Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

SINA LA KUSEMA KUHUSIANA NA MY BFF SCANDAL

wadau wangu this blog is all about me and u,
mimi sina la kusema  kuhusu hii scandal na naomba msitume tena msg kuniuliza,coz she got her life so do i,tusubiri mahakama itaamua who is innocent and who isnt.

from me
jlo



kikazi zaidi


       BFF's

41 comments:

aggy wa aggy said...

nimemchukia jokate ghafla ndio nn kumchukulia mwenzio simpendi tenaaaaaaaa

Anonymous said...

Jamani unajua nilikuaga nampenda sana jokate maana ni miss ambaye hana scandal yoyote yani anajiheshimu n hapendi kuanikwa,sasa kwa kutoka na diomond tena just for money dah nimeshangaa sana Jokate plz usijiingize bwana kwa mambo hayo heshimayako ya st anthony itashuka my dia wewe ni mzuri na classic woman usifanye ivyokabisa hayo mambo mwachie wema ndio anayaweza Pia Diomond umaarufu umeshuka sa nw anawachezea tu we ni mzuri n Unamcha mungu,tubu n achana na hayo mambo sister yani nimesikitika uatdhani we ni dada yangu yani nilivyosoma habari n kuona picha yako nimesikitika sana n nakuombea ubadilike uachane na huyo diomond....

Anonymous said...

kweli hata umalaya tunazidiana ndio nn kumchukua bf wa rafiki yako mwana mshenzi ww nyooooooooooooooooooo

Anonymous said...

huna lolote mnafiki mkubwa ww unajifanya rafiki na wema alafu unamkuwadia jokate ndio maana unasema oooh this blog is all about me and u., acha unafiki mtoto wa kike

Anonymous said...

kama mchafu asisemweeeeeeeeeeee ye kawa nani??????????kaingia choo cha kiume halijua hatapita kimya kimya kma kwa kina MWANA FA,AY,HASHIM THABIT????????????muache hapewe vyake babuuuu na analo mpka video ya ngono halitoaa ila ndo anatumia kanisa kma mwamvuli wa kuficha maovu yake mna mtu awez kutangza kma c kweli.

Anonymous said...

UNAOGOPA EEEH!
JLO MIE KAMA MTU NI RAFIKI YANGU BESSTI FRIEND NIKISIKIA UMBEYA KAMA HUO NITAMUUULIZA NA AKINIAMBIA SI KWELI !NITASEMA JAMANII EEEH YOTE MLIOYAONA KATIKA MAGAZET YA UMBEYA NA BLOGS ZA UMBEYA NA UNAFKI KUHUSU SHOSTI WANGU KINUKTA KUTOKA NA CHAI JABA SIO UKWELI NI UNAFKI

KWANI UNASHINDWA KUSEMA HIVYO AU NI KWELI NDOMANA HAUTAKI KULIONGLEA AU UNAMUOGOPA MAKENGEZA MWENZAKO ANATAFUTA UMAARUFU KWA KUPITIA MAJINA YA WATU KAMA HUNA HABARI WE KAA HIYVO HIVYO OOH NAMJUA TANGU ZAMANI NGOJA SIKU AKUTUNDIKE NDO UTAJUA

BISHOSTI

Anonymous said...

tena wamuache wema wako na maisha yake au unasemaje?

Anonymous said...

Ni kweli mwaya hii inatuhusu sisi na wewe hayo ya kwao tuwaachie ila kama rafiki yao si vibaya ukawashauri. mi nashindwa kuelewa hembu wadau tusikilize huu wimbo mpya wa DIAMOND, copy hiyo link bonyeza kwenye orange.
http://www.bongocelebrity.com/2011/12/16/nimpende-nani-diamond-new-song/#axzz1gnygukAT

Anonymous said...

Lo!Mmmmmmmmmmmmh!!Sie wengine twapita tu!!Haya asanteni jamani maana niliyoyakuta humu kwa Sinta sijui ndo Jlo sijui na kidot cjui nukta,Laaa-haula wala quwatta!

Anonymous said...

