Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

HA HA HABARI NDIO HIIIIIIII,WEMA ATUMIA DOLA 40,000 FOR SHOPPING NA BADO ANAENDELEA

baadhi ya vitu

perfumes
                                                                     
mliosema hayupo Dubai
mmeshushukaje
                                                            
wanaokusema vibaya
wanakukubali
kimya kimya
                                                               
hiki kiatu cha nani?
cha yeye mwenyewe
UNSTOPPABLE
J wake Lo


                                                             
jamani jamani usije ukamfanya boy friend/husband aibee uuuuh, maana kuna watu huku ninawajua wanaona donge wanaponda utadhani hata chalinze wameshawahi kupelekwa na ma BF/Husband wao
Wema ni Wema na wewe ni wewe,jamani usikasirike wako kichuna kama ana hela ya smbusa aaah Basi sawa maana wa wenzio ku spendi milioni sabini ni kitu cha kawaida kwa shopping,hata K basil aliimba alie pata amepata

UJUMBE

Wema mimi nawajua watu wengine wataponda kaa ukijua wanatamani kuwa wako kama wewe,
so wapotezee.uko juu

nasubiri comment kwa hamu

wewe nuna ila usimlazimishe bf akununulie Chance Channel wakati kakuzoea unapaka smart collection.

84 comments:

kokusimah said...

Ahahaa hahaha kweli anayekusena vibaya anajua kuna karata umemzidi I luv it, wanatesekaje? Kila la kheri mtoto wema alopewa mheshimuni riziki yake ni pana.

Anonymous said...

Ni ushauri tu dada yangu,hzo usd 40000 c bora ungempa tako huyo pedeshee akakujengea jape Banda tandale ukawa na kwako kwa kujificha?maana umeshachuja means unameaka 5 tu mbele utakua Kama big g ilioisha sukari.Sasa ww dada yangu unadanganyika na hvyo vitu vya Dubai pakulala umepangishiwa?funguka dada

Anonymous said...

hongera bibie kwa kutumia more than 60m kwa shopping tu!ila ungefanya kimyakimya ingekuwa powa sana ili siku ukifulia watu wasipate lakusema.usifikiri pesa utakuwa nayo muda wote,kunawakati utatafuta hata elfu kumi hutaipata.ni vyema hizo hela unazozipata ungewekeza kwenye biashara ambayo ingekuzalishia ukatumia faida,ni ushauri tu unaweza ufata au la!

Anonymous said...

WEMA mdogo wangu, hiyo hela ya shopping ningekuona na akili kama ungenunua kiwanja uka jenga, au ukanunua nyumba. nguo, perfumes na hivyo vyote ulivyo nunua ni vya kupita tu mdogo wangu. Basi hilo buzi ulilopata fanya hata likununulie nyumba basi. Akili kumkichwa mdogo wangu, wakati ndio huu fanya la maana. Usipo sikia ipo siku utayakumbuka maneno yangu. All the best mama

wanguu said...

mshauri akasome, kuspend siyo vibaya, lkn ahakikishe mambo mengine nayo yanaenda kama alivyopanga, tunamtakia kila la heri,naamini kinachofuata ni mjengo.

Anonymous said...

nawewe akuletee vingi...............

Anonymous said...

wow..soooo uuum wats yo point exactly?? $40000 just for shopin? kama sio ulimbukeni huo ni nini jamani? and NO am nt hatin o anythn, i jus find this whole thing very stupid to say the list.

Anonymous said...

Kumbe Bidada wema kapelekwa Dubai na bwanaake???mbona ulisema yupo peke yake.

Anonymous said...

Sintah unatoa post nzuri sana lakini unaweka maneno ya uswahili mengi sana,punguza basi huyo unayempa ujumbe utakuwa umemfikia...
kwa mfano hapo juu umeandika vizuri unakuja kuharibu huku chini na kujionyesha kama unategemea hela kutoka kwa mwanaume wakati wewe ni mdada msomi unajiamini na unajua kutafuta mapesa.
simama wewe kama wewe na Wema pia umshauri awekeze izo hela tunahitaji kuona movies nyingi kutoka kwakwe na hata tuone ameanzisha kampuni yake mwenyewe.
Nawapenda nyote na nawatakia kila la heri.
xoxo.

