Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MJINI MIPANGO CHUKUA MWANAUME WA MTU ILA KUWA NA ADABU

PS Wadauzzz


kama kawaida hapa town i run the cityyy,leo nakuja na hii\mrembo miss Tz(Jina.............)
juzi kati alipokea chake kipigo kutoka kwa mke halali wa ndoa wa Bongo tycoon;
mrembo huyo ambaye anajifanya yeye ni mke wa halali na kujisahau kwamba yeye ni Monica Lewsky
alijikuta akipokea mangumi kazaa kwa mama wa ndoa,mama wa ndoa alifika mjengoni mwa mumewe kuangalia kama hali ni shwari kutokana na hubby kushindwa ku fly outside tha country kutokana na mafuriko,


TAHADHARI
MNAPO MOVE NA SUGAR DADDIES MSIJISAHAU CHA MTU MAVI
TAFUTA CHAKO HUJUI KATOKA WAPI NA MKEWE,KAMA WALIANZIA KUSHONA VIATU MAKETE WEWE KIZABI ZABI UNAKUJA KUHARIBU MAHUSIANO YAO










ni mwenyewe UNSTOPPABLE
na crew nzima ya udaku team
j wake lo ukipenda
Nothing but confidence
sintalicious
Tinah
Sintalita
Tjlo
staring never dies
Mtambo wa kurekebisha tabia

ciao






26 comments:

Anonymous said...

Eheeeee hapa sasa blog naona imeanza kunoga siku nyingi kweli sijapita hapa leo nimeboreka ikabidi nipitie zote ilikuwa inachosha na yale mambo nuna kidogo sijui nini hahhaa sasa mpango mzima upo hewani haya tupeni umbea kamili loooo, wanawake sisi tumezidi sasa unachukua cha mtu kama chako kabisa

Anonymous said...

HAHAHHAH sinta wa jlo mtaje uyo mana hawa mamiss wakishavishwa mataji tu wanahisi dawa ya kuendelea kuishi ni kuchukua waume za watu na kuendesha magari mtaje bana

mkereketwa said...

uyo atakuwa mke mwenza wa BONGO STAR SEARCH mana anajifanya maisha kayapatia kwa yule kibabu hana haya kumvulia nguo BABA yake mzazi hovyooo JIMY KABWE kakulia heraaa umeamua kwend akuchuma kwa ..... NAogopa kufungwa mana me raia wa kawaida

DA VICK WA MACHAME said...

weraaa weraaa funguka mtoto wa uchagani tulikumisije hizi ndio story za kuweka sio umenunua viatu sijui jeans nani uyooo mtaje jamani na sisi walalia BANKO tumjue kama vipi tutajie alikuwa namba ngapi na mwaka gani jloo we luv u MOBB

Anonymous said...

wee sinta wewe tumeishi jirani ulipokuja Mza kikazi, ulifanyiwa umafia huo huo au tuyamwage? umesahau yale majambazi yalitumwa na nani? nimtajee?

Anonymous said...

AMEKOSEA UYO MKE HALALI ANGEANZA NA MUMEWE KWANZA AMDUNDE WEEE AKOME UMALAYA SI KAENDA MWENYEWE NA KIRANGA CHAKE.

Anonymous said...

Looooo!huu umbea mbona mtamu eeeeeh! tujuze basi, linani hilo?

jane bomba.

Anonymous said...

ETI MTAMBO WAKUREKEBISHA TABIA WE MWENYEWE UNATAKIWA KUREKEBISHA TABIA YAKO YAKUINGILIA VITU WCHICH IS NONE OF YOUR BIZNESS NA MASHAUZI YAKISHAMBA NYOOOOO YANAKUHUSU NINI TAFUTA BWANA UOLEWE KULE.STUPID HOE

Anonymous said...