Sina hakika na mnacho tuhumiana, ila Diamond amefanya kazi na several ladies, nitarejea kuna mdada, moyo wangu video kuna mdada kwanini hawa wote hawakutuhumiwa isipokuwa wakati anafanya kazi na Jokate? Dear Jokate, wewe unaujua ukweli sitaki kukutuhumu kwa hilo sababu sina uhakika. Ila why should u give a room of doubts? na hakika mpaka Wema ameongea hayo kuna vitu aliviona ndio vikampa wasiwasi.Kama unafahamu ulifanya chochote cha kusababisha mashaka hayo just stay far from them. Mind u, mahakama haiwezi kusafisha dhamira zetu only truth set us free.

Anonymous said...

Tena siku hizi huko mahotelini kwa ajili ya usalama kuna macctv camera!! Aah msijeumbuka nyie tu na hiyo kesi yenu. Watu wamewaona jamani ndio maana wakasema mbona usisemwe wewe au asisemwe mtu mwingine? Lisemwalo lipo, na huko mahakamani asije umbuka zaidi tu! Maana msijeshangaa video inatolewa mahakamani kama ushahidi duuh sijui itakuwaje?

Anonymous said...

Bi shosti ww umesema point hangetakiwa hakanushe kma c kweli mna ni best yake.......mdau uliesema tusikilize iyo link me mwenywe hapo niko njiapanda mna kma sijaelewa vzr vile iyo nyimbo yamahanisha nn?

Anonymous said...

Wema fala....mbona yeye kamrudia bwanake TID....mwacheni Jokate bwana....haya maisha ye anazani kwenda wafu tv kuongea utumbo nani anataka....ule ni ujinga na upumbavu tu...Jokate cool down fanya mambo yako kimya kimya wakome wenyewe.....nyoooooo....simpendi wema kufa......

Anonymous said...

hivi wema sepetu ni wakumtetea??? akome.....anataka kila siku mazuri yakae upande wake eeeeh nyooo safari hii atajuta kuishi mjini....kaingia choo chakiume cha kusimama akatia anataka kunya.....

Anonymous said...

ni kweli huna la kusema shoga, maana wote wawili huwa tunawaona kwenye hii blog ya me and you kama unavyoiita weye mwenyewe! hayaa! siye yetu macho na masikio!

Anonymous said...

wote we najoketi lenu moja punguzeni kudandia tafuten wenu cyo kila muonacho kinafaa kuporwa mtapora pacpo pora alafu mtajuta

Anonymous said...

nashangaa mnavyomtetea wema kwani ni mke wa diamond??? jiulizeni sana wema anajing'ang'aniza kwa diamond jamaa si alishamuacha akafanya kuombwa na wazazi wake amrudie wema. hivi kwa mtu yeyote yule anayemfahamu wema vizuri nadhani ataona ni sawa tu kwani yeye anapenda kuacha lkn kwa huyu kaka kashaachwa mara 2 n still hakubali,its not jokate ni mwema ila wema si mwema pia,na hiyo ni mshahara wa kuishi maisha yasioeleweka wema alikua na sababu gani ya kuhama kwao wakati hawajafunga ndoa? nyie watoto wa siku hizi mnajidhalilisha sana,unatakiwa unajirespee jamaa mwenyewe aone kwamba anakuhitaji fasta ndani ya nyumba then uwape heshima wazazi wako. mie nawalumu wazazi wa wote 2,mama wema na mama diamond,mtt wangu hawezi kuzini ndani ya nyumba yangu,hata kama ana hela,na mama wema amkanye mwanae asihamie kwa watu. wema tafuta shughuli ya kufanya kwani upo idle ndio maana unawaza mapenzi ya kijinga.

Anonymous said...

Jlo mbona huweki new things? We miss youuu.

Anonymous said...

nyooooooooo malaya mkubwa we umemwambukiza mtoto wa watu, hakuwa hivi b4

honeyfah said...

mmhhh kazi kweli kweliiiiiii yetu macho

Anonymous said...

guys growup,kwani mwanaume akiachana na mwanamke moja haruhusiwi kuwa na mtu mwingine,wema na mwenzie walikuwa na mambo yao kabla hata ya jokate,mbona wema zilizopita rafiki yangu kakulala sigara kali wewe.if the man dont want u just move on usijifanye we ndo unajua kupenda kuliko wananwake wote dunian.tatizo una laana ya mamako ndo inayaokusumbua na itakutafuna maisha yako yote,u will never be happy.start from scratch girl.

Anonymous said...

jamani nyie mnaomchukia jokate mna uhakika kama hiyo scandal ni kweli? au mnataka kujiashaua tu hapa..ovyoo.si msubiri ukweli ujulikane kwanza?

senora lavita said...

sawa hata usipotujibu kuhusu yeye bt jokate muuaji mshauri n rafiki yako.

Anonymous said...

he he he he he, nlikuwa nasubiri tamko lako mama mashauzi juu ya hili la rafki yako, mwachen almasi awachezeee, na akitoka kwa jokate anakuja kukumega wewe SINTA..............

GO DIAMOND, GO DIAMOND, just go and F**** zem adi wawe na adabu hawa watoto wapenda sifa mjini

kama kawaida yako nikikuchambaga huwekagi post ila ujumbe umeupataaaaaaa............
jlo my behind (pachika tusi)

Anonymous said...

wewe sinta mpuuzi sanaaaaaaa wewe yani mtu amchukulie mwenzie bwana tunyamaze eti ni rafiki yako ndio asisemwe mange kaweka topic hii kuna comment za kumponda jokate 400 na upuuzi eti ni rafiki yako basi tabia zenu ni 1 mpuuzi sanaaaaaaaa

Anonymous said...

yani huyu jokate mshenzi smart huyu tabia mbaya sanaaaaaaa za kichinichini kunyakuwa waume za watu unajifanya rafiki kumbe nyoka, na wewe sinta unasema hutaki kuongea lolote we nawe mtu mbaya tuu so unaficha upuuzi wa huyu mwimba kwaya kumbe hasidi

Anonymous said...

kwakweli jokate nilikuwa nakukubali kama binti maarufu na asyelewa umaarufu imekuwaje tena? embu kuwa muwazi kwa marafiki zako na watu wako wa karibu wajue wakusaidie vipi? ndugu zangu hizi tanzania bila ukimwi inawezekana kweli au ndio kupamba maneno tu tuonekane tunajali? tunatia aibu jamani, tubadilike, tunaliaibisha kanisa, tunajishushia heshima. naumia sana kuona wanaume wakitufanya kama daraja au chombo cha starehe. edna

Anonymous said...

superstar wa bongo hamna jipya............

Anonymous said...

huna la kusema kivpi???? tajiju..

Anonymous said...

Wote nyie jokate na sinta ni malaya

Anonymous said...

JOKATE, pole, umetiwa bure Diamond ni wa wema tu maisha. Wewe ni kosha rungu tu. Una mpango wala mvuto. Katombwe kanisani unakoimba kwaya. Malaya mmbovu wewe!

Anonymous said...

Hivi wewe Jokate, nani anakudanganya eti una uzuri wakumzidi wema? Pole shost Diamond na wema for Life. Umejidhalilisha sana. Kama ulikua na hamu, ungetafuta mwimba kwaya mwenzio akusugue lakini kwa platnun umenoa? amekupa sh. ngapi sasa? Nasema hivi, NYIE MALAYA WAKIBONGO, MKOMENI DIAMOND NA KAMA AKIKUTONGOZA TUARIFU SIE TUTAJUA CHAKUMFANYA. SIO KUVUA CHUPI HOVYO! MUONEENI HURUMA JOKATE, KATIWA BUREEEEEEEEEEE LOL!!!!!!!!!!!!! DIAMOND ANARUDI KWA SEXIEST LADY IN BONGO( WEMA ISAACK SEPETU) Panda juu ukazibe kama limekutach

Anonymous said...