Anonymous said...

sawa amefanya shopping ya zaidi ya mil.50 so what???bado ni ujinga mtupu kwa sababu hana cha maana anachofanya, hapo sidhani kama hata biashara anayo.labda uniambie kuwa ananunua hivyo vitu kwa ajili ya biashara poh! uozo mtupu.... acha kumsifia ujinga mwenzako badala kumshauri afanya kitu cha maana wewe unasifia ujinga mbona wewe haufanyi kama unaona vizuri au kwa sababu umenunuliwa kiatu!...ah Wadada wa bongo bwana, mna kazi

Anonymous said...

MTOTO WACHA KUPIGA MAYOWE......... WACHA WATU WAONE WENYEWE HOPE UNAIFAHAMU HII NYIMBO. TULIA MAMA HUNA HAJA YA KUSEMA CHOCHOTE WATAONA TU KM NI NGUO AU GARI AU VIATU KAA KIMYA WABAKI WANAJIULIZA KM NI FEKI,AU ORIGINAL DUBAI AU KARIAKOO ILA KIMOYOMOYO WANAISOMA USIWE KM UMESHKA PESA UKUBWANI

lulu ibrahim said...

duhhhhhh ongera dada safari hii umebahatika milioni sabini kwa shopping waooooooooo usisahau kumwambia basi akujengee na nyumba baby.

Anonymous said...

uwiii Sintah umeniacha hoi.. do u mean 40,000 usd or 4000 usd. coz 40,000 usd is more than 60 million Tsh.... and for what... the cranky shoes and paris hilton perfume and that stuff. Listen sweety... she stayed in a cheap hotel(we could tell from the pictures and the stuff she bought.. its nothing fancy worth that kind of money... so please stop the crap and just deal with the reality missy... I love ur blog and eveybody that u publicize but come on missy.... 40,000 usd, u serious.
Peace out.
Miranda.

Anonymous said...

wema mie hata uwe ulaya kwangu heri tu as long as umeachana na kile kinanihii, hayanihusu na wala sikufahamu ila roho ilikuwa inaniuma sana bkoz u a too beautiful to deal with that ka man ambako kalikuwa kanatumia jina lako kujipatia umaarufu, loo go on gal go on, life is too short enjoy, yani nakupenda sana we binti, hasa nikiona movie zako uko juu, why diamons???????

Anonymous said...

Ni kweli mtu asiyependa kumuona mwenzie akiishi maisha mzuri anaweka kuwa mchawi na kwa upande mwingine huyo anayeishi vizuri anapokosea lazima akosolewe ili ajirekebishe.

Sasa dada yangu unapomsifia mwenzio kapata mwanaume mwenye pesa n so n so haina maana coz ndio hao hao wanaume devu unaowasema atafanya shopping ya kila kitu huku akiendelea kumchezea mwisho wa siku anamwacha anachukuliwa mwingine yeye anabaki hana pa kushika. Kama mavazi, urembo na mapambo yote kila kukicha yanakuja mapya bt utu wake kama mwanamke unashuka.

Ushauri wangu mwambie huyo mwenzio Wema amwambie huyo mwanaume ampe ht kamtaji at least na yeye aonekane amesimama sio kubadilisha wanaume kila siku.

Naimani somtims anapokuwa na stress anatamani aishi bila ya mwanaume bt akifikiria atakula nn, pesa ya kuspend na friends kiujumla ataishi vp mjini anaona bora akubali anapotongozwa.

Yangu ni hayo tu. Naimani utamfikishia ujumbe Wema.

Hv a nyc day.

Unknown said...

Sinta, inawezekana kweli Wema amefanya shopping kubwa lakini kwa kutumia $ 40,000/= hapo kidogoo nitakataa........ Maana inakuja like 600,000,000/= hivi ni kweli Wema ana uwezo gani wa kuspend that amount of money? Usipende kukuza mambo bwana mwisho hatutajua ni wakati gani unaongea fact na wakati gani ni blah blah!!