Jlo tutakupa ulinzi usijali wewe endelea kutupasha,wewe ni kweli mtambo wa kurekebisha tabia,kwani uongo kama kweli kwanini mtu ananua

Anonymous said...

hii mada imenikuna halafu mimi napenda sana umbea hapa mjini jlo tunmaomba ututajie huyo maana tunataka tumfanyie kamata mwizi man

Anonymous said...

wasichana wengi sana wa mjini wamezidi kutembea na wanaume za watu,je tunahakika gani kama na wewe hauna bwana wa mtu maana hatumjui bwana yako au ndio hio adabu yenyewe unayoisema unaifanya

Anonymous said...

sinta uyo sio yule alivyotoka kwenye u miss tu akajifanya anaimba UBONGO WA FULEVA hahhaha jamani mana mpaka dada wa bss hakurushiwa matangazo yake mwaka jana kisa ni yeye duh atakuwa uyo jamani au yule N lakini yule hana masifa duh

Anonymous said...

uyo SIO k DAMWANI DAMWANI hebu acheni mchezo wa wanaume za watu ingawa huwa wanawafata wenyewe mkishakula basi mnawafunga suruali wanarudi kwa wake zao na inavyoelekea babau muoga yule anaona alitoka nduki hahahha

Anonymous said...

huyo atakuwa mama kibabu tu nackia kibabu kwa kufira kile hakifai cjui mchaga yule kajifunza wapi Sinta lete mambo mji uchagamke leo manake wezi wote tumbo joto

Anonymous said...

hahahhahah j unafirwajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee sinta ungeweka vi emotion basi tupunge mikono umebondwajeeeeeeeeeeeee na ukichanganya na viruuuuuuuuuuuuuuu utajiju

Anonymous said...

kama wadau mnamjua tunaomba mtusaidie kumta jina na ole wako jlo ubanie comment maana huwa tuna tuma comments arobaini tunaambulia kuona tatu,tuachie tuwaeleze wana Daresalaam tabia ya hawa ma miss shombo chafu,USIbanie hii coment wewe jlo

Anonymous said...

naimba korasi tuuu...... mapenzi unayonipa sijawahi kupataaa..... he he heeeiyaaa

Anonymous said...

We sinta si uliokoka wewe lakini nilikuwa nakuona kwa mchungaji kigamboni ulikuwa na hali mbaya sana sasa hivi naona unajifanya wewe wa town vibaya mno mambo yako yote tunayajua

Anonymous said...

K-Lyn......

Anonymous said...

meona eee tinah! yaani miminikimkuta mtu na mume wangu nakata kisimi chake, hajui nilikotoka na hubby wangu, wewe atajua kutembea na waume za watu, umenikunajeeeee wangu?????????????

Anonymous said...

he he heeee mfungie jikoni ka paka wenzako walisema kama wewe nikimkuta mume wangu bla bla wee achana na wanaume wewe .... wenzio hadi wamejirestisha in pisi ... chezea small house? nyamaza kabisa waume zenu hawavutwi na kamba wanajileta wenye tena utakuta mtu anamsumbua shog yako ile mbaya ili akupate uwe small house yake... unachekesha shosti sugua magoti hayo omba Mungu!

Anonymous said...

Huyu atakuwa ni yule miss anayefanya kazi kwenye shirika moja la kimataifa na amegraduate juzi juzitu, maana anasifika sana kwa kudandia waume za watu. Kamng'ang'ania mzambia wa watu weee mwishowe kamzalisha na katelekeza familia yake na sasa kapata kazi hapo kwenye hilo shirika tayari keshamparamia mkuu wa shirika hilo. Mkewe jamaa alikuwa kwao west africa labda ndio alirudi maana hata ofisi zao pia ziliadhilika vibaya na mafuriko.

Anonymous said...

Eti unakuta mtu anajishaua anapendana na jitu zima kama baba yake wakumzaa kisa pesa hebu watupishe waongo wakubwa

Anonymous said...

eeeee mdau nani huyo tena??? tupe ripoti kamili

Anonymous said...

TAFUTA CHAKO HUJUI KATOKA WAPI NA MKEWE,KAMA WALIANZIA KUSHONA VIATU "MAKETE" WEWE KIZABI ZABI UNAKUJA KUHARIBU MAHUSIANO YAO.
ujumbe umefika akina dada take care.....no free lunch kwa karne hii hapa ya abiria chunga mzigo wako

SINTAH MAKETE is da good place not like da way peoples think about!

Anonymous said...

hahahahhahhaha sintah uwe unaweka umbea mara kwa mara maana rahaaaaaa sikuiz nimekua member wa humu