Diamond hivi unajua kwamba Wema ana ngoma? na nnasikia juzi kati ati mimba uliyo mpa iliharibika nilisikitika sana kumbe diamond unamla wema dry? halafu uunajua kuwa jokate na yeye ana ngoma, katiwa na Reginald Mengi ( Ana ngoma ), Reuben Ncha kali, mwanafa, ay, na wasenge wengine kibao tu..Diamond shame upon u.

Anonymous said...

God have mercy on us! hivi kweli watoa maoni wengine hapa mna akili timamu kweli? hivi mwanaume anayesemekana amesababisha mfarakano kwa kile kinachoaminika kwamba amefanya uhusiano na Jokate wakati ni rafiki wa gf wake ! badala ya kulaani kitendo hicho kwamba sio kizuri wanawake tunadhalilishwa tumekalia kumsema Jokate na kusisitiza eti ni wa wema wamerudiana tena blah blah! kumbe ndo mana wanaume wanatuona wanawake vichwa vya panzi tu.....hapa Diamond alikuwa ni wa kulaaniwa, Wema wa kuhurumiwa na Jokate wa kumwombea dua mana wallah kafanya makosa kama ni kweli. Na wema umeombwa msamaha umekubali kurudiana na huyo jamaa yako ili hali kila siku skendo na kudhalilika juu? hivi unajua kama utaendelea kuwa mtumwa wa penzi kwake hadi utakaposema nooooooooo! hivi huoni kama anakutumia na itafikia point atakuacha kwa kashfa hata hutatamani kuishi? kupenda gani unapenda hadi usipopendwa? machozi yako hayana thamani dada kwani unamlilia asiyestahili..ni sawa na kumpigia mbuzi guitar! Jokate, I am very disappointed in you if the said is true! you are such my role model. Please say it isnt true.

Sintah mnamshambulia, kwani haijawahi tokea ukawa na marafiki zako wkatofautiana? unafanyaje? lazima utakuwa hufungamani na upande wowote. Hebu acheni maneno yenu kana kwamba nyie ndo watakatifu wakati ndo walewale...ya wenzenu ndo mnabebea midomo.....kakojoeni mlale..NYAMBAFU!D - Mikocheni

zamda said...

people siwawezi kwa kujua yawenzenu kama uliwapima vile ww anonymous December 21, 2011 5:57 PM, mmh haya be carefully maana hii dunia ndogo lisije likakupata na ww.
Pole mwaya sintah wangu ww wala hustahili hizo lawama za kwao wenyewe.

Anonymous said...

tusimlaumu Kate ashasema hajamchukua, na waweza kukuta Diamond ndo anamtaka mdada wa watu ila hajamtamkia live mwisho anaenda kuimba miziki inayoleta mitafaruko na mchumba wake, wakumlaumu ni mwanamme kn story yenyewe niyaukweli.
Nishaona video Diamond alisema anapenda baby wake. haya tusubili ukweli mwingine.

Cymah

Anonymous said...

Sinta I like your stand, we endelea hivyo hivyo na wala usiseme kitu maana usije kuabika baadae.

Anonymous said...

yani lisinta malayaaaaa, limemwambukiza pepo lake jokate maskini!!!

na we jokate malaya kweli,sa diamond wa nini....mafala kweli wasenge nyie na makuma yenu mabovu!!!

Anonymous said...

kwanza wema ni beautiful than huyo jakate wako....hamfikii kwa lolote!!!

Anonymous said...

Jamani Jokate!!! mm ctaki kuaamini....WHYYYYYYY????!!!!!

Anonymous said...

huyo sinta malaya muuza kuma mjini anajifanya ooh blogu yangu sijui nini kumbe kazi kukoadia wenzake mabwana kama kisimi kimechomoka unatafuta wa kukizamisha ndani wapo wengi sio kila kukicha tukusikilize wewe tu kwa lipi jipya ulilonalo zaidi ya mkorogo unakichubua hadi kisimi lakini huna bahati utaishia kukoadia wenzio rafiki mnafiki weee wema alikuwa shost yako leo ndio unamfanyia hivyo na mashoga zako sauda na dida wa g sijui anajiita naye akae tayari tutasikia naye mumewe katafutiwa demu