BTW juzi tulikuwa wote movie mlimani city and we watched "The Vow" ulionekana ni binti usiye na makuu and i think you are down to earth. uliniuliza kitu regarding the movie na tulikaa jirani.

Anonymous said...

HABARI NDIO HIYO WEMA UPO JUU NAJUA UTAKUJA KUTURUSHA ROHO NA HIYO SHOPING ULOFANYA. ATAJIJU DIAMOND SWALI HIZO HELA UMETOA WAPI MANA NIKIPIGA NAULI NA SHOPING NA UZALISHAJI WAKO WA FILM HAULINGANI AU UMEPATA PEDESHEE KAMA MWENZIO WOLPER MANA YEYE NDIO MSANII MWENYE MATUMIZI MAKUBWA HAPA BONGO

Anonymous said...

nakubaliana na mdau kuwa the shopping might b some us$ but not 40,000 cause the pics tulizoona sio za 5 star hotel in dubai sana sana amelala hotel za Deira cheap tu,angeenda jumeira huko ndo kuna vitu vya ukweli! anyways wema i like you as my young sisy,please find something for yourself! what do u want? dont live your life for show off! remember dear you have nothing of your own,then this is the high time for you to start your own small bizness,to have your own house just do things on your own ways! if i were you i could live a very low profile life! unajua binadamu tunajitia husda wenyewe sio kila mtu anapenda unayoyaonyesha,mwisho wa siku unalalamika ooh nimerogwa au vipi,ishi maisha yako wewe kama wewe achana na mambo ya show off!!! ni ushauri tuu manake hapa napita tu.....

Anonymous said...

dah kweli bongo safi..sasa ni fala gani hilo limeingia mkenge kwa malaya huyu..ila huyu malaya mtamu kutoa shopping ka hiyo si wanawake wote wazuri unaeza wapa..lazima anajuhudi binafsi kama kunyonya mboooo na kutoa mkundu kwa uhakika wa kumpagawisha mwanaume kwa kutmia kuma sidhani kama wanawake wengi wanaeza kutumia kuma zao zikaleta mafanikio hayo...kwa kwakwakwakwakwakawkwkawkawkakwakakw

Anonymous said...

SINTAH uhahaki ya kumsifia huyo malaya wako si anakusaga weweeeeeeeeeeeee......coperate friends wako ndio wanakufundisha utumbo kama huuu............Inaniuma sana nikifikiria huwaga ninalia....kibla matata J4 alikupiga chini kwa sababu ya uswahili wako...motherfuck tulia wewe,,,,wema sepetu aliwe matako/kiboga/tigo wewe uhangaike kutangaza pesa alizopata...pole sana lakini jirekebishe unatutia aibu wasomi...au wewe ndio certificate yako.

Anonymous said...

nasikitika sana sana sana kwa kweli kumbe bado kuna wajinga wengi wanawaza utoko kama huu eti shopping ya milioni hizo mthiiiiiiiiiiiiiiiii akili au matope,ww sintah mshamba unafikiri anavyofanya wema ni sahihi hata kama ana life yake lkn mshauri kama kweli ni rafiki wa kweli au na ww mnafiki nakshi unasubiri buzi limuache umcheke maana
aache ushamba atafute biashara afanye atoke cyo kila cku kubadilisha wanaume sio deal wala nini ni ushamba
ana dk chache atachuja kama nguo ya rangi iliyomwagiwa bleach tena jik oooooooooooooh chezeyaaaa mikujugu tofauti

Anonymous said...

hata kama yupo dubai bt that hotel iz not a five star hotel! duuuu Sintah kwa majisifu hufai ivi unapajua dubai Atlantis hotel? kama anaweza mwambie japo aende akaipige picha then ndio atupostie hicho kijihotel chake anayokaa kariakoo ya dubai Deira ndiko aliko Wema.
Mwenzake Diamond anapiga kazi bora hata hakuwa nae! big UP DIAMOND na kati ya SOUTH AFRICA NOW;
WANASONYAJEEEEEE lkn ukweli ndio huo

Anonymous said...

Yes, $ 40,000/= ur ass Sintah! Do you know how much in Tsh? Perfumes zenyewe do cheap like Paris Hilton & Britney Spears? Acheni kukuza ungesema $ 4,000/= tungeelewa.. Bongo we still have a loooooong way to go%

Anonymous said...

usengeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Anonymous said...

Hapo Wema anatoa post ili watu wa magazeti waanze kumwandika nyie hamumjui Wema anapenda sana kuandikwa magazetini lkn kwa hapa wala wamekushtukia wala hutaandikwa. Bora Diamond alikutupa kuleeeee ..... Diamond kidot is you type tena msomi hana misifa kama huyu hivi wewe wema na Sintah mnajua 5star hotels au mnajisemea tena Dubai labda angesema kariakoo kidogo iyo hotel inalinga. tunajua yupo dubai but sio 5 star hiyo yupo deira na ni hotel ya kawaida

Anonymous said...

Kwa hela gani alokuwa nayo mpaka atumie hela zote hizo kwa shopping ! uongo mtupu! na hiyo mifuko yake ya beuty mbona ameficha jina ,na hizo perfumes nne wasiwasi sio disigner hao. aache sifa anamrusha nani roho kwa kiatu katika dunia hii ya leo? hebu badilika we mdada unatakiwa ufanye mambo yako ya maana sio kila unalofanya unataka kujionyesha ili iweje zaidi tunazid kukushusha kwa kila leo kupata habar zako zisizokuwa na maana. Mbona mastaa wengine hawako kama wewe maana mnajiita star msonyoooooo ptuuuuuuu wapi. misifa tu ili magazeti yawaandike ivi msipokuwa kwenye gazet hamuoni raha eeh maana mtajitafutia habar wenyewe mpaka muandikwe. mnatia kinyaaa Wema na wewe Sinta kwa kusifia ujinga!

Anonymous said...

mzigo wa biashara huo unafika lin tuje tuchague???

Anonymous said...

ni kweli mdau hivyo vitu hapo haviwezi kufika dollar 40000,hizo pafyumu hata sio bei kihivyo,na hivyo vingine mmh,hoteli yenyewe alofikia haionyeshi kama ni expensive.msitudanganye jamani.other wise all the best wema

Anonymous said...

Ebu mwacheni Diamond wa watu. Mbona mnamsema hivyo. Huyo Wema kama kweli huyo jamaa ana mpenda amnunulie nyumba. Acheni kusifia matumizi yasiyo na maana.

Anonymous said...

MIRANDA NAKUUNGA MKONO MATE LO HAWA WATOTO WANA MATOPE KICHWANI KWANZA ANAONYESHA HAJUI KAMA NI $ AU SHS,NDO UBOVU WA VYETI VYA MITAANI

Anonymous said...

hiyo hela aliotamka hata haifiki,kwa hizo perfume za dola mia mbili?au kwa hivyo vifuko ?

dada yebu said...

stop showing off girls!kuna watu hawana chakula, mavazi do some thing 4 them if u hv that much to spend on stupid perfumes! and if u must do it, do it qietly because u who is wearing a ten thousand USD perfume and I the TSHs 3,000 body spray, we both go to the toilet to pu! To me that is ULIMBUKENI!!!!!!!!!!!! hatuhitaji ur price tags.mungu anajua ni kiasi gani unazisotea hizo hela usiku! jenga nyumba,toa zaka na malimbuko,wasaidie maskini na kama nilazima kuspend do it gracefully

Anonymous said...

mmmh Sintah huwa nakusupport bt kwa hii hapana there is nothing to convince me that this shopping is worthy $40,000 unless its typing error,coz kwa juu juu naona hamna brand ya kutisha kwa hivyo vitu kuwa bei hiyo.

liana London said...

i bet ww sintah u meant to write 4000,cz kuangalia tu hizo perfume hazifika hat 10000 cz they r nt design perfume apart from jimmy choo hizo nyingine zote takatak,
and plzz grow up woman

Anonymous said...

well said. Thank you anon feb 19 (10.27pm) you said it all!

Anonymous said...

si bora angepangishiwa... anakaa kwao lol!

