HII NI HATARI UNAWEZA UKAWA HUJATEMBEA NA HAO MASUPER STAR LAKIN MMEO AU MKEO AKACHOROPOKA hujaunasa??? ........na huyu rehema fabian ndo nan ckuhz anaandikwa sana kwenye magazet ya rangirangi khaaa!! shame upon her mwez wa KWARESMA huu situkan nawaombea tu nitafunga kwaajili yao ~mama ZeCutE originally

Anonymous said...

kha eti bwana mwenyewe wa kumgombania ni Mr. nice kweli nyie mmekosa wanaume si mnunue dildo mjisugue wenyewe mbona mnatia aibuu,puuh, lkn wote hadhi ni sawa nahisi kama mnanuka vile mmh mmh

Anonymous said...

JAMANI HUYO MR NICE SI NILISIKIA AMEOKOKA? IMEKUWAJE TENA KAIRUDIA DUNIA?

Anonymous said...

yaan hapo hamna hata mwanaume yote n makombo hayooooo!!!!na ww kabula na rehema kweli hamna soko mpaka kwa mr nice khaaaaaaa kwa kipi haswa aaaaa kweli mmechacha nyieee mkajpashe na makaa ya moto....na ukimwi juu mtajicarry mwaka huu mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu