Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

HAHAAAAAAAA NO MORE BEEF BURGER YAANI HAKUNA KUGOMBANA








hakuna tena beef kati ya warembo hawa,ni vizuri mimi penda hii sana,wale wanafiki,vinguru papa waliokuwa wanajaribu kuwagombanisha wamenunaje???kwani jumapili hii walipoamua kuziweka mbali tofauti zao

vizuri sana madogo ,beeg burger hazina mpango,sasa hali ni shwari



13 comments:

neema mollel udom said...

Poa kama wamesolve wote wanajua nini msamaha....

Anonymous said...

afadhal,mim nawapenda hao madadaz esp Irene n Wema...hapo watafanikiwa.

Anonymous said...

Hakukuwa na nguru papa yoyote mwenye kuchonganisha yooooooooote waliokuwa wakilalamika to one onother ni ukweli m2pu na ndomana walikubali makosa na kuamua kuyamaliza so hakukuwa na uchonganishi km ni maneno km ni nini kweli walisema sasa nani kachonganisha????? ALL IN ALL BONGO MOVE WOOOOOOTE WABADILIKE MANA NI MAJUNGU .COM WAKE KWA WAUME ndomana mi ctaki ufanye sin hata ya mpito uko mbali sn sn sn hupaswi kbs kurudi huku hata kdg

Anonymous said...

unaweza kuwa hujaenda shule ila kichwa kimetulia hawa watu wa bongo movie jamani km akili zao wooooooooooote zanafanana hasa mademu akili zao hazifanyi kazi kbs mimi km mwanaume hata nivutiwe vp na one of them i will neva make a move sikatai wazuri lakini lol naanzaje kumtambulisha kwa ndugu na jamaa????? bora nichukue wakijijini au hata wa mjini hata km hajasoma its okey compared to hawa (ni mtazamo wangu)

Anonymous said...

Hawana umoja,hawapendani,hawaheshimiani,na pia hawajieshimu vikao vikao kila siku na bado matatizo hayaishi majungu pale pale,vijembe,chuki yani wananiuziiiiiiiii ZAMARADI NAE HOVYOOOOOOOOOO km wao tu eti anamuita irene jack akidai bahati mbaya SI UONGO HUO

Anonymous said...

afazali mana sasa hvi wanamuziki wamepumzika kila ukinunua gazeti ni watu wa bongo move tuuuuuuuuu ndo wanazungumziwa mfyuuuuuuuuuuuu

Anonymous said...

We nawe nguru papa nani???????? jack hakumusms diamond mwenyewe na sms zikaonwa na muhusika???? hakumsema irene huyo?? na ndomana yamekwisha juu ukikubali kosa lako hakuna kesi tena alijichonganisha nao mwenyewe huyu dada km ana mapepo walai

Anonymous said...

ETI BEEF BURGER km hujaenda shule sometyms bytheway ivi hawa ni mashoga zako yani ile ile au ndo kivile vile

Anonymous said...

Zamaradi mchonganishi.

Anonymous said...

mi napita jaman

Anonymous said...

so 4grade!!!!!!!!

Anonymous said...

zamaradi ndo kifuu tundu kama sio kidudu mtu, kuanzisha beef ili akuze kipindi, hafai hata kwa mbolea,alimgeza joyce kiria kamuachia ukumbi anambwelamwela tu, KAMA NYOTA HANA HANA TU LABDA AKAOGE BAHARINI. ZAMA OVYOOOO SANA. Anajifanya ana class, kumbe class mavi ya kukuku

Anonymous said...

Zamaradi blog imemshinda anauza jina kwa kuchokonyoa watu, sasa sijui kipindi chako kitakuwaje maana hao waliokuwa unawategemea wakupaishe wamekustukia unalo ilo