Anonymous said...

this is what blogs are for???????

Anonymous said...

Muache uwongo kuwa huyo wema nyumba ya kupangawa na mwanaume alafu hata kibanda wala biashara hana sasa iweje atumie hela hiyo muache kujishauwa no kujikwanza na maisha yasio yenu maisha hayo muwaachie wenye na nafasi zao. aladhali angejenga au kufanya biasha tungewaona wa maana. wapo mwenye hela na hawajishauwi.

Anonymous said...

yani na mimi niliwaza hivyo hivyo ....haya tusubiri maybe nyumba kama ya mwamvita iko njiani inakuja ila kama ni shopping tu aisee

Anonymous said...

Bora hata hiyo pesa ingekuwa ni yake ya biashara pesa ya kuhongwa haikai labda akawe mke wa pili

Anonymous said...

Akili zake na za mashosti zake wote kumaji kama ya mto ruvu unadhani wanachakushauriana hawa

Anonymous said...

Mhhh! wasichana wa mjini mna mambo!!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

Kwanza mi ninachoweza kusema hyuu sinta ni mnafki mkubwa pia hta mimi ninawasiwasi na elimu ulionayo msomi hawez kukaa na kupost mambo ya ajabu like this mnawatia aibu wasiniii wenzenu mnaonekana so cheap(nitombe nikale)Wema kufanya kwake shopping haituhusu sisi na pengine wazungumza hvyoo kumrusha rohoo Diamond Haisaidii yle ni mwanaume anatafuta pesa evryday so mshauri mwenzioo mambo ya maana

Anonymous said...

Ponda mali kufa kwaja!!! We had Whitney, Left Eye, Aaliyah e.t.c, who were very beautiful and hard working ladies, love and sexy icons, very intelligent BUT they are all dead and we remember them dearly coz of the contribution they made to their respective industry (music in this case).

Wema akifa tunamkumbuka kwa lipi hasa? Miss Tanzania? Au hii shopping ya USD 40,000 (I DOUBT)?
She will die and I will remember my Dog 'Kezzy' more, died serving me, NOT Wema Sepetu and neither you Sintah!

Anonymous said...

zitumie mama tupo tunaotaka bahati kama hizo lakini hatujazipata hapa watu watatukana,wataponda lakini ukweli na wao wanatamani na tunaoingia humu sote tunatamani hayo maana hatuna kitu cha kufanya tunasubiri sinta aweke utumbo wake hapa tuanze kubeza na kutukana. by da way wema uko juuu

Anonymous said...

Nina hakika wewe shule ulihudhuria ila hukuelimika.sasa haina faida ya kusoma maana duuuuuuuu umezidi uswahili.mshauri mwenzio kwenye mambo ya maana na sio kuhusu kutegemea mabwana.mwanamke anayejiamini na msomi hategemei wanaume.Au ulienda shule kukua?GROW UP GAL

Anonymous said...

Sinta can you at least once in A decade, write something that will really makes sence for the change?Ili hata hao wa mtaani wenzako wajue umeenda japo shule kidogo! Coz this is really really really really STUPID! Grow-Up Girls and P'se give us A BREAK!
MFYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU(MSONYOOOOOOOOOOOOOOO)

Anonymous said...

he hivi kwani nyie wote mliocoment mna bifu na huyo sinta kwani ni vibaya kumrusha rafiki yake Wema?
Mhh me sisemi kitu jamani

Anonymous said...

kweli sinta we mjinga sana tena mshamba hasa, sijui hujijui ulivyo mbona unaambiwa sana hubadiliki? pole yako ndugu

Anonymous said...

Ulimbukeni jazz band..

Anonymous said...

Kweli limbukeni ni limbukeni tu.. Hivi kununua viatu na nguo ndo mpaka kila mtu ajue??? Yaani tatizo mnahisi kila mtu mshamba na hatujui bei za vitu yaani from the looks ya hiyo mifuko na hizo perfum hata nusu ya hiyo 40thou haifiki, unless kuna vingine hajapiga picha...My very simple ushauri, keep ur lives to yourselves watu wanawacheka jamani, huu ni ushamba

Anonymous said...

MUMGU huyu hapa natafuta hiyo pesa nikasome mastas...wengine wanafanya shopping...mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh......kweli vidole havitoshani jamani,,,,

Anonymous said...

hawana lolote makahaba wa bongo movie mbwembwe tu hizo wala usishangae ukisikia ametumwa huko dubai, juzi kuna mwenzao mmoja jeuri sana amelia hadharani kama mtoto kisa eti vibaka wamevunja pub yake wakaiba kreti tatu za bia na moja ya soda na vibakuli vitano vya supu. alafu mtu anatamba eti yeye ni star. pumbaaaaaaaf. nna wasiwasi hata makufuli wanaenda kuazima hao mastar wetu uchwara.

Anonymous said...

mwenye wivu ajinyonge, Wema upo juu juu zaidi

Anonymous said...

mshamba

Anonymous said...

absolutely! yaan wanadanganyana hawa utafikiri wao ndio marefaree ya maisha jamani, refaree wa maisha ni Mungu peke yake sasa kama ndo manafanya ujinga huo filimbi itapigwa mchezo umeisha huna uwezo wa hata chumba cha Tandale kwa mtogole sijui ndo hizo pafyum ndo za milele, nenda shule Wema na pia fanya ya maana siyo hayo mambo.

Anonymous said...

wadau mmeongea kwa kweli yaan hawa mabinti vichwa vyao printium one yaan ni ushuzoi mtupu, na hizi pesa za ukubwani hizi ni balaa tupu.

Anonymous said...

Ane invest hizo hela kwa buziness ningeona ana akili lakini huyo utumbo ts so stupit...
Then nyie mabint kwaninn msifanye ki2 cha maana ledha than showw off haisaidii ki2 halafu wenye hela wametulia kimya,hakuna anayemuonea wivu ts jas lyf yanapita but better look for giood thing to do in your lyf ayt...
Oooh lord who disgn this robot sinta behave basi dada wakati unaigiza wengine tulikuwa form one now tushamaliza hadi chuo so tutafaidika nin na wewe??we ni kioo cha jamii au giza la jamii??
Angalia akina jaydee anafanya vi2 vya maana,nyie mnaishia kuvaa tu,mwavita,na wengine wengi..
God help you

Anonymous said...

we nawe ndo matako kweli yaan atamani nani huo ushuzi watu tuna maisha yetu, tuna mambo makubwa tu sema tunawaonea huruma kwa mambo wayafanyayo hao wanaowahongwa kesho watawachoka wameshazeeka hawana hata kibanda cha kuficha mbavu zao, shauri zao na wewe pia shauri yako kwanza ni dhambi kusifia ufahari na ulimbukeni wa kijinga.

Anonymous said...

hilo nalo neno!

Anonymous said...

yani sintah hiyo elimu yako ni ya chini ya mwembe......alafu huyo malaya mwenye matako rojo ajitahidi kdogo kuacha ushamba jamani. Kwan kwenda dubai is a big deal????????????si ni sehemu tu ya kawaida ss yy anachojisifia ni nn ???/(WTF??)Grow up women, then think..... when u r talkin about something like 60,000,000m in tshs. uangalie na thamani ya vitu. MALAYA wabovu nyie!

Anonymous said...

WORD!!!!

Anonymous said...

hahahaha umenifulahisha saaaaana mdau,WELL SAID,watakumbukwa kwa kuuza sana K zao,haha

LoveForKidss said...

very true

LoveForKidss said...

sio vibaya kumrusha ila sio atuandikie utumbo kama huo eti $40,000..... hata kuzishika ajawahi and siku atakayo zishika lazima azimie

Anonymous said...

Wema huna kazi ya kufanya mjini unabaki unapiga picha vitu vya watu unadai vya kwako, kumbuyka ulikotoka, ulikuwa miss muziri lakini sasa, sura imekomaa ile mbaya, huna mpya ndugu umaarufu hauji kwa hivyoooooo

Anonymous said...

Wema huna mpya ndugu yangu, unapiga picha bidhaa za watu unadai za kwako, hahahahahah!!!!, pole sana umaarufu siyo kiivyo

Anonymous said...

wenye maisha yao wako busy hawaingii humu ndani wewe ndo walewale hauna lolote unatamaniii ufike dubai maana hata hapo zanzibar haujafikaaaa

Anonymous said...

AMESHASAHAU KAMA ALITUAMBIA KAENDA PEKE YAKE. LEO KAMWAGA KILA KITU KWAMBA YUPO NA MTU, AMA KWELI UKIWA MUONGO USIWE MSAHAULIFU!!

MY ADVICE TO YOU WEMA, WATCH OUT ISIJEKUWA UMEPEWA ZAWADI YA KILA KITU PLUS HIV. ANGALIA SANA MDOGO WANGU USIJEJUTA SIKU MOJA NA UKAJIKUTA HUNA HATA LA MAANA ULILOFANYA, HAYA KILA LA HERI SI YETU MACHO!!

Anonymous said...

Eeeeeeeee maneno ya wakosaji si mpotezee inna huuu
chezea wema wee

Anonymous said...

tumeona hizo perfumes tu, toa na hivyo vilivyoko kwenye mifuko tuone basi! CL ziko ngapi...??hahaaa!! NONE!!

Anonymous said...

sasa hapo wenye wivu wajinyonge kwa kipi? ukimwi? au kuliwa Tigo? mbona anajifunika shuka wakati ku sha kucha

Anonymous said...

WOW. $40,000? So do you think that man got his money's worth? Whether its $4 or $40,000 the definition of a prostitute doesn't change. They both sell the same thing

Anonymous said...

watu wana-comment kwa chuki sana kama swala la nyumba basi mwambieni kivizuri sio kwa kejeri khaaaa......hongera mwaya Wema safi sana...wangapi wanatafuta bahati izo hawapati...

Anonymous said...

Great mind discuss ideass, Average minds discuss events, small minds discuss people......

Anonymous said...

No Comment but Tz

Anonymous said...

sio bahati kaa jifikirie mtu gani akupe hela zote hizo bure bure mtaishia kutolewa kafara nyie we hujui hata mtu hela kapataje we unapokea

Anonymous said...

It shows how hawa malaya wako cheap mi ningemuona wa maana kama angemsifia wema kajeng nyumba ya milioni 60 Kumbe anamsifia ujinga mil 60 kwa shooping ya nguo na perfume za bei rahisi bora hata ungenunua prado new model 2011 ningeelewa yaani nyie ni malimbukenibwa hela mwenye nazo hajitangazi we mwenyewe sinta ushawahi kwenda dubai matako yako mfupi ka kopo la covacola , get a life bitch

Anonymous said...

words!

Anonymous said...

angesema labda ame2mia pesa hizo kwa kusaidia yatima au kujenga zahanati vijijini, au kusaidia wakina mama wenye fistula, au kusaidia watoto wenye magonjwa ya moyo n.k, ningeona amefanya la maana na ingekuwa sifa kubwa sana maishani mwake, labda ingeweza kuziba ziba sifa chafu alizokuwa nazo.

Anonymous said...

makubwa, haya bwana

Anonymous said...

wema wa2 wamekutumia mpaka wamekuchoka punguza mapepe dada

Anonymous said...

it is not true that she spent 40000usd,coz perfume ya Paris Hilton inaitwa heiress ranges between 24 to 40usd and with regard to Britney inaitwa fantasy and it costs 27.82usd,versace crystal costs 88usd.....i bet the most expensive would not have crossed 200usd...sasa hiyo 40000usd shopping ni umenunua hewa....

Anonymous said...

Shopping ya $ 40,000.
Na akaishia kununua Perfume ya Paris Hilton na J lo.
Kweli sintah we ni kichwa Maji.
Hv unadhani wananchi wote wa Tanzania ni mataira kama wewe,utadanganya mataira wenzako tu.

Angalau wanawake ambao mabwana zao hawana pesa wana settle down na kutengeneza Family.

Nyie endeleeni kujiuuza,maana kila chenye mwanzo kina mwisho wake.